JAMAA aliyejizolea umaarufu nchini kwa staili yake ya kuchapa maji, Peter Mollel maarufu kwa jina la Pierre Konki amemuelezea msanii...
READ MOREMREMBO aliyewahi kutamba kwenye anga la Kizazi Kipya akitumia jina la K-Lynn, Jacqueline Ntuyabalilwe (sasa hivi Jacqueline Mengi) juzikati alichomolea...
READ MOREMWILI wa aliyekuwa mwanamuziki wa THT, Jesca Edward Mahohi ‘Jessie’, ambaye alifariki Aprili 6 mwaka huu wakati akijifungua katika Hospitali...
READ MOREHIT MAKER wa ngoma ya Chanda Chema inayosumbua mjini kwa sasa, Darassa CMG, Usiku wa Aprili 07, amezindua nyimbo zake...
READ MORESTAA wa filamu Bongo, Irene Uwoya hivi karibuni ameeleza kupata msiba mzito wa kufiwa na mbwa wake aitwaye Kallu...
READ MOREMUIGIZAJI wa kitambo Bongo, Yvonne Cherry ‘Monalisa’ amesema kuwa hawezi kuzeeka kwa sababu hana kabisa stress na ndiyo maana kila...
READ MOREMSANII aliyeibukia kwenye Bongo Fleva, Lulu Euggen ‘Amber Lulu’ amesema kuwa anasumbuliwa na ndoto za mwanamuziki mwenziye ambaye waliwahi kuwa...
READ MORENI KAPO iliyobamba vilivyo katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita na kuvutia mashabiki wengi wa muziki wa Bongo...
READ MOREUNAMKUMBUKA yule bodigadi matata wa staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Mwarabu Suleiman Mirundi almaarufu Mwarabu Fighter?...
READ MOREDAR ES SALAAM: Taa nyekundu! Mzazi mwenza wa staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, mwanamama mjasiriamali Zarinah Hassan ‘Zari...
READ MOREMKALI wa Bongo Fleva aliyewahi kuunda Yamoto Band, Aslay Isihaka anatarajiwa kushuka Sikukuu ya Pasaka ndani ya Uwanja wa Taifa...
READ MOREDAR ES SALAAM: MAMA yake DJ Rommy Jones, Shani Swedy anadaiwa kuzua kasheshe la aina yake alipokuwa akidai talaka yake...
READ MOREKATIKA hafla ya kilele cha Tuzo za Malkia wa Nguvu zilizoandaliwa na Clouds Media na kufanyika katika Ukumbi wa Julius...
READ MOREBaada ya baba mzazi wa Diamond Platnumz, Mzee Abdul Jumaa kuachia wimbo wake mpya ambao ameshirikishwa na Sungura amefunguka kuwa...
READ MOREZENGWE limeibuka! Siku chache baada ya msanii kutoka lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Mbwana Yusuph ‘Mbosso’ kuunadi mjengo mpya...
READ MOREDAR ES SALAAM: MUNGU akiamua kukupa atakupa tu! Baada ya kudharauliwa mno mitandaoni, hatimaye staa ‘grade one’ ambaye pia ni...
READ MOREUNAMKUMBUKA Dkt. Louis Shika? Yule wa ‘Milioni 900 Itapendeza?’ Unakumbuka gumzo lake? Basi yeye ni cha mtoto, yupo mtu aliyevunja...
READ MOREMWANAMUZIKI maarufu kutoka Nigeria, Davido ametajwa kuwa miongoni mwa mastaa watakaotumbuiza kwenye Tamasha kubwa la Summer Jam lililoandaliwa na Kituo...
READ MOREMTANGAZAJI wa Kipindi cha Harusini cha Swahili Magic, Penniel Mungilwa ‘DJ Penny’ amesema kuwa ni vigumu mno kuacha kupekua simu...
READ MOREDAR ES SALAAM: Usiku wa kuamkia juzi Jumatatu uliweka historia nyingine baada ya mastaa wanawake Bongo kufunika kwenye tuzo zilizokwenda...
READ MORECHONDECHONDE! Staa wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel amewaomba baadhi ya watu kuacha kumsimanga mwanaye, Cookie kuhusiana na nywele zake...
READ MOREYAMEMKUTA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya msanii wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ kujikuta akishambuliwa kwa maneno makali na wananzengo...
READ MOREMchekeshaji Pierre Konki Liquid, ametembelea Bungeni jijini Dodoma baada ya kupata mwaliko kutoka kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai. ...
READ MOREHAKYANANI mama wa staa maarufu Bongo, Wema Sepetu, Mariam Sepetu haishiwi vioja; hivi karibuni kafanya kingine kwa kumshushia kipingo shosti...
READ MOREBAADA ya kimya kirefu kwenye anga la muziki Bongo, mwanamuziki aliyeibukia kwenye Shindano la Bongo Star Search (BSS 2012),...
READ MOREALIYEKUWA mtangazaji wa EFM Radio ambaye pia ni DJ, Penieli Mungilwa ‘Penny’ amefunguka ya kushangaza kuwa ni ngumu kwake kuacha...
READ MOREBaada Ya kifo cha rapper Nipsey Hussle Mauzo Ya kazi zake za muziki Yamezidi kuongezeka Kwenye Mitandao mbali mbali ya...
READ MOREUSIKU wa kuamkia leo, Aprili 1, 2019 katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa (National Museum), Tuzo za AWAFFEST kwa mara...
READ MOREKUMPIGA teke chura ni kumwongezea mwendo! Hiyo ndiyo kauli inayoshabihiana na kilichotamkwa na mwanadada wa Kiganda, Zarinah Hassan ‘Zari The...
READ MOREKila nyuma ya historia ya mtu maarufu au mashuhuri kuna stori kitu ambacho amekipitia, kwa upande wa Mwanamuziki wa Bongo...
READ MORERAPA wa Marekani, Nipsey Hussle (33) ameuawa kwa kupigwa risasi, asubuhi ya kuamkia leo, Aprili 1, 2019, jijini Los Angeles...
READ MOREMWANAMITINDO Jane Ramoy ‘Sanchi’ ameeleza kuwa anavutiwa sana na uhusiano wa kimapenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Sanchi’ na Tanasha Donna...
READ MOREAMA kweli mwanzo wa penzi ni mtamu kama asali, lakini mwisho huwa ni shubiri! Hivyo ndivyo hali ilivyo kati ya...
READ MOREWANAOUCHEZEA muziki wa Bongo Fleva hawajui historia yake na hawawafahamu waliotoka jasho na damu kuufanya ukubalike na uwe biashara. ...
READ MOREUKIINGIA katika Mtandao wa Google na kuandika jina la Flora Lauwo, utapata maelezo mengi, lakini zaidi utamuona kwenye kusaidia jamii...
READ MOREMAPEMA mwaka huu kuliibuka taarifa za mwanaume mmoja ambaye ni rubani wa ndege aitwaye Hamdan Zakwani ‘Danzak’ aliyetangaza kumuoa staa...
READ MOREMWIGIZAJI bomba wa Bongo Muvi, Shamsa Ford amewajibu wanaomsema kwamba ameshindwa kumzalia mume wake, Chid Mapenzi mtoto na kwamba ndoa...
READ MORE