×

Celebrities

Kolabo ya Kiba na Mondi Yanukia

Kuna vitu ambavyo ni nadra mno kusikia na kuamini kama siku moja vitatokea hasa kwa wasanii wa Bongo Fleva ambao...

READ MORE

Mimi Mars: Vanessa Mdee Arudi Bongo Kuna Nini

Vanessa Mdee arudi bongo kuna nini, hilo ni jibu ambalo amelitoa msanii Mimi Mars baada ya kuulizwa kuhusiana na dada...

READ MORE

Gwiji wa Reggae, Swahiba wa Bob Marley Afariki Dunia

MWANAMUZIKI huyo, kutoka Kingston, Jamaica, alikuwa mmoja waanzilishi wa bendi ya The Wailers pamoja na rafiki yake wa utotoni, Bob...

READ MORE

Lulu: Majizzo Umenisugulisha Benchi

IKIWA ni muda mfupi baada ya CEO wa EFM na TVE, Francis Antony Ciza a.k.a Majizzo kuposti kwa mara ya...

READ MORE

Majizzo Aanika Mazito: Walisema Pete Itakata Kidole

  HATIMAYE Mkurugenzi Mtendaji wa Efm Radio na ETV, Francis Antony Ciza a.k.a Majizzo amefunguka kwa mara ya kwanza ikiwa...

READ MORE

Mahari Yangu Si Chini ya Milioni 20 – Agness

MREMBO Official Agness maarufu kama Agness wa Uchebe amefunguka kusema wanaume wanaotaka kumuoa mahari yake ni kuanzia shilingi Milioni 20...

READ MORE

Mbunge Tanga wa Aomba Radhi kwa Wimbo Wake

UNAUKUMBUKA ule wimbo wa dume suruali wa Mbunge wa Jimbo la Muheza Tanga na msanii Mwana Fa, kama unaukumbuka ishu...

READ MORE

Utata Waibuka Mimba Amber Lulu

Utata mzito umeibuka juu ya mimba aliyobeba msanii wa bongo Fleva, Lulu Euggen ‘Amber Lulu’ ambapo swali la msingi la...

READ MORE

Yanga Yatangaza Ukarabati wa Vyumba vya Wachezaji – Vide

MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga SC, Mshindo Msola, amewaeleza mashabikiwa klabu hiyo kuwa ukarabati wa vyumba vya wachezaji umeanza kufanyika...

READ MORE

Marehemu Chadwick Ashinda Tuzo ya Golden Globe

Chadwick Boseman alishinda tuzo yake ya kwanza ya Golden Globe katika filamu ambayo hakuishi kuiona.   Mjane wa nyota huyo...

READ MORE

Harmonize: Kajala Ana Damu Yangu Kwenye Moyo Wake

IJUMAA SHOWBIZ inatambua jinsi muziki wa Bongo Fleva unavyozidi kukua na kutanua mbawa kadiri siku zinavyokwenda.   Kuna wadau wengi...

READ MORE

Q Chief Amwangukia Diamond “Nisamehe, ni Hasira tu” – Video

Msanii nyota wa muziki nchini Tanznaia, amewaomba radhi mashabiki na wadau wa muziki nchini Tanzania kwa kutoa lugha chafu dhidi...

READ MORE

Harmo: Kajala Akiniacha Naweza Kujiua

UNAAMBIWAstaa anayefanya poa kwa sasa kunako Bongo Fleva, Rajab Abdul almaarufu Harmonize au Konde Boy, amenyoosha maelezo kwa mpenzi wake...

READ MORE

Mama Dangote Ampigia Saluti Zari

MAMA mzaa chema wa staa mkubwa wa muziki barani Afrika kutoka nchini Tanzania, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Mama...

READ MORE

Gladness Kifaluka Ajipa Umalkia

KOMEDIANI matata wa kike Bongo, Gladness Kifaluka ‘Pili Kitimtim’ anasema kuwa kwa wasanii wa kike wa uchekehaji Bongo, yeye ndiye...

READ MORE

Siri Yaficuka, Sababu ya Billnas Kumwagana na Nandy

WAKATI msanii wa Bongofleva, Faustina Charles ‘Nandy’ akithibitisha kuachana na mchumba wake ambaye pia ni msanii mwenzie William Lyimo ‘Billnass’,...

READ MORE

Mashabiki Wamvaa Mondi

  UKIMYA wa supastaa wa muziki anayefanya vizuri zaidi barani Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, umemponza na kumfanya ashambuliwe na...

READ MORE

Exclusive Harmo: Kajala Akiniacha Najiua

UNAAMBIWA staa anayefanya poa kwa sasa kunako Bongo Fleva, Rajab Abdul almaarufu Harmonize au Konde Boy, amenyoosha maelezo kwa mpenzi...

READ MORE

Kajala Avunja Ukimya Kubeba Mimba ya Harmo

KAJALA Masanja ameendelea kutikisa vyombo vya habari, safari hii amefunguka mambo mengi ikiwemo suala la kumbebea mimba mpenzi wake, Rajabu...

READ MORE

Mama Dangote Ampigia Saluti Zari

MAMA mzaa chema wa staa mkubwa wa muziki barani Afrika kutoka nchini Tanzania, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Mama...

READ MORE

Amber Lulu: Pigeni Kelele, Nasubiri Kujifungua

  AMBER Lulu ni bonge moja la msanii wa Bongo Fleva ambaye alianza kama muuza sura (video queen) kwenye video....

READ MORE

Nandy Afanyiwa Hujuma Nzito

  PISI kali kunako muziki wa Bongo Fleva, Faustina Charles Mfinanga ‘Nandy’, anadaiwa kufanyiwa hujuma nzito, IJUMAA WIKIENDA lina kisanga...

READ MORE

Msami: Nili-date na Kajala, Hatukuchorana Tattoo

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva Msami amefunka baadhi ya musiano yake ambayo aliwahi kuwa mojawapo yakiwa ni Kajala na...

READ MORE

Uncle Zumo Afunguka Kuongeza Mke wa Pili

MSANII wa vichekesho ‘Uncle Zumo’ leo Februari 26, akiwa kwenye shoo ya Bongo 255, inayoruka kupitia Radio namba moja ya...

READ MORE

Papii Kocha Afunguka Kurudi Kivingine Kwenye Muziki

PAPII Kocha ni mtoto wa nguli wa muziki wa Dansi nchini; Nguza Viking au Babu Seya na amerejea mtaani na...

READ MORE

Amber Lulu Amejibu “Mtoto Hana Baba, Majani Simjui” – Video

  STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Amber Lulu amegoma kumuweka wazi baba wa mtoto wake ajaye huku akisisitiza kuwa...

READ MORE

JPM Aomba Ngoma ya Stamina Ft. Prof. Jay – Video

RAIS John Magufuli, ameufagilia na kuomba apigiwe wimbo ulioimbwa na Professor Jay na Stamina, wenye ujumbe unaomsema baba aliyeshindwa kutimiza...

READ MORE

Elon Musk Apoteza Taji la Tajiri Zaidi Duniani

ELON MUSK  amepoteza taji lake la kuwa mtu tajiri zaidi duniani baada ya thamani ya hisa za kampuni yake ya...

READ MORE

Tiger Woods Anusurika Kifo Ajalini

MCHEZAJI maarufu wa Golf, Tiger Woods, amepata ajali baada ya gari lake kupinduka wakati akiendesha mwenyewe nje kidogo ya jiji...

READ MORE

Harmonize: Mwana Kulitafuta, Mwana Kulipata

MWANA kulitafuta, mwana kulipata! Ndiyo kauli inayomfaa staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’ Harmonize ambaye ametoa hoja ambayo imekutana...

READ MORE

Makazi Ya Wema Mbagala Yashtua!

SUPASTAA wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ hivi karibuni amezua taharuki baada ya makazi yake yaliyopo Mbagala-Kijichi jijini Dar,...

READ MORE

Mwasiti Amvulia Kofia Nandy

MSANII mkongwe kunako anga la muziki mtamu wa Bongo Fleva, Mwasiti Almasi ‘Kipepeo Mweusi’ amemvulia kofia msanii mwenzake, Faustina Charles...

READ MORE

Poshy Aanika Ukweli Kumfumania Mumewe

MWANAMAMA mjasiriamali mwenye umbo matata ambaye ni maarufu kwenye mitandao ya kijamii Bongo, Jacqueline Obeid ‘Poshy Queen’, ameanika ukweli juu...

READ MORE

Rayvanny: Nitaondoka Wasafi (WCB) kwa Amani

MSANII Raymond Shaban Mwakyusa aka Rayvanny aliyepo chini ya label ya Wasafi Classic Baby (WCB) amesema atahakikisha anatoka kwenye label...

READ MORE

Mrembo Aliyeolewa na Babu wa Kizungu Aibua Mapya

Unaambiwa umri ni namba tu kwenye mahusiano, kwani msanii Azzy Superstar amesema haoni noma kuwa kwenye mapenzi na mume wake...

READ MORE

Kisa Urais wa Marekani, Kim, Kanye Wamwagana

KANYE WEST anaamini sababu za Kim Kardashian kudai talaka ni kutokana na yeye kuutaka Urais wa Marekani mwaka 2020. Juzi...

READ MORE

Mama Mzazi wa Ronaldinho Afariki Dunia

MAMA mzazi wa nyota wa zamani wa Barcelona Ronaldo de Assis Moreira, maarufu kama Ronaldinho Gaucho, Dona Miguelina amefariki dunia...

READ MORE

Kim Amuomba Talaka Kanye

BAADA ya miaka sita na miezi sita ya ndoa, Kim Kardashian (40) hatimaye anadai talaka kutoka kwa mwanamuziki wa HipHop,...

READ MORE

#Exclusive: Omotola wa Bongo “Nimezaa na Mnigeria” – Video

GLOBAL TV Online imefanya mahojiano na mrembo Lulu ambaye amekuwa akifananishwa na nguli wa tasnia ya Filamu nchini Nigeria, Omotola,...

READ MORE