×

Celebrities

Kufuru za Mondi kwa Zuchu Zaibua Tafrani

NI yeye! Ndiyo, ni yeye Tanasha Donna ambaye ametengeneza habari mpya kufuatia kuona mzazi mwenzake Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anamfanyia...

READ MORE

Barnaba Afunguka Mama Steve Kuolewa!

KWENYE listi ya wanamuziki wazuri wa Bongo Fleva wanaojua kuimba, kutunga, kutumia vyombo na kuzalisha (produce) ngoma kali, huwezi kuacha...

READ MORE

Vanny Azua Jambo Kujitoa WCB

  DAR: Kruu ya Wasafi Classic Baby (WCB), limeendelea kuwa chanzo kikubwa cha habari za mastaa Bongo, safari hii kuna...

READ MORE

Lockdown ya Zari Balaa

DAR: Bata analokula mwanamama Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ na wanawe wakati akituikia kipindi cha kukutoka ndani (lockdown) huku...

READ MORE

WOLPER, Meja Kunta kitu na boksi?

DAR: Licha ya kuwepo kwa janga la maambukizi ya Virusi vya Corona, mambo hayaishi mjini kwani ndiyo kwanza yanazidi kupamba...

READ MORE

Mtoto wa Mondi Amtesa Tanasha

IONGEZWE sauti au mmeshasikia kwamba Tanasha Donna anajuta kumzalia mtoto Nasibu Abdul ‘Diamond’ au Mondi? Mwanamke huyo raia wa Kenya,...

READ MORE

Licha ya Kutafuna Mil. 850, Gari la Mondi Lakwama Kuja Bongo

KWA wafuatiliaji wa mitandano ya burudani Bongo, mkoko mpya wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ aina ya Rolls Royce unaotajwa...

READ MORE

Flora: Mungu Amenipa Nguvu Ya Kunyamaza

    MIONGONI mwa watu waliofanya kazi kubwa ya kuukuza muziki wa Injili Bongo, lazima jina la Flora Mayalah almaarufu...

READ MORE

Nandy Ampigia Saluti Zuchu

  MCHUMBA wa mtu anayefanya vizuri kwenye tasnia ya muziki wa Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ amempigia na kumpa heshima...

READ MORE

Esma: Wakisema Nimeachwa, Naongeza Ndinga

ESMA Khan ambaye ni dada wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Mondi’ amesema wakati watu wakiwa bize kumsema ameachika, yeye yuko bize...

READ MORE

Kim Nana Atamba Kuwaziba Watu Midomo

MUUZA nyago kunako video za Bongo Fleva, Lilian Kessy ‘Kim Nana’ ambaye alikwaa skendo ya kutoka kimapenzi na mwanamuziki Nasibu...

READ MORE

Aunt Apata Kigugumizi Kuachana Tena Na Iyobo

BAADA ya tetesi kuzagaa kuwa ameachana na mzazi mwenzake, Moses Iyobo ‘Moze’, staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amepata kigugumizi...

READ MORE

Mwasiti: Sipendi Mwanaume Mchafu!

MAMBO vipi msomaji wa safu yako pendwa ya My Style? Kama ilivyo kawaida, hapa tunakutana na mastaa mbalimbali nchini na...

READ MORE

Harmo Atajwa Kumhujumu Kiba

NYUMA ya pazia la muziki wa Bongo Fleva, kuna vita nyingi na kubwa za kimyakimya! Tukio la wasanii wawili wa...

READ MORE

Ukweli Mbosso Kupewa Gari la Tanasha

MAMBO ni mengi sana mjini. Unaambiwa wananzengo wamepiga kelele sana huko Instagram kwamba gari analotamba nalo staa wa Bongo Fleva,...

READ MORE

Harusi ya Nandy, Billnass Usipime!

MAMBO ni moto! Ndiyo maneno yanayotamkwa mtaani kwa sasa kutokana na habari kueleza kuwa, harusi ya mastaa wa Bongo Fleva;...

READ MORE

Licha ya Corona… Harmo Apasua Anga!

LICHA ya janga la maambukizi ya Virusi vya Corona kumtibulia mambo mengi staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul Kahali ‘Harmonize’...

READ MORE

Faiza Aanika Alivyoikwepa Corona China

STAA wa filamu ya Baby Mama Bongo, mjasiriamali Faiza Ally amefunguka alivyofanikiwa kurejea nchini akitokea nchini China na kuhofiwa kupata...

READ MORE

Maua Sama Aweka Wazi Ishu ya Mchumba

MWANAMUZIKI sexy wa Bongo Fleva, Maua Sama ameweka wazi juu ya ombi lake la kupata mchumba mwenye mapenzi ya kweli....

READ MORE

Basata Yamfutia Usajili Dudubaya

Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) la mfutia usajili msanii wa muziki wa Bongo Fleva Godfrey Tumaini maarufu kama Dudu Baya...

READ MORE

Zuchu Aonywa Auhusu Diamond

WATU bwana! Siku chache baada ya msanii chipukizi Zuchu Kopa kuachia albam yake fupi ‘EP’ iitwayo ‘I’m Zuchu’, wamemgeuzia kibao...

READ MORE

Kiba Afunguka Cheed na Killy Kutimka

IKIWA ni siku moja tangu wasanii wake wawili killy na Cheed waondoke kwenye lebo yake ya Kings Music Records, msanii...

READ MORE

Mondi, Amina wa Kiba Gumzo Mjini

MJI mzito huu! Baada ya mapichapicha ya staa wa Bongo Fleva, Ali Salehe Kiba ‘King Kiba’ na mwanamitindo Hamisa Mobeto...

READ MORE

Ukweli Pete ya uchumba ya Nandy

BAADA ya utata kuibuka kutokana na mwanamuziki William Lyimo ‘Billnass’ kumvisha pete ya uchumba, mpenzi wake ambaye pia ni mwanamuziki...

READ MORE

Bob Haisa aibuka na Mazito

  UNAPOZUNGUMZIA muziki wa Rhumba au Zuku, huwezi kuacha kulitaja jina la Bob Haisa. Ni miongoni mwa wanamuziki wakongwe Bongo...

READ MORE

Alichokisema Lulu kuhusu Mtoto wa Mobeto

BAADA ya kushambuliwa kwa kutomposti mtoto wa mpenzi wake, Francis Ciza ‘Majizo’ aliyezaa na mwanamitindo Hamisa Mobeto aitwaye Baby Fansy,...

READ MORE

Alikiba Apata Pigo Zito

WASANII wawili waliokuwa chini ya lebo ya Kings Music inayomilikiwa na Staa wa Bongo fleva, Alikiba, Cheed na Killy wametangaza...

READ MORE

 Muna Kufanya upasuaji kupunguza tumbo na pua

WATU wengi wamekuwa wakijiuliza maswali mengi juu ya aina ya ulokole wa mwigizaji wa filamu za Kibongo, Rose Alphonce ‘Muna’. ...

READ MORE

Kiba akimbiza kijiji

 “KUPENDA ni vitendo si manenomaneno, leo nakupa kitengo kwa kufika malengo, umeziba mapengo, kwa upendoupendo! Bora wananzengo waanze vikao vya...

READ MORE

Epuka sana majaribio penzini, ni hatari!

MUNGU ni mwema sana. Kwa Wakristo na wasiokuwa Wakristo wanaendelea kusherehekea Sikukuu ya Kufufuka Yesu Kristo. Ni vizuri watu wote...

READ MORE

Msanii Mpya wa Harmonize Aachia Dude la Kwanza – Video

MSANII mpya aliyetambulishwa na Mkurugenzi wa Lebo ya Konde Gang, Harmonize anayejulikana kwa jina la Ibrah, tayari ameachia wimbo wake...

READ MORE

‘Lampard Anaweza Kuipa Ibingwa Chelsea’

FRANK Lampard anaweza kuirejesha Chelsea katika vita ya kuwania ubingwa wa Premier, lakini kama tu atapewa muda na uhuru kama...

READ MORE

Dudubaya Aitwa Tena Kuhojiwa BASATA

BARAZA la Sanaa laTaifa (Basata) limemwandikia barua mwimbaji maarufu nchini, Godfrey Tumaini ‘Dudubaya‘  ili kujieleza kutokana na kutumia lugha isiyo ya...

READ MORE

Marekani: Watu 2,108 Wafariki Kwa Corona Ndani ya Saa 24

MAREKANI imekua nchi ya kwanza duniani kurekodi zaidi ya vifo 2000 vya virusi vya corona kwa siku moja.   Takwimu...

READ MORE

Mbivu Mbichi Bifu Zito Chuchu vs Tessy

DAR: Lile bifu zito la waigizaji wa Bongo Movies; Chuchu Hans na Tessy Abdul ‘Tessy Chocolate’ bado linafurukuta, IJUMAA lina...

READ MORE

Kauli ya Roma Yazua Gumzo

KAULI ya staa wa muziki wa Hip Hop, Ibrahimu Musa ‘ROMA’ kwamba ni ana miezi sita hajashiriki tendo la ndoa...

READ MORE

Nuh Mziwanda: Corona Imeturudisha Nyuma Wasanii

KILA kona kwa sasa ni kilio cha virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid 19 ambapo staa wa muziki wa...

READ MORE

Baby J: atakayeniroga anatafuta kifo

  MWANAMUZIKI maarufu wa visiwani Zanzibar, Jamila Abdallah ‘Baby J’ amesema kuwa zamani watu wengi walikuwa wakipenda kucheza na mwili...

READ MORE

Maimartha amtangazia vita Bonita

Mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’ amemtangazia vita mwanamama maarufu kwa kuwapamba mastaa wa kike Bongo, Bonita kwamba akipita anga...

READ MORE

Wolper atahadharishwa ushoga na Tessy

BAADA ya msanii wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper kutundika picha kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na mzazi mwenza wa...

READ MORE