×

Featured Stories

Wamachinga wamuua tajiri kwa mawe Dar

Mchumba wake akiwa amezimia. Stori: Makongoro Oging’, Uwazi DAR ES SALAAM: Inauma sana! Mfanyabiashara mkubwa wa Kariakoo jijini Dar, Stephen Elija...

READ MORE

Waziri Nape amjulia hali Athumani Hamisi

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akisalimiana na Athumani Hamisi alipomtembelea nyumbani kwake Sinza Madukani jijini...

READ MORE

Ziara ya waziri mkuu kila kukicha, bandarini kuna kitu

Waziri mkuu amajaliwa akipitia moja ya ripoti. Stori: Gabriel Ng’osha, Wikienda Dar es Salaam: Kunani bandarini? Kufuatia ziara za kila...

READ MORE

Mwanamke ammwagia mwanaume maji ya moto

Abdallah Adamu akipata tabu ya kukaa kutokana na jeraha alilolipata baada ya kumwagiwa maji ya moto. Stori: Mayasa Mariwata na...

READ MORE

Nay wa Mitego: nitauawa muda wowote

Nyota wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’. Stori: Musa Mateja, WIKIENDA DAR ES SALAAM: Hali ni tete! Siku...

READ MORE

Kisa utajiri wenye maswali, Zari atajwa freemason

Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ Stori: Musa mateja, Wikienda Dar es Salaam: Mwandani wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,...

READ MORE

Hatimaye Jide apewa talaka rasmi kortini

Judith Wambura Mbibo ‘Jide Stori: Erick Evarist, Wikienda DAR ES SALAAM: BAADA ya mvutano wa muda mrefu, hatimaye diva wa...

READ MORE

Arsenal yaikalisha Leicester City 2-1

Straika wa Leicester City, Jamie Vardy, akiifunga timu yake bao kwa njia ya mkwaju wa penalti dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa...

READ MORE

Baba Diamond ataka kufia studio kwa mwanaye!

Baba mzazi wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Mzee Abdul Juma alipofika getini kwenye studio ya Diamond. Na Musa...

READ MORE

Kessy ndiye anayempa jeuri Kiiza

Beki wa Simba, Hassan Kessy. Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam STRAIKA wa Simba, Hamis Kiiza ndiye anayeongoza kwa kuzifumania nyavu...

READ MORE

Johari Awewesekea Penzi la Mbunge

HAMIDA HASSAN NA GLADNESS MALLYA, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: MUIGIZAJI mkongwe wa filamu Bongo, Blandina Chagula anayefahamika kisanii kama...

READ MORE

Nay wa Mitego, Dimpoz wafika pabaya

Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’. Na Musa Mateja, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Mafahari wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay...

READ MORE

Ofisi ya Serikali Yahamia Chooni

Ofisi hiyo, kwenye chumba cha choo. Na Gladness Mallya Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Hii ni kali ya mwaka! Mwenyekiti...

READ MORE

Maadhimisho ya Kuchangia Damu Dar, Feb. 25-26

Stori: Mwandish Wetu, Ijumaa Dar es Salaam Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) imepanga kufanya Maadhimisho ya Utoaji wa Huduma ya...

READ MORE

Maofisa vipimo wawili wasimamishwa kazi

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitaka maelezo kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo na Mizani, Bibi Magdalena Chuwa...

READ MORE

Askofu Amwomba Penzi Mtoto wa Mzee wa Kanisa

Askofu wa Kanisa la Jesus Deliverance Center (JDC) lililopo Tabata- Matumbi Dar, Derik Mathias Stori: Richard Bukos na Issa Mnally,...

READ MORE

Siku 100 safi za Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. LEO ni siku ya 100 tangu Rais John Magufuli...

READ MORE

Bosi ammwagia hausigeli wake maji ya moto

Victoria akiwa amelazwa katika hospitali ya Mwananyamala. Stori: Imelda mtema, IJUMAA MWANAMKE mmoja mkazi wa Kawe, jijini Dar es Salaam,...

READ MORE

Zari Akwaa Skendo ya Makalio Feki

Nasibu Abdul ‘Diamond’ na mpenzi wake, Zarinah Hassan ‘Zari’ Stori: Musa mateja, Ijumaa Dar es Salaam Mpenzi wa Mwanamuziki Nasibu...

READ MORE

Kivuko cha MV Kigamboni chazua taharuki

Abiria wakiwa wamekumbwa na taharuki baada ya kivuko cha MV Kigamboni kuacha njia leo asubuhi. Abiria waliokuwa wakisafiri ndani ya...

READ MORE

Ajali ya basi na lori yaua 11 Tanga

WATU 11 wamepoteza maisha  huku 29 wakijeruhiwa baada ya basi la abiria la Simba Mtoto lililokuwa linakuja jijini Dar es...

READ MORE

Moto wa Ajabu Wateketeza Nyumba Tatu

Baadhi ya vitu vikiwa vimeungua KAGERA: Familia tatu ikiwemo ya Wilfrida Patrice katika Kijiji cha Omukagando Kata ya Mabira Wilaya...

READ MORE

Flora Mvungi mimba tena!

Staa wa Bongo Muvi, Flora Mvungi na ‘kibendi’ chake. DAR ES SALAAM: Makubwa! Ikiwa mtoto wake wa pili akiwa angali...

READ MORE

Mrembo Adaiwa Kutelekeza Mwanaye Kisa Mlemavu

Mtoto Ilham Mohamed ARUSHA: Hujafa  hujaumbika! Mtoto Ilham Mohamed  19, (pichani) mkazi wa Ngarenaro jijini hapa amezaliwa akiwa na ulemavu...

READ MORE

JPM afanya ukaguzi wa kushtukiza Muhimbili

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akielekea katika Wodi ya Wazazi kufanya ukaguzi wa ghafla...

READ MORE

Watanzania wanne wauawa na majambazi Msumbiji

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Henrry Mwaibambe. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limethibitisha kupokea maiti nne za wafanyabiashara...

READ MORE

Bifu; Ommy Dimpoz amchana Nay wa Mitego

Ommy Dimpoz. Siku moja baada ya mwanamuziki Nay wa Mitego kutoa wimbo wake mpya uitwao ‘Shika adabu yako’ ambapo katika...

READ MORE

Baada ya Kukamatwa na Kitengo cha Madawa ya Kulevya, Kigogo Dar Kortini

Daudi Yakubu Adam ‘Daudi Kanyau’ Na Waandishi Wetu, RISASI mchanganyiko DAR ES SALAAM: Yule mfanyabiashara mkubwa jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Mramba, Yona wazua tafrani

Waliovaa ‘ovaroli’ ni Mawaziri wa zamani, Daniel Yona (kulia) na Basil Mramba (kushoto) wakikabidhiwa vifaa vya kufanyia usafi katika Hospitali...

READ MORE

Familia ya Diamond Yalamba Mamilioni

Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ na Mpenzi wake, Zarinah Hassan ‘Mama Tiffah’ Gladness Mallya na Mussa Mateja , Risasi mchanganyiko FAMILIA...

READ MORE

Utajiri kigogo NHC gumzo

Mkurugenzi wa Mikoa na Utawala wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Raymond Mndolwa. Stori: Waandishi Wetu, UWAZI DAR ES...

READ MORE

Undani mwanafunzi Mbongo kudhalilishwa India

Stori: Mwandishi Wetu, UWAZI na mitandao DAR ES SALAAM: Lile sakata wa mwanafunzi wa kike Mtanzania (jina linahifadhiwa), kupigwa, kuvuliwa...

READ MORE

Mrembo ababuka uso afariki dunia, chanzo ni samaki

Agnes Haule akiwa amebabuka usoni baada ya kula samaki. Stori: Issa Mnally, UWAZI DAR ES SALAAM: Inasikitisha sana! Mrembo aliyejulikana...

READ MORE

Mimba ya Wema, Idriss apachikwa jina la Dk. Mwaka

Idriss Sultan Na Mwandishi Wetu, UWAZI MIMBA ya Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu inazidi kuzua ya kuzua kila kukicha baada...

READ MORE

Yona, Mramba Waanza Kifungo cha Nje, Palestina

Daniel Yona akishuka kwenye gari mara baada ya kuwasili Hospitali ya Palestina, Sinza – Dar.Yona na Mramba  wakiwa wameshika vifaa...

READ MORE

Yanga yapiga mtu nne

Wachezaji wa Yanga wakishangilia goli. Hans Mloli,Dar es Salaam ULIDHANI Yanga imepotea? Usijidanganye, moto wa Yanga si wa kitoto, wakiamua...

READ MORE

Jokate amwangukia mama Kiba

Mwanamitindo Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’. Stori: Musa Mateja, Wikienda Dar es Salaam: Malovee tena! Siku chache baada mwanamitindo Jokate Urban...

READ MORE

Simba hatari, yashinda mechi ya sita mfululizo

Wachezaji wa Simba wakishangilia goli. Johnson James, Shinyanga SIMBA ni hatari! wala huwezi kubisha kwa hilo baada ya kufanikiwa kuichapa...

READ MORE

Wema atapika tembele hadharani

Staa wa sinema za Bongo, Wema Sepetu. Musa Mateja NA gabriel ng’osha, WIKIENDA DAR ES SALAAM: Hii pia ni habari...

READ MORE

Mchepuko atorosha mke wa mtu!

lsihaka Makulunga akionyesha hati ya ndoa. Stori: DUSTAN SHEKIDELE, Wikienda Morogoro: Wakati dunia ikielekea Siku ya Wapendao (Valentines Day) ambayo...

READ MORE