×

Featured Stories

Mwanaheri Awatahadharisha Wabunge Wanaomsumbua Mitandaoni

 STORI: HAMIDA HASAN | RISASI JUMAMOSI | TANO KALI STAA wa filamu za Kibongo, Mwanaheri Ahmed amesema kuwa anawatahadharisha wabunge...

READ MORE

Breaking News: Wanafunzi Zaidi ya 20 na Walimu Wao Wafariki Ajalini Karatu

ARUSHA: Wanafunzi zaidi ya 20 na walimu wao (idadi haijafahamika) wamefariki dunia baada ya basi la wanafunzi aina ya Coaster...

READ MORE

Ajali ya Malori Kugongana Yaua Wawili Dar

DAR ES SALAAM: Watu wawili wamepoteza maisha na mmoja kujeruhiwa kwa kuvunjika mguu baada ya malori mawili kugongana eneo la...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Mei 6, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 6, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

VIDEO: Sugu Amvaa Bashite, Ataka Ashtakiwe, Awaponda Bongo Muvi

MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amemshambulia Bashite huku akisema kuwa mtu huyo alipaswa awe mahakamani na sio ofisini...

READ MORE

VIDEO: Kama Tunakimbiza Mwenge Basi Tukimbize Jembe, Nyundo & Shoka – Sugu

MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amelaumu kuwa baadhi ya viongozi wa serikali wamesahau misingi ya Muasisi wa Taifa,...

READ MORE

Genevieve: Miss Tanzania 2010 Anayevaa Viatu Vya K-Lyinn

NA ANDREW CARLOS | GAZETI LA IJUMAA | SHOWBIZ UKIAMBIWA utaje ma-miss walioteka katika Muziki wa Bongo Fleva moja kwa...

READ MORE

Mbaraka Amkana Aveva, Adai Hana Mkataba Simba

 Na Said Ally | Championi Ijumaa | Habari BAADA ya juzi Jumatano, Rais wa Simba, Evans Aveva kutangaza klabu hiyo...

READ MORE

LIVE: Wabunge Viti Maalum Wacharuka Dhidi ya Wabunge wa Majimbo Kuhusu Pesa za Mfuko wa Bunge

Wabunge wa kuteuliwa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamecharuka Bungeni wakitaka wahusike kwenye mfuko wa Bunge ambao...

READ MORE

VIDEO: Manchester United Walivyoichapa Celta Vigo 0-1 (Europa)

Klabu ya soka ya Manchester United usiku wa kuamkia leo imechomoza na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Celta Vigo...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Mei 5, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 5, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Vanessa Mdee Alalamika Kuchafuliwa na Afande Sele

Muda mfupi baada ya msanii wa kitambo kwenye muziki wa kizazi kipya Bongo, Afande Sele kusikika kwenye kituo kimoja cha...

READ MORE

Waziri Kijana Zaidi wa Somalia Auawa kwa Kupigwa Risasi

MOGADISHU, SOMALIA: Waziri mwenye umri mdogo zaidi nchini Somalia, ameuawa kwa kupigwa risasi mjini Mogadishu muda mchache baada ya kuzindua...

READ MORE

Spoti Hausi LIVE: Binslum Afunguka Udhamini Wake Kwenye Soka la Tanzania

Mfanyabiashara Nasor Binslum ambaye anaidhamini Klabu ya Mbeya City amefunguka kuhusu udhamini wake kwenye klabu mbalimbali za soka hapa Tanzania...

READ MORE

Waziri Azindua Mpango wa Waajiri Kutoa Mafunzo kwa Vijana

NAIBU Waziriri wa Kazi, Vijana na Ajira, Antony Mavunde, amezindua mpango mkakati wa kutoa mafunzo kwa vijana wanaotarajiwa kufanya kazi...

READ MORE

Mahojiano ya Nay wa Mitego na Polisi Kuhusu Wapo

NA BONIPHACE NGUMIJE | AMANI | MAKALA TAKRIBAN mwezi mmoja umekwishakatika tangu mkali wa michano ya Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki...

READ MORE

Lukuvi Amtumbua Kigogo wa Ardhi kwa Kughushi Nyaraka na Kunyang’anya Ardhi Wanakijiji

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi ameamuru kusimamishwa kazi Afisa Mipango Miji wa Lindi Ndugu...

READ MORE

Sajent Aingia Mtego wa Kujiuza

STORI: MWANDISHI WETU | AMANI | DAR ES SALAAM Kumekuwa na skendo nzito kwa baadhi ya mastaa wa kike Bongo...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Mei 4, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 4, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Video: Mbunge Atema Cheche Siku ya Uhuru wa Habari

Na Elvan Stambuli DAR ES SALAAM: Mbunge wa Viti Maalum (CUF) Mkoa wa Dar es Salaam, Salma Mwasa ametema cheche...

READ MORE

AVEVA LIVE: Sakata la Pointi 3 za Kagera, Simba Kuishtaki TFF kwa FIFA

LEO May 3, 2017 katika Makao Makuu ya Klabu ya Simba, Kariakoo jijini Dar es Salaam, Rais wa timu hiyo...

READ MORE

Shinda Nyumba: Pikipiki, Phantom 6, Dinner Set Vyakabidhiwa Washindi

NA MWANDISHI WETU | GLOBAL PUBLISHERS | SHINDA NYUMBA WASHINDI wanne wa droo ndogo ya tatu ya Shinda Nyumba Awamu...

READ MORE

Bella Kuwa Refa Gigy Money vs Pam D, Dar Live

  WAKATI zikiwa zimesalia siku mbili kufikia Mei 6, King of The Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’ anatarajiwa kuwa refa...

READ MORE

Breaking News: Hatimaye Serikali Imesikia Kilio cha Watumishi Wenye Vyeti Feki

NA MOHAMMED ZENGWA | GLOBAL PUBLISHERS | DODOMA DODOMA: Serikali imetoa nafasi kwa watumishi wanaodhani kuwa wameonewa, baada ya kutajwa...

READ MORE

Cristiano Ronaldo Atupia bao 3-0 dhidi Ya Atletico Madrid UEFA

MADRID, HISPANIA | CHAMPIONI JUMATANO | LIGI YA MABINGWA ULAYA REAL Madrid wameendeleza umwamba kwa wapinzani wao wakubwa Atletico Madrid,...

READ MORE

Shilole Apata Mwanaume wa Kumuoa

STORI: GLADNESS MALLYA NA HAMIDA HASSAN | RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Baada ya sarakasi nyingi za kubadili wanaume huku...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Mei 3

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 3, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Kesi ya Wakurugenzi JamiiMedia… Maswali ya Tundu Lissu kwa Mpelelezi

DAR ES SALAAM: Baada ya kuahirishwa mara kadhaa kutokana na ushahidi kutokamilika, kesi namba 456 ambayo inahusu kuzuia taarifa za...

READ MORE

Wema Sepetu Apanda Kizimbani Kisutu

…Wakiwa mahakamani hapo. Wema akiondoka katika mahakamani baada ya kesi yake kuahirishwa. LEO Mei 2, nyota wa sinema za Bongo,...

READ MORE

VIDEO: Wabunge ‘Wamlilia’ Halima Mdee Bungeni

DODOMA: WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kujali itikadi ya vyama vyao, wameungana kwa kauli moja...

READ MORE

Fuatilia LIVE Yanayojiri Bungeni, Kipindi cha Maswali na Majibu – Mei 2

LEO Mei 2, 2017 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaendelea na vikao vyake mjini Dodoma ambapo leo Bajeti...

READ MORE

Roma: Kamwe Sina Nidhamu ya Uoga

Na Ally Katalambula | UWAZI | DAR ES SALAAM Staa asiyechuja wa Hip Hop Bongo, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ amefunguka...

READ MORE

Mpoto Asikitishwa na Wanamuziki

Na Boniphace Ngumije | UWAZI | SHOW BIZ MWANAMUZIKI anayefanya vizuri katika gemu la Muziki wa Asili nchini, Mrisho Mpoto...

READ MORE

Kha! Shehe Yamkuta, Picha Zake na Mchepuko Bofya Hapa!

Stori: Mwandishi Wetu | IJUMAA WIKIENDA  | MWANZA Kamati ya Mashehe Mkoa wa Mwanza, wiki iliyopita ilimsimamisha huduma Shehe Mkuu...

READ MORE

Rais Magufuli: Wenye Vyeti vya Kugushi Watupishe – Mei Mosi (VIDEO)

  Leo ni maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani, ambapo Tanzania inaunga na nchi nyingine duniani kuadhimisha na Kitaifa maadhimisho...

READ MORE

Ray C Ataka Kujiua Mara 10

STORI: IMELDA MTEMA | IJUMAA WIKIENDA |DAR ES SALAAM MWANAMUZIKI ambaye miaka kadhaa iliyopita alipotea kwenye anga la muziki baada...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Mei 1

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 1, 2017. Ni yale ya...

READ MORE