×

Habari

TRA Yatangaza Matokeo ya Usaili wa Kuandika 2025, Yapo Hapa

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inapenda kuwataarifa wasailiwa wote waliofanya usaili wa kuandika Machi 30, 2025 katika vituo tisa vilivyokuwa...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Alivyozindua Banki Ya Ushirika Tanzania Jijini Dodoma (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Akizindua Banki ya Ushirika Tanzania Ukumbi wa Jakaya Kikwete...

READ MORE

WCF Yapongezwa Kwa Kujumuisha Wafanyakazi Wenye Mahitaji Maalumu

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete, ametembelea banda la Mfuko wa...

READ MORE

NMB Yatambuliwa Kwa Ubora Tuzo za OSHA 2025

Benki ya NMB imetunukiwa tuzo tano muhimu kutoka Wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA) katika Maadhimisho ya...

READ MORE

Kesi ya Tundu Lissu Yasogezwa Mbele, Mwanasheria Mkuu wa Chadema Azungumza

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam nikwamba Mei 6, 2025 inatarajia kutoa uamuzi wa hoja ikiwemo mapingamizi...

READ MORE

Tanzania ni Nchi Huru, Salama Hatuna Mgogoro wa Kisiasa

•Chini ya uongozi wa Rais Samia nchi imetulia DAR ES SALAAM: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka watanzania kusimama na Rais...

READ MORE

Jk Ashiriki Kutoa Mafunzo Chuo Kikuu Cha Havard Huko Boston Kwa Mawaziri Wa Nchi Zinazoendelea

Mheshimiwa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete yuko mjini Boston, Marekani, ambako anashiriki katika kutoa mafunzo kwa Mawaziri wa Fedha...

READ MORE

Nkane Afurahia Nafasi Yake Yanga Na Kufunga Bao Katika Muungano Cup

KIUNGO wa Yanga, Dennis Nkane ameweka wazi kuwa aliambiwa na kiungo mshambuliaji Maxi Nzengeli kwamba atapata nafasi kwenye mechi za...

READ MORE

Mtoni Queens na Sabasaba Queens Zafurahia Ujio wa Meridianbet

Kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet leo hii tarehe 28 imeendelea na juhudi zake za kuisaidia jamii ambapo safari hii...

READ MORE

Dkt. Biteko Amwakilisha Rais Samia Uwekwaji Wakfu Askofu Mteule Jimbo La Iringa

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko akisalimiana na Askofu wa Mafinga, Mhashamu Vincent Mwagala wakati alipowasili...

READ MORE

Saifee Yaandaa Marathon Kuongeza Uelewa Kuhusu Magonjwa ya Moyo

KATIKA jitihada madhubuti za kuhamasisha afya ya moyo na kuongeza uelewa kuhusu magoniwa ya moyo na mishipa, Hospitali ya Saifee...

READ MORE

Mwanangu Aliendelea Kufeli Shuleni Mpaka Nilipogundua Kilichokuwa Kinamzuia Kiroho

Kila mzazi anatamani kuona mtoto wake akifanikiwa shuleni. Nami sikuwa tofauti. Mwanangu, Brian, alikuwa na akili nzuri sana tangu akiwa...

READ MORE

Mwananchi wa Buchosa Atibiwa Baada ya Miaka 8 Kupitia Msaada wa Mbunge – Video

Sikiliza ushuhuda wa Mbanguji Paul kutoka Buchosa, ambaye kwa takribani miaka 8 aliteseka na tatizo la jicho. Kupitia msaada wa...

READ MORE

Maonesho ya Kitaifa ya Utamaduni na Sanaa Yanoga Mnazi Mmoja, Dar

Dar es Salaam, 27 Aprili 2025: Mfuko wa Utamaduni na Sanaa Tanzania ulio chini ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa...

READ MORE

Waziri Mkuu Aagiza Ufuatiliaji Wa Watendaji Wa Vyama Vya Ushirika

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo iimarishe na kufanya ufuatiliaji wa Watendaji wa Vyama vya Ushirika ili wazingatie...

READ MORE

Rais Samia Aweka Hadharani Barua ya Mwisho ya Papa Francis kwa Watanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Aprili 27, 2025, ameweka hadharani ujumbe wa baraka...

READ MORE

Serikali Yapambana Kudhibiti Mafuriko na Kuimarisha SGR kwa Mabwawa

Dodoma: Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Raymond Mndolwa amesema kuwa kasi ya Rais Dkt. Samia Suluhu...

READ MORE

Makamu wa Rais Mpango Ashiriki Misa Takatifu ya Dominika ya Pili ya Pasaka Nchini Italia

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ameshiriki Misa Takatifu ya Dominika ya Pili...

READ MORE

Mtoto wa Masogange Ahitimu Kidato cha Sita, Wolper Aungana na Familia Katika Mahafali – Video

Unamkumbuka mwanadada Agnes Masogange aliyetangulia mbele za haki? Huyu hapa ni mwanaye ambaye amehitimu kidato cha sita. Global TV imefika...

READ MORE

Shinda Simu Mpya Za Kisasa Na MeridianBet!

Meridianbet inazidi kuwapa wateja wake burudani ya kipekee! Sasa unayo nafasi ya kipekee yakuondoka na moja kati ya Samsung A25...

READ MORE

Miaka 61 Ya Muungano Dkt. Biteko Ahimiza Viongozi Kuacha Alama

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kuishi kwa upendo na kushirikiana kwa maslahi mapana...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Mpango Asema Njia Bora ya Kumuenzi Baba Mtakatifu Francisko ni Kudumisha Amani na Kujali Masikini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amesema namna bora ya kumuenzi aliyekuwa Kiongozi Mkuu...

READ MORE

Makonda Ahidi Kuchukua Hatua Kali kwa Viongozi Wazembe Arusha – Video

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amesema atampiga ‘spana’ kila kiongozi anayezembea jijini Arusha mpaka kazi aliyotumwa ikamilike. Makonda...

READ MORE

NMB Yadhamini Bonanza la Wiki ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi

Katika kuadhimisha Wiki ya Maonesho ya Kitaifa ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi, Benki ya NMB imedhamini na kushiriki...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Atunuku Nishani Ya Muungano Na Kuzindua Kitabu Cha Mwalimu Nyerere (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunuku Nishani ya Muungano na Kuzindua Kitabu cha Mwalimu...

READ MORE

Watu 200,000 wahudhuria mazishi ya Papa Francis

Papa Francis amezikwa rasmi katika korido ya upande wa Basilika ya Mtakatifu Maria Mkuu, kati ya Kanisa Kuu la Pauline,...

READ MORE

Ushindi Rahisi na Kasino ya Roulette| Cheza UweTajiri

Dkt Jerecki ndiye muanzilishi wa mchezo wa Roulette ambapo yeye binafsi alikuwa akifikakwenye jumba la kasino majokeri wenzake wanamkimbia kwa...

READ MORE

Majaliwa: Taifa Limepata Mafanikio Makubwa Miaka 61 Ya Muungano

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza wakati alipohutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika...

READ MORE

Mazishi ya Papa Francis Kufanyika Leo Vatican kwa Heshima Kubwa – Video

Ibada ya mazishi ya Papa Francis inafanyika leo Jumamosi katika Uwanja wa Mtakatifu Petro mjini Vatican, ambapo mamia kwa maelfu...

READ MORE

RC Halima Dendego Atoa Pongezi kwa Kuzingatia Usawa wa Kijinsia

Mkuu wa Mkoa wa Singida( RC) Mheshimiwa Halima Dendego ameisifu kampuni ya kuchimba dhahabu ya Geita Gold Mining Limited (GGML)...

READ MORE

Serikali Ya Tanzania Yaondoa Zuio La Biashara Ya Mazao Na Malawi Pamoja Na Afrika Kusini

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza kuondoa rasmi zuio la muda la biashara na usafirishaji wa mazao ya...

READ MORE

Camerlengo Farrell Aongoza Ibada Ya Kufunika Mwili Wa Papa Francisko, Kuzikwa Leo -Live Update Video

Aprili 25, 2025 Camerlengo, Kardinali Kevin Joseph Farrell, Askofu Mkuu Diego Ravelli waliongoza Ibada ya kufunika mwili wa Baba Mtakatifu...

READ MORE

Balozi Nchimbi Apiga Marufuku Wimbo Unaochochea Chuki Dhidi Ya Wapinzani

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Emmanuel John Nchimbi amepiga marufuku wimbo unaobeza na kuchochea chuki dhidi ya...

READ MORE

Rais Samia: Falsafa ya 4R Si Kisingizio cha Kuvunja Sheria – Video

Akihutubia Taifa, Rais Samia Suluhu amesema Kamwe falsafa ya 4R haiwezi kuwa kisingizio cha kuvunja Sheria au cha kujenga mazingira...

READ MORE

Watanzania na Wanajumuiya ya Afrika Mashariki Wahimizwa Kudumisha Amani

Dar es Salaam 24 Aprili 2025: Watanzania na Wanajumuiya ya Afrika Mashariki wametakiwa kuendelea kudumisha amani na hasa kipindi hiki...

READ MORE

Rais Dkt Samia Ahutubia Taifa Kuelekea Miaka 61 Ya Muungano – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.. Samia Suluhu Hassan Akihutubia Taifa Kuelekea Miaka 61 ya Muungano Ikulu Chamwino-Dodoma,...

READ MORE

Makamu Wa Rais Dkt. Mpango Alivyowasili Roma Kumwakilisha Rais Samia Katika Mazishi Ya Papa Francisko

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo amempokea Makama wa Rais wa Jamhuri...

READ MORE

Rais Samia Aidhinisha Bilioni 30 Kukarabati Barabara Zilizoathiriwa Na Mvua

Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imepanga kutumia kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni 30 kwa ajili ya ukarabati wa...

READ MORE

BRELA Yapongezwa kwa Matumizi ya Mifumo ya Kidigitali Iliyoboreshwa

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera, ameipongeza Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni...

READ MORE

Maonesho ya  Kitaifa ya Kazi za Utamaduni na Sanaa Mwaka 2025 Yalivyofunguliwa

Ufunguzi wa Maonesho ya Kitaifa ya Kazi za Utamaduni na Sanaa ya mwaka 2025 umefanyika leo, Aprili, 25,2025 jijini Dar-es-Salaam...

READ MORE