×

Habari

Jumuiya Za Kiislamu Zanzibar Zapinga Uchaguzi Kurudiwa

TAMKO LA JUMUIYA YA MAIMAMU ZANZIBAR (JUMAZA) KWA KUSHIRIKIANA NA TAASISI ZA KIISLAM ZANZIBAR KWA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU MGOGORO...

READ MORE

Simba Avamia Kijiji… Awaua Baba na Mtoto

Simba huyo baada ya kuuawa. Mnyama Simba amevamia Kijiji cha Sitalike Tarafa ya Nsimbo Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi...

READ MORE

MV Serengeti yapata hitilafu, yachelewa kufika Bukoba

Meli ya MV Serengeti leo imekwama kufika Bukoba kutokana na kupata hitilafu katika propera zake, na inadaiwa kuwa ilipita eneo...

READ MORE

Lwakatare ateuliwa kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu Mabasi ya DRT

Mabasi yendayo haraka Dar.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. George Simbachawene....

READ MORE

Mwigulu amfukuza kazi mkuu wa mnada wa mifugo wa Pugu

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mwigulu Nchemba akizungumza na viongozi wa machinjio ya Vingunguti – Dar mara baada...

READ MORE

Somalia yapiga marufuku Krismasi

Wapiganaji wa Kundi la Al Shabaab. Serikali ya Somalia imepiga marufuku sherehe za kuadhimisha Sikukuu ya Krismasi katika mji mkuu...

READ MORE

KADCO yaokoa zaidi ya bilioni 2 Uwanja wa Ndege wa KIA ndani ya wiki 1

Kaimu Mkurugenzi wa KADCO ,Bakari Murusuri |(Katikati) kushoto kwake ni mkurugenzi wa shughuli mama za kiwanja na huduma KADCO,Christopher  Mukoma...

READ MORE

Kliniki ya afya ya mapenzi Mwanza yaungua moto

Moto mkali ukiunguza Ofisi za Kliniki ya afya ya mapenzi iliyopo jijini Mwanza leo. Ofisi hizo zikizidi kuungua kwa moto....

READ MORE

Frank Lampard afunga ndoa London

Frank Lampard akimbusu mke wake Christine Bleakley baada ya kufunga ndoa jana Jumapili London. Christine Bleakley akiwapungia mkono marafiki zake...

READ MORE

Ndege ya Ufaransa yatua kwa dharura Mombasa kuhofia bomu

Ndege kubwa ya abiria, Boeing 777 AF463, mali ya Shirika la Ndege la Ufaransa (Air France) ikiwa katika uwanja wa...

READ MORE

Ajali ya basi yaua 12 na kujeruhi 22 Iringa

Taswira kutoka eneo la ajali. WATU 12 wamepoteza maisha huku wengine 28 wakijeruhiwa leo baada ya basi la New Force...

READ MORE

Mwili wa Dotto Mzava wa JF wasafirishwa kwenda Same kwa mazishi

Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mwandishi wa Habari wa Jamii Forum, Dotto Mzava likishushwa kwenye gari maalum mara baada ya...

READ MORE

Wateja wa NMB sasa kupata mikopo ndani ya siku nne

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu mfumo wa kisasa wa utunzaji...

READ MORE

Nyumba zilizopo kwenye Bonde la Mkwajuni, Dar zabomolewa

Bomoabomoa katika Bonde la Mkwajuni, Dar leo. Wakazi waishio katika Bonde la Mkwajuni leo wamebomolewa nyumba zao ikiwa ni mwendelezo wa...

READ MORE

Rais Magufuli atengua uteuzi wa Dk. Hosea

Dk. Edward Hosea. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia...

READ MORE

Wasanii wakongwe wa filamu wamtaka Mwakifwamba  aendelee  kuwa rais wao

Kutoka kushoto ni wasanii wakongwe wa kuigiza, Ramadhan Mrisho ‘Mashaka’, Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’ na Salome Sokoni ‘Mama Abdul’. Msanii...

READ MORE

Meli ya MV Royal yawaka moto Bahari ya Hindi

Vikosi vya uokoaji vikizima mato uliozuka katika Meli ya MV Royal leo. Abiria wakitolewa katika Meli ya MV Royal na kuwekwa...

READ MORE

Mwanafunzi UDSM auawa kwa risasi

Mwanafunzi wa UDSM, Mutaengerwa Mafwiri enzi za uhai wake. Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mutaengerwa Mafwiri...

READ MORE

RED Selfie

Kila wiki washindi wawili wanajishindia #SamsungJ2 kupitia @Opera na @VodacomTanzania  #REDSelfie  

READ MORE

Majambazi wajeruhi, waiba pesa na kutimua

Damu zikiwa zimetapaa eneo la tukio. Na Nyemo Chilongani / GPL WATU wanaokisiwa kuwa ni majambazi wamewavamia watu wanne waliokuwa...

READ MORE

Waziri Mwigulu atua Mvomero kutatua mgogoro wa ardhi

Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji, Mwigulu Nchemba akiongea na wananchi wa Mvomero.   Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji,...

READ MORE

Omary Kigoda ndiye Mbunge Mteule wa Handeni Mjini

Omary Abdallah Kigoda. Mgombea Ubunge wa Jimbo la Handeni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Omary Abdallah Kigoda ameibuka mshindi kwa...

READ MORE

Wapiga kura wasuasua Handeni na Arusha Mjini leo

Mkazi wa Arusha Mjini akipiga kura kumchagua mbunge wake leo. UCHAGUZI wa Ubunge kwa majimbo ya Handeni na Arusha Mjini uliopangwa...

READ MORE

Kiboko Plastics yazindua Promosheni kubwa kwa wateja wake

Kiboko Plastics wakizindua promosheni yao leo jijini Dar es Salaam. Wakazi wa Jiji la Dar wakifuatilia promosheni hiyo. Promosheni ikiendelea...

READ MORE

Mwanamke wa kwanza achaguliwa Saudi Arabia

Mmoja wa wanawake Saudi Arabia akipiga kura. Wananchi wa Saudi Arabia wameweka historia kwa kumchagua mwanamke wa kwanza kuwa mwakilishi...

READ MORE

Home Shopping Centre yakanusha kukwepa kodi, upotevu wa makontena

Baada ya kusambaa kwa taarifa kwenye mitandao zikieleza kuwa kampuni ya Home Shopping Centre imefunga maduka yake kutokana na kukwepa...

READ MORE

Paul Makonda azindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba kutoka Global

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati) akizindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers...

READ MORE

Rais Magufuli atangaza baraza lake la mawaziri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akitangaza baraza lake la mawaziri Ikulu jijini Dar...

READ MORE

Mwandishi Mwandamizi wa Global Publishers Haruni Sanchawa afariki dunia

Haruni Sanchawa enzi za uhai wake. Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Global Publishers LTD, wachapishaji wa magazeti ya Ijumaa, Uwazi,...

READ MORE

Jussa akanusha taarifa za uvumi wa kifo cha Maalim Seif

Ismail Jussa akikanusha taarifa za uvumi kuhusu Maalim Seif. Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa Chama Cha Wananchi (CUF),...

READ MORE

Makamu wa Rais aongoza usafi Kinondoni

Makamu wa Rais, Samia Suluhu (kulia) akifafanuliwa jambo na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Akiweka takataka kwenye toroli....

READ MORE

Majambazi yaiba na kuua Chanika

Watu wanaodaiwa kuwa majambazi jana wamevamia na kupora fedha katika benki za CRDB na DCB zilizopo eneo la Chanika jijini...

READ MORE

Chagonja ateuliwa kuwa Kamishna Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

Kamishna mpya wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Paul Chagonja. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe...

READ MORE

Efm, DTB kutekeleza agizo la Rais Magufuli Desemba 9

Meneja Mawasiliano na Mahusiano wa Efm Radio, Denis Ssebo akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Efm radio kwa kushirikiana na Benki...

READ MORE

Tanesco yawafukuza kazi wafanyakazi 7 kwa ubadhilifu

Uongozi wa shirika la umeme nchini Tanesco umewafukuza kazi wafanyakazi saba waandamizi wa shirika hilo wakiwemo mameneja kutokana na makosa...

READ MORE

Ajali ya treni na basi yaua 18 Indonesia

Takribani watu 18 wamepoteza maisha huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya treni ya abiria kugongana na basi huko Jakarta nchini...

READ MORE