×

Habari

Balozi Dkt Nchimbi : Tuna Mtaji wa Imani ya Watanzania

-Azindua kampeni Mwanza akitamba na takwimu za kura za uhakika -Awasihi wanaCCM kila mmoja kutafuta kura 10 kwa ajili ya...

READ MORE

NBC Yatambulisha Kampeni ya Kilimo Mahususi Kwa Wakulima na Wafugaji Mbeya

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC), imetambulisha kampeni yake ya ‘Shinda Mechi Zako Kinamna Yako na NBC Shambani’ kwa wakulima...

READ MORE

Elimu Kuhusu Utapeli Mtandaoni Yatolewa na Vodacom

Dar es Salaam, 20 Novemba 2024:Kampuniya Vodacom Tanzania Plc imetembelea soko la Makumbusho jijini Dar es Salaam kutoa elimu na...

READ MORE

Wananchi Wazidi Kunufaika na Magift ya Kugift, 7 Waondoka na Zawadi Mbalimbali Leo

Dar es Salaam 22 Novemba 2024: Kampuni ya mtandao wa simu ya Tigo, leo imewakabidhi wananchi zawadi ya simu janja...

READ MORE

Meridianbet Yafika Kimara Dar Na Kutoa Msaada Wa Vifaa Vya Mazoezi

Kama ilivyo kawaida yao leo Meridianbet wameendelea palepale walipoishia, Ambapo leo wamefika Kimara Mwisho jijini Dar-es-salaam na kutoa msaada wa...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Atembelea Eneo Lilotokea Ajali Ya Kariakoo Jijini Dar (Video + Picha)

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Novemba 20, 2024 amefika Kariakoo Jijini Dar...

READ MORE

Dkt.Nchimbi Awasili Furahisha Uzinduzi wa Kampeni Serikali za Mitaa Mwanza

  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, akiwasili leo tarehe 20 Novemba 2024 katika Viwanja...

READ MORE

CPA Makalla Afungua Kampeni za Serikali za Mitaa Dar

Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Cahama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa CPA Amos Makalla na Mlezi wa CCM...

READ MORE

mama wa beyonce amkingia kifua mwanaye sakata la pesa za kampeni

Tina Knowles(70), mama mzazi wa Msanii Beyonce Knowles ameibuka na kumkingia kifua mwanaye, baada ya tuhuma za kuwa msanii huyo...

READ MORE

namna nilivyoweza kupata kazi baada ya kusota sana!

Nilijitahidi mno kutia bidii katika masomo tangia nipo shule ya msingi ili niweze kujiunga na shule ya upili ya ndoto...

READ MORE

Mwanariadha Wa Jeshi La Polisi Ang’ara Nchini Uingereza, Avunja Rekodi

Mwanariadha wa Jeshi la Polisi Konstebo Transfora Mussa ameibuka mshindi wa kwanza kwa upande wa wanawake kupitia mbio za kilometa...

READ MORE

Shimo Lililotumika Kuwaokoa Watu Kariakoo, Msemaji wa Serikali Afunguka! – Video

Mkurugenzi wa Idara ya Habari – Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Thobias Makoba akionyesha baadhi ya njia ambazo hutumika...

READ MORE

Rais Dkt. Mwinyi Awasili Zimbabwe Kushiriki Mkutano Wa Dharura Wa Wakuu Wa Nchi Na Serikali Wa SADC

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ally Mwinyi amewasili Jijini Harare, Zimbabwe Novemba 19, 2024 kumwakilisha...

READ MORE

Watoto Wenye Uhitaji Maalum Kituo cha Raya Islamic Wapatiwa Msaada

Kampuni ya mawasiliano, Tigo kupitia ofisi yake ya wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro, imetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa kituo...

READ MORE

Niffer Na Diva Wamekamtwa Na Polisi Dar, Afande Muliro Atoa Taarifa – Video

Jeshi la polisi jijini limethibisha kuwakamata watuhumiwa wawili Diva Gissele Malinzi (Diva the Bawse) pamoja na Jenifer Bilikwija (Niffer) kufuatia...

READ MORE

Simbachawene Aziagiza Taasisi za Umma kuhakikisha Zinatekeleza Sheria ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi

  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene, ameziagiza taasisi...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Aongeza Muda Wa Uokoaji Kariakoo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuelekeza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuongeza saa 24 za...

READ MORE

Kanisa Katoliki wakataa mchango wa Ruto, waonya dhidi ya kupiga siasa kanisani

Baraza la Maaskofu wa Katoliki Kenya (KCCB) limekataa mchango wa Shilingi za Kenya milioni 5.6 (takriban Shilingi za Kitanzania milioni...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Novemba 19, 2024

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Majaliwa: Nawashukuru Wadau Walioiunga Mkono Serikali Kuokoa Wahanga Kariakoo

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameungana na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwashukuru wadau wote...

READ MORE

Ubunifu wa Kipekee Ndani ya Lite Your Imagination

Ulikuwa usiku wa kipekee na wa kihistoria kwa wadau wa masoko, ubunifu na ulimwengu wa filamu ukiongozwa na star wa...

READ MORE

Watalii Sasa Warahisishiwa Usafiri wa Moja kwa Moja Kutoka Paris Mpaka Mkoa wa Kilimanjaro

Safari ya Paris-Kilimanjaro itafanyika mara tatu kwa wiki, ikiwa na safari za kurejea siku tofauti, kupitia Zanzibar. Njia hii itahudumiwa...

READ MORE

Benki ya Stanbic Yatoa Tsh Mil 80 Kusaidia Matibabu ya Kuokoa Maisha ya Watoto Wenye Matatizo

Stanbic Bank yatoa TZS milioni 80 kwa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) na Heart Team Africa Foundation kusaidia...

READ MORE

Mkuu wa Kamandi ya Vikosi Chini ya Makao Makuu, Avishauri Vyombo vya Ulinzi na Usalama

Mkuu wa Kamandi ya vikosi chini ya Makao Makuu, Meja Jenerali Iddi Said Nkambi amevishauri Vyombo vya Ulinzi na Usalama,...

READ MORE

Serikali Kuwachukulia Hatua Kali Wanaojihusisha na Utoroshaji Madini – Dk Kiruswa

Naibu Waziri wa Madini Dk. Steven Kiruswa amesema Serikali haitosita kuwachukulia hatua kali Wachimbaji wote na wafanyabiashara wa madini ambao...

READ MORE

Waziri Mkuu Aagiza Jeshi la Polisi Kumkamata Niffer Kuchangisha Michango ya maafa ya Kariakoo kinyume na taratibu

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameliagiza Jeshi la Polisi nchini kumkamata mfanyabiashara maarufu nchini Niffer...

READ MORE

Mwili wa Mwanamuziki King Kikii Waagwa Viwanja vya Leaders, Kinondoni Dar – Video

Mwili wa mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini Boniface Kikumbi Mwanza Mpango maarufu kwa jina la King Kikii unaagwa...

READ MORE

Msemaji wa Hezbollah Auawa katika shambulizi la Israel mjini Beirut

Msemaji wa Hezbollah, Mohammed Afif ameuawa katika shambulizi la Israel mjini Beirut amethibitishwa na mkuu wa wanajeshi wa Lebanon. Shambulio...

READ MORE

Karikoo: Waziri Mkuu kuongoza kutoa heshima za mwisho kwa waliofariki Mnazi Mmoja, Dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amesema kuwa miili 13 ya waliothibishwa na Rais wa Jamhuri ya...

READ MORE

RC Makonda Awaombea Kheri Manusura Ajali Ya Kuporomoka Ghorofa Kariakoo

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda, ameongoza maelfu ya wakazi wa Mkoa wa huo kuwaombea Kheri manusura wa...

READ MORE

Rais Samia Kuhusu Kariakoo ”13 Wafariki Dunia, 80 Wameokolewa” – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na Wananchi kufuatia kuporomoka kwa ghorofa Kariakoo Jijini...

READ MORE

Ghorofa Lililoporomoka Kariakoo Juhudi  za Uokoji Bado Zinaendelea Muda Huu…

Kufuatia tukio baya la kuanguka kwa jengo la ghorofa Mtaa wa Kongo na Mchikichi jijini Dar jana na kuua na...

READ MORE

Mchengerwa: Rufaa 5,589 Za Wagombea Zimekubaliwa uchaguzi wa serikali za mitaa – Video

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,  Mohamed Mchengerwa amesema kati ya rufaa...

READ MORE

Rais Samia Alivyowasili Katika Uwanja wa Ndege wa Galeão Air Force Base, Rio de Janeiro nchini Brazil

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan awasili katika uwanja wa ndege wa Galeão Air Force...

READ MORE

Waziri Mkuu Awajulia Hali Majeruhi 40 Muhimbili, 35 Waruhusiwa Kwenda Nyumbani

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Kassim amewatembelea majeruhi 40 wa ajali ya ghorofa lililoporomoka huko...

READ MORE

Rais Dkt.Samia Atoa Maagizo Ghorofa Kuporomoka Kariakoo – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan ameeleza kupokea kwa masikitiko taarifa za ajali ya kuporomoka kwa...

READ MORE

rais samia asafiri kwenda brazil

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini leo Novemba 16 kuelekea Rio de Janeiro,...

READ MORE

Mfanyakazi wa zamani wa VOA ajiua Iran

Idhaa ya Uajemi ya Sauti ya Amerika Alhamisi imeelezea kushtushwa na pia kuomboleza kufuatia kujiua kwa mmoja wa wafanyakazi wao...

READ MORE

Waziri Mkuu Alivyoongoza Mazishi Ya Marehemu Lawrence Mafuru (Picha +Video)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Novemba 15, 2024 ameungana na ndugu, jamaa, marafiki na viongozi wengine wa Serikali katika mazishi ya...

READ MORE

Dk Mpango Aikabidhi ALAF Tuzo ya PMAYA na Uwekezaji Katika Ubora

Uongozi wa kampuni ya ALAF Limited umesema kuwa mafanikio yake ya hivi majuzi katika Tuzo za Rais za mzalishaji Bora...

READ MORE