×

Habari

CMSA Yampongeza Rais Samia Kwa Kuweka Mazingira Mazuri Kwenye Masoko ya Mitaji

MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imesema katika kipindi cha miaka mitatu ya Serikali ya Awamu ya Sita,...

READ MORE

Waziri Mchengerwa atangaza matokeo ya jumla Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 – Video

  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa ametangaza matokeo ya...

READ MORE

CCM Yashinda 90.01% Ya Wenyeviti Wa Vijiji

Katika maeneo yaliyofanya uchaguzi terehe 27 Novemba, 2024 kwa nafasi ya Mwenyekiti wa Kijiji ni 12,271 kati ya nafasi 12,280...

READ MORE

Wananchi 26,963,182 Wapiga Kura Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa, 2024

Zoezi la uandikishaji wa wapiga kura lilifanyika kuanzia tarehe 11 mpaka 20 Oktoba, 2024 ambapo jumla ya wapiga kura 31,282,331...

READ MORE

Wafanyabiashara, Wajasiriamali Watakiwa Kupenda Wanachokifanya Kutafuta Fursa Katika Mitandao ya Kijamii

WAFANYABIASHARA na wajasiriamali nchini wametakiwa kupenda kile wanachokifanya ili kuhakikisha wanazalisha bidhaa zenye ubora, wanakuza mitaji pamoja na kupambana na...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Sherehe Za Kamisheni Na Mahafali Kwa Maafisa Wanafunzi Monduli, Arusha (Picha + Video)

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki Sherehe za Kamisheni na Mahafali kwa Maafisa...

READ MORE

SBL Yapaisha Viwango vya Sekta ya Ukarimu Tanzania Kufikia Viwango vya Kimataifa

Wanafunzi wanaosomea fani ya ukarimu katika Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) sasa watapata mafunzo ya ziada ya miezi mitatu...

READ MORE

Polisi Watoa Taarifa Mgombea Wa Chadema Aliyefariki Baada Ya Kupiga Kura – Video

Jeshi la Polisi Tanzania limetoa ufafanuzi kuhusu taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kifo cha Ndg Modestus G Timbisimilwa...

READ MORE

Trump Amteua Keith Kellog kuwa mjumbe maalum kwa ajili ya Russia na Ukraine

Rais mteule wa Marekani Donald Trump amesema Jumatano kwamba atamteua Luteni Jenerali mstaafu wa jeshi Keith Kellog kuwa msaidizi wake...

READ MORE

Rais Samia Aanza Ziara Mkoani Arusha, Apokelewa Na Magari Ya Utalii Zaidi Ya 500 (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amewapongeza wakazi wa Mkoa wa Arusha wakiwemo Viongozi wa...

READ MORE

Mwachuo wa Ardhi Dar, Aibuka Kidedea na Mil 5 ya Magift ya Kugift, Wengine 6 Nao Waula

Dar es Salaam 29 Novemba 2024: Kampuni ya mtandao wa Mawasiliano ya YAS, ikishirikiana  na kitengo cha Mixx by Yas,...

READ MORE

Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania Apiga Kura Huko Korogwe

Shekh na Mufti Mkuu wa Tanzania Dkt Abubakar Zuber  ametekeleza haki yake ya msingi  kupiga kura katika Mtaa wa Mndolwa...

READ MORE

DC Bulembo Ashiriki Kwenye Zoezi la Elimu ya Kuhifadhi Mazingira Kigamboni

Dar es Salaam, 20 Novemba 2024: Benki ya Stanbic Tanzania,  imedhihirisha dhamira yake ya kuongeza maendeleo ya jamii kwa kutoa...

READ MORE

Waziri Slaa, Alivyoweka Wazi Mikakati ya Kuboresha Sekta ya Habari

Dar es Salaam: Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Slaa, ameweka wazi mikakati yake ya kuboresha sekta...

READ MORE

RC Chalamila Atimiza Haki Yake ya Msingi ya Kikatiba Kupiga Kura

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ametimiza haki yake ya msingi ya Kikatiba baada ya kukamilisha...

READ MORE

Rais Samia Kuanza Ziara Ya Kikazi Mkoani Arusha leo Novemba 27, 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuanza ziara ya Kikazi Mkoani Arusha Novemba 27,...

READ MORE

Rais Samia Apiga Kura Chamwino, Asimama Kwenye Foleni Na Wananchi Wengine – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amepiga kura kwa ajili ya kuchagua viongozi kwenye Uchaguzi...

READ MORE

Mkurugenzi Mkuu WHO Atoa Pole kifo cha Dkt Faustine Ndugulile

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Ghebreyesus ametuma salamu za pole Tanzania kufuatia kifo cha mkurugenzi mteule...

READ MORE

Katibu wa NEC Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Rabia Apiga Kura

Katibu wa NEC Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndg. Rabia Abdalla Hamid amewasili mtaa wa Masaki, Wilaya ya...

READ MORE

CPA Makalla Ashiriki Katika Kupiga Kura, Afurahishwa na Hali ya Utulivu Uchauzi Serikali za Mitaa

KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi CCM Itikadi, Uenezi na Mafunzo CPA Amoss Makalla ameshiriki kikamilifu kupiga...

READ MORE

MultiChoice, Vodacom Tanzania Wazindua Showmax Tanzania

MultiChoice Tanzania imetangaza ushirikiano na Vodacom Tanzania PLC, kampuni inayoongoza katika mawasiliano ya simu nchini, kwa ajili ya kuzindua Showmax...

READ MORE

Naibu Waziri Mkuu Dkt. Doto Biteko Apiga Kura Bukombe Geita

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ametimiza haki yake ya Kikatiba katika Kata ya Bulangwa, Wilayani...

READ MORE

RC Makonda Ashiriki Uchaguzi Serikali Za Mitaa, Aomba Wananchi Kujitokeza Kwa Wingi

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda leo Jumatano Novemba 27, 2024 ameungana na Watanzania wengine kushiriki kwenye uchaguzi...

READ MORE

Rais Samia Atuma Salamu za Pole Kifo Cha Ndugulile

Kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni, Faustine Ndugulile, Rais Samia Suluhu Hassan kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii,...

READ MORE

Vyama vya upinzani vya Afrika Kusini vyataka kesi dhidi ya Ramaphosa ifufuliwe

Vyama viwili vya upinzani vya Afrika Kusini Jumanne vimeomba Mahakama ya Juu ifufue kesi ya kutokuwa na imani na Rais...

READ MORE

Tigo Yabadili Jina na Sasa Inaitwa Yas

Honora Tanzania Public Limited (“Tigo”) na Honora Tanzania Mobile Solutions Limited (“Tigo Pesa”), ambazo ni sehemu ya kampuni ya AXIAN...

READ MORE

Mbunge wa Kigamboni, Dkt. Faustine Ndugulile Afariki nchini India

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, ametangaza kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni, Dkt....

READ MORE

Meridianbet Yafanikiwa Kuinua Wenye Uhitaji Tandale

Nani mwingine kama sio Meridianbet ambapo Novemba 26, 2024 wameendelea kuonesha namna wanathamini uwepo wa jamii inayowazunguka, Kwani wamefanikiwa kutoa...

READ MORE

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Zanzibar Awataka Vijana Kuwa Wabunifu Kuendana na Sera za Uwekezaji

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Sharif Ali Sharif amewataka vijana wa Kitanzania kubuni miradi...

READ MORE

Wana CCM Wote Kesho Tuungane na Dkt. Samia Kwenda Kupiga Kura-CPA Makalla

“Kampeni tulizozifanya katika siku zote 6 na mimi sijapumzika nimefanya kampeni katika majimbo nane ya Uchaguzi wa Jiji la Dar...

READ MORE

Balozi Nchimbi Ahitimisha Kampeni Akihamasisha Watanzania Kujitokeza Kupiga Kura

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Emmanuel John Nchimbi, amehitimisha kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa za...

READ MORE

Jamaa Akabidhiwa Subaru Forester Mpyaa Baada ya Kuibuka Mshindi na ‘Spend & Win’

Mshindi wa kwanza wa kampeni ya Tumia na Ushinde ‘Spend & Win’ ya Benki ya Absa Tanzania, Bw. Rashidi Saidi...

READ MORE

Makamu wa Rais Awahamasisha wananchi kujitokeza kushiriki zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amewahamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi katika kushiriki zoezi...

READ MORE

Yanga Yashindwa Kutamba kwa Mkapa, Yakubali Kipigo cha Mabao 2-0 kutoka kwa Al Hilal

Klabu ya soka ya Yanga imekubali kichapo cha mabao 0-2 kutoka Kwa Al Hilal ya nchini Sudan, katika mchezo wa...

READ MORE

Nmb Yatoa Msaada wa Vifaa Vya Sh. Mil 23 Katika Shule 3 za Mufindi

Benki ya NMB imetoa msaada wa mabati 150 na madawati 150 kwa shule za msingi KASANGA, KISASA na SAWALA zilizopo...

READ MORE

Balozi Nchimbi Awasili Kufunga Kampeni za Serikali za Mitaa Dar es Salaam

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, leo tarehe 26 Novemba 2024, akiwasili katika Viwanja...

READ MORE

Dkt. Abbasi Akutana na Rais Tuzo za Utalii za Dunia, Tanzania Kuandaa za Afrika 2025

Siku moja baada ya Tanzania kutwaa Tuzo ya Dunia ya Sehemu Maridhawa Zaidi kwa Utalii wa Safari 2024 (World’s Leading...

READ MORE

Trump Aondolewa Mashitaka Yaliokuwa Yakimkabili Mahakamani

 Rais mteule wa Marekani Donald Trump ameondolewa mashitaka yaliyokuwa yakimkabili, wakati akielekea kuapishwa kama rais wa 47 wa Marekani...

READ MORE

Mwenyekiti wa Chadema Kilimanjaro Akamatwa na Polisi Tuhuma za Kupanga Vurugu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Gervas Eliewaha Mgonja, (42), Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa...

READ MORE

Mkurugenzi Mtendaji Absa Bank Tanzania Aibuka Kidedea Tuzo za Watendaji Wakuu Bora 100

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Obedi Laiser, ameibuka kidedea kwa kutwaa tuzo ya mshindi wa pili katika kipengele...

READ MORE