×

Habari

Waandaaji Kili Marathon Washauri Washiriki Kutumia Fursa ya Muda wa Punguzo

Waandaaji wa mbio za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon 2024 wamewakumbusha washiriki kuwa wamebakiza siku chache tu ambazo ni chini...

READ MORE

Rais Samia Aumizwa Mauaji ya Kibiki, Simanzi Yatanda Mazishi Yake

Nchimbi: matukio ya kutia hofu na shaka, hayakubaliki MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano...

READ MORE

5 Hot Strike Kukupa Mamilioni leo

Mchezo wa Kasino unaobamba kwasasa mjini wa 5 Hot Strike umeendelea kua mchongo kwa wachezaji wa kasino, Kwani kadri siku...

READ MORE

TAKUKURU Kagera watoa onyo kwa wagombea uchaguzi serikali za mitaa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa – TAKUKURU mkoa wa Kagera imewataka wagombea wa nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa...

READ MORE

Balozi Nchimbi Kuongoza Waombolezaji Mazishi ya Kibiki

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi anatarajiwa kuongoza waombolezaji katika shughuli ya kutoa heshima...

READ MORE

Rais Samia Kushiriki Mkutano wa G20 Rio de Janeiro Nchini Brazil

Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi nchini Brazil kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi...

READ MORE

Dkt. Grace: Zingatieni Weledi Katika Kuripoti Habari Za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

NAIBU Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikaliza Mitaa, Dk. Grace Magembe ametoa amewataka Waandishi wa habari...

READ MORE

King Kikii wa ‘Kitambaa cheupe’ Afariki dunia

Mwanamuziki Mkongwe Boniface Kikumbi Mwanza Mpango ‘King Kikii’ amefariki dunia. Mwanamuziki huyo ambaye ameugua kwa muda mrefu, amefariki usiku wa...

READ MORE

JK Katika Shughuli Ya Kuaga Mwili Wa Marehemu Lawrence Mafuru

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akitoa mkono wa pole kwa wafiwa wakati...

READ MORE

Watoto wa Sinza Maalum Wakumbukwa kwa Misaada Mbalimbali

Dar es Salaam, 16 Novemba 2024: Kampuni ya mtandao wa simu ya Tigo Tanzania katika kuelekea kufunga mwaka, wametoa msaada...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Waombolezaji Kuaga mwili wa Marehemu Lawrence Mafuru (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza Waombolezaji kuaga mwili wa aliyekuwa Katibu Mtendaji wa...

READ MORE

Waziri Mchengerwa Aahidi Uchaguzi Wa Haki Na Uwazi Katika Serikali Za Mitaa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa ameeleza kuwa, Uchaguzi wa Serikali...

READ MORE

Kamati ya Bunge Yampa Kongole Rais Samia Sekta ya Nyuki

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imehitimisha ziara ya kukagua miradi katika sekta ndogo ya ufugaji...

READ MORE

Waziri Aweso Afungua Mkutano wa Wakurugenzi na Maafisa wa Utawala Sekta ya Maji

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amefungua Mkutano wa wakurugenzi na maafisa wa Utawala na Rasilimali watu, Maendeleo ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Afanya Mazungumzo Na Dkt. Mehmet

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Novemba 13, 2024 amefanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki ambaye anamaliza muda wake Nchini Tanzania...

READ MORE

Rais mteule wa Marekani atembelea White House, akutana na Biden

Rais-mteule wa Marekani, Donald Trump Jumatano alikwenda White House kwa mara ya kwanza baada ya miaka minne kukutana na Rais...

READ MORE

Ujenzi Wa Madaraja Ya Mawe Chini Ya Tarura Waokoa Bil. 52

Takribani Bil. 52 zimeokolewa na serikali kupitia Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini TARURA katika ujenzi wa madaraja ya...

READ MORE

Polisi: Vijana Walikuwa 3 Wakampiga Risasi Kifuani, Walitoroka Hawakuchukua Chochote – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limesema kuwa linachunguza tukio la mauaji ya Christina Nimrod Nindi (56) Mngoni, Katibu wa...

READ MORE

Tigo Yazindua Mjasiriamali Box 2.0 Kuwawezesha Wajasiriamali wa Kitanzania

Dar es Salaam, 14 Novemba 2024 – Tigo Tanzania kupitia kitengo chake cha Tigo Business leo imetangaza uzinduzi wa toleo...

READ MORE

Wananchi Waanza Kunufaika na Magift ya Kugift, Jamaa Aondoka na Mil. 5

Wateja wa Kampuni ya mtandao wa simu ya Tigo waliojishindia zawadi mbalimbali kwenye droo ya kwanza ya kampeni mpya ya...

READ MORE

Makamu Wa Rais Afungua Mkutano wa Nishati Safi ya Kupikia COP 29-Azerbaijan

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema dhamira imara ya kisiasa katika ngazi...

READ MORE

Waziri Ridhiwan Kikwete, Kamati ya Bunge Ustawi wa Jamii Watembelea Viwanda Dar na Pwani

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii yapongeza Viwanda vya Elsewedy Electricity na Knauf kwa Utekelezaji...

READ MORE

Waziri Aweso Awatunuku Shahada Mbalimbali Wahitimu Chuo Cha Maji

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amewatunuku shahada mbalimbali wahitimu 684  wa chuo cha Maji ambapo katika hotuba yake...

READ MORE

Katibu wa CCM Wilaya ya Kilolo Auawa Kwa Kupigwa Risasi

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kupokea kwa mstuko mkubwa taarifa za kifo cha Katibu wa CCM Wilaya ya Kilolo Mkoa...

READ MORE

Waziri Mchengerwa: Serikali inavithamini sana vyombo vya habari

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mikoa (OR-TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amesema, Serikali ya Awamu...

READ MORE

Marco Rubio kuteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Rais mteule wa Marekani Donald Trump, kwa haraka anajaza utawala wake mpya na maafisa wa Repablikan, ambao wamekuwa waaminifu zaidi...

READ MORE

Jokate Achaguliwa kuwa Mratibu wa Vijana katika Shirika la Kimataifa la WAFA

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Jokate Mwegelo amechaguliwa kuwa Mratibu wa Vijana katika Shirika...

READ MORE

Polisi Kuwakamata Waliokuwa Wakijaribu Kumkamata Deogratius Tarimo, Pwani

Jeshi la Polisi kupitia Msemaji wake, David A. Misime – DCP linachunguza picha mjongeo inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionesha...

READ MORE

Waziri Mkuu Kufungua Mkutano wa Tano wa Maendeleo ya Biashara na Uchumi

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, anatarajiwa kufungua mkutano wa Tano wa Biashara na Maendeleo ya Kiuchumi (BEDC) 2024) ambao umeandaliwa na...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Rais wa Zanzibar na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF) Ikulu, Zanzibar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 12 Novemba, 2024  amefanya mazungumzo na Rais...

READ MORE

Rais Mstaafu Kikwete Akutana Na Makamu Wa Rais Wa Benki Ya Dunia Marekani

Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia masuala ya Elimu Duniani (GPE), Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo...

READ MORE

Mchakato wa Uchanguzi Serikali za Mitaa, Dkt. Nchimbi Afunguka haya..

Chama cha Mapinduzi (CCM), kimetoa maombi kwa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) kuyapuuza makosa...

READ MORE

CHEKA TU: LEONBET EDITION yasimamisha jiji kwa burudani ya kibabe

Mashabiki wakubashiri wa kampuni inayotamba ya LEONBET Tanzania walipata burudani ya kisasa ya kuvunja mbavu na wachekeshaji maarufu nchini kwenye...

READ MORE

Sita Wakamatwa Kwa Kuhujumu Miundombinu ya SGR

Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watuhumiwa wawili, Said Sempinga (39) na Michael Robert (44) wote wakazi wa Kilosa...

READ MORE

Trump amteuwa Thomas Homan kuwa mkuu wa uhamiaji Marekani

Rais mteule wa Marekani Donald Trump amemteua Thomas Homan, ambaye alikuwa kaimu mkuu wa uhamiaji kwenye muhula wake wa kwanza,...

READ MORE

Kwa njia hii unaweza kuongeza mauzo kwa urahisi katika biashara

Kwa njia hii unaweza kuongeza mauzo kwa urahisi katika biashara Kwa jina naitwa Grace nilikua nafanya biashara ya kuuza matunda...

READ MORE

Rais Samia Amteua Mhandisi Peter Rudolf Ulanga kuwa Mkurugenzi ATCL

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Mhandisi Peter Rudolf Ulanga kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa...

READ MORE

i Trust Yaja na Mifuko Mitano ya Uwekezaji KATIKA Masoko ya Mitaji

KAMPUNI ya iTrust Finance imezindua mfuko wa uwekezaji wa pamoja wenye lengo la kutoa fursa kwa wawekezaji wengi kuwekeza katika...

READ MORE

Ujumbe Kutoka IFAD, Wataalam Kutoka AFDP Inayoratibiwa na Ofisi ya Wazir Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Watembelea Miradi Lindi

Ujumbe wa Timu ya kutoka Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Wataalam kutoka Programu ya Kuendeleza Kilimo na...

READ MORE

CCM Tumewekewa Mapingamizi, Tunaamini Haki Itatendeka

_Makalla awataka wanachama katika maeneo hayo kuwa watulivu_ _Akemea vyama vya upinzani kufanya hadaa na kupotosha umma kuhusu mapingamizi_ _Asema...

READ MORE