×

Habari

Kiongozi wa Hamas Ismail Haniyeh Auawa nchini Iran

Kiongozi wa Hamas Ismail Haniyeh aliuawa mjini Teheran Jumatano, kulingana na taarifa tofauti zilizotolewa na Hamas na kikosi cha ulinzi...

READ MORE

Mashabiki wa Soka Sasa Kufaidi Michuano Kibao Kupitia Startimes Kwa Bei Ileile

Mashabiki wa soka wamesogezewa karibu michuano ya ligi mbalimbali ikiwa ni pamoja na Carabao Cup, La Liga na michuano mingine...

READ MORE

Naibu Waziri wa Uchukuzi Awataka Sekta Binafsi Kununua ndege

Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile amewataka Wadau wa Sekta binafsi na Wadau wa usafirishaji kwa njia ya anga waliopo...

READ MORE

Kuwawezesha Viongozi Wajao: Wahitimu wa Benki ya Stanbic Washerehekea Mahafali

Dar es Salaam, Tanzania – Jumatano, 31 Julai 2024 – Benki ya Stanbic Tanzania imetangaza kuhitimu kwa kundi la vijana...

READ MORE

Ziara ya Balozi Nchimbi Yafyeka Vigogo wa ACT, CUF na CHADEMA

Ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, inayoendelea katika mikoa ya Kusini, akianzia...

READ MORE

CCM Inawathamini na Kuwapenda Maafisa Usafirishaji

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Jokate Urban Mwegelo (MNEC) amewaambia Maafisa Usafirishaji wa Mkoa...

READ MORE

Mama Mzazi wa Mbunge wa viti Maalum Halima Mdee Bi.Theresia, Afariki

Mama Mzazi wa Mbunge wa viti Maalum Halima Mdee Bi.Theresia Mdee, amefariki leo katika Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma. Kwa...

READ MORE

NBC Yashiriki Kongamano la Afya, Waziri Mkuu Aguswa na Jitihada Zake Kuboresha Sekta ya Afya

Waziri Mkuu  Kassim Majaliwa amepongeza jitihada za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) katika kuendeleza sekta ya afya hapa nchini...

READ MORE

Jubilee Health Insurance Yazindua Huduma Mpya ya FBiz

Kampuni ya Bima ya Jubilee Health Insurance imezindua huduma mpya ya FBiz, ambayo imeundwa mahsusi kwa ajili ya Wafanyabiashara Wadogo...

READ MORE

Ajali Ya Treni Ya Mizigo Usiku Huu Moro, Ilikuwa Na Mabehewa 5, Treni Masta Afunguka – Video

Treni ya mizigo kwenye Reli ya kati iliyokuwa inatokea Dar es Salama kuelekea Isaka imepata ajali katika eneo la Bigwa...

READ MORE

Rais Samia Aridhia Ombi la Kinana Kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi...

READ MORE

Mama afungwa kwa kumlazimisha binti yake kuingia kwenye ndoa hatari

Mwanamke mmoja amekuwa mtu wa kwanza kufungwa jela chini ya sheria inayopinga ndoa ya lazima nchini Australia, kwa kummlazimisha binti...

READ MORE

Kenya yawasilisha rasmi hati za Raila za kugombea Uenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika

Serikali ya Kenya imewasilisha rasmi nyaraka za kumuunga mkono mgombea wake, Raila Odinga, katika azma yake ya kuwa mwenyekiti wa...

READ MORE

Kurasa za Magazeti ya leo Julai 30, 2024

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Rais Apandisha cheo Kamishna kuwa Mkuu wa Jeshi la Magereza

Rais Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Kamishna wa Magereza, CP Jeremiah Katungu kuwa Kamishna Jenerali wa Magereza (CGP) na kumteua...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Aelekeza Mawaziri wa Viwanda na Kilimo, Kutafutia Ufumbuzi Soko la Korosho

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amepokelewa Mkoa wa Lindi kwa vifijo na nderemo...

READ MORE

Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Na Jeshi la Ukombozi la Watu wa China Wazindua Mazoezi ya Pamoja

29 Julai 2024: Jeshi la Ulinzi la Wananchi la Tanzania (JWTZ) kwa kushirikiana na Jeshi la Ukombozi la Watu wa...

READ MORE

Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma afukuzwa kutoka ANC

Kamati ya nidhamu ya chama tawala nchini Afrika Kusini cha ANC iliamua kumfukuza rais wa zamani Jacob Zuma kwa kuongoza...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Awapongeza Mtwara Vijijini Utekelezaji Ilani ya CCM

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiambatana na Wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya...

READ MORE

URUS Tanzania Kupeleka Teknolojia ya Uhimilishaji Mifugo Yenye Tija Kutoka Marekani na Brazil Maonesho ya Nanenane

Ikiwa ni sehemu ya kusaidia jitihada za kukuza sekta ya mifugo hapa nchini, Kampuni ya URUS itashiriki maonesho ya Nane...

READ MORE

Gold Edition Party ya Johnnie Walker Gold Label Yawasha Moto Tips Coco Beach

Jumamosi iliyopita, tulikuwa kwenye machimbo ya pale Tips Coco Beach katika tukio la Squishy Life. Burudani ilikuwa ya kibabe ikisindikizwa...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Aagiza Pembejeo za Kilimo Zipelekwe Mtwara Kwa Wakati

Katibu Mkuu wa Chama hicho,Balozi Dkt,Emmanuel Nchimbi ametoa maagizo mbalimbali kwa serikali ikiwemo kuhakikisha pembejeo za kilimo zinapatikana kwa bei...

READ MORE

Kurasa za Magazeti ya leo Julai 29, 2024

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Tanzania Kushirikiana na Chuo Cha Mafunzo ya Mapishi Cha Hispania Kukuza Utalii

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekubaliana kushirikiana na Chuo cha Mafunzo ya Mapishi cha Basque (Basque Culinary Center)...

READ MORE

Rabia: Rais Samia Amefungua Nchi, Sauti Moja Bei ya Korosho

Katibu wa NEC, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ndg. Rabia Abdalla Hamid, amesema safari za kikazi nje ya...

READ MORE

Katibu Mkuu Dkt. Nchimbi Azuru Kaburi la Mkapa, CCM Yatoa Mil10 Kuendeleza Majengo ya Shule Lupaso

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi ametembelea kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya 3 ,...

READ MORE

Meridianbet Yamuinua Mzee Yusuph

Meridianbet leo wamefika eneo la Mbagala Kingugi kwenye moja ya familia zenye uhitaji katika eneo hilo na kufanikiwa kutoa msaada...

READ MORE

Katibu Mkuu Dkt. Nchimbi Apokelewa Kwa Shangwe, Tayari Kuunguruma Mtwara

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, leo amewasili Mkoani Mtwara kwa ziara ya kikazi ya siku...

READ MORE

Waziri Kombo Aanza Kazi Rasmi katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameanza kazi rasmi katika Ofisi...

READ MORE

Dkt. Abbasi Atembelea Makumbusho za Mahatma Gandhi

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambaye Wizara hiyo kwa Tanzania inasimamia sekta ndogo ya Makumbusho, Dkt. Hassan...

READ MORE

Serikali Yalifunga Kanisa la Christian Life Church la Kiboko ya Wachawi

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeagiza kufungwa Kanisa la Christian Life Church linaloongozwa na Mchungaji Domique Kashoix Dibwe...

READ MORE

Uchaguzi wa TLS Wapamba Moto, Mgombea Nkuba Aeleza Sera Zake 

Wakati Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) unaotarajiwa kufanyika Agosti 2, 2024,wangobea urais wa chama hicho waendelea...

READ MORE

Lucy Anayedaiwa Kuuawa Kikatili Na Mpenzi Wake Azikwa Kimara, Dar (Picha +Video)

Simanzi, huzuni na vilio vimetawala kwenye maziko ya mrembo Lucy Haule ambaye anadaiwa kuwa ameuawa kwa kuchomwa na kitu chenye...

READ MORE

RAS Arusha: RC Makonda Yupo Likizo na Ni Mzima wa Afya – Video

Baada ya kuibuka kwa minong’ono na maswali kuhusiana na ukimya wa Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda hatimaye...

READ MORE

Victorious Centre Of Excellency wasisitiza dhamira ya kuwasaidia watoto wenye usonji

  Na Mwandishi Wetu Kituo cha Victorious Centre of Excellency nchini Tanzania kimesisitiza dhamira yake ya kujitolea katika kutoa matibabu...

READ MORE

Mauaji Tena Dar: ‘Boyfriend’ Adaiwa Kumuua Kikatili Mpenzi Wake – Video

Mama wa marehemu Lucy Haule ambaye inaelezwa kuwa ameuawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali kwenye moyo na mwanume...

READ MORE

Djuma Shaban Ajiunga Na ‘Wauaji Wa Kusini’ Namungo

Beki wa zamani wa Yanga Sc, Djuma Shaban (31) raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amejiunga na ‘Wauaji wa...

READ MORE

Diwani Urio  Ashinda Unaibu Meya Kinondoni

Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, wamemchagua Michael Urio (Diwani wa Kata ya  Kunduchi), kuwa Naibu Meya Mteule wa Halmashauri...

READ MORE

Nabii Suguye Akemea Vitendo va Kikatili kwa Watoto, Ataka Viongozi Waongoze Mapambano

Viongozi wa dini wametakiwa kuwa mfano na vinara katika kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia hasa kwa watoto katika...

READ MORE

Vodacom Yazindua Kampeni Kabambe ya Ni Balaaa: Kila Mtu Ni Mshindi

Kampuni ya Teknolojia na Mawasiliano Vodacom Tanzania Plc leo imezindua kampeni kabambe inayojulikana kama “Ni Balaaa” ikiwa na lengo la...

READ MORE