×

Habari

Aweso Abaini Uzembe na Hujuma ya Makusudi kwa Watendaji wa DAWASA

Waziri wa maji Jumaa Aweso amesema amebaini uzembe na hujuma ya makusudi kutokana na watendaji wa Mamlaka ya maji safi...

READ MORE

Rais Samia, Nyusi Wapongeza Mkakati wa Utanuzi Benki ya PBZ, Yakaribishwa Kufungua Tawi Msumbuji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepongeza jitihada zinazofanywa na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ)...

READ MORE

Bei ya Mafuta Yashuka Dizeli, Petroli Kutumika kuanzia leo Julai 03, 2024

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kushuka kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya...

READ MORE

Maajabu ya Nywele za Binadamu Kukutwa Kwenye Sahani ya Pilau Kimiujiza

Mji wa Thika nchini Kenya ulikumbwa na kisa cha kushangaza siku ya Jumamosi wakati mteja fulani katika hoteli moja ya...

READ MORE

Yusuph Juma Mwenda Ateuliwa kuwa Kamishna Mkuu TRA

Aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), Yusuph Juma Mwenda ameteuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato...

READ MORE

Rais Samia Amteua Yahya Ismail Samamba kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Ismail Samamba kuwa Katibu Mkuu wa...

READ MORE

Aweso Amtumbua Meneja wa DAWASA Kibamba

Waziri wa maji Jumaa Aweso amemsimamisha kazi Meneja wa DAWASA Kibamba anaye julikana kwa jina la Elizabeth Sankere, kutokana na...

READ MORE

Rais Samia Awaongoza Wageni Mbalimbali Chakula cha Mchana Akiwemo Rais wa Msumbiji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Samia Suluhu...

READ MORE

Rais Samia Ampokea Rais wa Msumbiji, Filipe Jacinto Nyusi Ikulu jijini Dar (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Samia Suluhu Hassan, amempokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Filipe Jacinto Nyusi, katika...

READ MORE

Kampuni ya Kuuza Magari ya Kobe Motor Japan Kuongeza Idadi ya Magari Yake Soko la Tanzania

Kampuni ya Kobe Motor ya Japan imesema itaendelea kujitanua zaidi katika soko la Tanzania kutokana na kukua kwa mahitaji ya...

READ MORE

Serikali ya Marekani Yashiriki Uzinduzi wa Ndondo Cup 2024 Kupitia Kampeni za Sitetereki na Furaha Yangu

Wizara ya Afya, Ofisi ya Rais – TAMISEMI na Serikali ya Marekani ( USAID na PEPFAR) kupitia mradi wa Breakthrough...

READ MORE

Jumla Ya Wagonjwa 32,136 Wahudumiwa Kwenye Kambi Ya Madaktari Bingwa Na Wabobezi Arusha

Kufuatia Kiliniki ya matibabu yaliyotolewa bure kwenye kambi ya Madaktari Bingwa na Mabingwa Wabobezi iliyofanyika kwa siku 7, kwenye uwanja...

READ MORE

EU Yamshutumu Mmiliki wa Facebook Kwa Kukiuka Kanuni za Kidigitali

Umoja wa Ulaya imeishutumu Mmiliki wa Facebook na Meta, Mark Zuckerberg kwa kukiuka kanuni za kidigitali ya jumuiya hiyo, ikifungua...

READ MORE

TRA Yaandika Rekodi mpya ya Ukusanyaji wa Mapato kwa Kipindi cha Mwaka wa Fedha 2023/24

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeandika rekodi mpya ya ukusanyaji wa mapato kwa kipindi cha Mwaka wa Fedha 2023/24 baada...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 2, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

Serikali Itaendelea Kushirikiana Na Sekta Binafsi Kuboresha Huduma Za Afya

Dar es Salaam 2 Julai 2024: Serikali kupitia Wizara ya Afya nchini imeahidi kushirikiana na wadau mbalimbali wa Afya ili...

READ MORE

Aweso Amtumbua Meneja DAWASA Kinyerezi

Waziri wa Maji Jumaa Aweso amemsimamisha Meneja wa DAWASA Kinyerezi Burton Mwalupaso Kwa kushindwa kutekeleza vyema majukumu yake ikiwa ni...

READ MORE

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomu Aomba Menejimenti ya TAEC Kumpa Ushirikiano

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) Prof. Najat Kassim Mohammed  ameitaka menejimenti ya TAEC pamoja na...

READ MORE

NSSF Yawataka Watumishi wanaotarajiwa Kustaafu Kuanza Kujiandaa..

Mfuko wa Taifa wa hifadhi ya jamii NSSF umewataka watumishi wanaotarajiwa kustaafu kuanza kujiandaa ikiwa ni pamoja na kuhakiki taarifa...

READ MORE

Watoa Huduma Za Kifedha Waja Na Jipya

Benki ya Equity inayojihusisha na utoaji wa huduma mkbalimbali za kifedha jana imezindua banda lake la kutolea huduma kwenye Viwanja...

READ MORE

Wananchi Kunufaika Na Teknolojia Ya Kisasa Ya Mtandao Wa Simu Ikiwemo Fiber

Dar es Salaam 2 Julai 2024: Kampuni ya Mtandao wa simu ya Tigo imewekeza huduma zake kwenye Viwanja vya Maonesho...

READ MORE

APC Yashiriki Maonesho Ya 48  Ya Sabasaba Kwa Kishindo, Dar

Dar es Salaam 2 Julai 2024: Uongozi wa Hoteli ya APC wameiomba serikali kuongeza siku na muda wa maonesho ya...

READ MORE

Rais Mstaafu Kikwete Atoboa Siri ya Ushindi wa CCM

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema anafurahishwa na namna makada, wanachama na viongozi wa Chama...

READ MORE

RC Chalamila Akutana na Kamati ya Ardhi Maliasili na Utalii

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Julai mosi,2024 amekutana na Kamati ya Ardhi Mali asili...

READ MORE

Polisi Wanamaji Dar Wakamata Majahazi Yakikwepa Kodi Kusafirisha Mafuta Dumu 1731

Jeshi la Polisi Kikosi cha Polisi Wanamaji kinaendelea na ufuatiliaji maalum kuanzia Mei  hadi Juni, 2024 katika kudhibiti uhalifu ukanda...

READ MORE

Wananchi Waunganishiwe Maji Ndani ya Siku 7

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso akiwa Tabata-Segerea ameelekeza menejimenti ya DAWASA kuhakikisha inafanyia kazi eneo la Maunganisho ya Maji...

READ MORE

Yanga Yatangaza kumsajili Kiungo Mshambuliaji, Chama Akitokea Simba

Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili Kiungo Mshambuliaji, Clatous Chota Chama raia wa Zambia akitokea Klabu ya Simba Chama anajiunga na...

READ MORE

Aweso Aipangua DAWASA, Aiweka Chini na Uangalizi Maalum

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemtaka Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA),...

READ MORE

Sillo Ahitimisha Zoezi la Mafunzo ya Upandishwaji Vyeo Chuo Cha Maafisa Polisi Kidatu

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Daniel Sillo (Mb), amehitimisha zoezi la Mafunzo ya upandishwaji...

READ MORE

Meridianbet Yatoa Msaada wa Vyakula Chamazi

Kama ilivyo ada wakali wa michezo ya ubashiri mtandaoni, Meridianbet wamewafikia wakazi wa Chamazi Mbagala na kutoa msaada wa mahitaji...

READ MORE

Majaliwa: Serikali Kuwanusuru Kiuchumi Waraibu Wa Dawa Za Kulevya

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza Wizara za Elimu, Sayansi na Teknolojia, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Ofisi ya Waziri Mkuu zikae pamoja...

READ MORE

CCM Yafanya Uteuzi Wa Wanachama Watakaoongoza Nafasi Zilizoachwa Wazi

Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa (NEC) katika kikao chake cha kawaida, iliyokutana leo tarehe 30 Juni, 2024 jijini Dar...

READ MORE

Rais Samia Amwimbia Peter Msigwa, Mlete Msigwa, Mlete Msigwa – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyompokea Peter Msigwa baada ya kujiunga na Chama cha Mapinduzi...

READ MORE

Bilionea Manji Wa Yanga Afariki Dunia Akiwa Marekani Akipatiwa Matibabu – Video

Mfanyabiashara mkubwa aliyewahi kuwa muwekezaji wa klabu ya Yanga na Mkurugenzi wa Quality Group Limited (QGL), Yusuph Manji amefariki dunia...

READ MORE

Mwenyekiti wa CCM Kibiti umoja na ushirikiano kuelekea uchaguzi wa mitaa 2024

Mwenyekiti CCM Kibiti ataka umoja na ushirikiano kuelekea uchanguzi serikali za mitaa 2024. Ndondo Cup Shafih Dauda amesema kuwa kwa...

READ MORE

Aweso akutana na CEO wa MO Dewji Foundation

      Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amekutana na kufaya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya...

READ MORE

Waziri Silaa Aingilia Kati Sakata La Mama Aliyedai Kiwanja Chake Kuchuliwa Mkopo Benki Bila Kujua – Video

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ameingilia kati sakata la kiwanja no. 141/40 kilichopo Ananasifu Kinondoni...

READ MORE

Mashabiki Wa Soka Bongo Wakielekea Ujerumani Kushuhudia Laivu Michuano Ya Euro 2024

Mashabiki wa soka waliojishindia kwenye Kampeni ya ‘Zigo la Euro’ inayoendeshwa na Kampuni ya mtandao wa simu ya Tigo wakiwa...

READ MORE

Ajali Mbaya Iringa: Watoto 3 Na Bodaboda Wakanyang’wa Na Matairi Ya Lori Baada Ya Kuingia Uvunguni – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limetoa taarifa ya tukio la ajali iliyohusisha pikipiki (bodaboda) na gari aina ya Faw...

READ MORE

Waziri Mkuu Apongeza Uongozi Mpya Wa TEC

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatoa pongezi za dhati kwa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) kwa kupata safu mpya ya uongozi...

READ MORE