×

Habari

Biden ajiondoa kwenye kinyang’anyiro cha urais Marekani

RAIS wa Marekani, Joe Biden ametangaza kujiondoa kwenye kinyang’anyiro cha Urais wa Nchi hiyo ambao unatarajiwa kufanyika mwezi Novemba huku...

READ MORE

Rais Samia Atengua Uteuzi wa Nape Nnauye, Nafasi Yachukuliwa na Jerry Silaa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Mhe. Jerry William Silaa kuwa Waziri wa...

READ MORE

Video: Rais Samia Ateua 17, Nape Na Makamba Watenguliwa, Silaa Amtoa Wizara Ya Ardhi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete kuwa Waziri wa...

READ MORE

Mbunge Deo Awashukuru Wananchi Kuungana na Serikali

MBUNGE wa Njombe Mjini, Deo Mwanyika akiwa katika ziara Kata ya Kifanya amewapongeza wananchi wa vijiji vya Kifanya, Utengule na...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 22, 2024

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Majaliwa: Wapiga Kura Wapya Zaidi Ya Milioni 5 Kuandikishwa

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022...

READ MORE

Rais Samia Azungumza Na Machifu Chamwino Ikulu, Akemea Matukio ya Utekaji (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Anazungumza na Machifu Chamwino Ikulu Dodoma leo tarehe 20...

READ MORE

Miradi ya Umwagiliaji Kunufaisha wakazi 2000 Sengerema

Mbunge wa Jimbo la Sengerema Hamis Tabasamu amefanya ziara Jula 19, 2024 katika Kijiji cha Isole Kata ya Buyagu ya...

READ MORE

Waziri Nape alivyohitimisha ziara Kanda ya Ziwa

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amehitimisha ziara ya kukaguwa ujenzi wa minara ya mawasiliano kwa...

READ MORE

Zigo la Euro Na Hisense Yafikia Tamati Wananchi Wakinufaika na Zawadi Lukuki

Dar es Salaam, 19 Julai 2024: Kampeni ya Zigo la Euro na Hisense iliyokuwa ikiendeshwa na Kampuni ya mtandao wa...

READ MORE

Mradi wa Phoenix Condos Watarajiwa Kubadilisha Taswira ya Nyumba za Jiji la Dar

Dar es Salaam, Ijumaa Julai 19, 2024: Mradi mpya wa nyumba unaoendeshwa na kampuni ya Phoenix Condos na ambao umezinduliwa...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Wito Kwa Taasisi Za Dini Kuendelea Kushirikiana Na Serikali

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa taasisi zote za dini nchini kuendelea kushirikiana na Serikali katika kutoa mchango kwenye...

READ MORE

Kampuni ya Michezo ya Kubashiri ya BETWINNER Yazinduliwa Rasmi Tanzania

Kampuni ya michezo ya kubashiri ya Betwinner imezinduliwa rasmi nchini Tanzania, ikileta fursa mpya na za kipekee kwa wateja wa...

READ MORE

Donald Trump: Nitawafukuza wahamiaji kwa namna ambayo haijawahi kutokea

Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump amesema iwapo atakuwa rais tena, atawafukuza wageni kwa namna ambayo hakijawahi kushuhudiwa katika...

READ MORE

Kikao Cha Wadau Wa Umwagiliaji Mwamkulu Chafana

Tume ya Taifa ya Umwagiliaji NIRC imefanya Mkutano wa Wadau wa Umwagiliaji kwa Skimu za Mwamkulu na Kabage Mkoani Katavi...

READ MORE

Bodi ya Kahawa Yaendelea kuhamasisha jamii kuhusu unywaji kahawa

BODI ya Kahawa Tanzania, imeendelea kuhamasisha jamii kuhusu unywaji kahawa. Hamasa hiyo imetolewa leo katika uzinduzi wa Kampeni ya wapanda...

READ MORE

Hitilifu ya Teknolojia Yasimamisha Dunia, Mashirika ya Ndege, Mabenki Yashindwa kutoa huduma

Hitilafu kubwa ya kiteknolojia iliyotokea asubuhi ya leo Ijumaa, Julai 19, 2024 imesababisha mashirika makubwa ya ndege duniani kusitisha safari...

READ MORE

Mziray ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF

Rais Samia amemteua Shedrack Salmin Mziray kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), awali alikuwa Mkurugenzi wa...

READ MORE

Jokate Mwegelo Ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi Shule ya Sekondari Msalato

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Jokate Mwegelo ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari...

READ MORE

Zelensky: Ni Kibarua Kigumu Kufanya Kazi na Trump Lakini sisi ni Wachapakazi

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kufanya kazi na Donald Trump iwapo atachaguliwa tena kuwa rais wa Marekani itakuwa “kibarua...

READ MORE

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa PSPF Kutoka Eswatini Wafurahia Mafanikio ya NSSF

*Katambi asema NSSF inazidi kuimarika, unaweza kulipa mafao bila kutetereka Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana,...

READ MORE

Mahakama Kenya Yatupilia Mbali Agizo la Serikali Kusitisha Maadamano

Wananchi Kenya wako huru kukusanyika na kufanya maandamano baada ya Mahakama Kuu nchini humo kupinga uamuzi wa Kaimu Inspekta Jenerali...

READ MORE

Vyuo Vyatoa Scholarship Kwa Wanafunzi Maonyesho Elimu Ya Juu Zanzibar

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi wa Global Education Link, Abdulmalick Mollel,  kwenye...

READ MORE

Exim Bank Tanzania Yatoa Vitanda vya Wajawazito Mkoani Morogoro

Katika kusaidia jamii na kuboresha huduma za afya nchini, Exim Bank Tanzania imetoa vitanda vya hospitali kwa wodi za wazazi...

READ MORE

Mkurugenzi wa Wilaya ya Kyerwa Atangaza Nafasi za Kazi

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa amepokea kibali cha Ajira chenye Kumb. Na. FA.97/288/01/09 cha tarehe 25 Juni,...

READ MORE

Aunty Lulu: Waliniambia Mimi Ndiye Nimemuua Mama, Baba Alitufukuza Baada Ya Maziko – Video

Aliyekuwa muigizaji wa Bongomuvi anayefahamika kwa jina la Nuru (Aunt Lulu) amefanya mahojiano na Global TV na kufunguka mengi kuhusiana...

READ MORE

Rais Joe Biden Akutwa na Virusi vya Covid-19

Rais Joe Biden wa Marekani ameambukizwa virusi vya Covid-19 na ana dalili ambazo sio kali sana, Ikulu ya Marekani ilisema....

READ MORE

NMB Yawapiga Msasa Wahariri na Waandishi Kuhusu Masula ya Ufahamu na Elimu ya Bima

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA), imeipongeza Benki ya NMB kwa kukuza Uelewa, Ufahamu na Elimu ya Bima kwa...

READ MORE

Polisi wa Kenya wapiga marufuku maandamano ya kuipinga serikali

Polisi wa Kenya Jumatano walisema “hakuna maandamano yatakayoruhusiwa” Katikati mwa mji mkuu, Nairobi, kufuatia maandamano ya kuipinga serikali, yaliyosababisha vifo....

READ MORE

Kurasa za Magazeti ya leo Julai 18, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine.   Tunatoa zawadi...

READ MORE

Rais Samia Aiagiza NFRA Ianze Kununua Mahindi kilo moja kwa shilingi 700 – (Video +Picha)

Rais Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula (NFRA) kuanzia kesho Julai 18, 2024 ianze kununua...

READ MORE

Meridianbet Kasino Ushindi wa Mamilioni

Expanse Tournament bado inaendelea, huenda leo ukaibuka mshindi wa Zaidi ya 2,500,000/= cheza kasino ya mtandaoni huku ukivuna mabonasi ya...

READ MORE

Mkuu Wa Majeshi Ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda Apokea Ujumbe Wa Jeshi La China

Ujumbe wa Makamanda walioongozana na meli ya matibabu kutoka Jeshi la Ukombozi la Watu wa China umemtembelea Mkuu wa Majeshi...

READ MORE

Dada Wa Kazi Adaiwa Kumchinja Mtoto Wa Bosi Wake Dar, Akimbia Atafutwa na Polisi- Video

Dada wa kazi aliyejulikana kwa jina la Clemensia Cosmas (19) mkazi mwenyeji wa Kasulu, Mkoani Kigoma, anadaiwa kumchinja shingoni na...

READ MORE

Msigwa Awalipua Chadema, Akiri Upinzani Kupoteza Dira – Video

Ndani ya Miaka 20 nimejitahidi kuzungumza haki,demokrasia na Uhuru ndani ya Chama cha Chadema lakini sijaviona kwani mambo hayo imekuwa...

READ MORE

Nilimfuma Mama Mkwe ‘Live’ Akiweka Hirizi Chumbani Kwetu

Jina langu ni Sarah mkazi wa Kandara huko Muranga nchini Kenya. Nimekuwa nikiishi katika hali ya misukosuko ya mara kwa...

READ MORE

Haya Hapa Matokeo ya Kidato cha Sita na Ualimu 2024 Yaliyotangazwa na NECTA

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), Julai 13, 2024 limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita pamoja na ualimu....

READ MORE

CCM ni Chama Kinachofuata Demokrasia na Kinashinda Kwa Haki-CPA Makalla

Chama cha Mapinduzi kinaamini kwenye Uhuru na haki na demokrasia na  CCM haiwezi kuharibu ila Kitafuata taratibu zote za Uchaguzi...

READ MORE

Bilionea Elon Musk Atangaza Kumpa Trump Mabilioni ya Fedha Kugharamia Uchaguzi

Bilionea namba moja duniani, Elon Musk amesema kwamba anapanga kutoa takriban Dola za Kimarekani milioni 45 (sawa na takribani shilingi...

READ MORE

RC Chalamila Apokea Melivita Ya Matibabu Ya Jeshi China Maarufu Kwa Jina la ‘Peace Ark’

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Julai 16,2024 amepokea Melivita ya matibabu iitwayo Peace Ark...

READ MORE