×

Habari

Rais wa Guinea-Bissau Alivyotembelea Mradi wa Reli ya Kisasa ya SGR

Rais wa Guinea-Bissau, Umaro Sissoco Embaló, ametembelea mradi wa Reli ya Kisasa ya SGR kati ya Dar es Salaam –...

READ MORE

Aweso atembelea Grid ya Maji ya Taifa ya China

Katika sehemu ya kushiriki Kongamano la Kumi na Tano la Ujenzi na Uwekezaji katika Miundombinu (15th International Infrastructure Investment and...

READ MORE

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China Amtembelea Dkt.Nchimbi

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akiwa kwenye mazungumzo na Komredi Tang Dengjie, Mjumbe...

READ MORE

Majaliwa: Mipango Na Maamuzi Ya Maendeleo Izingatie Matokeo Ya Sensa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Watendaji wote wanaohusika na sera na mipango katika Serikali Kuu, Tawala za Mikoa na Serikali...

READ MORE

Wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo wamekanusha Kutangaza Mgomo – Video

Wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam wamekanusha tangazo linalosambaa katika mitandao ya kijamii likieleza kuwa kutakuwa na...

READ MORE

Meridianbet Yatoa Msaada kwa wakazi wa Kibaha

Kampuni ya Meridianbet wameiinua Kibaha ndio kauli ambayo unaweza kuitumia, Kwani mabingwa hao wa michezo ya kubashiri wamefanikiwa kufika katika...

READ MORE

Balozi Dkt. Nchimbi Aongoza Waombolezaji Mazishi ya Tixon Nzunda Songwe

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, leo ameongoza maelfu ya waombolezaji wakiwemo viongozi na...

READ MORE

Kampeni Chafu Yaanzishwa Dhidi ya Kidata wa TRA

* Ni Kamishna Mkuu wa TRA aliyevunja rekodi ya makusanyo ya kodi za Serikali * Genge la wakwepakodi likishirikiana na...

READ MORE

Rais Samia Aendelea Kupangua Maafisa Ikulu na Kuwapa Uteuzi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Ashura Abdul Katunzi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Azindua ripoti ya Kidemografia, Kijamii, Kiuchumi na Mazingira

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 22, 2024 amezindua ripoti ya Kidemografia, Kijamii, Kiuchumi na Mazingira zinazotokana na Sensa ya...

READ MORE

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) Waipongeza Bajeti ya Fedha 2024/2025

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) wameipongeza serikali kwa kutenga kiasi cha shilingi trilioni 11.7 kwa ajili ya kugharamia matumizi...

READ MORE

Tanzania na Guinea-Bissau Wasaini Mkataba wa Muongozo wa Ushirikiano (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Akimpokea Rais wa Jamhuri ya Guniea-Bissau  Umaro Sissoco Embaló leo...

READ MORE

Rais wa Malawi Amteua Waziri wa Maliasili kuwa Makamu wa Rais

Rais wa Malawi Lazarus Chakwera amemteua Waziri wa Maliasili Michael Bizwick Usi kuwa Makamu wa Rais wa nchi hiyo. Rais...

READ MORE

RC Malima Aipa Changamoto Mlimba Kilimo cha Mazao ya Mikakati

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amewataka madiwani na watendaji wa Halmashauri ya Mlimba, wilayani Kilombero, Mkoa wa Morogoro...

READ MORE

NBC Yakutana na Wateja Wake Wakubwa wa Jijini Arusha

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekutana na wateja wake wakubwa yaani makamppuni na taasisi mbali mbali (Corporates) wa jijini...

READ MORE

Kiungo Aucho, Chanzo cha Kiungo huyu kutosaini Yanga

Imeelezwa kuwa kiungo mkabajai wa Singida Fountain Gate, Yusuf Kagoma amekataa kusaini mkataba Yanga kutokana na ushindani wa namba ambao...

READ MORE

#Exclusive: Dude Afichua Alivyokamatwa Benki Akiogopwa Ataiba Pesa – Video

MSANII wa filamu Bongo Kulwa Kikumba maarufu kama Dude aliyepata umaarufu kupitia Tamthilia ya Bongo Dar es salaam amefunguka kupitia...

READ MORE

Balozi Nchimbi Atoa Heshma za Mwisho Msibani Kwa Tixon Nzunda

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amejumuika pamoja na waombolezaji wengine, kutoa heshima za...

READ MORE

Majaliwa: Tutayaenzi Mema Yote Yaliyofanywa Na Nzunda

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali na Watanzania wataendelea kumkumbuka na kuyaenzi mema yote yaliyoyafanywa na aliyekuwa Katibu Tawala...

READ MORE

NSSF Yaanza Kuwaondoa Wadaiwa Sugu Katika Nyumba Zake

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeanza zoezi la kuwaondoa wadaiwa sugu walioshindwa kutekeleza matakwa ya mkataba wa...

READ MORE

DC Mtambule: Lipeni Ushuru Wa Maegesho kabla ya Juni 30, 2024

Wamiliki wa magari wanaodaiwa ushuru wa maegesho ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni wametakiwa kulipa ushuru wa maegesho (Parking)...

READ MORE

Rais Samia Kuzindua Tamasha la Kitaifa la Utamaduni viwanja vya Maji Maji Ruvuma

NAIBU Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma maarufu Mwana FA amesema Tamasha la Kitaifa la Utamaduni litakuwa la...

READ MORE

Mke Akiri Kuisaliti Ndoa Yake na Kutoka Kimapenzi na Mchungaji Wake

Kijana mmoja aitwaye Juma mwenye umri wa miaka 36 kutokea Kiambu nchini Kenya alipigwa na bumbuwazi alipogundua kuwa mke wake...

READ MORE

Bilionea Atoa Mchango wa Bilioni 131 kwa kampeni ya Trump

TIMU ya kampeni za urais za Donald Trump imepokea jeki ya $50m (Tsh 131,250,000,000.00 ) kutoka kwa bilionea Timothy Mellon....

READ MORE

NSSF Yashiriki Mkutano wa ATE, Yazungumzia Msamaha wa Tozo na Matumizi ya Tehama

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), umeshiriki mkutano mkuu wa 65 wa Chama Cha Waajiri Tanzania (ATE). Mkutano...

READ MORE

Washiriki wa Mbio za NBC Dodoma Marathon Kutumia Treni ya SGR Kwenda Dodoma

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeingia makubaliano ya ushirikiano wa kiutendaji na Shirika la Reli Tanzania (TRC) yanatoa fursa...

READ MORE

Mambo Ya Zigo la Euro Na Hisense Yakiendelea, Wananchi Wazidi Kuneemeka Na Zawadi Mbalimbali  

Wananchi wameendelea kunufaika na Kampeni ya Zigo la Euro na Hisense inayoendeshwa na Kampuni ya mtandao wa simu ya Tigo...

READ MORE

DC Magoti Aingia Site, Atembelea Mradi wa Uwekezaji

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mhe.Petro Magoti amefanya kikao kazi na wataalam wa Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya...

READ MORE

Rais Samia Ashusha Neema Kyela

RAIS SAMIA ASHUSHA NEEMA KYELA   Serikali kupitia Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) itarasimisha makazi yasiyorasmi...

READ MORE

Majaliwa: Ma-Rc, Ma-Dc Anzisheni Operesheni Maalum Za Ulinzi

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya wahakikishe kila halmashauri inaanzisha operesheni maalum za ulinzi...

READ MORE

Brela- Ada Ya Usajili Wa Kampuni Zinaanzia Shilingi Elfu 20 Hadi Milioni 50

  WAKALA wa wa Usajili wa Biashara na Leseni(BRELA) wamezitaja ada za usajili wa kampuni mpya ambapo gharama zake zinaanzia...

READ MORE

Ndugu wa Wanaodaiwa Kujiuza Sinza Wajitokeza Viunga Vya Mahakama Kudai Ndugu zao

Watuhumiwa Wanaodaiwa kukamatwa katika maeneo ya Sinza siku kadhaa zilizopita wakidaiwa kufanya biashara ya kuuza miili yao wamefikishwa jana Juni...

READ MORE

Rais Samia Alivyowasili Jijini Dar baada ya kuhudhuria Uapisho wa Rais wa Afrika Kusini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Juni 19, 2024 amewasili Jijini Dar es Salaam mara baada...

READ MORE

Waziri Simbachawene Apongeza Mageuzi ya Kiteknolojia PSSSF

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, George Simbachawene (kushoto), akiangalia kwa karibu jinsi huduma za PSSSF...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Mpango Atembelea na Kuifariji Familia ya Katibu Tawala Aliyefariki Kwa Ajali

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema watumishi wa Umma wanapaswa kumuenzi aliyekuwa...

READ MORE

Brela inakuwezesha kupata usajili wa viwanda kwa njia ya kieletroniki popote ulipo

KATIKA kuhakikisha wanaendelea kurahisisha utoaji huduma Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umesema kupitia mfumo wa kimtandao wa...

READ MORE

Mjane Afanikiwa Kulipa Mkopo wa Mamilioni Ndani ya Muda Mfupi na Kuokoa Nyumba

Je, umewahi kuwa katika hali kuandamwa na madeni na hukujua jinsi ya kujiondoa hapo? Je, umewahi kukumbana na tishio la...

READ MORE

Miss Tanzania Aomba Msaada wa Kuokoa Maisha ya Mama Yake – Video

Mrembo ambaye amewahi kubeba mataji mbalimbali ya urembo ikiwemo Miss Sinza, Miss Kinondoni na mshiriki wa Miss Tanzania 2010, Amisuu...

READ MORE

Paroko na baba mzazi wakamatwa kwa mauaji ya mtoto mwenye ualbino

Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Raia wema wanaochukia vitendo vya kinyama baada ya msako mkali kuanzia May 31, 2024...

READ MORE

Putin na Kim Wawasili katika viwanja vya Kim Il Sung kwa ajili ya sherehe za makaribisho

Rais Vladimir Putin wa Urusi na mwenzake wa Korea Kaskazini Kim Jong Un wamewasili katika uwanja wa Pyongyang – uwanja...

READ MORE