×

Habari

GML yataja mbinu kuimarisha miradi ya ujenzi, Bashungwa atoa maagizo

  NA MWANDISHI WETU KATIKA kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan kuimarisha shughuli za kihandisi nchini, Kampuni ya...

READ MORE

Tigo Yashinda Tuzo Ya Ookla® Kama Mtandao Wa Simu Wenye Kasi Zaidi Nchini Tanzania

Dar es Salaam, tarehe 7 Desemba 2023: Kampuni ya maisha ya kidijitali ya mawasiliano ya simu nchini, Tigo, ambayo ni...

READ MORE

Dkt. Biteko: Viongozi Tuache Alama Nzuri Katika Utendaji Wetu Wa Kazi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa viongozi mbalimbali Serikalini kuhakikisha kuwa, kazi walizonazo...

READ MORE

Kasino ya Mtandaoni Mchezo wa Wild West Riches

Sloti ya Wild West Riches Ile Sloti bomba ya kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inayokupa nafasi ya kuibuka shujaa kwenye...

READ MORE

Waziri Mkuu Atembelea waathirika wa maafa ya mafuriko Hanang, Katesh (Picha +Video)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Disemba 05, 2023 ametembelea kambi ya muda walipo waathirika wa maafa ya mafuriko yaliyosababisha kuharibika...

READ MORE

Wananchi Ngorongoro Wanahamishwa Kwa Kuzingatia Haki za Binadamu

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geofrey Pinda amesema Wananchi wa Ngorongoro wanaohamishwa kutoka eneo la...

READ MORE

Vodacom, Polisi Kinondoni Wazindua Kampeni ya Usalama Barabarani Shuleni

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni kwa kushirikiana na kampuni ya Vodacom Tanzania PLC wamezindua kampeni ya usalama...

READ MORE

Ili Kukuza Mchezo Wa Tenesi Nchini, KLM Royal Dutch Airlines Yadhamini Mashindano Ya Uzinduzi Wa Kombe La McEnroe Serengeti

Dar es Salaam Tanzania, Disemba 5, 2023: KLM Royal Dutch Airlines watakuwa wadhamini wa uzinduzi wa mashindano ya McEnroe Serengeti...

READ MORE

Majaliwa Awatembelea Majeruhi wa Maafa ya Maporomoko ya Tope Hanang

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Desemba 05, 2023 amefika kuwajulia hali majeruhi wa maafa ya mafuriko yaliyosababisha kuporomoka kwa tope...

READ MORE

Airtel Kutoa Intaneti na Mawasiliano Bure Hanang

Kampuni ya simu za Mkononi  Airtel imeoneshwa kuguswa na tukio la waathirika wa wilaya ya Hanang na kuungana na watanzania...

READ MORE

Benki ya NMB Yasaidia Wahanga wa Mafuriko Hanang

Wahanga wa mafuriko Wilayani Hanang, Mkoani Manyara, waliopoteza ndugu zao, makazi, pamoja na mali, wamepatiwa misaada ya kibinadamu na Benki...

READ MORE

NMB Yang’ara Tuzo za Mwajiri Bora mwaka 2023

Benki ya NMB imenyakua tuzo nne kwenye shindano la mwaka huu la Mwajiri Bora wa Mwaka (EYA 2023), ukiwemo ushindi...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Alivyowasili Hanang na Kujionea Madhara ya Mafuriko

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasili wilaya ya Hanang mkoani Manyara na kukutana viongozi wa mkoa huo na wa Serikali na...

READ MORE

Tanzania Yatajwa Kuwa Kinara Kwa Kudhibiti Mianya ya Uvujaji Mitihani

  TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi kinara kwa kudhibiti mianya ya uvujaji mitihani. Kauli hiyo ilitolewa Dar es Salaam...

READ MORE

Serikali Yachukua Hatua za Awali Kukabili Maafa Hanang’ Manyara

Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu imechukua hatua za haraka kwa wahanga wa maafa yaliyosababishwa na...

READ MORE

Furahia Jade Valley Ndani ya Meridianbet Kasino

Jade Valley ni mchezo wa sloti wenye nguzo tano zilizopangwa kwa ustadi katika mistari mitatu, sloti yenye mistari 50 ya...

READ MORE

Serikali Kugharamia mazishi ya waliopoteza maisha kutokana na mafuriko Wilaya ya Hanang

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemuelekeza Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa kuwa serikali igharamie mazishi...

READ MORE

Kongamano la SHILO laanza kwa kasi

KANISA la Mlima wa Moto Mikocheni jijini Dar es Salaam, limezindua kongamano liitwalo SHILO kama sehemu ya kumuenzi mwanzilishi wa...

READ MORE

Mshindi Wa Kampeni Ya Maokoto Ndani Ya Kizibo Kibaha Alivyokabidhiwa Laki Tano Yake Laivu

Mshindi wa Kampeni ya Serengeti Lite ‘Maokoto Ndani ya Kizibo’ Kibaha mkoani Pwani, Advocatus Kakorozya, Jumamosi Desemba 2 mwaka huu...

READ MORE

Gwiji wa Tennis Duniani John McEnroe na familia yake wameungana na wadau wa utalii nchini kwa kushiriki chakula cha usiku

Gwiji wa Tennis Duniani John McEnroe usiku wa kuamia leo Desemba 3, 2023, yeye na familia yake na wadau wengine...

READ MORE

Wachimbaji haramu wa madini 7 wathibitishwa kufariki na wengine zaidi ya 20 hawajulikani waliko

Washukiwa saba wachimba haramu wa madini walithibitishwa kufariki dunia na wengine zaidi ya 20 hawajulikani waliko na kudhaniwa wamekufa baada...

READ MORE

TASAC Yang’ara Tuzo Za NBAA Kushika Nafasi Ya Kwanza Kwa Mashirika ya Umma ya Udhibiti Uandaaji Bora wa Hesabu

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) yangara nafasi ya kwanza kwa Mashirika ya Umma ya Udhibiti katika uandaaji bora...

READ MORE

Yanga na Mabingwa wa kihistoria wa CAFCL, Al Ahly wametoshana nguvu kwa sare ya 1-1

Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania, Young Africans na Mabingwa wa kihistoria wa CAFCL, Al Ahly wametoshana nguvu kwa...

READ MORE

Mchengerwa Na Oryx Gas Wamuunga Mkono Rais Dk Samia Kwa Kugawa Bure Mitungi 900 Na Majiko Yake Kwa Mama Lishe

BAADA ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kuzindua Mpango wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa Wanawake wa Bara la...

READ MORE

SGA Yapata Tuzo Maalumu Ya Ulipaji Kodi Bora

SGA Guards (T) Ltd, kampuni ya ulinzi binafsi imepokea tuzo maalumu kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) baada ya kuibuka...

READ MORE

Makonda Amtembelea Askofu Dkt Malasusa, Amhakikishia Viongozi Wa Kiroho Kumwombea Rais Samia

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC) Taifa, Ndugu Paul Christian Makonda amemtembelea Mkuu wa Kanisa la Kiinjili...

READ MORE

Fao La Huduma ya Utengamao Kuongeza Faraja: Prof. Ndalichako

SERIKALI kupitia Mfuko wa Fidia kwa Wafanmyakazi (WCF) imetangaza Fao jipya la Huduma ya Utengemao wa Kijamii (Social Rehabilitation) kwa...

READ MORE

Majaliwa aipongeza GGML mapambano dhidi ya Ukimwi, maambukizi mapya yashuka

NA MWANDISHI WETU Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) pamoja na wadau wengine kwa...

READ MORE

Rais Samia Suluhu Azindua Programu ya Nishati safi ya Kupikia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia itakayosaidia...

READ MORE

GGML waungana na Biteko kuanika mbinu za mapambano dhidi ya Ukimwi

NA MWANDISHI WETU Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka wadau mbalimbali wanaohusika na mapambano dhidi...

READ MORE

Mbunge Mahawanga Awaonya Wanawake Na Mikopo Ya ‘Kausha Damu’, Awapongeza Wanavicoba

Dar es Salaam Mbunge wa Wanawake mkoa wa Dar es Salaam, Janeth Elius Mahawanga amewaonya wanawake na watu wengine wanaoona...

READ MORE

Wahitimu 15 Shahada ya Udaktari HKMU Wapewa Neno

CHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeiomba serikali itoe ruzuku kwa vyuo vikuu vinafsi ili kuvijengea uwezo kuboresha...

READ MORE

Azam Media Yavunja Ukimya Tuhuma Ya Rushwa Iliyotolewa Na Mwigizaji Shija, Yatoa Tamko Hili Zito – Video

Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigizaji na mtengeneza filamu,...

READ MORE

Tanesco Yatangaza kuunganisha Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere kwenye gridi ya taifa

Shirika la Umeme (Tanesco) limetangaza taarifa ya kuunganisha Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere kwenye gridi ya taifa, hatua itakayosababisha...

READ MORE

#Exclusive: Haya Ndiyo Maisha Halisi Ya Loveness – Anavaa Khanga Na Kupika Dikodiko – “Mimi Ni Pisi”

Loveness Tarimo ni mwanamke mtunisha misuli anayeshikilia nafasi ya Miss Fitness Tanzania na Miss Fitness East Afrika. Global TV imefanya...

READ MORE

UAE yatangaza ufadhili wa dola bilioni 30 kutafuta muarubaini wa mabadiliko ya hali ya hewa

Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan amesema uhaba wa ufadhili umekuwa ni suala linalodumaza uchukuaji wa hatua kuhusu mabadiliko ya...

READ MORE

Rais Samia Suluhu Kuzindua Programu ya Nishati safi ya Kupikia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia itakayosaidia...

READ MORE