×

Habari

Daktari Mdogo Kuliko wote HKMU atoa Neno Kuhitimu Akiwa na Umri Mdogo

MHITIMU wa fani ya udaktari ambaye ni mdogo kuwahi kutokea tangu kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert kairuki...

READ MORE

Kampuni ya Vivo Energy Yawakumbuka Wanafunzi Wenye Uhitaji Sekondari Ya Jangwani

Dar es Salaam, 1 Desemba 2023: Kampuni ya mafuta ya Vivo Energy inayomiliki vituo vya mafuta vya Engen, leo imefanya...

READ MORE

Harmonize Awafunika Diamond, Mbosso Kusikilizwa Zaidi Boomplay

Wakati mwaka 2023 ukielekea ukingoni, mtandao wa kustream muziki wa Boomplay, umetoa orodha ya wasanii waliofanya vizuri kwa kusikilizwa zaidi...

READ MORE

Rais Samia Ahutubia Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabia Nchi (COP28), Dubai

Rais Samia Suluhu Hassan, amehutubia Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabia Nchi (COP28), Dubai ambapo pamoja na...

READ MORE

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akiwa shambani kwake Msoga mkoa wa Pwani

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa shambani kwake kijijini Msoga mkoa wa Pwani...

READ MORE

Kasino ya Shaolin Crew Ndani ya Meridianbet

Taifa la Uchina limebebwa na historia kubwa sana, wengi wanaijua ile Movie inaitwa Shaolin Soccer ilikuwa balaa sana, jamaa walikuwa...

READ MORE

Mufti Watanzania Dkt. Abubakari Zuberi Ally Amfanyia Dua Maalum Makonda – Picha

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, Itikadi, Uenezi na Mafunzo ndugu Paul Makonda leo tarehe 1 December 2023...

READ MORE

Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano, TCRA Yaitembelea Global TV

Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), leo Desemba 1, 2023 imetembelea Ofisi za Global TV zilizopo Sinza...

READ MORE

Nigeria Yaridhishwa Na Utendaji Wa Serikali Ya Awamu Ya Sita

Nigeria imeoneshwa kuridhishwa na utendaji wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano...

READ MORE

Tanzania Kuwa Mwenyeji Mkutano  wa Kimataifa Kujadili Changamoto za Usonji na Utindio wa Ubongo

Tanzania inatazamiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kimatifa unaolenga kujadili changamoto zinazohusiana na usonji na utindio wa ubongo utakaofanyika tarehe...

READ MORE

Dkt. Biteko: Fedha Za Ndani Ziwe Tegemeo Katika Mapambano Dhidi Ya Ukimwi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewataka wadau mbalimbali wanaohusika na mapambano dhidi ya UKIMWI nchini...

READ MORE

Kinana: Ni Muhimu Kwa Viongozi Waliochaguliwa Na Kuteuliwa Kuwasikiliza Mabalozi

Makamu Mwenyekiti Wa Chama Cha Mapinduzi (CCM,  Abdulrahman Kinana, amewapongeza mabalozi wote wa jimbo la Rufiji kwa mchango wao mkubwa...

READ MORE

Mwanamke wa miaka 70 ajifungua mapacha Uganda

Mwanamke nchini Uganda mwenye umri wa miaka 70 amejifungua watoto mapacha, daktari wake alisema siku ya Alhamisi, katika kile ambacho...

READ MORE

Athari Za Mirija Ya Uzazi Kushindwa Kufanya Kazi

DK. CHALE SIMU: +255713350084 | IJUMAA | AFYA TATIZO la mirija ya uzazi kushindwa kufanya kazi huitwa Tubal Dysfunction ,...

READ MORE

Tigo Tanzania Yaibuka Mlipakodi Bora Katika Sekta Ya Mawasiliano Tanzania Mwaka 2022/23

Katika Maadhimisho ya Siku ya Kuthamini Walipakodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yaliyofanyika tarehe 24 Novemba Mlimani City na...

READ MORE

Washindi Wa ‘Magifti Dabodabo’ Waanza Kupatiwa Zawadi Zao

Dar es Salaam 1 Desemba 2023: DROO ya kwanza ya kampeni ya ‘Magifti Dabodabo’ imefanyika juzi ambapo washindi 21 wamepatikana...

READ MORE

NBAA Yatoa Milioni 15, Hospitali Ya Muhimbili Kwaajili Ya Watoto Wanaogua Saratani

Dar-es-Salaam, 30 Novemba 2023: Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili iliyopo Upanga Dar, Dk. Julieth Magandi amepokea...

READ MORE

Ndege ya Kijeshi ya Marekani, Osprey Yaanguka Baharini, Yaua Mtu mmoja

Mtu mmoja amefariki dunia huku wengine wakiwa hawajulikani walipo baada ya ndege ya kijeshi ya Marekani, Osprey kuanguka baharini Kusini...

READ MORE

Rais Samia Aelekea Dubai Kuhudhuria Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP28)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan aagana na Viongozi mbalimbali katika uwanja wa ndege wa Kimataifa...

READ MORE

Dkt. Tulia Aiagiza Kamati Ya IPU Kushughulikia Mgogoro Wa Israel Na Palestina

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ameielekeza Kamati inayoshughulikia Masuala ya Mashariki ya Kati ya...

READ MORE

Polisi Arusha Waja na Mbinu Mpya Kukabiliana Na Uhalifu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limekuja na mbinu mpya ya kukabiliana na matukio ya uhalifu katika Mkoa huo ambapo...

READ MORE

Spika wa Bunge la Kenya apiga marufuku mavazi yasiyofaa

Spika wa bunge la Kenya amepiga marufuku kile alichokieleza kuwa mavazi yasiyofaa yanayovaliwa na wabunge, hata kupiga marufuku vazi la...

READ MORE

Bibi Harusi Mtarajiwa, Mama Na Mfanyakazi Wafariki Kwa Ajali Siku Chache Kabla Ya Harusi -Video

Bibi harusi, Rehema Chao mkazi wa Morogoro, amefariki dunia akiwa na mama yake mzazi na dada wa kazi wakati wakielekea...

READ MORE

Mapya Yaibuka, Polisi Wanaodaiwa Kuua Mlinzi Wa Bar Ya Board Room Sinza, Kaimu Kamanda Dsm Aeleza – Video

  Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linawashikilia askari wake wawili kwa tuhuma za kumpiga risasi...

READ MORE

Tigo Pesa Na Benki Ya DCB Wazindua Huduma Ya Kibenki Ya Wakala

Dar Es Salaam, tarehe 30 Novemba 2023— Tigo, kwa kushirikiana na DCB Bank Plc, wametangaza kuleta mapinduzi katika sekta ya...

READ MORE

Rais Samia Apokea na kuridhia barua ya kujiuzulu ya Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amepokea na kuridhia barua ya...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Dar

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha...

READ MORE

#UPDATES: Watu 13 wafariki na wengine 36 Kujeruhiwa baada ya basi la Ally’s Star kugonga treni

Watu 13 wamefariki dunia na wengine 36 wakijeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Ally’s Star lililokuwa likitoka Dar es...

READ MORE

Bosi Simba Atoa Tamko Nzito, Afanya Kikao Kizito na Wachezaji

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Salim Abdallah Muhene ‘Try Again’ amefunguka kuwa, kwa sasa wanakwenda kwenye ukurasa mpya...

READ MORE

Afisa wa chama cha Upinzani DRC Auawa na Makundi Hasimu ya Kisiasa

Ghasia hizo zilimuua Dido Kasingi, wakili na baba wa watoto sita ambaye alikuwa rais wa vijana katika chama cha Katumbi,...

READ MORE

Mjue Pauline Gekul Aliyetumbuliwa Uwaziri Akikabiliwa Na Tuhuma Nzito

Mbunge wa Babati Mjini mkoani Manyara kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyekuwa Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Pauline...

READ MORE

Serikali Kwa Ushirikiano na Wadau wa Hamburg Kuimarisha Bustani za Majiji

SERIKALI kwa kushirikiana na wadau kutoka nchi ya Hamburg ,wameonyesha dhamira ya uboreshaji wa bustani mbalimbali zilizopo katika miji  ikiwemo...

READ MORE

TET na Taasisi Tano Zisizo za Kiserikali Zasaini Makubaliano Kuboresha Elimu Nchini

Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) leo tarehe 29/11/2023 imesaini makubaliano na taasisi tano zisizo za kiserikali yenye  lengo la kuboresha...

READ MORE

Waziri Ulega Akasirika, Amtumbua Kaimu Mkurugenzi Wa Uvuvi – ”Hatutaki Kuona Bomu”..

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega ameelekeza kuondolewa katika nafasi yake Kaimu Mkurugenzi wa Uvuvi, Stephen Lukanga baada ya...

READ MORE

Basi la Kampuni ya Allys Star Lagonga treni Mji wa Manyoni mkoani Singida

Habari zilizotufikia asubuhi ya hii leo Novemba 29, 2023 zimeeleza kuwa, watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia na wengine kujeruhiwa katika...

READ MORE

Sabasaba Moshingi, Kuipeleka DCB Kwenye Kilele cha Mafanikio

Benki ya Biashara ya DCB, moja kati ya benki kongwe inayoongoza katika mabenki yenye ukubwa wa kati, imemtambulisha Mkurugenzi Mtendaji...

READ MORE

Rais Samia Alivyosalimiana na Wafanyakazi, Wananchi ndani ya Meli ya MV Kilimanjaro 8

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan, amewasalimiana na Wananchi mbalimbali ndani ya Meli ya MV Kilimanjaro...

READ MORE

Msimu Huu wa Sikukuu, Airtel Money na WhiteBall Wazindua ‘Cheza Ushinde’

   Wateja wa AIRTEL MONEY kupata fursa ya kujishindia pesa,simu, TV na PikiPiki msimu huu wa sikukuu kila siku...

READ MORE

Halotel Yalenga Kuwa chachu ya Kuboresha Uchumi wa Kidigitali Tanzania

Halotel Tanzania, moja ya kampuni zinazotoa huduma za mawasiliano kwa mtandao wenye wigo mpana nchini, imeazimia kuwa chachu katika enzi...

READ MORE

Mawakala Bora Wa Usajili Vodacom Tanzania Watembelea Afrika Kusini Kutokana Na Utendaji Wao

Mawakala wa usajili wa kampuni ya Vodacom Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa kampuni, makao makuu ya...

READ MORE