×

Habari

Belarus Waungana Na Urusi Kuishambulia Ukraine

Jeshi la Ukraine limedai kwamba wanajeshi wan chi jirani la Belarus, wamevuka mipaka wakiwa na vifaru na silaha nyingine nzito...

READ MORE

Taleban Yawazuia Wananchi Kusafiri Afghanistan

Serikali ya Taleban inayoongoza nchini Afghanistan, imewapiga marufuku wananchi wa nchi hiyo kusafiri kwenda nje ya nchi bila kuwa na...

READ MORE

Pele Aruhusiwa Kutoka Hospitali

Nguli wa soka ulimwenguni, Pele ameruhusiwa kutoka hospitalini baada ya kupata matibabu ya uvimbe na maambukizi ya mfumo wa mkojo....

READ MORE

Makombora ya Urusi Yaua Wanajeshi 70 Ukraine

SERIKALI ya Ukraine wamethibitisha kuwa wanajeshi wasiopungua 70 waliuawa katika shambulio la makombora ya Urusi katika kambi yao ya kijeshi...

READ MORE

Vita Ukrain Yaiweka Afrika Mtegoni

Vita inayoendelea kati ya Urusi na Ukraine inayaweka mataifa ya Afrika katika msemo wa kimakonde ‘ukisimama nchale, ukikimbia nchale’.  ...

READ MORE

Jinsi Waukraine Wanavyolinda Nchi Yao – Picha

Vimiminika vinavyoweza kuwaka moto kama vile petroli na vilevi vinamwagwa ndani ya glasi na kuongezwa mafuta ya injini. Mchanganyiko huu...

READ MORE

Vita Ya Ukraine, Tozo Za Mafuta, Serikali Yapoteza Bil 30 Kwa Mwezi… Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Video Ya Sonia Ukraine..

  WAKATI Serikali ya Tanzania ikiwa imeanza kuchukua hatua za kuwarejesha nchini Watanzania takriban 300 waliopo nchini Ukraine kutokana na...

READ MORE

Ukraine: Mapigano Lazima Yakomeshwe- Katibu Mkuu wa UN

  Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres anatarajiwa kutoa wito wa kusitisha mapigano nchini Ukraine. Mapigano yanavuma kote...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 1, 2022

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Machi 1, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Droo ya Mwezi wa Pili wa MastaBata kuwazawadia Wateja wake Tsh Milioni 25

Benki ya NMB imechezesha Droo ya mwezi wa pili wa MastaBata kivyakovyako jijini Dodoma na kuwazawadia Wateja wao jumla la...

READ MORE

Rais Mwinyi Afunguka Watalii Wa Ukraine Waliokwama Zanzibar

Rais Mwinyi afunguka kuhusu watalii wa Ukraine waliokwama hotelini Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt....

READ MORE

Vivo Wazindua Rasmi Simu Mpya Vivo 23 5G

  HATIMAYE Kampuni ya Simu za Mkononi ya Vivo Smartphones ya Tanzania, imefanikiwa  kuzindua rasmi simu mpya aina ya V23...

READ MORE

Redcross Mkoa wa Kilimanjaro Wamwagiwa Sifa kwa huduma Zao Kili Marathon 2022

    JANA Jumapili ilikuwa ni siku ya kipekee Moshi mkoani Kilimanjaro kutokana na tamasha kubwa la mbio za Kilimanjaro...

READ MORE

Ukraine: Tumeua wanajeshi 5,300 wa Urusi

Wizara ya ulinzi ya Kyiv inadai kuwa takribani wanajeshi 5,300 wa Urusi wameuawa katika siku nne za kwanza za mapigano...

READ MORE

Google Yazuia Matangazo Vyombo vya Habari Urusi

Google haitaruhusu tena vyombo vya habari vya serikali ya Urusi kuonyesha matangazo, kufuatia uamuzi kama huo uliofanywa Jumamosi na kampuni...

READ MORE

Ramli Chonganishi Zinavyomaliza Raia

JESHI la Polisi mkoani Morogoro inawashikilia watu wanane kwa tuhuma za mauaji na kujihusisha kupiga ramli chonganishi ambazo kwa kiwango...

READ MORE

Wimbo wa Taifa Urusi hautapigwa

Shirikisho la Soka Duniani ( FIFA ) jana lilijibu shinikizo la kimataifa linaloongezeka kuhusiana na uvamizi wa Urusi nchini Ukraine...

READ MORE

Muna: Waislam Mtanipokea?

Muna Love; ni mwigizaji wa Bongo Movies japo kwa muda mrefu hajaonekana lokesheni ambaye hivi karibuni alizua kizaazaa baada ya...

READ MORE

Mzee Dalali Awataka Yanga SC Nusu Fainali ASFC

MWENYEKITI wa Baraza la Wazee la Simba, Hassan Dalali amefunguka kuwa anatamani kikosi chao kikutane na Yanga kwenye mchezo wa...

READ MORE

Mambo Ni Moto! VIVO Wazindua Simu Mpya Aina ya V23 5G, ni Nzuri Balaa- VIDEO

Kampuni ya simu ya VIVO, leo 28 Februari  2022, wamezindua simu mpya aina ya V23 5G. 

READ MORE

Amir Khan Apewa Wiki Tatu

  OFISA Mtendaji Mkuu wa taasisi ya ngumi ya Boxxer, Ben Shalom, amesema Muingereza Amir Khan ana wiki tatu tu...

READ MORE

Mdee, Wenzake Kung’oka Bungeni, Dk. Slaa Ajadili Kesi..Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Bolt na Mpango wa Kuwawezesha Madereva Kiuchumi

AMRI ni  dereva wa Bolt nchini Tanzania ambaye kwa miaka miwili sasa, amekuwa akitumia gesi  iliyochakatwa kwa mfumo asilia ‘Compressed...

READ MORE

Putin Aamuru Kikosi cha Nyuklia Cha Urusi Kuwa Tayari

Rais wa Urusi Vladimir Putin leo Feb 27, 2022 ameamuru jeshi la Urusi kuweka vikosi vyake vya nyuklia katika “tahadhari...

READ MORE

India Yaahidi Kuisadia Ukraine

WAZIRI  Mkuu wa India Narendra Modi amejitolea kuisaidia Ukraine katika juhudi za kuleta amani, Modi ameyasema haya wakati wa mazungumzo...

READ MORE

Mchungaji Mfalme Zumaridi Akamatwa Mwanza

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia Mchungaji wa kanisa la Zumaridi, Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi kwa tuhuma za...

READ MORE

Zelensky: Hatutazungumza na Urusi Nchini Belarus

Urusi inasema wajumbe wake wamewasili nchini Belarus kwa mazungumzo na Ukraine. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amekataa ombi hilo, akisema...

READ MORE

Ukraine Yadai Kuna Vifo 4,300 Vya Warusi Mpaka Sasa

Naibu Waziri wa Ulinzi wa Ukraine, Hanna Malyar ametoa makadirio ya hasara anayosema kuwa majeshi ya nchi hiyo yameisababishia Urusi...

READ MORE

DC Jokate na ATE Waisafisha Kiburugwa Temeke

Februari 26, 2022 Chama Cha Waajiri Tanzania (ATE) wakimbatana na wanafunzi wa awamu ya Saba ya Programu ya Mwanamke Kiongozi...

READ MORE

Mapigano Makali Ukraine, Bomba la Gesi Lalipuka

Mji Mkuu wa Ukraine, Kyiv umekabiliwa na mashambulio makali ya Urusi usiku wa kuamkia leo Februari 27, 2022. Wakati huohuo,...

READ MORE

Mstaafu Kikwete, Pinda Washuhudia Jitesh Akikabidhiwa Medali ya Kimataifa

    RAIS wa Ufaransa Emmanuel Macron amemtunuku medali inayotambulika ulimwengu mzima ya ‘Legion of Honour’ mfanyabiashara maarufu chini Tanzania...

READ MORE

Roman Abramovich Ajiuzulu Chelsea

MMILIKI wa Klabu ya Chelsea, Roman Abramovich ametangaza kujiuzulu nafasi yake ndani ya klabu hiyo ya jijini London. Kujiuzulu kwake...

READ MORE

Breaking: Meli Yaungua Bandarini Pwani

Meli ndogo ya mizigo iliyokuwa imepakia mapipa ya petroli katika bandari ndogo ya Nyamisati wilayani Kibiti mkoani Pwani iliyokuwa ikielekea...

READ MORE

Polisi Watoa Ufafanuzi Tukio la Waandishi Arusha

JESHI  la Polisi Mkoa wa Arusha limetoa ufafanuzi kuhusu tukio la Waandishi wa habari wawili Korumba Victor Moshi wa Global...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mtawala wa Dubai- Picha

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Makamu wa Rais ambaye ni Waziri...

READ MORE

Dereva Mwanamke Wa Malori, Asimulia Alivyoshuhudia Wenzake Wakiuawa-Video

Global TV imefanya mazungumzo na Mariam, mama ambaye aliyeacha kazi ya mama lishe na kugeukia kazi ya udereva wa malori...

READ MORE