×

Habari

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumatano, Machi 9, 2022

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Machi 9, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Rais Mwinyi afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri, Ateua wapya

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi leo Machi 8, 2022 amefanya mabadiliko katika...

READ MORE

Rais Samia Atahadharisha Mfumuko Wa Bei

Rais Samia Suluhu Hassan amesema minong’ono ya maisha kuwa magumu na vitu kupanda bei, ni kutokana na athari zinazotokana na...

READ MORE

Wanafunzi 11 wa Kitanzania Waliokwama Sumy Wafika Moscow

Kundi la wanafunzi 11 waliokuwa wamekwama Sumy nchini Ukraine wameokolewa na kufikishwa salama katika Ubalozi wa Tanzania jijini Moscow, Urusi....

READ MORE

Mzee wa Miaka 69 Hatiani kwa Mauaji

  Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, imemhukumu kifungo cha nje cha mwaka mmoja, Marima Mazengo (69)...

READ MORE

Siku ya Wanawake Duniani Yanogeshwa na Meridianbet

Kama ilivyodesturi ya Meridianbet kurudisha kwenye jamii inayoizunguka, safari hii, kampuni ya Meridianbet Tanzania imetoa mkono wa pongezi kwa kina...

READ MORE

Muna Adorishia Wowowo Lake

  MUNA Love; ni mwigizaji ambaye hajaonekana lokesheni kwa muda mrefu, lakini amekuwa akisikika zaidi kwa mambo ya upasuaji (sajari)....

READ MORE

Rais Samia: Hakuna Kuulizana Dini Wakati wa Sensa – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amesema hakuna mtu atakayeulizwa dini yake wakati wa sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika Agosti...

READ MORE

Rais Putin Aliwahi Kuishi Kaole Bagamoyo

WAKATI Urusi ikiendeleza vita dhidi ya Ukraine, rais wa nchi hiyo anayelalamikiwa kwa uvamizi, Vladimir Vladimirovich Putin ametajwa kuishi nchini...

READ MORE

Hii Kali: Wanajeshi Ukraine Wafunga Ndoa Vitani

Ni muendelezo wa Habari za Kimataifa kutokea Bara la Ulaya ambapo tunaangazia mzozo wa Kivita baina ya Ukraine na Urusi....

READ MORE

Binti wa Umri wa Miaka 7 Afariki Ukraine

Watu sita akiwemo binti mwenye umri wa miaka 7, Alisa Hlans wamefariki dunia baada ya majeshi ya Urusi kurusha makombora...

READ MORE

Exim Yaungana na Dunia Kuadhamisha Siku ya Wanawake Duniani

Benki ya Exim Tanzania hii leo imeungana na Dunia kwa ujumla katika kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani. Katika kuadhimisha siku...

READ MORE

Urusi Yaionya Ujerumani Usambazaji wa Mafuta Ulaya

Urusi imesema huenda ikafunga bomba lake kuu la gesi hadi Ujerumani ikiwa nchi za Magharibi zitaendelea na kupiga marufuku mafuta...

READ MORE

Live; Kiongozi wa Kijeshi wa Urusi Auawa Vitani, Yasema Ukraine

Kamanda wa ngazi za juu katika jeshi la Urusi ameuawa wakati wa mapigano karibu na Kharkiv, kulingana na wizara ya...

READ MORE

SBL Yaadhimisha Siku ya Wanawake kwa Kuhamasisha Usawa na Haki za Kijinsia

    KAMPUNI ya bia ya Serengeti (SBL) inaendelea kuonyesha njia kwenye masuala ya kijinsia kwa kutoa fursa sawa kwa...

READ MORE

Video: Kishindo Cha Mbowe Leo Kutangaza Mwelekeo Wa Chama, Mamlaka Yatua Kwa Wanawake | Front Page..

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…...

READ MORE

Konyagi Yazindua Chupa Yenye Chapa Maalumu Na Kuwatambua Wanawake

    Jumatano Machi 8, 2022: Katika Kusherekea siku ya Wanawake Duniani 2022, Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited, kupitia kinywaji...

READ MORE

Rais Samia Alivyokabidhiwa na Nmb Vifaa vya Elimu kwa Wenye Uhitaji

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameishukuru na kuipongeza Benki ya NMB kwa mchango unaoenda...

READ MORE

Zungu amtoa hofu Rais Samia kuhusu Uchaguzi Mkuu 2025

NAIBU Spika wa Bunge, Mussa Azan Zungu amemtaka Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, asiwe na hofu kuhusu Uchaguzi Mkuu...

READ MORE

Waziri Ndumbaro Aitembelea Klabu ya Ajax

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro amefanya mazungumzo na Uongozi wa Klabu ya Soka ya Ajax ya Uholanzi...

READ MORE

Staa wa filamu Ukraine auawa Vitani

Staa mkubwa wa filamu nchini Ukraine, Pasha Lee aliyeamua kuweka sanaa pembeni na kuingia vitani kuipigania nchi yake, ameuawa baada...

READ MORE

Samia akutana Live na kijana Emmanuel, aomba apishwe wazungumze – Video

Rais Samia Suluhu ametembelea Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa leo ambapo akiwa Shuleni hapo ametimiza ahadi ya kukutana na Mwanafunzi...

READ MORE

Bilionea Mturuki Anaitaka Chelsea

MFANYABIASHARA na bilionea kutoka Uturuki, Muhsin Bayrak, amepokea ofa ya kutaka kuinunua Klabu ya Chelsea na muda wowote atatua London...

READ MORE

Rais Samia Atembelea Shule Ya Benjamini Mkapa – Dar es salaam-Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametembelea Shule ya Sekondari Benjamini Mkapa, Kariakoo Jijini Dar es...

READ MORE

Ukatili; Raia Wanaokimbia Vita Wapigwa Mabomu Ukraine

TUHUMA kuhusu majeshi ya Urusi kuwashambulia raia wa Ukraine zinazidi kuongezeka ambapo katika matukio ya hapo jana, raia wanaokadiriwa kufikia...

READ MORE

Ukraine: Rais Zelensky Ahimiza Vikwazo Zaidi Dhidi Ya Urusi

RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ametoa wito kwa mataifa ya Magharibi kuimarisha vikwazo dhidi ya Urusi, akikosoa viongozi kwa kutojibu...

READ MORE

Fury Ampa Tano Wladimir Klitschko

STAA wa uzito wa juu duniani, Tyson Fury, amewaunga mkono mabondia wa Ukraine, Wladimir Klitschko na Vitali Klitschko kwa kitendo...

READ MORE

Wiki ya Wanawake Kimataifa, Vodacom Yahamasisha Wasichana Kujifunza Tehama

  Wanafunzi wa kike kutoka shule mbalimbali za sekondari nchini wakionesha jinsi ya kutengeneza tovuti baada ya kupata mafunzo ya...

READ MORE

Mbowe Afunguka Mazito, Nguvu Ya Umma Imenitoa Gerezani-Video

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…...

READ MORE

Halotel Yasherekea Siku ya Mwanamke Duniani Kivingine

  Kampuni ya Mawasiliano ya Simu ya Halotel ikiwa ni sehemu ya jamii ya Tanzania inaendelea kujali na kuchangia katika...

READ MORE

Waziri Mkuu Aongoza Kikao Cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Machi 6 , 2022 ameongoza kikao cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa kilichofanyika kwenye...

READ MORE

Naibu Waziri wa Ulinzi wa Belarus Ajiuzulu

Naibu Waziri wa Ulinzi wa Belarus ambaye pia ni mwanajeshi mwenye cheo cha Meja Jenerali, Viktor Gulevich ameandika barua ya...

READ MORE

Majaliwa Akutana na Rais Mstaafu Karume

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekututana na Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Amani Abeid Karume, alipomtembelea nyumbani kwake,...

READ MORE

Msuluhishi wa Ukraine Kwenye Mzozo wa Kivita Auawa

Msuluhishi wa Ukraine kwenye mzozo wa kivita dhidi ya Urusi ameuawa na baada ya maafisa usalama wa Ukraine kugundua kuwa...

READ MORE

Idadi ya Wakimbizi wa Ukraine Yafikia milioni 1.5

Mashambulio ya Urusi dhidi ya Ukraine yaingia katika siku ya 11 huku idadi ya wakimbizi ikitarajiwa kufikia karibu watu milioni...

READ MORE

Rais Zelensky Awasihi Waukraine Kuendelea na Mashambulizi

Rais Volodymyr Zelensky amewaambia raia wa Ukraine “wamestahimili pigo” la uvamizi wa Urusi huku akiwataka raia kuendelea na mapigano.  ...

READ MORE

Urusi Yapoteza Ndege 88 Ukraine, Marubani Wakamatwa

Wizara ya ulinzi ya Ukraine imechapisha ripoti yake ya kila siku kuhusu mzozo huo. Haya hapa mambo muhimu: Vikosi vya...

READ MORE