×

Habari

Amuua Mama Yake Mzazi Kisha Kumfukia Kwenye Chemba Ya Choo

  Jeshi la polisi Jijini Arusha linamshikilia Patrick Mmasi (24) mkazi wa Njiro, jijini hapa, kwa tuhuma za kumuua mama...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Ateua Mwenyekiti Mpya wa NEC

Rais Samia Suluhu Hassan, amemteua Jaji Jackob Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), akichukua nafasi ya...

READ MORE

Wananchi wa Buchosa Washiriki Misa Ya Kuwaombea Wazazi wa Mhe. Shigongo

  Wakati sikuku ya Krismasi ikiwa imemalizika Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group na Mbunge wa Jimbo la Buchosa...

READ MORE

Mfanyabiashara wa Madini Aliyedaiwa Kuuawa na Mwanaye Azikwa – Video

MFANYABIASHARA wa madini ya Tanzanite, Ruth Mmassy anayedaiwa kuuawa na mtoto wake amezikwa leo Jumatatu Desemba 27, 2021 katika kijiji...

READ MORE

Mzee Kikwete Ahani Msiba wa Mama Mwakinyo

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete amewasili Jijini Tanga nyumbani kwa Bondia Hassan Mwakinyo kutoa mkono wa pole kwa familia kufuatia...

READ MORE

🔴#LIVE: Ukweli Ndoa Ya Dida Kuvunjika, Harmonize Asepa Na Kijiji | Hotpot…

Karibu kutazama kipindi namba moja cha Udaku ‘HOTPOT’ kinachokuletea habari mbalimbali za mastaa ndani na nje ya Tanzania. 

READ MORE

Makaburi 200 Kuhamishwa Vingunguti

BAADA ya miaka mitatu tangu baadhi ya makaburi ya Vingunguti, jijini Dar es Salaam kusombwa na maji ya Mto Msimbazi,...

READ MORE

Wawili Mbaroni Kwa Tuhuma za Mauaji Mbozi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumuua kwa kumkata kwa mapanga mtu mmoja aliyefahamika...

READ MORE

Rais Samia Asamehe Wafungwa 5,704, Atoa Masharti – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 5,704 kuachiwa huru katika kumbukizi ya...

READ MORE

Simbachawene Aagiza Polisi Kumhoji Askofu Mwingira – Video

WAZIRI wa Mambo ya Ndani George Simbachawene, amemtaka Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, kumtafuta...

READ MORE

Polisi Afika Kazini Akiwa Amelewa, Amuua Bosi Wake

OFISA mmoja wa Jeshi la Polisi Naivasha nchini Kenya amemuua kwa kumpiga risasi bosi wake aliyemuuliza mbona alifika kazini kwa...

READ MORE

🔴#LIVE: Mgonjwa Wa Akili Apata Mimba, Chanzo Chatajwa | Katambuga

Karibu kutazama kipindi cha KATAMBUGA kinachoruka hewani kila siku jumatatu hadi ijumaa kuanzia sa 4:30 asubuhi hadi sa sita kamili...

READ MORE

Askofu Akemea Wanachuo Kuishi Kinyumba

ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki la Arusha, Mhashamu Isack Amani ameonya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini kuacha mara...

READ MORE

Kifo Mhitimu SUA Wazazi Waomba Msaada wa Rais

Wakati maziko ya mwili wa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Magreth Mashuwe(22) yakifanyika kwenye makaburi ya...

READ MORE

🔴#LIVE: Tume Huru, Katiba Mnyukano Mkali, Waziri Wa Afya Atangaza Kupata Corona| ​​​​​​​​​​Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi, Front Page. Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Mama Mfanyabiashara Wa Madini Auawa Kinyama

Mama Mfanya Biashara Wa Madini Akutwa Amekufa Kwenye Shimo La Choo Mtoto Wake Adaiwa Kuhusika 

READ MORE

NMB Yatenga Mil. 240/- Kwa Washindi wa Promosheni ya MastaBata- Kivyako Vyako

  Benki ya NMB imezindua msimu wa tatu wa Kampeni ya kuhamasisha matumizi ya Kadi na Masterpass QR iitwayo 'NMB...

READ MORE

Waziri wa Afya Zanzibar Apata Uviko-19

Waziri wa Afya, Ustawi wa jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui amepata maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19...

READ MORE

Rais Mwinyi Atoa Pole Kwa Waliofariki Kwa Kula Samaki Kasa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa salamu za rambirambi kwa familia za...

READ MORE

Aliyekuwa Askofu Mkuu Wa TAG Tanzania Afariki Dunia

Askofu Prof. Ranwell Mwenisongole alikuwa Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la City Christian Center (CCC) – TAG Upanga Jijini Dar es...

READ MORE

Aliyelala Kitandani Mbeya Ajikuta Ameamkia Masasi Juu ya mti

SAILI Juma (27) mkazi wa Mbeya ambaye mapema wiki hii alilala kitandani nyumbani kwao Mbeya na ghafla akaamkia juu ya...

READ MORE

Moto Ndani ya Kivuko Waua Watu 37

KIMATAIFA Watu wasiopungua 37 wamefariki Dunia baada ya moto kuzuka ndani ya kivuko kimoja kilichofurika abiria kusini mwa mji mkuu...

READ MORE

Watoto Wanne Wafariki Unguja

Watoto wanne wamefariki Dunia, Kaskazini Unguja huku wengine 47 wakiendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya Kivunge kutokana na kula nyama...

READ MORE

TV Unayoweza Kulamba Kioo Chake Kuonja Ladha ya Chakula

MFANO wa skrini ya TV unayoweza kulamba ambayo inaweza kuwa na ladha ya chakula imetengenezwa na Profesa wa Kijapani, Reuters...

READ MORE

Pumbulu: Mila ya Kisukuma Baada ya Mwanamke Kufariki Akijifungua

MILA na Desturi zina mchango mkubwa katika jamii endapo zitaenziwa kwa kuheshimu haki zingine za binadamu, hata hivyo wakati mwingine...

READ MORE

Wagombea Ubunge Libya Waitisha Maandamano

WAGOMBEA kadhaa wa ubunge nchini Libya leo wametoa wito wa kufanyika maandamano ya nchi nzima kulaani hatua ya kufutwa kwa...

READ MORE

Kidunda: Nitafanya Vitendo Kesho, Katompa Atamba

Bondia wa ngumi za kulipwa kutoka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania’JWTZ’, Sajenti Seleman Kidunda amemtahadharisha mpinzani wake Tshimanga...

READ MORE

Ufunguo wa Jela Alikofungwa Mandela Kuuzwa Kwa Mnada

SERIKALI ya Afrika Kusini imetaka kusitishwa kwa mnada wa kuuza funguo za chumba cha jela alichokuwa akiishi hayati Nelson Mandela...

READ MORE

Harmonize, Briana Watanua na Ndinga la Sarah

DESEMBA mwaka jana, aliyekuwa mke wa staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul almaarufu Harmonize, SarahMichelotti alimtaka jamaa huyo amrudishie gari...

READ MORE

Mbwa Koko Avamia Duka la Dawa, Ashambulia Wahudumu

Kizaazaa kimeshuhudiwa mjini Thika nchini Kenya baada ya mbwa koko kuruka kwenye duka la dawa, maarufu Chemist kuvamia na kuwashambulia...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Mpango Akabidhi Zawadi za Krismasi

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango tarehe 24 desemba 2021 amekabidhi zawadi mbalimbali za...

READ MORE

Moderna Nyingine Dozi 376,320 Zatua Tanzania

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea Dozi 376,320 za Moderna ikiwa ni mwendelezo...

READ MORE

Makamu wa Rais Ashiriki Ibada ya Krismasi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akiwa na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango leo tarehe...

READ MORE

Airtel Yazindua ‘Tabasamu na Airtel TUNAKUJALI’ Maalum Kusaidia Jamii

    KAMPUNI ya simu za mkononi ya Aitel Tanzania kupitia mpango wake wa Airtel TUNAKUJALI imetangaza kuzindua mpango kampeni...

READ MORE

Vodacom Yamwaga Zawadi kwa Ajili ya Kampeni ya Show Love’ Tule Shangwe

Mkuu wa Vodacom Kanda ya Dar es Salaam na Pwani, Birgita Shirima akizungumza kwenye hafla ya ugawaji zawadi hizo.   ...

READ MORE

Watoto Wadogo Marufuku Majumba ya Starehe

JESHI la Polisi Mkoa Arusha limewataka wakazi mkoa Arusha, kuchukuwa tahadhari za uhalifu na kutopeleka watoto wadogo kwenye majumba ya...

READ MORE

Rais Samia Atoa Zawadi za Krismasi kwa Majirani Zake

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa zawadi mbalimbali kwa wakazi wa kituo cha wasioona...

READ MORE

Mlemavu, Ombaomba Ajenga Nyumba Mbili za Zaidi ya Tsh Mil 100

Mary Stephano ni mlemavu wa miguu ambaye shughuli yake kubwa ni ombaomba, kazi anayoifanya katikati ya jiji la Mwanza. Mary...

READ MORE

Zanzibar Yarudisha Darasa la Saba

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar imefanya mabadiliko katika ngazi ya elimu ya msingi kwa kurejesha darasa la...

READ MORE

Aliemuua Mama Yake Marekani Akamatwa Bongo

  MWANADADA WYLUVA Ngongoseke, Mtanzania ambaye mama yake mzazi Catherine Ngongoseke (60) amekutwa akiwa ameuwawa kwa kuchomwa visu nyumbani kwake...

READ MORE