×

Habari

Waziri Kijaji Aipongeza NHC Kwa Kazi Nzuri

KWA mara nyingine NHC imeaminiwa na Serikali ya Awamu ya Sita kwa kupewa dhamana ya kuwa Mkandarasi wa jengo la...

READ MORE

Fahamu Kuhusu Fimbo ya Mwalimu Nyerere

WATU wengi waliobahatika kumuona aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere walikuwa wanamuona...

READ MORE

SGA Security Yazindua Kituo cha Kisasa cha Mawasiliano

      SGA Security, ambayo ni moja ya makampuni yanayoongoza katika huduma za ulinzi, imezindua kituo cha kisasa cha...

READ MORE

Siyani Ateuliwa Kuwa Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu

RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua   Jaji Mustapha Siyani kuwa Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania akichukua nafasi iliyoachwa wazi...

READ MORE

Sierra Leone Yafuta Adhabu ya Kifo

Sierra Leone imefuta rasmi adhabu ya kifo, baada ya Rais Julius Maada Bio kusaini muswada wa sheria mpya unaokataza adhabu...

READ MORE

Ndege ya Uswisi Yatua Tanzania Kuanza Safari Zake

Ndege aina ya Airbus A343 ya Shirika la Ndege la Uswisi EDELWEISS, imetua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...

READ MORE

Rais Samia Amtumbua Sengati, Amteua Sophia Mjema Kuwa RC.

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Sofia Mjema kuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga. Mjema...

READ MORE

Polisi Waliofukuzwa Kazi Walikuwa Wakikimbiza Magendo ya Sh 30,000

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amesema tukio la polisi saba waliovuka mpaka na kuingia nchini Malawi...

READ MORE

Mwanamke Auawa kwa Mapanga

Serengeti. Watu watatu ambao hawajajulikana wamemuua Sikujua Maghembe (51) mkazi wa Kitongoji cha Nyakitono Kijiji cha Makundusi Kata ya Natta...

READ MORE

Gomes, Nabi Kimeumana

KIMEUMANA! Katika kuhakikisha wanarejea wakiwa imara kwa ajili ya ushindani, Kocha Mkuu wa Simba, Mfaransa, Didier Gomes na Kocha wa...

READ MORE

Rais Mwinyi Apokea Ndege Mpya 2 – Video

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi la Zanzibar, Dkt Hussein Mwinyi amezipokea ndege mpya 2 za Serikali...

READ MORE

Sakho Aandaliwa Kuwavaa Wabotswana

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Pape Ousmane Sakho, amepewa programu maalum na benchi la ufundi la timu hiyo, ili kuhakikisha anakuwa...

READ MORE

Dozi Nyingine 576,558 za Chanjo Zatua Nchini – Video

SERIKALI ya Tanzania imepokea dozi nyingine 576,558 za chanjo dhidi ya Uviko-19 aina ya Sinopharm kutoka China. Dozi hizi zimeletwa...

READ MORE

Uingereza Yaiondolea Zuio Tanzania

SERIKALI ya Uingereza imeondoa zuio la kusafiri kwa abiria kutoka Tanzania na nchi zingine 46 zilizokuwa zimepigwa marufuku mapema mwaka...

READ MORE

Waziri Mkuu Amsimamisha Kazi Afisa Mipango Liwale

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Afisa Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale, Bw. Omary Chingwile ili kupisha uchunguzi...

READ MORE

Aliyekatwa Mkono 2015 Aomba Msaada

LEMI Luchumi mwenye ulemavu wa ngozi, ambaye alikuwa mkazi wa Mamba, Mlele mkoani Katavi na kuhama kijijini hapo baada ya...

READ MORE

Fahamu Taratibu za Kubadilisha Umiliki wa Gari – Video

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kumekuwepo na changamoto kubwa ya baadhi ya watu wanakuwa wamesajili vyombo vya moto...

READ MORE

Shilingi Milioni 40 Kushindaniwa CRDB Bank Taifa Cup 2021

    Dar es Salaam 7 Oktoba 2021 – Timu 32 za mikoa za mpira wa kikapu zinatarajiwa kuchuana vikali...

READ MORE

Kigogo Chadema Afikishwa Kortini kwa Tuhuma za Kumchafua IGP Sirro

Mwenyekiti wa Baraza la wazee wa Chama  cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Hashim Issa (63), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Ndege Mbili Kupokelewa Kesho Z’bar

NDEGE mpya 2 aina ya Airbus A220-300, zilizonunuliwa na Serikali ya Tanzania zimeondoka nchini Canada kuja Tanzania.   Ndege hizo...

READ MORE

Ajali: Magari Mawili Yateketea Kwa Moto, Chanzo Cha Moto Kinashangaza, Afisa Misitu Afunguka-Video

  Gari aina Nissan Patrol ya Idara ya maji ya Halmashauri ya Mji wa Makambako na semitela mbili zimeungua kwa...

READ MORE

Mtanzania Ashinda Tuzo ya Nobel

Abdulrazak Gurnah huwenda likawa ni jina jipya kabisa masikioni mwako ila huyu ni Mtanzania aliyezaliwa Zanzibar mwaka 1948 ni Profesa...

READ MORE

Sokwe Ndakasi Afariki Dunia

Sokwe anayefahamika kwa jina la Ndakasi, aliyepata umaarufu kupitia picha iliyopigwa mwaka 2019 akiwa ameweka pozi katika ‘selfie’ na mhifadhi...

READ MORE

CEO Azam Asuka Mipango ya Ubingwa

KATIKA kuhakikisha kuwa wanakuwa na kikosi imara ambacho kitakuwa na uwezo wa kupambania makombe katika michuano wanayoshiriki, uongozi wa klabu...

READ MORE

Coca-Cola Rolls Out Sprite in New Clear PET Plastic Packaging in Tanzania

Dar es Salaam, October 2021; The Coca-Cola system in Tanzania has officially unveiled the new iconic look of its leading sparkling...

READ MORE

Amuua Mwenzake Wakigombani Mwanamke

Mwanamume mmoja nchini Kenya ambaye jina lake halikufahamika anadaiwa kumuuwa kwa kumpiga na jiwe kichwani mwanaume mwenzake David Maina (35),...

READ MORE

Tamisemi Yafafanua Wanafunzi Wanaotumia Mtumbwi Kwenda Shule

OFISI ya Rais TAMISEMI imekiri kuona video fupi inayosambaa kwenye mitandao ikionesha wanafunzi wakitumia mitumbwi kwenda na kutoka shuleni.  ...

READ MORE

Kanali Doumbouya Amteua Beavogui Kuwa Waziri Mkuu

Kiongozi wa jeshi la Guinea amemtaja mfanyikazi wa zamani wa serikali Mohamed Beavogui kama waziri mkuu kusimamia mabadiliko ya utawala...

READ MORE

Tetemeko la Ardhi Laua 20 na Kujeruhi Zaidi ya 300 Pakistan

TAKRIBANI watu 20 wakiwemo watoto saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 300 kujeruhiwa, katika tetemeko lililoipiga Pakistan usiku wa...

READ MORE

Mwenyekiti wa Baraza la wazee CHADEMA Afikishwa Mahakamani

  Mwenyekiti wa Baraza la wazee wa Chama  cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Hashim Issa (63), amefikishwa katika Mahakama ya...

READ MORE

Nmb Yaanza Kutoa Mikopo Ya Riba Nafuu Kwa Wavuvi, Wafugaji..

    Benki ya NMB inapenda kuwatangazia wateja wake wote walioko kwenye mnyororo mzima wa sekta ya kilimo, ufugaji na...

READ MORE

Gari Lawaka Moto Ubungo Usiku – Video

TRELA la lori la mizigo lenye namba T165 DVG limewaka moto usiku wa kuamkia leo katika eneo la Ubungo Kibo...

READ MORE

Kisa Ronaldo… Ferguson Amuwakia Solskjaer

KOCHA wa zamani wa Manchester United, Sir Alex Ferguson amemueleza kocha wa sasa wa timu hiyo, Ole Gunnar Solskjaer kwamba...

READ MORE

Benki ya Exim Yaadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja

Dar es Salaam: October 6th, 2021: Benki ya Exim Tanzania imeungana na watoa huduma ulimwenguni kote kusherehekea wiki ya Huduma...

READ MORE

EWURA Yatangaza Bei Mpya ya Mafuta

EWURA imetangaza bei mpya za mafuta ya petroli yaliyopita Bandari Dar ambapo yamepanda kwa TZS 12/lita,badala ya TZS 145/lita ambayo...

READ MORE

Prof. Assad: Niliondolewa Ofisini Kinyume cha Taratibu – Video

ALIYEKUWA Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad amesema hapendi kuitwa mstaafu na neno hilo...

READ MORE

Shehena Nyingine ya Chanjo Kutua Nchini Soon

    Serikali ya Tanzania inatarajia kupokea Shehena ya pili ya chanjo ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO 19)...

READ MORE

Diary ya Shigongo: Kwa Nini Ukatishwe Tamaa na Mwenye Kukata Tamaa?

NDUGU yangu, mafanikio siku zote yanakuja kutokana na wewe kujenga uwezo au nguvu ya kukusaidia kufanikiwa kila siku. Hapo nikiwa...

READ MORE

40 Ya Hamza: Viongozi wa CCM, Wanakijiji Wachinja Ng’ombe Kumuenzi -Video

Jana Oktoba 5, 2021 zimetimia ni siku ya 40 tangu kijana Hamza aliyeuwa askari Dar es Salaam kisha na yeye...

READ MORE

G2E. Mfumo Mpya wa Kubashiri, Ofa za Michezo Pamoja na Jakipoti Kubwa za Kasino

Kama kampuni kubwa ya michezo ya kubashiri duniani, ikiwa inafanya kazi kwenye mabara manne, Meridian Gaming itashiri maonesho makubwa duniani...

READ MORE