×

Habari

Baada ya Kumng’oa Maduro, Trump Afungua Mlango wa Mazungumzo na Colombia

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema atakutana na Rais wa Colombia, Gustavo Petro, katika Ikulu ya White House hivi karibuni,...

READ MORE

Nafasi 27 za Ajira kwa Wahudumu wa Maduka Dar, Zipo Hapa leo

Kampuni zinazoongoza kwenye huduma za maduka zinatafuta wasichana 27 wenye weledi na tabia nzuri za kuhudumia wateja. Nafasi hii ni...

READ MORE

Jennifer Lopez Aweka Sokoni Nyumba ya Ndoto Yake Beverly Hills

Msanii maarufu Jennifer Lopez ameweka sokoni jumba lake la kifahari lililopo Beverly Hills, ambalo linatajwa kuwa miongoni mwa nyumba za...

READ MORE

Trump Aogopa Mashtaka ya Kikatiba, Aelekeza Macho Uchaguzi wa 2026 – Video

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa onyo kali kwa wabunge wa chama chake cha Republican, akidai kuwa wasiposhinda uchaguzi wa...

READ MORE

Mke wa Saidi Fella Awaomba Watanzania na Rais Samia Kumsaidia mume wake – Video

Mke wa Saidi Fella, Sweet Fella, amewaomba Watanzania wajitokeze kumsaidia mume wake ili aweze kurejeshwa India kwa ajili ya matibabu...

READ MORE

Video: Mwenyekiti wa Mtaa wa Oysterbay Aeleza Mtego Uliowanasa Wachina

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Oysterbay, Mololo Mwaisumo, ameuelezea umma namna walivyofanikiwa kuwaweka mtegoni na kuwanasa raia wawili wa...

READ MORE

Serikali Yazalisha Ajira Zaidi ya 1,400 Nje ya Nchi kwa Vijana na Wanawake

Serikali imefanikiwa kuzalisha ajira zaidi ya 1,400 za vijana na wanawake kwenda kufanya kazi nje ya nchi katika kipindi cha...

READ MORE

AFCON 2025: Vita ya Nusu Fainali Yaiva Januari 9 na 10

Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 imeingia hatua ya Robo Fainali, ambapo timu nane bora barani Afrika...

READ MORE

Nilivyogundua Chanzo cha Migogoro ya Kila Siku Nyumbani na Jinsi Nilivyoimaliza

Kwa muda mrefu, nyumba yetu haikuwa na amani. Kila siku kulikuwa na mabishano madogo yaliyogeuka makubwa bila sababu ya msingi....

READ MORE

Raia Wawili wa China Wakabiliwa na Kesi ya Uhujumu Uchumi – Video

Raia wawili wa China, Weisi Wang (41) na Yao Licong, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na kesi...

READ MORE

Video: Wachina Waliokamatwa Na Maburungutu Ya Pesa, Takukuru Wabaini Ni Za Utapeli

Kamanda wa TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni, Christian Nyakizee, ametoa ufafanuzi kuhusiana na sakata...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Tunguu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza Kikao cha Kawaida cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika...

READ MORE

Ramaphosa Amkosoa Marekani: ‘Hujuma Dhidi ya Venezuela Inakiuka Mamlaka ya Nchi

Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amepinga kikamilifu hujuma ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela ambayo amesema inadhoofisha mamlaka...

READ MORE

Video: Kaka wa Lissu Afichua Hali ya Familia Yao Baada ya Kesi ya Uhaini

Wakili Alute Mughwai, kaka wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema mwaka 2025 ulikuwa mgumu sana kwa...

READ MORE

Polisi waanza uchunguzi wa picha ya raia wa kigeni na mifuko ya fedha

Jeshi la Polisi Tanzania limethibitisha kuanza uchunguzi wa kina kufuatia kusambaa kwa picha mjongeo inayomwonesha raia wa kigeni mwenye asili...

READ MORE

Airtel Tanzania Supports Healthcare Sector Through Digital Connectivity at Annual Medical Conference

Moshi, Tanzania, January 2026 — Airtel Tanzania has reaffirmed its commitment to strengthening Tanzania’s healthcare sector by sponsoring internet connectivity...

READ MORE

Waziri Kikwete Amtembelea Mama Maria Nyerere Na Mama Anna Mkapa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Ridhiwani Kikwete amewatembelea na kuwajulia hali...

READ MORE

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa kuanzia leo

Dar es Salaam, Januari 7, 2026 – Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo...

READ MORE

Ratiba Nzito Barani Ulaya: Mechi Kubwa Zinarudi, Butua Maokoto na Meridianbet

Leo hii ni siku nzuri sana kwako mteja wa Meridianbet kwani mechi za Ligi mbalimbali na zile za AFCON zipo...

READ MORE

Mabasi 30 Ya Udart Kurejea Barabarani, Huduma Kufika Mloganzila – Prof. Shemdoe

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe amefanya ziara ya ukaguzi katika karakana ya UDART...

READ MORE

Bunge la Venezuela latangaza tume ya kufuatilia suala la Rais Maduro

Waziri mmoja wa Venezuela ametoa taarifa ya kuundwa tume maalumu katika bunge la nchi hiyo ya kumkomboa Rais Nicolas Maduro...

READ MORE

Simbachawene: Polisi lazima walinde raia kwa haki, usawa na uadilifu – Video

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amewataka maafisa wakaguzi na askari wa Jeshi la Polisi wa vyeo...

READ MORE

Chelsea yamtangaza Liam Rosenior kuwa kocha mkuu mpya

Klabu ya Chelsea imethibitisha uteuzi wa Liam James Rosenior kuwa kocha mkuu mpya, akichukua nafasi ya Enzo Maresca aliyefutwa kazi...

READ MORE

Machado aapa kurudi Venezuela Amshukuru Trump na kutaka uchaguzi huru

Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Venezuela, Maria Corina Machado, ameapa kurejea nyumbani “haraka iwezekanavyo” na kusisitiza kuwa nchi hiyo iko...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 7, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Wachina Wakamatwa Dar Wakiwa Na Bilioni 6 Ndani Ya Nyumba – Video

Taarifa zilizosambaa mapema leo, Januari 6, 2026, kwenye mitandao ya kijamii zimeeleza kuwa raia kadhaa wa China wamekamatwa katika eneo...

READ MORE

Rais Samia afanya mazungumzo na Viongozi wa Wizara ya Ulinzi na JWTZ Zanzibar – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo...

READ MORE

Rais Mwinyi Afungua Flyover Ya Dkt.Hussein Ali Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahakikishia wananchi kuwa Serikali itawalipa fidia wananchi...

READ MORE

Wananchi Arusha waeleza machungu ya Oktoba 29 mbele ya Tume ya Uchunguzi

Baadhi ya wananchi mkoani Arusha wameieleza Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, 2025 changamoto mbalimbali walizokumbana nazo wakati...

READ MORE

Video: Mke wa Saidi Fella azungumzia hali ya mumewe na sapoti anayoipata

Mke wa Saidi Fella, Sweet Fella amesema kuugua kwa mumewe kwake ni ibada. Sweet ameandika kwenye ukurasa wake wa Instagram...

READ MORE

#Part2: Mkasa Wa Kweli Wa Mtumishi Mathayo Aliyegeuzwa Fisi Abebe Maiti, Aomba Msaada – Video

Katika kijiji cha Balangda, wilayani Hanang’, mkoani Manyara, anaishi Mathayo Darema, mtumishi wa Mungu mwenye ulemavu ambaye miaka mitatu iliyopita...

READ MORE

Nilikuwa Nakosa Usingizi Usiku Kutokana na Mawazo Mpaka Nilipoijua Mbinu Hii

Kwa muda mrefu, usingizi ulikuwa adui yangu. Nililala kitandani nikigeuka pande zote, mawazo yakikimbia bila kikomo. Nilifikiria kazi, familia, pesa,...

READ MORE

Waziri Sangu Awaagiza Wenye Viwanda Kuimarisha Afya na Usalama wa Wafanyakazi

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, akizungumza na menejimenti na watumishi wa...

READ MORE

Mfanyabiashara Keko Ashinda Mil. 10 za Magift Pesa

Dar es Salaam, Tanzania – Kampeni ya “Magift ya Mixx Pesa,” inayoendeshwa na Kampuni ya huduma za kifedha kwa njia...

READ MORE

Singida Black Stars Yafanya Mabadiliko Makuu: Ouma Kocha Mkuu, Najjar Meneja Mkuu

Singida Black Stars imethibitisha kumteua David Ouma kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo, akichukua nafasi ya Miguel Angel Gamondi, ambaye...

READ MORE

Maduro Afikishwa Mahakama baada ya Kukamatwa na Marekani

Rais wa zamani wa Venezuela aliyeondolewa madarakani, Nicolás Maduro, amefikishwa katika Mahakama ya Shirikisho ya Manhattan leo Januari 5, 2026...

READ MORE

Video: Kikwete Asema Urais ni Mpango wa Mungu, Afafanua Nafasi ya Kiongozi

Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete, amesema suala la kuwa kiongozi hususan urais ni mipango ya Mungu. Kikwete amesema tume iliyoundwa...

READ MORE

Rais Samia Akabidhiwa Tuzo Tatu za Utalii Kimataifa – Picha

Rais Samia Suluhu Hassan, amepokea tuzo tatu za kimataifa za utalii zilizotolewa na Taasisi ya World Travel Awards (WTA), katika...

READ MORE

Mwigulu Azindua Skuli Mpya Zanzibar, Apongeza Rais Mwinyi kwa Uwekezaji wa Elimu

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 05, 2026 amefungua Skuli ya Sekondari Chukwani, Zanzibar ikiwa ni sehemu ya shamrashamra...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Afungua  Skuli Ya Chukwani  Zanzibar 

Ampongeza Dkt. Mwinyi kwa uwekezaji katika sekta ya Elimu WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 05, 2026 amefungua Skuli...

READ MORE