×

Habari

Mbeto: Siku 100, Siyo Penalti Ya Mwisho Kwa Rais Samia, Ampa Tano Rais Mwinyi

KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC Zanzibar, Idara ya Utikadi, Uenezi na Mafunzo, Khamis Mbeto Khamis, amesema Mafanikio katika kuwaletea...

READ MORE

Trump Aipa Iran Mwezi Mmoja Kufikia Makubaliano ya Nyuklia

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa onyo kali zaidi kwa Serikali ya Iran, akitaka pande hizo mbili zifikie makubaliano ya...

READ MORE

Tanzania Creator’s Awards 2026: Washindi Watikisa Ukumbi wa Mlimani City (Picha +Video)

 USIKU wa kuamkia leo Februari 13, 2026, burudani ilihamia rasmi katika ukumbi wa Mlimani City Conference Centre, ambapo hafla...

READ MORE

Usikose! Bashiri na Meridianbet Ushinde Samsung A26 Leo

Kupitia promosheni kabambe ya Bet Online, mteja anaweza kujishindia simu janja aina ya Samsung A26 na kutimiza ndoto zake. Changamkia...

READ MORE

Benki Ya Exim Kuwa Mdhamini Mkuu Wa Z Summit 2026

Benki ya Exim Tanzania imedhihirisha tena dhamira yake ya muda mrefu katika kuchochea ukuaji na ustawi wa sekta ya utalii...

READ MORE

Ushindi Upo Meridianbet Ukicheza Super Heli Premium

Meridianbet Tanzania imeizindua rasmi Super Heli Premium, mchezo wa kasino ulioundwa kwa kasi, maamuzi ya haraka na malipo yanayoweza kubadilisha...

READ MORE

Bibi wa Miaka 88 Afanya Safari ya Ndege ya Kwanza Kutimiza Ndoto Yake ya Maisha

La Crosse – Chicago, Februari 8, 2026 – Bibi Frances Dahlke, mwenye umri wa miaka 88, amepata zawadi ya kipekee...

READ MORE

Rais Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa Bole,...

READ MORE

Hafla ya Tuzo za Tanzania Creator Kufanyika Leo Mlimani City

Dar es Salaam – Leo Alhamisi, Februari 12, 2026, macho na masikio ya wadau wa burudani yameelekezwa katika Ukumbi wa...

READ MORE

Kamisheni ya Utalii Zanzibar Yatoa Mwongozo Maalum Kuelekea Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

Zanzibar – Kamisheni ya Utalii Zanzibar imewataka watalii, wafanyabiashara pamoja na wadau wote wa sekta ya utalii visiwani humo kuheshimu...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Ataka Ushirikiano Wa Kikanda Kwenye Mapambano Dhidi Ya Saratani

▪Asisitiza Tanzania itaendelea kuwa kituo bora cha ushirikiano wa kikanda na Afrika ▪Asema shilingi bilioni 18.5 zimetengwa kwa ajili ya...

READ MORE

Lissu Alalamikia Kutopatiwa Chakula, Kesi Yaahirishwa Kwa Muda

Dar es Salaam – Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, imeahirishwa kwa muda wa dakika 15...

READ MORE

Rais Samia Aondoka Tanzania Kwenda Addis Ababa Kuhudhuria Mkutano wa AU

Dar es Salaam, Februari 12, 2026 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekiagana na...

READ MORE

Watoto Wawili Wauawa Serengeti, Mtuhumiwa Auwawa na Wananchi

Wakazi wa Kijiji cha Rung’abure, Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, wamekumbwa na tukio la kusikitisha la mauaji ya watoto wawili...

READ MORE

Diamond Platnumz Aachia Video Mpya ya ‘Natulizana’

Msanii nyota wa Bongo Fleva na Mkurugenzi Mtendaji wa WCB Wasafi, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ameachia video ya...

READ MORE

Tanzania na Urusi Zakubaliana Kuimarisha Biashara, Nishati na Madini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amefanya ziara ya kikazi nchini...

READ MORE

Ujio Wa Kalamba Games Wazigeuza Sloti Kuwa Safari Ya Burudani Na Ushindi

Vipi kama kila mzunguko wa sloti ungekuwa mwanzo wa safari mpya? Meridianbet sasa inakupa fursa hiyo baada ya kuwakalibisha Kalamba...

READ MORE

Rais Mnangagwa Apendekezewa Mfumo Mpya wa Uchaguzi Kupitia Bunge

Baraza la Mawaziri la Zimbabwe limeidhinisha rasimu ya sheria inayopendekeza mabadiliko makubwa ya kikatiba, hatua itakayomruhusu Rais Emmerson Mnangagwa (83)...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 12, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Rais Samia Ateua Wenyeviti wa Bodi Anne Makinda, Prof Maboko Na Wengine 3 -Video

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wenyeviti wa bodi mbalimbali za taasisi...

READ MORE

RC Chalamila Achukizwa na Kasi ndogo ya Utekelezaji wa Miradi ya BRT Kinondoni

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ameeleza kutoridhishwa na kasi ya ujenzi wa barabara ya mwendokasi ya BRT phase...

READ MORE

Kilombero Sugar Yaendelea Kukuza Mpango wa Uwezeshaji wa TEHAMA

Morogoro, 12 Februari 2026 Kampuni ya Sukari Kilombero imekamilisha kwa mafanikio Awamu ya Pili ya Mpango wa Uwezeshaji wa TEHAMA...

READ MORE

Nmb Yadhamini Maonesho ya Tri-Nations Livestock Expo Kwa Mil 300, Serikali Yaipongeza

Benki ya NMB imekabidhi mfano wa hundi yenye dhamani ya Sh. Mil. 300 kama uzamini wa miaka 3 ya Maonesho...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Akabidhi miundombinu 21 ya utalii ya Shillingi billioni 114

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amezindua na kukabidhi miundombinu 21 ya utalii yenye thamani ya Shillingi billioni 114.62. Amesema ujenzi...

READ MORE

Yanga Watangaza Viingilio vya Mchezo wa CAFCL Dhidi ya JS Kabylie Zanzibar

Klabu ya Young Africans (Yanga SC) imetangaza rasmi viingilio vya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) dhidi ya...

READ MORE

OSHA Yaja na Mpango wa Kuwezesha Biashara na Uwekezaji Nchini

Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda, akizungumza na washiriki wa kikao kazibaina ya OSHA na Maafisa Biashara wa Mikoa...

READ MORE

Mahakama Yatupilia Mbali Mapingamizi 3 ya Lissu, Lakubali Hoja Kuhusu Kizimba cha Shahidi wa Siri

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali mapingamizi matatu kati ya manne (4) yaliyowasilishwa na...

READ MORE

Kamati ya Bunge Yaipongeza Tarura Kwa Kuimarisha Barabara, Kuokoa Maisha ya Wananchi

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Mhe. Selemani Kakoso ameipongeza Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA)...

READ MORE

Waziri Mkuu Azindua Uwanja wa Ndege Mtemere Mloka Mkoani Pwani

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 11, 2026 amezindua uwanja wa ndege Mtemere uliopo katika kijiji cha Mloka, mkoani...

READ MORE

Mama wa Chid Benz Afariki Dunia, Msiba Upo Chanika jijini Dar

Mama mzazi wa msanii wa Hip Hop, Rashid Makwilo almaarufu Chid Benz, Bi Hawa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo,...

READ MORE

Scholes Aishauri Man United Kumsajili Cristian Romero Kutoka Tottenham

Nguli wa Manchester United Paul Scholes ameishauri klabu yake ya zamani kufanya usajili wa beki wa Tottenham Hotspur, Cristian Romero,...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Kuzindua Miundombinu ya Kisasa ya Utalii Hifadhi ya Nyerere

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Februari 11, 2026, ameelekea katika Hifadhi ya Taifa...

READ MORE

TEMESA Yatangaza Nafasi 6 za Meneja wa Kanda, Maombi Mwisho Februari 20

Kwa niaba ya Wakala wa Huduma za Ufundi za Umeme, Mitambo na Elektroniki Tanzania (TEMESA), Ofisi ya Rais – Sekretarieti...

READ MORE

Vera Sidika Afunguka Kuwa Single, Avutiwa na Wanaume wa Tanzania

Mrembo na staa wa mitandao ya kijamii kutoka Kenya, Vera Sidika (@queenveebosset), ameweka wazi hali yake ya mahusiano, akithibitisha kuwa...

READ MORE

Rashford Aondoka Rasmi kwenye Mipango ya United, Carrick Aweka Msimamo Wazi

Manchester United wanaonekana kuendelea na mipango yao ya muda mrefu bila kumjumuisha Marcus Rashford, huku hatma ya mshambuliaji huyo ikizidi...

READ MORE

Historia ya Mazda Familia Van – Kutoka Mazda Asili hadi Toyota Probox

  Mazda Familia Van — Muhtasari wa Historia 1. Mwanzo wa Familia Van (Miaka ya 1960) Mazda Familia ilianza kama...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Aongoza Kikao Cha Kamati Ya Kitaifa Ya Afcon 2027

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027)...

READ MORE

Samsung Imezindua Maduka Mapya Ya Brand Store Kunduchi Na Ubungo

Ikionyesha Uzoefu Kamili wa Wateja wa Samsung Dar es Salaam, Tanzania, 10 Februari 2025: Samsung Electronics East Africa imezindua rasmi...

READ MORE

Ferrari Yatoa Jina la Gari Lake la Kwanza la Umeme “Luce” – Video

Ferrari imevunja utulivu wa wapenzi wa magari na tech baada ya kutangaza rasmi jina la gari lake la kwanza la...

READ MORE

Mwanachuo Mwaka wa Kwanza Mbaroni Kwa Kusafirisha Dawa Za Kulevya

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wanne ambao ni Wilfred Komba, miaka 24, Mwanachuo mwaka wa kwanza katika...

READ MORE