×

Habari

Mpango Amwaga Chozi Akitoka Hospitali -Video

WAZIRI  wa Fedha na Mipango, Dk. Phillip Mpango, leo Februari 23, 2021, ameruhusiwa kutoka katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini...

READ MORE

Amuua Mwanamke Aliyemkuta Akinywa Pombe na Mumewe

DAYANE RAFEELLE de SILVA ROGRIGUES (31) anashikiliwa na polisi  huko Caera, Brazil, kwa kumwua mwanamke  mmoja aitwaye Djaiane Batista Barros...

READ MORE

Askofu Malekana: Matamko Yanatengeneza Taharuki

Imeelezwa kuwa matamko na nyaraka zinazotolewa na viongozi wa madhehebu mbalimbali nchini inapaswa yatolewe na wizara ya afya kwa sababu...

READ MORE

Taasisi Nne Kuchunguza Shule Ya Don Bosco – Tanga

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Ummy Mwalimu amesema ataunda timu ya wataalamu...

READ MORE

Mazishi ya Mume wa Vicky Kamata – Video

  MWILI wa Mume wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Mapinduzi CCM, Vicky Kamata, Dk. Servacius Likwelile,...

READ MORE

UDART Yatoa Mwongozo wa Kujikinga na Corona kwa Abiria Wake

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetoa Mwongozo kwa Watumiaji wa Magari ya Mwendokasi ili kujikinga...

READ MORE

Balozi wa Italia Alivyouawa DR Congo

  WIZARA ya mambo ya nje ya Italia imesema kuwa balozi wake nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ameuawa katika...

READ MORE

Biden Aomboleza Waliokufa kwa #Covid-19

TANGU kutokea kwa janga la #CoronaVirus duniani kumekuwa na athari katika maeneo mbalimbali huku Marekani ikiwa nchi iliyoathirika zaidi.  ...

READ MORE

RC Awaita Watalaam wa Asili Kutibu Maradhi ya Kupumua

MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa amesema anawataka wale wote wenye tiba za asili za Pumu, Kifua, Mafua, Maumivu...

READ MORE

DRC Yataja Waliohusika Mauaji Balozi wa Italia

SERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imewashutumu waasi wa FDLR wenye asili ya #Rwanda kwa shambulio lililosababisha mauaji...

READ MORE

Walimu Wadai Hawako Salama na Corona

SHULE  zimeshindwa kufunguliwa leo nchini Malawi baada ya walimu kugoma wakisema hawako salama katika mazingira ya kazi. Wametoa madai kadhaa...

READ MORE

Dorothy Semu Kaimu Mwenyekiti Wa ACT-Wazalendo Taifa

    Chama cha ACT Wazalendo kimemteua Dorothy Semu kuwa Kaimu Mwenyekiti wa Chama hicho Kitaifa kufuatia kifo cha Mwenyekiti...

READ MORE

Breaking News: Mwenyekiti Wa CCM Simiyu Afariki Dunia

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu, Enock Yakobo amefariki dunia leo Februari 23, 2021 katika Hospitali ya...

READ MORE

Bobi Wine Aifuta Kesi Dhidi ya Museveni

KIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Uganda cha National Unity Platform (NUP), Robert Kyagulanyi, maarufu Bobi Wine ameondoa mashtaka yake...

READ MORE

Wanafunzi Walivalia Njuga Sakata la Mimba za Utotoni

WANAFUNZI wa shule za sekondari Wilaya ya Busega Mkoa wa Simiyu wameziomba bodi, na uongozi wa shule kuwa na kikao...

READ MORE

Mtwara: Wanafunzi Wasomea Chini ya Mkorosho

WANAFUNZI  wa Shule ya Msingi Namalombe wilaya ya Nanyumbu mkoa wa Mtwara pamoja na Mwalimu mkuu wao, Bwanaheri Akili, wameiomba...

READ MORE

Likwalile kuzikwa leo Mpiji-Magoe

MWILI wa katibu mkuu wa zamani wa wizara ya fedha na mipango nchini Tanzania, Dk. Servacius Likwelile, unazikwa leo Jumanne...

READ MORE

NMB Bonge la Mpango; Jishindie hadi Sh. Milioni 500/-

Benki ya NMB imeizindua kampeni inayojulikana kama ‘Bonge la Mpango’ ambayo itawawezesha wateja kushinda fedha taslimu, Pikipiki ya Miguu mitatu,...

READ MORE

Washindi 424 wa Kila wiki, Mwezi wazoa Zawadi za Mamilioni

KUELEKEA droo kuu ‘Grand Finale’ ya Kampeni ya NMB MastaBATA, Benki ya NMB imewataka wateja wake kuongeza kasi ya matumizi...

READ MORE

Itel Yawatoa Out ‘Valentine Dinner’ Wataje Wake

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Itel Tanzania imefanya droo yake ya kwanza hivi karibuni  katika promosheni inayoendelea kwa jina...

READ MORE

Rais JPM Kufanya Ziara ya Siku 2 Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu Jijini...

READ MORE

Dk. Mollel: Wanadai Hatutoi Data za Corona ni Ujinga Mtupu – Video

  SERIKALi imesema matumizi ya data za magonjwa yote, ni kwa ajili ya kuchakata na kisha kuja na mbinu za...

READ MORE

Serikali Yatoa Kanuni 8 za Kujikinga na #COVID19

  Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeendelea kusimamia na kusisitiza utekelezaji wa tahadhari ya magonjwa...

READ MORE

Holodomor Janga la Njaa, Watu Walikula Nyama za Watu

Mwaka 1932-1933 lilitokea janga la njaa hatari sana lililoikumba Ukraine, Janga ilo liliitwa Holodomor. Kukosekana kwa chakula kulipelekea watu kuanza kulana...

READ MORE

Mama Samia: JPM ni Baba wa Madini

MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan, leo amefungua Kongamano la kimataifa la Uwekezaji katika Sekta ya Madini lenye lengo la...

READ MORE

Serikali Kutumia Ndege Kuua Nzige Simajiro, Longido

Waziri wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda amesema ndege itapuliza sumu kuua nzige katika Wilaya za Simanjiro na Longido leo. Amewataka...

READ MORE

Global Radio Yatunukiwa Tuzo ya Radio Bora Mtandaoni

HATIMAYE  ile tuzo ya Radio Namba Moja ya Mtandaoni Tanzania iliyotolewa na Tanzania Digital Awards  iliyobebwa ‘kibabe’ na +255 Global...

READ MORE

Balozi wa Italia nchini Congo Afariki Katika Shambulio

    BALOZI wa Italia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Luca Attanasio,  na watu wengine wawili, wamefariki katika...

READ MORE

Wanne Mbaroni kwa Kuzusha Vifo vya Corona

  POLISI Mkoa wa Pwani inawashikilia watu wanne waliokamatwa ndani ya mkoa huo wakituhumiwa kutumia mitandao ya kijamii kueneza uvumi...

READ MORE

Ndege ya Marekani Yadondosha Mabaki ya Injini

  NDEGE ya Boeing ililazimika kudondosha mabaki ya injini yake katika eneo la makazi mjini Denver, Marekani, baada ya injini...

READ MORE

Meridian Bet Yadhamini Mafunzo ya Lishe Bora Dar

  KAMPUNI ya kubashiri matokeo ya Meridian Bet imepanua wigo katika kusaidia jamii na jana imesaidia kufanikisha mafunzo ya lishe...

READ MORE

RC Chalamila: Matangazo ya Vifo Mtaani, Tabia Hiyo Ife

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amepiga marufuku kufanyika kwa shughuli za mazishi kwa kutumia magari ya matangazo ya...

READ MORE

Maseneta Ufaransa Waipongeza Tanzania

WAJUMBE wa Bunge la juu la Ufaransa (Seneti) limeipongeza Tanzania kwa kuwa kinara wa masuala ya utulivu,amani,ulinzi na usalama katika...

READ MORE

Ajali: United Airlines Yasitisha Safari za Boeing 777

SHIRIKA la ndege la United Airlines la Marekani limesema linasitisha safari za ndege zake 24 aina ya Boeing 777 baada...

READ MORE

Watu 6 Watuhumiwa kwa Uvamizi wa Bunge Marekani

WATU sita wa kundi la Oath Keepers nchini Marekani wamefunguliwa mashtaka kwa kupanga uvamizi kwenye jengo la Bunge la nchi...

READ MORE

Majaliwa Akabidhi Magari ya Polisi Lindi

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa, amekabidhi magari mawili kwa ajili ya matumizi ya Jeshi la Polisi mkoa wa Lindi yatakayowezesha askari...

READ MORE

Wilaya Ya Ulanga Na TADB Kuwekeza Kilimo Cha Karanga Mti

MKUU wa wilaya ya Ulanga Mhe. Ngollo Malenya amepokea ujumbe kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania TADB uliongozwa na...

READ MORE

Wafanyakazi 27 Ikulu Wakutwa na Corona

MAOFISA 27 wa Ikulu ya Sudan Kusini wamethibitika kuambukizwa #CoronaVirus ambapo wamelazimika kuwekwa karantini.   Msemaji wa Ikulu, Ateny Wek...

READ MORE

Apigwa faini kwa kumkashifu mkongwe wa vita vya pili vya dunia

Mahakma nchini Urusi imetoa uamuzi wa kesi ya pili iliyokuwa ikimkabili kiongozi wa upinzani Alexei Navalny.   Navalny, alipatikana na...

READ MORE

Moto Wateketeza Mabweni Shule ya Sangiti

WANAFUNZI 180 katika shule ya sekondari ya wasichana Sangiti iliopo kata ya Kirima Kibosho wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wamenusurika...

READ MORE