×

Habari

Kenya Yatangaza Kutopokea Mahindi Kutoka Tanzania na Uganda

Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya Kenya imedai uchunguzi umebaini kuwa mahindi yanayoingia kutoka Tanzania na Uganda sio salama kwa...

READ MORE

Bashe Acharuka Kenya Kuzuia Mahindi

SERIKALI nchini imesema imesikitishwa na kilichofanywa na Kenya kuzuia mahindi ya Tanzania bila kuwapa taarifa rasmi na kwamba kilichofanyika sio...

READ MORE

Nafasi ya kazi 3 Tanzania Fisheries Research Institute (TAFIRI), Deck hand

POST DETAILS POST DECK HAND – 3 POST POST CATEGORY(S) FARMING AND AGRIBUSINESS EMPLOYER Tanzania Fisheries Research Institute (TAFIRI) APPLICATION...

READ MORE

Meridian Bet Yasaidia Ujenzi Kituo cha Yatima cha Mama wa Huruma

UONGOZI wa kampuni ya kubashiri matokeo ya Meridian Bet imetoa mkono wa faraja kwenye kituo cha kulea watoto yatima cha...

READ MORE

Guardiola Awahofia Mastaa Man U, Kucheza Etihad Leo

BOSI wa Manchester City, Pep Guardiola amekiri kuwa wapinzani wao Manchester United ni tishio kwani wamekamilika kila kila idara huku...

READ MORE

Utashangaa! Dereva Bodaboda Mwenye Mguu Mmoja -Video

 Kijana Frank Kutokea Jiji Arusha mwenye ulemavu wa mguu mmoja ameonyesha namna ambavyo anauwezo wa kutumia mguu wake mmoja...

READ MORE

Waliojishindia Mkwanjwa wa Chemshabongo ya Gazeti la Ijumaa Wakabidhiwa Zawadi Zao

Ikiwa ni wiki nyingine tena kwa wale wasomaji wetu wa Gazeti la Ijumaa kuendelea kujinyakulia zawadi zao kupitia chemshabongo ambapo...

READ MORE

Dodoma: Mkurugenzi, Mkewe Wafa Maji

KAIMU mkurugenzi wa taasisi ya utafiti wa mifugo kanda ya kati, Dk Harun Chawala na mkewe, Neema Mwasanganga  wamefariki  baada...

READ MORE

Mtuhumiwa Dawa za Kulevya Alivyonaswa

  Jeshi la Polisi linamshikilia mkazi wa kwa Mustafa jijini Dar es Salaam, Lucas Joseph kwa tuhuma za kukutwa na...

READ MORE

Wawekezaji Wafurahia Soko la Bidhaa Tanzania

MKURUGENZI wa kampuni ya GF Vehicle Assemblers (GFA) Imran Kamali amefika kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na kufanya kikao na...

READ MORE

Mrembo Apewa Talaka, Kisa Kagoma Kupigiwa Tunguli

KISURA mmoja aliyeolewa miezi mitatu iliyopita katika boma moja eneo la Iriani, Tharaka nchini Kenya amejikuta matatani baada ya kupewa...

READ MORE

Vodacom Tanzania Foundation yawazawadia washindi wa Kisarawe Ushoroba Marathon 2021

  Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Suleiman Jafo  (kushoto ),  Naibu waziri Habari,  Utamaduni, Sanaa na Michezo,  Mhe. Abdallah Ulega (ambaye...

READ MORE

Adakwa Akiharibu Maiti Mochwari

MHUDUMU wa zamani wa mochwari ya Hospitali ya Rufaa ya Iten, Kaunti ya Elgeyo-Marakwet, nchini Kenya, amekamatwa na maafisa wa...

READ MORE

Tofauti Za Kisiasa Hazitaikomboa Z’bar

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ,Othman Masoud Othman amesisitiza umoja na mshikamano kwamba ndio njia kuu ya kuisadia...

READ MORE

SBL yatoa ufadhili wa masomo ya kilimo kwa wanafunzi wengine 70

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) leo imetangaza kutoa nafasi mpya 70 za ufadhili wa masomo kwa wanafunzi wanaosomea kilimo...

READ MORE

Naibu Waziri Utalii Awataka Watafiti Kuibua Vivutio Vipya

NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Masanja amewataka watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Dar-es-salaam(UDSM) kuhakikisha wanafanya utafiti na kugundua vivutio...

READ MORE

BREAKING: Bar La Chaaz & Night Club Inateketea Kwa Moto Muda Huu -Video

BAR  Maarufu ya La Chaaz & Night Club iliyopo Sinza-Mori, Dar es Salaam inateketea moto muda huu leo Machi 5,...

READ MORE

Waziri Prof. Ndalichako Ashauri Wazazi Kushirikiana na Shule Kutatua Changamoto

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako amewataka wazazi na walezi kushirikiana na shule wanazosoma watoto wao ili...

READ MORE

Ado Sahibu: Chimbuko la ACT Wazalendo ni Chadema – Video

  CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema kuwa chimbuko la chama hicho kwa asilimia kubwa limetokaana na Chama cha Demokrasia na...

READ MORE

ACT Yaanika Usiyoyajua Kuhusu Maalim Seif – Video

CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema kuwa vuguvugu la kumng’oa Maalim Seif kutoka Chama cha Wananchi CUF kuelekea ACT lilianza mara...

READ MORE

RC Kunenge Achukizwa na Viongozi Wanaochelewa Kwenye Vikao

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Aboubakar Kunenge amewataka wajumbe wa Bodi ya Barabara kuhakikisha vipaombele vya Ujenzi...

READ MORE

Papa Kutembelea Iraq Licha ya Hofu ya Usalama

PAPA Francis atasafiri kwenda Iraq leo Ijumaa katika ziara ya kwanza rasmi nchini humo na safari yake ya kwanza ya...

READ MORE

Shigongo, Mollel Watua Hospitali ya Mwangika – Video

NAIBU Waziri wa Afya, Dk. Godwin Mollel na Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, wamewatembelea wagonjwa katika Kituo...

READ MORE

ACT Wazalendo Yaanika Ilivyotofautiana na Membe – Video

  CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema kutokana na uzoefu waliokuwa nao kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa, walikuwa hawaamini kama...

READ MORE

Kujifukiza Hospitali ya Muhimbili, Mloganzila Sh 5000 tu

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Mloganzila zimefunga mashine nne  za kujifukiza. Wakati Muhimbili zikifungwa mashine tatu, Mloganzila imefungwa moja....

READ MORE

Jafo Azindua Magari 3 ya Huduma ya Tohara Mikoa Minne

WAZIRI wa Nchi ofisi ya Rais TAMISEMI amezindua magari matatu yatakayotoa huduma ya Tohara katika mikoa minne ya kanda ya...

READ MORE

Mrembo Afanyiwa Upasuaji Zaidi Ya Mara 10, Aomba Msaada – Video

Hawa Hussein Ibrahim ni mama wa mtoto mmoja anayepitia changamoto nyingi za kiafya kwa kufanyiwa operesheni ya tumbo zaidi ya...

READ MORE

Taharuki! Mamba Watoroka Wanapofugwa

Idadi isiyofahamika ya mamba wadogo hawajulikani walipo baada ya kutoroka katika shamba wanapofugwa eneo la Cape Magharibi Afrika Kusini Jumatano,...

READ MORE

Kitendawili! Nani Kuanza Kuchanjwa Corona Kenya?

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema wahudumu wa afya ndio watakaokuwa wa kwanza kupokea chanjo ya Covid 19 kwani wapo...

READ MORE

Chombo cha Anga za Mbali cha Bilionea Elon Chatua Salama

KAMPUNI inayotengeneza vyombo vya anga za mbali SpaceX imefanikiwa katika majaribio ya  moja ya vyombo vyake vya Starship Prototypes katika...

READ MORE

Pedeshee Ndama Apandishwa Kizimbani Tena

MFANYABIASHARA Ndama Hussein maarufu kama’Pedeshee Ndama’ na mwenzake Yusuph Hassan wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka...

READ MORE

Makamu Wa Rais Samia Afunga Mkutano Wa Wanawake

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo Machi 4, 2021 amefungua na kufunga...

READ MORE

TAHARUKI! Tetemeko Lapiga Ugiriki

  TETEMEKO la ardhi lenye ukubwa wa 6.3 katika kipimo cha richter limekumba eneo la kati mwa Ugiriki leo na...

READ MORE

Serengeti Yatangazwa Kivutio Bora Zaidi Duniani

MBUGA ya wanyama ya Serengeti nchini Tanzania imechaguliwa kuwa mshindi wa vivutio vya utalii duniani na kampuni ya Tripadvisor. Tuzo...

READ MORE

Wachina Wanaswa Sauz na Shehena ya Chanjo Feki za Corona

POLISI  nchini China na Afrika Kusini wamekamata maelfu ya dozi feki za chanjo ya Covid-19 na kuwakamata wahusika, polisi wa...

READ MORE

Kilio Katakata ya Umeme Kila Kona

KILIO kila kona. Ndivyo hali ilivyo kutokana na adha ya kukatika umeme kila mahali nchini, hivyo kusababisha wananchi kushindwa kufanya...

READ MORE

Lukuvi Afuta Hati Yenye Mgogoro wa Miaka 14

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, ameamuru kuondolewa katika daftari hati ya kitalu namba 153 na...

READ MORE

Part 2: Wazazi wa Mtoto Chekechea Genius wa Hesabu Wafunguka – Video

GLOBAL TV imefunga safari mpaka mkoani Morogoro Vijijini katika tarafa ya Matombo, kumfuata mtoto, Charles Mathias, ambaye amebarikiwa kipaji cha...

READ MORE

Shigongo Amwaga Vitanda vya Wagonjwa Buchosa – Video

MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, amekabidhi vitanda vitano vyenye dhamani ya zaidi ya shilingi milioni 10 katika...

READ MORE