×

Habari

Mwandishi wa Habari Aliyepotea Akutwa Ameuawa Msituni

  MWANAHABARI Mkongwe Nchini Kenya, Jennifer Itumbi amepatikana akiwa ameuawa baada ya kutoweka kwa siku 3, huku uchunguzi ukionyesha kwamba...

READ MORE

Aliyemuua Mumewe Ahukumiwa Jela Siku 1, Mwenyewe Ashangaa

MWANAMKE mmoja kutoka Kaunti ya Siaya ambaye ameingia kwenye headlines kwa kufungwa jela kwa siku moja baada ya kukutwa na...

READ MORE

Simba Watamba Kuwapiga Al Merrikh Mapema Leo

“TUNAWAPIGA mapema.” Hiyo ni kauli ya Kocha Mkuu wa Simba, Didier Gomes raia wa Ufaransa kuelekea mchezo wa leo Jumanne...

READ MORE

Mtoto wa Jay Z, Beyonce Atwaa Tuzo ya Grammy

MTOTO wa nyoka ni nyoka, msemo huo umetimia baada ya mtoto wa Wanamuziki matajiri duniani, Jay Z na Beyonce, Blue...

READ MORE

Grammy Yaitaja ‘African Giant’ ya Burna Boy Kuwa Bora Afrika

  Burna Boy, ambaye jina lake halisi ni Damini Ogulu, ambaye ameshiriki kwa mwaka wa pili ameshinda katika albamu yake...

READ MORE

Avuliwa Uchungaji Akidaiwa Kumpa Mimba Muumini Wake

MCHUNGAJI msaidizi wa Kanisa la Ufunuo Ushirombo lililopo wilayani Bukombe mkoani Geita, Maliko Elikana amevuliwa wadhifa wa uchungaji na kuwa...

READ MORE

Naibu Waziri: Wafungwa, Rais Magufuli Anawategemea

SERIKALI imewaasa wafungwa wote nchini kuzidisha kufanya ibada sambamba na kuzidisha kumuomba Mungu ili wakitoka waende kuwa raia wema pamoja...

READ MORE

Meya wa Dar Afunguka Jiji Jipya Linavyotofautiana na Jiji la Zamani – Video

MEYA mpya wa Jiji la Dar es Salaam, zamani Halmashauri ya Ilala amesema mipaka ya jiji hilo linaishia kwenye mipaka...

READ MORE

NMB Yawapokea Rasmi Waliokuwa Wafanyakazi wa Benki ya Kibiashara ya China

Benki ya NMB imewapokea rasmi waliokuwa wafanyakazi wa Benki ya Biashara ya China (China Commercial Bank) ambayo umiliki wake ilikabidhiwa...

READ MORE

Shigongo Ashuhudia Kambi ya Wavuvi Ilivyotekea, Mmoja Afariki, Mamia Wapoteza Makazi

    Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe Eric Shigongo, amewatembelea wahanga wa moto kambi ya uvuvi ya Migongo iliyoko...

READ MORE

Wanne Mbaroni kwa Kusambaza ‘Uvumi wa Kuugua Rais Magufuli’

WATU wanne wamekamatwa katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania kwa madai ya kusambaza habari za uvumi kwenye mitandao ya kijamii kuwa...

READ MORE

Museveni Amshutumu Bobi Wine Kuiba Kura

KWA mara ya kwanza Rais Yoweri Museveni wa Uganda amekituhumu chama cha siasa cha NUP kwa kuhusika na vitendo vya...

READ MORE

Makamu wa Rais Samia Aanza Ziara Tanga

    Makamu wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya kikazi ya...

READ MORE

Bobi Wine Akamatwa Polisi, Waandamanaji Wafyatuliwa Mabomu

MWANASIASA wa Uganda ambaye pia alikuwa mgombea urais wa chama cha upinzani Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine, amekamatwa katika...

READ MORE

Mafunzo ya Matumizi Salama ya Teknolojia ya Nyuklia Yatolewa Kitaifa

  Tume ya  Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) inaendesha mafunzo ya kitaifa juu ya matumizi salama ya teknolojia ya nyuklia...

READ MORE

Wawili Mbaroni kwa Kuzusha Viongozi Wagonjwa

JESHI  la Polisi mkoa Kilimanjaro limemkamata na kumshikilia Peter Pius Silayo (miaka 30), mkazi wa Tegeta Dar es Salaam aliyekamatwa...

READ MORE

Museveni: Naendelea Kufikiria Chanjo Nzuri ya Kuchoma

Rais wa Uganda’ Yoweri Museveni amesema bado anaangalia ni chanjo ipi atakayochomwa, siku chache baada serikali yake kuanza kutoa chanjo...

READ MORE

Mama Samia: Rais Magufuli Anawasalimia Sana – Video

  MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mama Samia Suluhu Hassan amewatoa hofu Watanzania wote kutokana...

READ MORE

Kamati ya Bunge Viwanda na Biashara Yatembelea Kiwanda Cha Chai

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe, David Kienzile (Mb) ameongoza kamati ya kudumu...

READ MORE

Kifo cha Mmiliki wa Hoteli ya Snowcrest, Mtoto Afunguka – Video

MFANYABIASHARA Lucas Wilium Mollel ambye pia ni Mmiliki wa Hoteli ya kifahari ya Snowcrest aliyefariki siku ya Alhamisi, Machi 11,...

READ MORE

Kesi ya Kambole Kufutwa Uwakili Kuanza Kujadiliwa Leo

Mwanasheria Mkuu wa Serikali alifungua kesi dhidi ya Mawakili Jebra Kambole na Edson Kitalu akitaka wafutwe Uwakili kwa madai ya...

READ MORE

Marufuku Wafungwa kutumika kwa Kazi Binafsi

Serikali imepiga marufuku wafungwa kutoka Magereza mbalimbali nchini kutumika katika kazi binafsi isipokuwa kwa kufuata utaratibu unaotambulika kisheria.    ...

READ MORE

Mwambusi Afunga Mjadala wa Kocha Yanga

WAKATI Yanga ikisaka kocha mkuu mpya, taarifa zinasema kwamba, Kaimu Kocha Mkuu timu hiyo, Juma Mwambusi, amekuwa kwenye vikao vya...

READ MORE

Waziri Lukuvi Amaliza Mgogoro Sugu wa Ardhi Wazo

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe William Lukuvi amehitimisha mgogoro wa muda mrefu baina ya wananchi wa...

READ MORE

Ninja Asimulia Magumu Wanayopitia Yanga SC

BEKI wa kati wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amefunguka kwamba wamekuwa wakipitia wakati mgumu kutokana na safu yao ya ulinzi...

READ MORE

Tulia Mgeni Rasmi Pambano la Queen of The Ring

NAIBU Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Akson anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika pambano la...

READ MORE

Meya Ilala Akabidhi Vyakula kwa Wajane Vingunguti

MEYA WA Jiji la Ilala, Dar es Salaam Omary Kumbilamoto kwa kushirikiana na taasisi ya Alif Tanzania amekabidhi vyakula kwa...

READ MORE

Meridian Bet Yatoa Msaada wa Vifaa Tiba

OFISA huduma wa jamii wa Meridian Bet, Amani Maeda na meneja mwendeshaji, Corrie Borman wamekabidhi msaada wa vifaa tiba mbalimbali...

READ MORE

DRC Yasitisha Chanjo ya Covid 19

SERIKALI ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeahirisha kampeni ya kutoa chanjo ya AstraZeneca.   Taifa hilo limepokea dozi milioni...

READ MORE

SBL, Spika Ndugai waungana kupanda maelfu ya miti Kongwa

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), leo imeungana na viongozi pamoja na wananchi wa wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma katika...

READ MORE

Mifumo Ya Kocha Mpya Yanga Yavuja, Yambeba Carlinhos, Niyonzima

KAMA Yanga ikifanikiwa kumnasa aliyekuwa Kocha Mkuu wa Township Rollers ya nchini Botswana, Nikola Kavazovic, basi itakuwa imeramba dume kutokana...

READ MORE

Rais Aruhusu Wanajeshi Kuwapiga Risasi Wamiliki AK-47

RAIS Muhammadu Buhari ametoa agizo kwa Wanajeshi wa #Nigeria kwa kuwapa ruhusa ya kuwapiga risasi bila kuhitaji kibali, Watu wote...

READ MORE

Familia ya George Floyd Kulipwa Bilioni 63

Baraza la #Minneapolis limeidhinisha makubaliano ya kuilipa familia ya George Floyd kiasi cha dola milioni 27 (takriban Tsh. Bilioni 63)...

READ MORE

Simbachawene Atoa Siku 30 Kwa Jeshi la Magereza

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ametoa siku 30 kwa Jeshi la Magereza kuhakikisha Gereza jipya la...

READ MORE

Kamati ya Bunge Yashauri Askari Wahamishwe Uraiani

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje Ulinzi na Usalama imeishauri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi...

READ MORE

Polisi Wamsaka Kigogo wa Twitter Kuzusha Hofu

JESHI la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Dar es Salaam linamsaka mwanaharakati anayejiita jina la Kigogo katika mtandao wa Twitter....

READ MORE

Fundi Simu Akamatwa Kwa Kusambaza Uzushi ‘JPM Mgonjwa’

CHARLES Majura (35), fundi simu na mkazi wa Dar es Salaam, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, kwa...

READ MORE

Mbaroni kwa Kumtumbukiza Mtoto Kwenye Jaba la Maji na Kumuua

  Jeshi la Polisi mkoani Manyara linamshikilia Tluay Shauri (46) mkazi wa kata ya Dareda kwa kosa la kumuiba ndani...

READ MORE

Dkt. Gwajima: Familia Jengeni Mazoea Ya Kufanya Mazoezi

  Familia zimetakiwa kujenga mazoea ya kufanya mazoezi ili Watoto waweze kuelewa umuhimu wa kufanya mazoezi wangali wadogo.   Rai...

READ MORE

Rais wa Msumbiji Awafuta Kazi Wakuu wa Majeshi

Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi amewafuta kazi wakuu majeshi wa ardhini na angani wakati nchi inapokabiliana na wanamgambo wa Islamic...

READ MORE