×

Habari

Breaking: Waziri Ummy Amsimamisha Kazi Mwakabibi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Ummy Mwalimu amewasimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi...

READ MORE

Air Tanzania Kuanza Safari za China Mei 8

SAFARI za ndege za Shirika la Ndege la Air Tanzania kutoka Tanzania kuelekea Guanzou nchini China zinatarajiwa kuanza May 08,2021...

READ MORE

TMA: Kimbunga Job Hakipo

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa mpya leo Aprili 25, kuwa mwenendo wa Kimbunga hafifu Jobo unaonesha...

READ MORE

Championi Lamwaga Fedha kwa Wasomaji Wake

  TIMU ya masoko ya Kampuni ya Global Publishers, leo Jumamosi, Aprili, 24 2021, ilimwaga fedha kwa wasomaji wao waliokutwa...

READ MORE

Breaking: Tani Moja Ya Heroin Yakamatwa Kilwa Masoko

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na kikosi cha wanamaji cha Jeshi la Wananchi (JWTZ)...

READ MORE

Full Time: Gwambina Fc Vs Simba Sc ( 0 – 1 ) – Ligi Kuu Bara

 KOCHA Msaidizi wa Simba, Seleman Matola amesema kikosi chake kinaenda kukutana na mchezo mgumu dhidi ya Gwambina bila wachezaji...

READ MORE

TMA: Kimbunga Jobo Kimepungua Nguvu

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imesema Kimbunga Jobo kilichokuwa kinatarajiwa kupiga Pwani ya Tanzania kwa siku mbili, leo...

READ MORE

Mzee wa Kupapasa Wanawake Yamkuta

  Jamaa mmoja mtaani Pipeline, Nairobi nchini Kenya anajuta kuumizwa sehemu zake za siri na kisura aliyejaribu kumdhulumu (kumshikashika bila...

READ MORE

Ajichoma Kisu Mara 12 Baada ya Kumuua Mpenzi Wake

Kijana mwenye umri wa miaka 25 anaaminika alijaribu kujitoa uhai kwa kujidunga kisu baada ya kuripotiwa kumuua mpenzi wake huko...

READ MORE

SMZ Yasitisha Safari za Baharini kwa Muda

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar, imesitisha shughuli za usafiri wa baharini zikiwemo safari za meli na vyombo vingine vya usafiri baharini...

READ MORE

AstraZeneca Zilizotumwa Afrika Zime-Expire

Taarifa imetolewa kwamba chanjo za corona (Covid-19) zilizotumwa kwa nchi 13 barani Afrika zimepita tarehe ya mwisho ya matumizi, lakini...

READ MORE

Wakenya Wavamia IMF Wakilaumu Nchi Yao Kukopeshwa

Kwa mara ya pili wiki hii, mtandao wa kijamii wa shirika la fedha duniani IMF umejipata ukivamiwa na ukosoaji kutoka...

READ MORE

Ajira Mpya 6,000 Walimu Waanza Kutapeliwa

KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe amesema amepata taarifa kuwa...

READ MORE

Mama Ataka Uchunguzi Kifo cha Mwanaye

KABURI la mtoto Abdul Bakari (9) lililofukuliwa eneo la Kaloleni wilayani Kiteto mkoani Manyara chini ya ulizi mkali wa jeshi...

READ MORE

Kimeumana! Mbunge Chadema ‘Tumefukuzwa’ Naibu Spika ‘Futa Kauli’

Mbunge Kishoa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amelalamikia kunyimwa nafasi ya kufanya mikutano ya kisiasa kabla hajaondolewa kwenye...

READ MORE

Gwajima: Wengi Wapo Mahabusu Wamebambikiziwa Kesi za Uhujumu Uchumi

  Mbunge wa Jimbo la Kawe, Mchungaji Dkt. Josephat Gwajima, amesema, kuna idadi kubwa ya watu wako mahabusu kutokana na...

READ MORE

Wananchi Watahadharishwa Kimbunga Jobo – Video

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imetoa tahadhari kwa wananchi wote hususan wa kanda ya pwani ya Mkoa wa...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Katibu Mtendaji wa SADC Ikulu Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Aprili, 23 2021 amefanya mazungumzo na Katibu Mtendaji wa...

READ MORE

Shirika la Posta Tanzania Sasa Kidigitali Zaidi

  SHIRIKA la Posta Tanzania limejidhatiti kuboresha huduma zake kidigitali kuendana na mabadiliko makubwa ya teknolojia kote duniani ili kurahisisha...

READ MORE

Mahakama: Majadiliano Kati ya DDP na Seth Yamalizwe

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka kufuatilia majadiliano ya kuimaliza kesi iliyowasilishwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini...

READ MORE

Mondi Nyuma Ya Rayvanny, Harmonize

Wakati sheria ikisubiriwa kuchukua mkondo wake juu ya kusambaa kwa picha na video za utupu zinazodaiwa kuwa za staa wa...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Viongozi Taasisi za Serikali.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi wa taasisi mbalimbali kama ifuatavyo;...

READ MORE

Tahadhari: Kimbunga Jobo Kupiga Tanzania

KIMBUNGA hafifu kimeyapiga maeneo ya mwambao wa bahari ya Hindi nchini Tanzania jana kufuatia kujitokeza kwa mgandamizo wa hewa katika...

READ MORE

Samia: Hatutavumilia Uvivu, Uzembe, Wizi na Ubadhilifu – Video

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema jitihada zaidi zinahitajika kukuza uchumi na kupambana na umasikini kwa sababu licha ya...

READ MORE

Rais Samia Kukutana na Akina Mbowe, Zitto – Video

  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema atakutana na viongozi wa vyama vya siasa nchini kuweka mwelekeo wa kuendesha...

READ MORE

Wanaosema Hayati Magufuli ‘Aalipewa Sumu’ Waje Tuwasikilize – Video

  Rais Samia Suluhu Hassan, amewaonya watu wote ambao wanaodhani kwamba Hayati Dk. John Pombe Magufuli ameondoka na mipango yake...

READ MORE

Samia: Tumepitia Kipindi Kigumu Baada ya Magufuli Kufariki

  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki, wabunge na Watanzania akisema kifo...

READ MORE

ATCL Linaokana Kama Halina Thamani Sababu ya Madeni – Video

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaangalia namna ya kulilea Shirika la Ndege nchini (ATCL) kimkakati ili lijiendeshe...

READ MORE

Rais Samia: Nitadumisha Mazuri Yaliyopita, Yaliyopo na Kuleta Mapya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan analihutubia Taifa kupitia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

SBL kuendelea kuchangia maendeleo ya kilimo nchini kupitia elimu

Kampuni ya Bia ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imedhamiria kuendelea kutengeneza maisha bora kwa vijana na wakulima nchini kupitia programu...

READ MORE

Syria, Israel Zashambuliana Tena kwa Makombora

Syria na Israel zimeshambuliana tena kwa makombora, huku kila upande ukidai kudunguwa la mwenzake mapema alfajiri ya leo.    ...

READ MORE

Serikali Kuajiri Watumishi Wapya 44,096

Wizara ya Nchi Ofisi, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, imesema kuwa katika mwaka wa fedha wa 2021/22...

READ MORE

Rais Samia Ahutubia Bunge kwa Mara ya Kwanza – Video

   Ikiwa Watanzania 8,224,271 pekee ndiyo wenye uhakika wa matibabu nchini, Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema mipango...

READ MORE

Bunge Latengua Kanuni Ili Viongozi Waingie Bungeni

  Bunge la Tanzania leo Alhamisi Aprili 22, 2021 limetengua kanuni ya 160 (1) ya kanuni za kudumu za chombo...

READ MORE

Wabunge Wapigwa Marufuku Tai Nyekundu

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amewataka wabunge kutovaa tai nyekundu leo jioni Alhamisi Aprili 22, 2021 wakati Rais Samia Suluhu...

READ MORE

Ratiba Kamili Rais Samia Atakavyohutubia Bunge kwa Mara ya Kwanza

Leo Alhamisi Aprili 22, 2021 kuanzia saa 10 jioni Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atalihutubia Bunge kwa mara ya...

READ MORE

Bodaboda Asakwa kwa Kumbaka Mwanafunzi

  Jeshi la Polisi Mkoani Manyara, linamsaka Pascal Fisoo, mkazi wa Kijiji cha Soraa, Babati mkoani Manyara ambaye ni dereva...

READ MORE

Chad: Waasi Watishia Kumtoa Madarakani Rais wa Mpito

  VYAMA vikuu vya upinzani nchini Chad vinasema uteuzi wa mtoto wa aliyekuwa rais wa taifa hilo Idris Deby, Mahamat...

READ MORE

Marekani: Binti wa Miaka 16 Apigwa Risasi na Polisi

Ma’Khia Bryant amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na Polisi wa Colombus, Jimbo la Ohio kutokana na kile kilichodaiwa kuwa...

READ MORE

Washindi Grande Finale NMB MastaBata Wakabidhiwa Tiketi, Zawadi zao

  Washindi 12 wa zawadi kuu ‘Grande Finale’ ya Kampeni ya NMB MastaBata ‘Siyo Kikawaida’ wamekabidhiwa zawadi zao mbalimbali, zikiwemo...

READ MORE