×

Habari

Magufuli: Machinga, Mama Ntilie Wasifukuzwe Stendi – Video

RAIS  John Magufuli amezindua Kituo Kikuu cha Kimataifa cha Mabasi cha Dar es Salaam, kilichopo Mbezi-Luis, leo Jumatano, februari 24,...

READ MORE

Dkt. Tulia: Nimeugua Corona, Kutovaa Barakoa Si Sababu – Video

NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amesema kuwa amewahi kuugua ugonjwa wa corona...

READ MORE

Elon Musk Apoteza Taji la Tajiri Zaidi Duniani

ELON MUSK  amepoteza taji lake la kuwa mtu tajiri zaidi duniani baada ya thamani ya hisa za kampuni yake ya...

READ MORE

Magufuli Azindua Ubungo Interchange, Dar – Video

RAIS John Magufuli amefanya uzinduzi wa daraja la juu la Ubungo lililopewa jina la aliyekuwa katibu mkuu kiongozi, Balozi John...

READ MORE

Mwili wa Balozi wa Italia Waagwa DRC

GAVANA wa Kivu Kaskazini, Carly Nzanzu, na Mshauri Mkuu wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameongoza maafisa...

READ MORE

Mtandao wa Spotify Kuzinduliwa Afrika Mashariki

MTANDAO  wa Spotify unatarajiwa kuzindua huduma zake katika masoko 85 mapya katika hatua ambayo itawafikia watu zaidi ya bilioni moja....

READ MORE

Tanzia: Waziri Sonyo Afariki Dunia

MWIMBAJI nyota wa muziki wa dansi, Waziri Sonyo amefariki dunia jana saa 3 usiku Feb 23, 2021 baada ya kutoka...

READ MORE

Tiger Woods Anusurika Kifo Ajalini

MCHEZAJI maarufu wa Golf, Tiger Woods, amepata ajali baada ya gari lake kupinduka wakati akiendesha mwenyewe nje kidogo ya jiji...

READ MORE

Tanzania, Sauzi, Nigeria… Marufuku Kuingia Oman

WASAFIRI wanaoingia Oman kutoka nchi 10 wamepigwa marufuku  kuingia nchini humo. Nchi zilizopigwa marufuku ni Tanzania Afrika Kusini, Lebanon, Sudan,...

READ MORE

Mpango Amwaga Chozi Akitoka Hospitali -Video

WAZIRI  wa Fedha na Mipango, Dk. Phillip Mpango, leo Februari 23, 2021, ameruhusiwa kutoka katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini...

READ MORE

Amuua Mwanamke Aliyemkuta Akinywa Pombe na Mumewe

DAYANE RAFEELLE de SILVA ROGRIGUES (31) anashikiliwa na polisi  huko Caera, Brazil, kwa kumwua mwanamke  mmoja aitwaye Djaiane Batista Barros...

READ MORE

Askofu Malekana: Matamko Yanatengeneza Taharuki

Imeelezwa kuwa matamko na nyaraka zinazotolewa na viongozi wa madhehebu mbalimbali nchini inapaswa yatolewe na wizara ya afya kwa sababu...

READ MORE

Taasisi Nne Kuchunguza Shule Ya Don Bosco – Tanga

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Ummy Mwalimu amesema ataunda timu ya wataalamu...

READ MORE

Mazishi ya Mume wa Vicky Kamata – Video

  MWILI wa Mume wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Mapinduzi CCM, Vicky Kamata, Dk. Servacius Likwelile,...

READ MORE

UDART Yatoa Mwongozo wa Kujikinga na Corona kwa Abiria Wake

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetoa Mwongozo kwa Watumiaji wa Magari ya Mwendokasi ili kujikinga...

READ MORE

Balozi wa Italia Alivyouawa DR Congo

  WIZARA ya mambo ya nje ya Italia imesema kuwa balozi wake nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ameuawa katika...

READ MORE

Biden Aomboleza Waliokufa kwa #Covid-19

TANGU kutokea kwa janga la #CoronaVirus duniani kumekuwa na athari katika maeneo mbalimbali huku Marekani ikiwa nchi iliyoathirika zaidi.  ...

READ MORE

RC Awaita Watalaam wa Asili Kutibu Maradhi ya Kupumua

MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa amesema anawataka wale wote wenye tiba za asili za Pumu, Kifua, Mafua, Maumivu...

READ MORE

DRC Yataja Waliohusika Mauaji Balozi wa Italia

SERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imewashutumu waasi wa FDLR wenye asili ya #Rwanda kwa shambulio lililosababisha mauaji...

READ MORE

Walimu Wadai Hawako Salama na Corona

SHULE  zimeshindwa kufunguliwa leo nchini Malawi baada ya walimu kugoma wakisema hawako salama katika mazingira ya kazi. Wametoa madai kadhaa...

READ MORE

Dorothy Semu Kaimu Mwenyekiti Wa ACT-Wazalendo Taifa

    Chama cha ACT Wazalendo kimemteua Dorothy Semu kuwa Kaimu Mwenyekiti wa Chama hicho Kitaifa kufuatia kifo cha Mwenyekiti...

READ MORE

Breaking News: Mwenyekiti Wa CCM Simiyu Afariki Dunia

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu, Enock Yakobo amefariki dunia leo Februari 23, 2021 katika Hospitali ya...

READ MORE

Bobi Wine Aifuta Kesi Dhidi ya Museveni

KIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Uganda cha National Unity Platform (NUP), Robert Kyagulanyi, maarufu Bobi Wine ameondoa mashtaka yake...

READ MORE

Wanafunzi Walivalia Njuga Sakata la Mimba za Utotoni

WANAFUNZI wa shule za sekondari Wilaya ya Busega Mkoa wa Simiyu wameziomba bodi, na uongozi wa shule kuwa na kikao...

READ MORE

Mtwara: Wanafunzi Wasomea Chini ya Mkorosho

WANAFUNZI  wa Shule ya Msingi Namalombe wilaya ya Nanyumbu mkoa wa Mtwara pamoja na Mwalimu mkuu wao, Bwanaheri Akili, wameiomba...

READ MORE

Likwalile kuzikwa leo Mpiji-Magoe

MWILI wa katibu mkuu wa zamani wa wizara ya fedha na mipango nchini Tanzania, Dk. Servacius Likwelile, unazikwa leo Jumanne...

READ MORE

NMB Bonge la Mpango; Jishindie hadi Sh. Milioni 500/-

Benki ya NMB imeizindua kampeni inayojulikana kama ‘Bonge la Mpango’ ambayo itawawezesha wateja kushinda fedha taslimu, Pikipiki ya Miguu mitatu,...

READ MORE

Washindi 424 wa Kila wiki, Mwezi wazoa Zawadi za Mamilioni

KUELEKEA droo kuu ‘Grand Finale’ ya Kampeni ya NMB MastaBATA, Benki ya NMB imewataka wateja wake kuongeza kasi ya matumizi...

READ MORE

Itel Yawatoa Out ‘Valentine Dinner’ Wataje Wake

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Itel Tanzania imefanya droo yake ya kwanza hivi karibuni  katika promosheni inayoendelea kwa jina...

READ MORE

Rais JPM Kufanya Ziara ya Siku 2 Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu Jijini...

READ MORE

Dk. Mollel: Wanadai Hatutoi Data za Corona ni Ujinga Mtupu – Video

  SERIKALi imesema matumizi ya data za magonjwa yote, ni kwa ajili ya kuchakata na kisha kuja na mbinu za...

READ MORE

Serikali Yatoa Kanuni 8 za Kujikinga na #COVID19

  Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeendelea kusimamia na kusisitiza utekelezaji wa tahadhari ya magonjwa...

READ MORE

Holodomor Janga la Njaa, Watu Walikula Nyama za Watu

Mwaka 1932-1933 lilitokea janga la njaa hatari sana lililoikumba Ukraine, Janga ilo liliitwa Holodomor. Kukosekana kwa chakula kulipelekea watu kuanza kulana...

READ MORE

Mama Samia: JPM ni Baba wa Madini

MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan, leo amefungua Kongamano la kimataifa la Uwekezaji katika Sekta ya Madini lenye lengo la...

READ MORE

Serikali Kutumia Ndege Kuua Nzige Simajiro, Longido

Waziri wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda amesema ndege itapuliza sumu kuua nzige katika Wilaya za Simanjiro na Longido leo. Amewataka...

READ MORE

Global Radio Yatunukiwa Tuzo ya Radio Bora Mtandaoni

HATIMAYE  ile tuzo ya Radio Namba Moja ya Mtandaoni Tanzania iliyotolewa na Tanzania Digital Awards  iliyobebwa ‘kibabe’ na +255 Global...

READ MORE

Balozi wa Italia nchini Congo Afariki Katika Shambulio

    BALOZI wa Italia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Luca Attanasio,  na watu wengine wawili, wamefariki katika...

READ MORE

Wanne Mbaroni kwa Kuzusha Vifo vya Corona

  POLISI Mkoa wa Pwani inawashikilia watu wanne waliokamatwa ndani ya mkoa huo wakituhumiwa kutumia mitandao ya kijamii kueneza uvumi...

READ MORE

Ndege ya Marekani Yadondosha Mabaki ya Injini

  NDEGE ya Boeing ililazimika kudondosha mabaki ya injini yake katika eneo la makazi mjini Denver, Marekani, baada ya injini...

READ MORE

Meridian Bet Yadhamini Mafunzo ya Lishe Bora Dar

  KAMPUNI ya kubashiri matokeo ya Meridian Bet imepanua wigo katika kusaidia jamii na jana imesaidia kufanikisha mafunzo ya lishe...

READ MORE