×

Habari

JPM Amrejeshea Hati ya Kiwanja Bibi wa Miaka 90

Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli, ameagiza Bi. Elizabeth Sarali mwenye miaka 90, mkazi wa Manyoni mkoani Singida kurudishiwa umiliki...

READ MORE

IGP Sirro Awataka Polisi Kufuata Sheria

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amewataka Polisi Wasaidizi waliopo kwenye taasisi mbalimbali nchini kuhakikisha wanaheshimu na...

READ MORE

Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Elimu Kufanyika Aprili

  MKUTANO wa Kimataifa wa elimu bora unatarajia kufanyika Tanzania jijini Dar es salaam kuanzia Aprili 20 hadi 22, 2021 huku...

READ MORE

Kaze akisuka upya kikosi chake

KOCHA Mkuu wa Yanga Mrundi, Cedric Kaze ameanza program ya kukinoa kikosi chake kwa kuwatengeneza kisaikolojia nyota wake Said Ntibazonkiza...

READ MORE

Mwalimu Atuhumiwa Kumtwanga Bakora Mtoto Mpaka Kuzirai

Mwalimu wa shule ya Sekondari Bupandwa iliyoko Halmashauri ya Buchosa Wilaya Sengerema Mkoa wa Mwanza Sara obby anatuhumiwa kumcharaza viboko...

READ MORE

Meridian Bet Yamshika Mkono Mama Anayeteseka na Mtoto

    IKIWA ni siku chache baada ya kipindi cha GLOBALJAMII kinachoruka kupitia GLOBAL TV ONLINE kufanya kipindi na mama...

READ MORE

Waziri Jafo Atangaza Nyungu Siku 7

WAZIRI  wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Seleman Jafo, ametangaza kuanzia Februari Mosi hadi 7, 2021,  zitakuwa...

READ MORE

Lokosa Apata ITC, Chikwende Bado Ngoma Simba

UONGOZI wa Simba umesema kuwa tayari umepata Hati ya Uhamisho wa Kimataifa (ITC) ya mshambuliaji wao Mnigeria Junior Lokosa huku...

READ MORE

Jeshii la Polisi Kumchunguza Cristiano Ronaldo

  MSHAMBULIAJI wa Juventus, Cristiano Ronaldo, anachunguzwa na maafisa wa polisi wa Italia kuhusu safari aliyokwenda ili kusherehekea siku ya...

READ MORE

Askofu Shoo Atoa Waraka wa Corona, Amvaa Aliyewavua Barakoa

MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo, ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Meya wa Manispaa...

READ MORE

Breaking: JPM Aagiza Daktari Aliyeacha Kazi Asakwe – Video

RAIS  John Magufuli amemwagiza Waziri wa Afya, Dkt Dorothy Gwajima, kuhakikisha anawafuatilia madaktari walioacha kazi katika hospitali ya rufaa mkoa...

READ MORE

Breaking: Ishu ya Polisi Kusitisha Tamasha la Wasafi Dar

  Kamanda wa polisi Mkoa wa Temeke, Amon Kakwale amekanusha taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba limesitisha tamasha la...

READ MORE

Martin Classic x Kusah, Maggie Bushiri – Nipone (Official Music Video)

Mrembo kutoka nchini Marekani, Maggie Bushiri pamoja na mkali wa Bongo Fleva, Martin Classic wametua kwenye ardhi ya Bongo TZ...

READ MORE

Polisi: Dereva Aliyekamatwa, Akafa, Alikuwa na Homa ya Mapafu

  JESHI la Polisi mkoani Mbeya limesema dereva wa lori, Abrahaman Hussein (61) aliyefariki dunia muda mfupi baada ya kumkamata...

READ MORE

Mateso Mzito! Mama Yamkuta, Mume, Familia Wamtenga – Video

Kabla hujafa hujajmbika hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya Zuhura Shabani ambaye kutelekezwa na mume wake baada kujifungua mtoto mwenye...

READ MORE

Suma Lee Afunguka Kifo cha CPWAA

ALIYEKUWA msanii wa muziki wa Kizazi Kipya kisha kumrejea muumba wake kwa kujikita kwenye imani ya Dini ya Kiislam, Ismaili...

READ MORE

RC Mbeya Aunda Tume Kuchunguza Kifo cha Dereva

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, ameunda tume ndogo ya watu wanne na kuipa jukumu la kuchunguza kifo cha...

READ MORE

Breaking News: Waziri Mkuu DRC Ajiuzulu

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), Sylvestre Ilunga Ilunkamba,  amejiuzulu rasmi wadhifa huo na kuwasilisha barua yake...

READ MORE

Waziri Ashindwa Kueleza Walipopelekwa Waliokamatwa na Wanajeshi

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani wa Uganda, Jenerali Jeje Odongo amesema, anashindwa kueleza mahali walipopelekwa watu waliochukuliwa na wanajeshi...

READ MORE

Tanzia: Mwigizaji Mkongwe Cicely Tyson Afariki Dunia

  MWIGIZAJI mkongwe wa Marekani, Cicely Tyson, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 96. Dunia itamkumbuka kama mwanzilishi kwenye...

READ MORE

Kifurushi cha Sumu Chakutwa Ikulu, Wasaidizi wa Rais Waugua Ghafla

  WASAIDIZI wawili wa Rais wa Tunisia wameugua baada ya kufungua kifurushi kilichofikishwa katika ofisi yao kilichoshukiwa kuwa na sumu,...

READ MORE

Lokosa Fiti Kuibeba Simba Dhidi ya Mazembe

KOCHA Mkuu wa Simba, Didier Gomes amesema kuwa straika mpya wa timu hiyo Junior Lokosa atakiwasha kwenye mchezo ujiao dhidi...

READ MORE

Serikali Kufutia Leseni Wanaopandisha Bei ya Mafuta ya Kupikia

Waziri wa Viwanda na Biashara, Geofrey Mwambe amewaonya wafanyabiashara wa mafuta ya kula watakaopandisha bei ya bidhaa hiyo kinyume na...

READ MORE

JPM Azindua Maji ya Ziwa Victoria Kahama, Amsifu Waziri wa Maji – Video

RAIS  John Magufuli leo amezindua mradi wa maji wa Ziwa Victoria kwa ajili ya miji ya Kagongwa na Isaka mkoani...

READ MORE

Instant Keno kutoka Studio za Expanse, Kupitia Kasino ya Meridianbet Pekee

Weka utabiri wako kwenye namba 10 za bahati ukiwa unategemea faida kubwa kwenye mchezo wa Instant Keno kutoka Studio za...

READ MORE

Aweso Awaonya Watakaochezea Miradi ya Maji

WAZIRI wa Maji, Juma Aweso, amewatahadharisha wataalum wa Wizara ya Maji na wakandarasi wanaotekeleza miradi ya maji kutokuchezea miradi hiyo...

READ MORE

Waziri Bashungwa: Karibuni Tuburudike Tamasha la Serengeti Dodoma

Tamasha la pili la Muziki nchini la Serengeti (Serengeti Music Festival) linatarajiwa kufanyika Februari 06, 2021 Uwanja wa Jamhuri jijini...

READ MORE

Biden Kusitisha Mauzo ya Silaha UAE na Saudi Arabia

Utawala wa Rais Joe Biden umesitisha kwa muda uuzaji wa silaha kwa mataifa ya Ghuba. Hatua hii inazuia mabilioni ya...

READ MORE

Rekodi Iliyowekwa na Nmb Baada ya Kupata Faida Zaidi ya Bilioni 295

Januari 28, 2021, Benki ya NMB imetangaza kupata faida ya TZS 205.5 bilioni baada ya kodi kwa mwaka ulioishia Desemba...

READ MORE

Mwalimu wa Kike Jela kwa Kufanya Ngono na Mwanafunzi Wake

MWALIMU ambaye ni mke wa mtu amekutwa na hatia baada ya kukutwa na hatia ya kumshawishi mwanafunzi wake wa kiume...

READ MORE

WHO Yaitaka Tanzania Kujiandaa Kwa Chanjo ya Corona

  IKIWA ni siku moja tu tangu Rais  John Magufuli kutaka Wizara ya Afya kutokimbilia chanjo ya corona, Shirika la...

READ MORE

Majaliwa Afanya Kikao na Machinga

  WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo (Alhamisi, Januari 28, 2021) amefanya kikao na Viongozi wa Wamachinga Tanzania katika Kituo cha...

READ MORE

NEMC Msifanye Kazi Ya Upolisi – Waziri Ummy Mwalimu

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Ummy Mwalimu ameliagiza Baraza la Taifa la Hifadhi...

READ MORE

Amuua Mkewe kwa Kumpiga Mchi

PAULINA DAUDI (30) mkazi wa Mtaa wa Mageuzi Kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga ameuawa kwa kupigwa ngumi na mchi...

READ MORE

Maharusi Waliotumia Baiskeli Wazua Gumzo

Mwanamke aitwaye Paulina Daudi (30) mkazi wa Mtaa wa Mageuzi kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga ameuawa kwa kupigwa ngumi...

READ MORE

Afariki Baada ya Kupewa Chanjo ya Corona

  TIM ZOOK, mtaalam wa mashine za x-ray, kutoka Santa Ana, California, Marekani,  aliyefurahia kuchanjwa dhidi ya virusi vya corona,...

READ MORE

Atupwa Jela kwa Kumpiga na Chupa Mwenzake

Mahakama ya Wilaya ya Temeke mkoani Dar es Salaam, Tanzania, imemuhukumu kwenda jela miezi sita Mkazi wa Chang’ombe, Oscar Sanga...

READ MORE

Meya Moshi Awaamuru Wajumbe Kuvua Barakoa

MEYA wa manispaa ya Moshi, Juma Raibu Juma,  amewataka wajumbe waliovaa barakoa katika kikao cha baraza la madiwani kuzivua kwa...

READ MORE

JPM Aipandisha Hadhi Kahama, Amsamehe DED – Video

RAIS  John Magufuli ameipandisha hadhi Halmashauri ya Kahama Mji kuwa Manispaa ambapo sasa Kahama Mji itajulikana kama Manispaa ya Kahama....

READ MORE

Lipumba Amwangukia Maalim Seif, Amwomba Arudi CUF

MWENYEKITI wa chama cha Civic United Front (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amemwomba aliyekuwa Katibu Mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad, ...

READ MORE