×

Habari

Rais JPM Atangaza Maombi Siku 3 “Tusitishane” – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amewataka Watanzania kuendelea kumuomba Mwenyezi Mungu kuliepusha Taifa la...

READ MORE

JPM Akanusha Kifo cha Dkt. Mpango “Anaendelea Vizuri”

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amekanusha taarifa za uzushi zilizosambazwa mtandaoni kuwa Waziri...

READ MORE

Simanzi: Rais JPM Aongoza Waombolezaji Kumuaji Kijazi – Video

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amewaongoza waombolezaji na Watanzania wote kuaga mwili wa aliyekuwa...

READ MORE

JPM Aeleza Alivyomuibua Kijazi – Video

RAIS John Magufuli amesema alikosa mtu wa kumteua kuwa katibu mkuu kiongozi baada ya aliyekuwa akishika nafasi hiyo, Balozi John...

READ MORE

Ajiua kwa Kukata Nyeti Zake kwa Chupa

Kamanda wa polisi katika jimbo la Kano Kaskazini mwa Nigeria amethibitisha kifo cha Mustapha Muhammad, mkazi wa kijiji cha Malam...

READ MORE

Chuma cha Ajabu Kilichoonekana DRC Chateketezwa kwa Moto

Chuma cha ajabu kilichoonekana katika eneo la makutano ya barabara jijini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kimeteketezwa na...

READ MORE

Mwigulu: Wanaozusha Vifo Wakamatwe

  Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuwachukulia hatua Watu wanaosambaza taarifa...

READ MORE

Bodi ya Usajili Majenzi Yaasa Wanafunzi kupenda Masomo ya Sayansi

BODI ya Usajili wa Wabunifu na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) leo imefanya ziara katika baadhi ya shule za Sekondari jijini Dar es...

READ MORE

Anayedaiwa Kumuua Baba Yake Nick Minaj Atiwa Mbaroni

Mshukiwa wa mauaji ya Baba mzazi wa Nicki Minaj, ametiwa mbaroni mara baada ya kujisalimisha mwenyewe katika kituo cha polisi...

READ MORE

NMB Yaongeza Faraja Kwa Wajawazito Kishapu

  Benki ya NMB kupitia tawi lake la Kishapu imetoa msaada wa vitanda saba vikiwemo vitatu vya kujifungulia na mashuka...

READ MORE

Video: Mwili wa Balozi Kijazi Wawasili Dar

Mwili wa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi umesafirishwa leo Februari 18, kutoka Dodoma kwenda Dar es Salaam ambapo umepelekwa...

READ MORE

Jaji Mkuu Awaapisha Mahakimu Wakazi Wapya 71

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma amewaapisha Mahakimu Wakazi wapya 71 huku akimshukuru Rais wa Jamhuri ya...

READ MORE

Mtangazaji Aporwa Simu kwa Bastola Hadharani

MTANGAZAJI wa televisheni wa kampuni ya DIRECTTV, Diego Ordinhola, nchini Ecuador, alijikuta akikingiwa bastola na mtu nje ya Uwanja wa...

READ MORE

Silinde Ampa Siku Tatu Mkuu wa Shule

Naibu waziri wa ofisi ya Rais TAMISEMI David Silinde amewaagiza kuandika maelezo ndani ya siku tatu mkuu wa shule ya...

READ MORE

Meya Ilala Ashiriki Kumswalia Maalim Seif

MSTAHIKI Meya Manispaa ya Ilala Mhe Omary Kumbilamoto akiwa katika Masjid Almul tayari kuupokea mwili wa Makamu wa kwanza wa...

READ MORE

Mazishi ya Maalim Seif Zanzibar Yafanyika Muda Huu

MWILI wa aliyekuwa makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif, tayari umewasili Pemba kwa ajili ya mazishi.

READ MORE

Bastola ya Nape Yakamatwa na Polisi

POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na jeshi la polisi mkoa wa Mbeya, imefanikisha kuipata bastola ya...

READ MORE

Mwili wa Maalim Seif Waagwa Z’bar kwa Simanzi

VIONGOZI  mbalimbali nchini Tanzania wakiwemo wastaafu wamejitokeza katika uwanja wa Mnazi Mmoja mjini Unguja kumswalia aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa...

READ MORE

TMA Yatoa Utabiri Mvua za Masika

MKURUNGENZI wa Huduma za Utabiri wa Mamlaka ya Utabiri wa Hali ya Hewa nchini (TMA), Dk Hamza Karelia, amesema mvua...

READ MORE

Mwili wa Maalim Seif Wawasili Zanzibar – Video

MWILI  wa Makamu wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharrif Hamad ukiwasili Zanzibar kisha kupelekwa katika viwanja vya Mnazi Mmoja...

READ MORE

Mwili wa Balozi Kijazi Waagwa UDOM – Video

MWILI wa aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Eng. John Kijazi, aliyefariki dunia jana Jumatano saa 3:10 usiku katika Hospitali ya...

READ MORE

Televisheni Yafungiwa kwa Kukiuka Maombolezo ya Maalim Seif

TUME ya Utangazaji Zanzibar imekifungia kituo cha televisheni cha Tifu kwa muda wa siku saba baada ya kudaiwa kurusha vipindi...

READ MORE

Waziri Ummy Atoa Rai Kwa Wachimbaji wa Mchanga Bagamoyo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Ummy Mwalimu amesema iko haja ya kuweka tozo...

READ MORE

Maalim Seif Kuzikwa Leo Pemba

Mwili wa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad utazikwa leo Alhamisi Februari 18, 2021 mjini Pemba,...

READ MORE

#Live: Hii Ndiyo Safari ya Mwisho ya Maalim Seif

  MWILI waaliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mpindunzi Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hammad, leo Februari 18,...

READ MORE

Tanzia: Aliyewahi Kuwa Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki Afariki

Mbunge wa zamani wa Morogoro Kusini Mashariki, Semindu Pawa amefariki dunia Februari 17. Pawa amewahi kushika nafasi mbalimbali ndani ya CCM...

READ MORE

Breaking: Balozi Kijazi Afariki Dunia

#TANZIA: Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametangaza kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Eng. Dkt. John Kijazi kilichotokea leo Februari...

READ MORE

Baraza la Maaskofu (TEC) Latoa Wito wa Kuheshimiana

BARAZA la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania (TEC), limewataka Watanzania kuacha siasa za upendeleo na ubinafsi, kwa kuwa zinasababisha...

READ MORE

Tanzia: Mwandishi wa Habari Vedasto Msungu Afariki Dunia

Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa ITV na Radio One Stereo aliyebobea katika habari za Mazingira, Vedasto Msungu amefariki dunia leo...

READ MORE

Viongozi TZ na Mataifa Wamlilia Maalim Seif

  VIONGOZI mbalimbali wa Serikali nchini Tanzania na nje ya Tanzania wameomboleza kwa huzuni kifo cha aliyekuwa Makamu wa Kwanza...

READ MORE

TCRA Yazipiga Faini Bil. 38.1 Kampuni 6 za Simu

  MAMLAKA ya Mawasiliano nchini (TCRA), imezipiga faini ya shilingi bilioni 38.1 kampuni sita za simu kwa kosa la kutofikia...

READ MORE

Wasanii Wekezeni Kwenye Kazi Bora Si Kiki – Dkt Abbasi

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi, ametoa msimamo kuwa Serikali haitapoteza muda na...

READ MORE

Zitto: Mwamba wa Demokrasia Umeondoka – Video

KIONGOZI  Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Mwenyekiti wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad, alikuwa nguzo...

READ MORE

Ifahamu Historia ya Hayati Maalim Seif

Maalim Seif Sharif Hamad alizaliwa Okotba 22, 1943 na alipitia Shule za Uondwe na Shule ya Wavulana ya Wete Kisiwani...

READ MORE

Magufuli Amlilia Maalim Seif, Atangaza Siku 3 za Maombolezo

RAIS John MagufuliI amepokea kwa masikitiko kifo cha aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad,...

READ MORE

Breaking: Maalim Seif Afariki Dunia, Maombolezo Siku 7

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi, ametangaza kifo cha Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad,  aliyefariki leo Jumatano...

READ MORE

Dangote: Hatuna Mpango wa Kufunga Kiwanda Tanzania

Uongozi wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote Tanzania kilichopo Mkoani Mtwara jana Febuari 16, 2021 kimekanusha taarifa za uvumi wa...

READ MORE

Zuma Kushtakiwa kwa Kudharau Mahakama

MWENYEKITI wa tume ya uchunguzi kuhusu madai ya rushwa yanayomkabili aliyekuwa rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, amesema anataka kiongozi...

READ MORE

Rais JPM Atengua Uteuzi wa DED Kinondoni

RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, Aron Titus Kagurumjuli. Uteuzi wake...

READ MORE