×

Habari

Tanzia: Arthur Shoo wa KKKT Afariki Dunia

  Katibu mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yenye makao yake makuu mjini...

READ MORE

Abiria Kenya Airways Ruhusa Kulipia Viti vya Ziada Kujikinga na Corona

ABIRIA wa ndege za shirika la Kenya Airways (KQ) sasa wanaweza kununua kiti cha ziada cha pembeni wakati wanasafiri iwapo...

READ MORE

Live: Rais Magufuli Anazindua Majengo Ya Chuo Cha Polisi Kurasini

 RAIS Dkt John Magufuli, leo Februari 26, amezindua majengo ya chuo cha Polisi kilichopo Kurasini jijini Dar.   ⚫️...

READ MORE

Live: Magufuli Akiweka Jiwe la Msingi Kiwanda cha Polisi

Rais Magufuli ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa kiwanda cha ushonaji wa sare za jeshi la polisi, Dar, kinachogharimu...

READ MORE

Wow! Harmonize Amnunulia Kajala Gari Jipya – Video

PENZI la Msanii Harmonize na Kajala limeendelea kuonekana kushamiri ambapo jana Februari 25, Harmonize ameonesha upendo wa nguvu kwa kumnunulia...

READ MORE

Mwanamke Mwenye Matatizo ya Akili Aambukizwa Ukimwi- Video

Fatuma Athumani (60) ni mama ambaye alibahatika kupata watoto Tisa, lakini watoto wawili kati yayo walifariki dunia huku mmoja akifariki...

READ MORE

Mbunge Nyongo Apata Ajali, Akiwa Njiani Kwenda Kwenye Mazishi -Video

Mbunge wa Maswa Mashariki, Stanslaus Nyongo Februari 25, 2021 alipata ajali maeneo ya Mkalama mkoani Singida akiwa njiani kuelekea Meatu...

READ MORE

Watanzania Wanavyovuna Mamilioni ya Bikosports

KWA wanaofahamu umuhimu wa michezo ya kubashiri matokeo ya michezo mbalimbali duniani, ukiwamo huu wa Bikosports, huwezi kuwaeleza lolote linalo...

READ MORE

Mbunge Nyongo Apata Ajali – Video

Mbunge wa Maswa Mashariki Stanslaus Nyongo amepata ajali Maeneo ya mkalama Mkoani Singida akiwa njiani kuelekea Meatu kwenye Mazishi ya...

READ MORE

Safari ya Mwisho ya Prof. Ndulu

Ndugu, jamaa na marafiki, wakiaga mwili wa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu (71), katika...

READ MORE

Wizara Yahimiza Watanzania Kufanya Utalii wa Ndani

NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja, amewataka wananchi kuweka utaratibu wa kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini na...

READ MORE

Shigongo Awacharukia TARURA Kikaoni – Video

  MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo,  amecharuka katika kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Buchosa...

READ MORE

Wafanyabiashara 6 Kizimbani Tuhuma za Kuhujumu Uchumi

WAFANYABIASHARA sita leo Februari 25, wamepandishwa kizimbani katika mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi likiwemo...

READ MORE

Shigongo Aingia Darasani Kufundisha Biology Fomu 4 & 6 – Video

  MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, ameamua kuingia darasani na kufundisha somo la Biology kwa wanafunzi wa...

READ MORE

Shigongo Apokea Mabomba Mradi wa Maji Buchosa – Video

MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, amepokea mabomba 300 awamu ya kwanza kwa ajili ya kukamilisha mradi wa...

READ MORE

Shigongo Apokea Vitanda vya Wagonjwa Buchosa – Video

MBUNGE  wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, amepokea vitanda vitano kutoka Hospital ya Tanzanite iliyoko Iseni jijini Mwanza kwa...

READ MORE

ACT Wazalendo Yafunguka Sakata la Membe “Hatujutii”

Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu, amesema kuwa aliyewahi kuwa mshauri wa chama hicho Bernard Membe, aliondoka...

READ MORE

Tiger Woods Afanyiwa Upasuaji wa Mguu

NYOTA maarufu wa mchezo wa gofu, Tiger Woods, amefanyiwa upasuaji wa mguu wake wa kulia baada ya kupata ajali mbaya...

READ MORE

JPM Awaonya Wanahabari Kuhusu ‘Vigogo Kupukutika’ – Video

  RAIS  John Magufuli ametoa wito kwa vyombo vya habari kuripoti habari na matukio kwa weledi badala ya kuripoti taarifa...

READ MORE

JPM Aomba Ngoma ya Stamina Ft. Prof. Jay – Video

RAIS John Magufuli, ameufagilia na kuomba apigiwe wimbo ulioimbwa na Professor Jay na Stamina, wenye ujumbe unaomsema baba aliyeshindwa kutimiza...

READ MORE

Kumbilamoto Meya Mpya Jiji la Dar – Video

RAIS John Magufuli amesema Halmashauri ya Manispaa ya Ilala inastahili kuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, na haijapendelewa...

READ MORE

Breaking: Mdee Huru Madai ya Lugha Chafu Dhidi ya Rais

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuacha huru Mbunge wa Viti Maalumu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Halima Mdee, baada...

READ MORE

JPM: Waliniambia Dkt. Bashiru ni CUF – Video

  Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Magufuli amesema wakati Katibu Mkuu wa chama...

READ MORE

JPM Azindua Jitegemee House “Ufisadi Uliota Mizizi” – Video

  Rais Magufuli amezindua Jengo la Jitegemee (Jitegemee House) na Studio za Channel Ten Plus, Radio Magic FM na Radio...

READ MORE

Benki ya CRDB Yazindua App Mpya ya SimBanking – Video

WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Faustine Ndungulile,  Februari 24, 2021, amezindua mfumo mpya wa Simu Banking wa Benki...

READ MORE

Bibi Aliyetelekezwa na Wanae Ashukuru, Aongea Machungu – Video

KIKONGWE wa kike aliyewahi kuripotiwa na Global TV hivi karibuni kutelekezwa na wanae, ametoa neno la shukurani kwa Wasamaria wema...

READ MORE

Binti Amuua Mpenzi Wake, Baba Yake Ajinyonga – Video

BINTI mmoja nchini Uganda amemuua mpenzi wake kwa kumkata kata mapanga akidai kuwa amesikia kuwa mpenzi wake huyo alikuwa muathirika...

READ MORE

Mkutano wa 21 wa Wakuu Nchi EAC Kufanyika Feb 27

Mkutano wa 21 wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki umepangwa kufanyika Jumamosi, 27 Februari, 2021 kwa njia...

READ MORE

Wanachuo wa SUA, Wasogezewa Tawi Jipya la Nmb

Benki ya NMB imeendelea kupanua wigo wake kwa kufungua tawi ‘NMB SUA’ katika Chuo Kikuu Cha Sokoine Mkoani Morogoro. Ufunguzi...

READ MORE

Kizimbani kwa Kulima, Kusafirisha Bangi

RAIA wawili wa  Poland, Damien Jankowski na  Krzysztof pamoja na  watanzania watatu leo Februari 24 wamefikishwa  mahakama ya hakimu mkazi...

READ MORE

Kijana Auawa Bar Kisa Mwanamke

Jeshi la Polisi mkoa wa mwanza linawashikilia watu watano kwa tuhuma za makosa mbalimbali ya kiuhalifu ikiwemo mauaji.   Tukio...

READ MORE

Mahakama Yaamuru Mwanaume Kumlipa Mkewe kwa Kazi za Nyumbani

MAHAKAMA ya talaka ya Beijing imemuamuru mwanaume kumlipa fidia mke wake kwa kazi alizofanya katika kipindi chote walichooana, katika uamuzi...

READ MORE

Simbachawene Avionya Vyombo vya Habari vya Kenya

BALOZI  wa Tanzania nchini Kenya Dkt. John Simbachawene, amevitaka vyombo vya habari vya nchini Kenya kuripoti taarifa zenye uhakika kuhusu...

READ MORE

Kilimanjaro: Nzige Wamtesa Waziri, Naibu

Waziri wa Kilimo, Profesa Adolf Mkenda na naibu wake, Hussein Bashe wamewasili wilayani Siha Mkoa wa Kilimanjaro kusimamia shughuli ya...

READ MORE

Magufuli: Nimewahi Kuwa Dereva Teksi – Video

  Rais John Magufuli amesema kazi anayofanya ina changamoto zake kwa kuwa anatamani kuendesha gari lakini anazuiwa na ametoboa siri...

READ MORE

Ulikuwa Uamuzi Mgumu Kujenga Ubungo Interchange – Mkumbo

Waziri  wa Nchi Ofisi ya Rais (Uwekezaji) ambaye pia ni mbunge wa Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo amesimulia namna uamuzi mgumu...

READ MORE

Rais Afunguka Watu Walivyokufa Ubungo – Video

  RAIS John Magufuli amesema kabla ya ujenzi wa daraja la juu la Ubungo ‘Kijazi Interchange’ eneo hilo lilikuwa chanzo...

READ MORE

RC Mghwira Awatuhumu Baadhi ya Polisi Rombo

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amewashukia baadhi ya askari polisi wilayani Rombo kwa madai ya kujihusisha na kumiliki...

READ MORE

JPM Kulivunja Jiji la Dar – Video

RAIS John Magufuli amesema Serikali ina mpango wa kuvunja Jiji la Dar es Salaam na kuchagua manispaa moja katika jiji...

READ MORE