×

Habari

Waombolezaji wa Kulipwa Wazua Sekeseke Msibani, Mfiwa Ajifungia Chooni

  TAHARUKI imeibuka katika maeneo la Lugari, Kakamega nchini Kenya baada ya vijana wanaolipwa ili kuomboleza msiba, kuzua sekeseke kwa...

READ MORE

Wizara ya Elimu Yakanusha Waraka wa Prof. Bisanda

WIZARA ya Elimu imekanusha waraka wa tahadhari juu ya virusi vya Corona uliotolewa na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria...

READ MORE

Aliyemkata Mikono Mkewe kwa Utasa Afungwa Jela Miaka 30

MAHAKAMA moja mjini Machakos nchini Kenya, imepitisha hukumu ya kifungo cha miaka 30 gerezani dhidi ya mwnamme baada ya kupatikana...

READ MORE

Baraza la Seneti Lapiga Kura Kuendelea na Kesi ya Trump

Baraza la Seneti nchini Marekani limepiga kura kuendelea na mchakato wa mashitaka dhidi ya rais wa zamani Donald Trump, likisema...

READ MORE

Buku Yataka Kumtoa Roho, Kisa Msichana

  Mgusuhi Sabayi anasakwa na polisi wilayani Serengeti kwa madai ya kumjeruhi, Silikale Mwita akipinga kutolewa katika sherehe ya harusi...

READ MORE

Mtoto Aliyebambikiwa Kesi ya Mauaji, Akanyongwa Hadi Kufa Kimakosa

Yapo matukio ambayo ukiyasikia, lazima moyo wako uumie kupita kiasi! Miongoni mwa matukio hayo, ni hili linalomhusu mtoto George Stinney,...

READ MORE

Simba, Yanga Wahitimisha Chemsha Bongo ya Spoti Xtra

ILE Chemsha Bongo iliyokuwa inaendeshwa na Gazeti la Spoti Xtra ambayo ilikuwa inawapa fursa wasomaji wa gazeti hilo kujishindia zawadi...

READ MORE

Mshtakiwa Kesi ya Kutumikisha Walemavu Afariki

SADIKIELY META (71) mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya kufanya biashara haramu ya kusafirisha binadamu, (kutumikisha walemavu) kukwepa kodi na...

READ MORE

Polepole: JPM Hana Mpango Kuongeza Muda Madarakani

MBUNGE wa kuteuliwa, Humphrey Polepole,  leo Jumanne Februari 9, 2021 amelieleza Bunge kuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli hana mpango...

READ MORE

Jumbo Camera Watoa Punguzo la Bei Msimu wa Wapendanao

  WAUZAJI wa vifaa bora vya uzalishaji wa video na sauti, JUMBO CAMERA HOUSE wameshusha mzigo mpya wa Camera, Tripod...

READ MORE

Mahakama Yaamuru Mali za Mmiliki wa Impala Hotel Ziuzwe

Mahakama kuu Kanda ya Arusha imeridhia kuuzwa kwa mali za Mmiliki wa hotel za Impala na Naura Spring ikiwemo viwanja...

READ MORE

Babu Miaka 72 Ajiua Kisa Kushtakiwa Polisi na Mkewe

Mkazi wa Kijiji cha Lyamungo Sinde, Zephania Lyimo (72) anadaiwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya manila kwa madai ya kukasirishwa...

READ MORE

Patrick Kanumba Akazia Sakata la Mama Kanumba

Ni ‘headlines’ za msanii wa filamu Othman Njaidi maarufu kama Patrick Kanumba ambaye ametoa ‘comment’ yake kuhusu kinachoendelea mitandaoni kati...

READ MORE

Bulaya: Mimi Ndo Kipenzi cha Wana Bunda

  Mbunge wa Viti Maalum Ester Bulaya, amesema kuwa yeye ni mbunge wa muda mrefu na mbunge kipenzi cha wananchi...

READ MORE

Taratibu Mazishi ya Mtangazaji Mukhsin Mambo

MWANDISHI wa habari, Mukhsin Mambo, aliyefariki dunia jana Februari 8, 2021,  akiwa nyumbani kwake nchini Marekani, anategemewa kuzikwa jijini Mwanza...

READ MORE

Kesi ya Trump Kuanza Leo, Mawakili Wake Wakikosoa

Baraza la Seneti la Marekani leo litaanza mchakato wa kusikiliza kesi inayomkabili rais wa zamani Donald Trump, wakati timu ya...

READ MORE

Rais Adai Kuna Watu Wanataka Kumuua

Rais wa Haiti Jovenel Moise ametangaza jana kuwa polisi wamewakamata zaidi ya watu 20, wanaoshukiwa kupanga njama za kumuua na...

READ MORE

Waliohusika na Zabuni Zinazohusu Covid-19 Afrika Kusini Yawakuta

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema atachukua hatua ”kali” na ”stahiki” dhidi ya wazabuni wanaohusiana na virusi vya corona....

READ MORE

Mrisho Gambo: “Sijaridhika na Majibu” Spika Amtuliza – Video

  Spika wa Bunge Job Ndugai, amefurahishwa na swali lililoulizwa na mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo, kwamba Wizara ya...

READ MORE

Jaji TZ Achaguliwa Kuwa Jaji Mahakama ya Afrika

Jaji Imani Daud Aboud ambaye ni jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania amechaguliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Afrika ya...

READ MORE

Rwandair Yasitisha Safari Zake Sauzi

KAMPUNI ya ndege ya Rwanda, Rwandair, imesitisha kwa muda safari zake katika mataifa ya Afrika Kusini, Zimbabwe na Zambia.  ...

READ MORE

9 Wafa, 150 Hawajulikani Walipo Pande la Barafu Linapoanguka

WATU tisa wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 150 hawajulikani walipo baada ya pande kubwa la barafu katika safu ya...

READ MORE

Polisi Yakamata Silaha Haramu 160 Ruvuma

POLISI mkoani Ruvuma imefanikiwa kukamata silaha mbalimbali 160 zinazodaiwa kuwa ni haramu katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2020 pamoja...

READ MORE

Utapeli Unavyofanyika Kwenye Usajili Laini za Simu

KUMEKUWA na kasumba ya mawakala wanapofanya usajili wa laini za simu kumtaka mteja kurudia mara kadhaa kuweka alama ya kidole...

READ MORE

Mkuu wa Uchunguzi TAKUKURU Atoa Ushahidi Dhidi ya Kesi ya Gugai

  SHAHIDI ambaye ni Mkuu wa Uchunguzi na Usalama Katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Leonard Mtalai...

READ MORE

Msukuma: Miradi ya Mabilioni ya Pesa, Haina Impact kwa Taifa – Video

MBUNGE  wa Geita kupitia CCM, Joseph Kasheku maarufu kama Msukuma, ameshauri mabilioniya fedha  yanayowekezwa na serikali kwenye miradi ambayo haizalishi,...

READ MORE

Tanzia: Mukhsin Mambo Afariki Dunia

  MWANDISHI wa habari, Mukhsin Mambo, amefariki dunia hii leo Jumatatu, Februari 8, 2021, akiwa nyumbani kwake nchini Marekani. Mambo,...

READ MORE

Wanaougua Ugonjwa Usiojulikana Chunya Kusafirishwa Bure

  Mkuu wa mkoa Mbeya, Albert Chalamila amemuagiza Mganga Mkuu wa Mkoa huo kuwasafirisha bure wananchi wote wa kijiji cha...

READ MORE

Ebola Yarudi Tena DRC

Shirika la afya ulimwenguni WHO, limesema wafanyakazi wa afya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamegundua kisa kipya cha virusi...

READ MORE

Fahamu Kuhusu UN PEACE MAKER

MAJESHI ya kulinda amani yamethibitika kuwa silaha bora zaidi ya Umoja wa Mataifa katika kuzisaidia nchi kadhaa kutoka katika matatizo...

READ MORE

Afrika Kusini Yasitisha Chanjo ya Corona (AstraZeneca)

Afrika Kusini imesitisha mipango ya kuanza utoaji chanjo ya Corona (AstraZeneca) na Oxford baada ya utafiti kuonyesha kuwa chanjo hizo...

READ MORE

Afumaniwa Kitandani na Mke wa ‘Mjeda’

NJEMBA mmoja katika Mtaa wa Kawangware, jijini Nairobi nchini Kenya ametokwa na kijasho chembamba baada ya kunaswa akitafuna asali ya...

READ MORE

Mtendaji Aliyetoweka na Milioni 10 Asakwa

MADIWANI wa Halmashauri ya wilaya ya Uyui Mkoani Tabora wamemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, Hemed Magalu kumsaka Mtendaji wa...

READ MORE

‘Mafuriko ya Damu’ Yazua Gumzo

Kijiji kimoja cha Indonesia kimekumbwa na mafuriko yenye rangi ya damu baada ya maji kuingia katika kiwanda kimoja cha nguo....

READ MORE

Babu Afariki Gesti Akifanya Mapenzi

POLISI  katika kaunti ya Nyandarua nchini Kenya wanachunguza hali iliyosababisha kifo cha mzee mmoja mwenye miaka 58, ambaye ameaga dunia...

READ MORE

Asimulia Alivyopewa Adhabu kwa Saa 2 Ujauzito Ukaharibika

ASHA RAJABU (28) mkazi wa kijiji cha Samanga Marangu wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, amesimulia namna alivyorukishwa kichurachura na mwenyekiti...

READ MORE

Ukweli Kuhusu Wanafunzi Kukimbia Kipimo Kipya cha Corona

VIDEO inayosambaa mtandaoni inaonyesha madai ya uongo ya wanafunzi wa shule wakiwa wanakimbia kuchomwa chanjo ya corona kwa lazima.  ...

READ MORE

Wanachama 100 ACT Wazalendo Wahama, Agizo la JPM Latekelezwa Ubungo

KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...

READ MORE

Sakata Ugonjwa Usiojulikana, Mganga Mkuu Chunya Yamkuta

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt Dorothy Gwajima, ameagiza kusimamishwa kazi Mganga Mkuu wa Halmashauri...

READ MORE