TAHARUKI imeibuka katika maeneo la Lugari, Kakamega nchini Kenya baada ya vijana wanaolipwa ili kuomboleza msiba, kuzua sekeseke kwa...
READ MOREWIZARA ya Elimu imekanusha waraka wa tahadhari juu ya virusi vya Corona uliotolewa na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria...
READ MOREMAHAKAMA moja mjini Machakos nchini Kenya, imepitisha hukumu ya kifungo cha miaka 30 gerezani dhidi ya mwnamme baada ya kupatikana...
READ MOREBaraza la Seneti nchini Marekani limepiga kura kuendelea na mchakato wa mashitaka dhidi ya rais wa zamani Donald Trump, likisema...
READ MOREMgusuhi Sabayi anasakwa na polisi wilayani Serengeti kwa madai ya kumjeruhi, Silikale Mwita akipinga kutolewa katika sherehe ya harusi...
READ MOREYapo matukio ambayo ukiyasikia, lazima moyo wako uumie kupita kiasi! Miongoni mwa matukio hayo, ni hili linalomhusu mtoto George Stinney,...
READ MOREILE Chemsha Bongo iliyokuwa inaendeshwa na Gazeti la Spoti Xtra ambayo ilikuwa inawapa fursa wasomaji wa gazeti hilo kujishindia zawadi...
READ MORESADIKIELY META (71) mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya kufanya biashara haramu ya kusafirisha binadamu, (kutumikisha walemavu) kukwepa kodi na...
READ MOREMBUNGE wa kuteuliwa, Humphrey Polepole, leo Jumanne Februari 9, 2021 amelieleza Bunge kuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli hana mpango...
READ MOREWAUZAJI wa vifaa bora vya uzalishaji wa video na sauti, JUMBO CAMERA HOUSE wameshusha mzigo mpya wa Camera, Tripod...
READ MOREMahakama kuu Kanda ya Arusha imeridhia kuuzwa kwa mali za Mmiliki wa hotel za Impala na Naura Spring ikiwemo viwanja...
READ MOREMkazi wa Kijiji cha Lyamungo Sinde, Zephania Lyimo (72) anadaiwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya manila kwa madai ya kukasirishwa...
READ MORENi ‘headlines’ za msanii wa filamu Othman Njaidi maarufu kama Patrick Kanumba ambaye ametoa ‘comment’ yake kuhusu kinachoendelea mitandaoni kati...
READ MOREMbunge wa Viti Maalum Ester Bulaya, amesema kuwa yeye ni mbunge wa muda mrefu na mbunge kipenzi cha wananchi...
READ MOREMWANDISHI wa habari, Mukhsin Mambo, aliyefariki dunia jana Februari 8, 2021, akiwa nyumbani kwake nchini Marekani, anategemewa kuzikwa jijini Mwanza...
READ MOREBaraza la Seneti la Marekani leo litaanza mchakato wa kusikiliza kesi inayomkabili rais wa zamani Donald Trump, wakati timu ya...
READ MORERais wa Haiti Jovenel Moise ametangaza jana kuwa polisi wamewakamata zaidi ya watu 20, wanaoshukiwa kupanga njama za kumuua na...
READ MORERais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema atachukua hatua ”kali” na ”stahiki” dhidi ya wazabuni wanaohusiana na virusi vya corona....
READ MORESpika wa Bunge Job Ndugai, amefurahishwa na swali lililoulizwa na mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo, kwamba Wizara ya...
READ MOREJaji Imani Daud Aboud ambaye ni jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania amechaguliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Afrika ya...
READ MOREKAMPUNI ya ndege ya Rwanda, Rwandair, imesitisha kwa muda safari zake katika mataifa ya Afrika Kusini, Zimbabwe na Zambia. ...
READ MOREWATU tisa wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 150 hawajulikani walipo baada ya pande kubwa la barafu katika safu ya...
READ MOREPOLISI mkoani Ruvuma imefanikiwa kukamata silaha mbalimbali 160 zinazodaiwa kuwa ni haramu katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2020 pamoja...
READ MOREKUMEKUWA na kasumba ya mawakala wanapofanya usajili wa laini za simu kumtaka mteja kurudia mara kadhaa kuweka alama ya kidole...
READ MORESHAHIDI ambaye ni Mkuu wa Uchunguzi na Usalama Katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Leonard Mtalai...
READ MOREMBUNGE wa Geita kupitia CCM, Joseph Kasheku maarufu kama Msukuma, ameshauri mabilioniya fedha yanayowekezwa na serikali kwenye miradi ambayo haizalishi,...
READ MOREMWANDISHI wa habari, Mukhsin Mambo, amefariki dunia hii leo Jumatatu, Februari 8, 2021, akiwa nyumbani kwake nchini Marekani. Mambo,...
READ MOREMkuu wa mkoa Mbeya, Albert Chalamila amemuagiza Mganga Mkuu wa Mkoa huo kuwasafirisha bure wananchi wote wa kijiji cha...
READ MOREShirika la afya ulimwenguni WHO, limesema wafanyakazi wa afya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamegundua kisa kipya cha virusi...
READ MOREMAJESHI ya kulinda amani yamethibitika kuwa silaha bora zaidi ya Umoja wa Mataifa katika kuzisaidia nchi kadhaa kutoka katika matatizo...
READ MOREAfrika Kusini imesitisha mipango ya kuanza utoaji chanjo ya Corona (AstraZeneca) na Oxford baada ya utafiti kuonyesha kuwa chanjo hizo...
READ MORENJEMBA mmoja katika Mtaa wa Kawangware, jijini Nairobi nchini Kenya ametokwa na kijasho chembamba baada ya kunaswa akitafuna asali ya...
READ MOREMADIWANI wa Halmashauri ya wilaya ya Uyui Mkoani Tabora wamemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, Hemed Magalu kumsaka Mtendaji wa...
READ MOREKijiji kimoja cha Indonesia kimekumbwa na mafuriko yenye rangi ya damu baada ya maji kuingia katika kiwanda kimoja cha nguo....
READ MOREPOLISI katika kaunti ya Nyandarua nchini Kenya wanachunguza hali iliyosababisha kifo cha mzee mmoja mwenye miaka 58, ambaye ameaga dunia...
READ MOREASHA RAJABU (28) mkazi wa kijiji cha Samanga Marangu wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, amesimulia namna alivyorukishwa kichurachura na mwenyekiti...
READ MOREVIDEO inayosambaa mtandaoni inaonyesha madai ya uongo ya wanafunzi wa shule wakiwa wanakimbia kuchomwa chanjo ya corona kwa lazima. ...
READ MOREKARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...
READ MOREWAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt Dorothy Gwajima, ameagiza kusimamishwa kazi Mganga Mkuu wa Halmashauri...
READ MORE