×

Habari

Breaking News: Daka Bando la Bure Chapchap!

MAMBO si ndo haya sasa, daka bando chap chap, usipitwe! Wale wasomaji wa Magazeti ya Global Publishers kwa njia ya...

READ MORE

Mwalimu Afukuzwa Kazi kwa Wizi wa Mitihani

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU, imemfikisha Mahakamani mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Orkitikiti, Kijiji cha Engong’ongare...

READ MORE

Jumbo Camera Watoa Punguzo la Bei Msimu wa Wapendanao

WAUZAJI wa vifaa bora vya uzalishaji wa video na sauti, JUMBO CAMERA HOUSE wameshusha mzigo mpya wa Camera, Tripod Stand,...

READ MORE

Kortini Kukutwa na Meno ya Simba, Tembo

WATU wanne wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kwa mashtaka mawili likiwemo la kukutwa...

READ MORE

Waliocharazwa Bakora na Naibu Waziri ‘Kushtaki’ Mahakamani

Wakili Mwandamizi Anthony Nasimire katika hotuba yake ndani ya wiki ya Sheria amesema vitendo vya hivi karibuni vya Viongozi kuwatandika...

READ MORE

Wanaume Kusikiliza Malalamiko ya Wanaume Kupigwa

Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii, imetakiwa kuweka utaratibu Wataalam Wanaume ili kupokea na kusikiliza malalamiko ya Wanaume wanaopigwa na...

READ MORE

Kilichomkuta Gavana Sonko Mahakamani

Gavana wa zamani wa Nairobi Mike Sonko amekanusha mashitaka 12 dhidi yake, ikiwa ni pamoja na ghasia na wizi wa...

READ MORE

Wakulima Kupiga Simu Bure

Akiwa Bungeni Dodoma, Naibu Waziri wa #Kilimo, Hussein Bashe amesema wapo kwenye hatua za mwisho za kuanzisha Kituo cha Huduma...

READ MORE

Spika Azitaka Kamati za Bunge Kutofanya Kazi kwa Mazoea

Spika Job Ndugai amezitaka Kamati za Kudumu za Bunge kuacha kufanya kazi kwa mazoea na kubweteka huku zikiamini muda bado...

READ MORE

Aonekana Akifanya Ngono Wakati Mahakama Ikiendelea

Wakili Héctor Cipriano Paredes amezua gumzo nchini Peru na duniani kwa ujumla mara baada ya kufanya ngono na mwanamke mmoja...

READ MORE

Anaswa Akimiliki Kiwanda cha Kutegenezea Silaha za Moto

  Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia, Shabani Athumani (61) mkazi wa Kwamakocho, Chalinze akituhumiwa kumiliki kiwanda cha kutengenezea...

READ MORE

Mbunge CCM Adai Shule Imegeuka Makazi ya Ngedere, Nyani

MBUNGE wa Ulyankulu (CCM), Rehema Migila amesema Shule ya Sekondari ya Isike iliyopo kata ya Igombe mkoani Tabora nchini Tanzania...

READ MORE

Tume Yabaini Chanzo cha Kifo cha Dereva wa Lori Mbeya

  Tume ya watu saba iliyoundwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila kuchunguza kifo cha dereva wa lori...

READ MORE

Ukweli Kuhusu Wagonjwa wa Corona Dar

  KATIBU MKUU Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Prof. Mabula Mchembe amewataka Wananchi kupuuza taarifa...

READ MORE

Lina wa Dar Ahukumiwa Miaka 30 Jela Kwa kusafirisha Dawa Za Kulevya, Wawili Miaka 20

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu mkazi wa Tabata, Lina Muro kwenda jela miaka 30 baada ya kutiwa hatiani kwa...

READ MORE

Kigogo Chama cha Wafanyakazi Kortini kwa Tuhuma za Utakatishaji Fedha

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imemfikisha mahakamani aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha Uhasibu katika Chama cha Wafanyakakazi...

READ MORE

Tanzia: Mzee Yusuf Afiwa na Baba Yake Mzazi

MSANII mkongwe wa muziki wa taarab nchini, amepata pigo la kuondokewa na baba yake mzazi, Yusuf Mzee,  kilichotokea leo, Jumanne...

READ MORE

Wastara: Mama Ulitaka Lulu Akaishi Kwenye Kaburi la Kanumba?

  MSANII nguli wa Bongo Movies, Wastara Juma,ameshindwa kuvumilia na kuamua kumtolea uvivu mama wa aliyekuwa msanii namba moja wa...

READ MORE

Polisi Yawasaka Waliohamasisha Mgomo wa Madereva

  Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawatafuta kwa mahojiano viongozi wa chama cha madereva wa mabasi...

READ MORE

JPM Ampa Maagizo Mazito Mwigulu – Video

  RAIS  John Magufuli ameitaka Wizara ya Katiba na Sheria kuhakikisha Kiswahili kinatumika katika kesi na hukumu za mashauri mbalimbali...

READ MORE

Wabunge 19 Waliotimuliwa Chadema Watua Bungeni – Video

WABUNGE 19 wa viti maalumu wanaotokana na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la...

READ MORE

Serikali Yapeleka Kivuko cha Bilioni 5.3 Mafia Nyamisati

Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA), leo imerejesha furaha na matumaini kwa wakazi wa Mkoa wa Pwani...

READ MORE

Sudan Kusini Yarudisha Nyuma Majira ya Muda Wake

  NCHI ya Sudan Kusini imerudisha nyuma muda wake kwa saa moja nyuma. Waziri wa Ajira, Bi. Mary Hillary Wani...

READ MORE

Ahukumiwa Kutokunywa Pombe kwa Miezi 12

  Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma, imemuachia huru Boniphace Kachila, mkazi wa Kijiji cha Kiyungwe, Kasulu mkoani humo kwa sharti...

READ MORE

Yemen: Jeshi Latangaza Kumuua Kamanda wa Houthis

Jeshi la Yemen limetangaza kumuua kamanda mmoja wa Houthis pamoja na watu wengine kadhaa wanaohusika na vikosi hivyo vya kijeshi...

READ MORE

Treni ya Mwendokasi Dar – Moro Kuanza Mwaka Huuu

  UJENZI wa Reli ya Kisasa ya Umeme (SGR) kipande cha kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro, kinatarajiwa kukamilika na...

READ MORE

Prof. Lipumba: JPM Tuachie Katiba Mpya – Video

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, amemweleza Rais John Magufuli kuwa vipo viporo vyote alivyoahidi mwaka 2015...

READ MORE

Gwajima Afungukia Kupokea Kinga ya Corona, Ataja Dawa Zilizothibitishwa – Video

WIZARA ya Afya nchini imesema kufuatia kuwepo taarifa za mlipuko wa pili wa corona katika nchi jirani, imekuwa ikipokea maswali...

READ MORE

Bobi Wine Aanza Mchakato Kupinga Matokeo

CHAMA cha NUP kimesema maandalizi yote muhimu yamefanyika na leo wanatarajia kuwasilisha ombi la kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika...

READ MORE

JPM Ampandisha Cheo Jaji Aliyeandika Hukumu Kiswahili – Video

RAIS  John Magufuli amepandisha cheo Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Musoma, Zephrine Galeba, aliyeandika hukumu kwa lugha ya Kiswahili...

READ MORE

Majaliwa Aipa CEOrt Mbinu Kuvuna Watendaji Wakuu Wazawa

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Jukwaa la Taasisi ya Wakurugenzi na wamiliki wa makampuni binafsi nchini (CEOrt)...

READ MORE

Binti Akiri Kudanganya Kubakwa, Mtuhumiwa Afungwa Jela Miaka 60

BINTI Maria Sanga (20), mkazi wa kijiji cha Kilingi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, ameamua kuiangukia Serikali kutengua hukumu kwa...

READ MORE

Bibi Auawa na Mchunga Ng’ombe Wake Ili Arithi Mali

  ANTONIA JITINDE (62) aliyeishi katika kijiji cha Zawa, Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, hakuwahi kuhisi kuwa ngo’mbe 25 na...

READ MORE

Baba, Mtoto Wanaswa Wakituhumiwa Kuuza Dawa za Serikali

MTEGO uliowekwa na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMD) Kanda ya Kusini umefanikiwa kumnasa Jamaly Sad na mtoto...

READ MORE

Breaking: Lori Lagonga Treni Vingunguti Dar

  Shirika la Reli Tanzania (TRC) limethibitisha kutokea kwa ajali ya treni leo alfajiri eneo la Vingunguti, Dar es Salaam...

READ MORE

Rais JPM Awapa Mwezi Mmoja Wakuu wa Mikoa, Wilaya – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amewataka wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kote nchini...

READ MORE

Wanawake Arusha Waandamana Kisa Mauaji ya Mwenzao

JESHI la Polisi mkoani Arusha jana jioni lilitumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanawake waliokuwa wakiandamana na kufunga barabara wakizuia kuzikwa...

READ MORE

Marekani Yasitisha Chanjo kwa Wafungwa

  WIZARA ya Ulinzi ya Marekani imesema itasimamisha mpango wake wa kuwapa chanjo dhidi ya COVID-19 wafungwa wa makosa ya...

READ MORE

Jeshi Myanmar Lamkamata Kiongozi wa Nchi, Latangaza Hatari

JESHI la Myanmar limetangaza hali ya dharura likidai kufanyika udanganyifu wa kura katika uchaguzi, baada ya kuwakamata viongozi kadhaa akiwemo...

READ MORE

Mico Halal Kusimamia Vitoweo Vya Nyama Kuwa Sehemu Salama

TAASISI ya Mico Halal International Bureau imeleta neema mpya kwa walaji wa nyama ambapo sasa itasimamia machinjio yote nchini kuhakikisha...

READ MORE