×

Habari

Zahera Atua, Apewa Gari Jipya

  KOCHA Mkuu wa Yanga Mkongomani, Mwinyi Zahera ametua nchini juzi usiku na kimyakimya uongozi ukaenda kumpokea Uwanja wa Ndege...

READ MORE

MSHTUKO MUME ADAI MADAKTARI KUUA MKEWE NA MTOTO

MSHTUKO! Chrispine Mtuta, mkazi wa Mbezi- Kwembe jijini Dar, ameibuka na tuhuma nzito za kushtua kwamba, madaktari wamechangia kifo cha...

READ MORE

Mkataba Ujenzi Daraja la Kigongo Busisi Wasainiwa

  Hatimaye historia imeandikwa nchini Tanzania kwa kusainiwa kwa mkataba wa ujenzi wa daraja la Kigongo Busisi katika Ziwa Victoria...

READ MORE

Breaking News: Mkuu wa Wilaya Afariki Dunia

GAVANA wa Kaunti ya Bomet, nchini Kenya, Joyce Laboso,  amefariki  leo Jumatatu Julai 29,  2019, wakati akipata matibabu katika Hospitali...

READ MORE

Wajue Wanawake 5 Wanaoutikisa Ulimwengu wa Sayansi

1. Profesa Jocelyn Bell Burnell wa Ireland Kaskazini. MWANAMKE huyu ni maarufu kwa uvumbuzi wa kwanza wa kidude kidogo cha...

READ MORE

Wasiooga marufuku jijini Dar es Salaam – Makonda

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda,  amepiga marufuku ‘watu wachafu’ kuonekana mitaa ya  jiji hilo...

READ MORE

Polisi Singida Wakamata ‘Luteni Feki’ wa JWTZ

      JESHI la Polisi  mkoani Singida limemkamata mkazi mmoja  wa jijini Arusha, Amieli Stephano (29), kwa tuhuma ya ...

READ MORE

VIDEO: UTATA! KIFO cha MAMA Na MWANAE, Mume, Dada WASIMULIA Mazito!

Ni majonzi na vilio vimetawala kwa familia ya marehemu, Pauline Patrick, aliyefariki saa chache baada ya mwanae kufariki… Global TV...

READ MORE

WhatsApp kuja na huduma ya malipo kwa njia ya ujumbe

KAMPUNI ya WhatsApp inayoendesha huduma  ya mawasiliano ya kutumiana ujumbe ina mpango wa kuzindua huduma yake ya kwanza ya malipo...

READ MORE

NBC yadhamini kongamano la uwekezaji Ruvuma

    Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhandisi Stella Manyanya amesema Maonesho ya Viwanda na kongamano la uwekezaji...

READ MORE

KIKAPU DAR… KWA MIKAKATI HII MNASTAHILI PONGEZI

NIANZE kwa kutoa pongezi kwa uongozi wa Chama cha Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BD) kwa kufanikiwa...

READ MORE

Mzungu Simba ampa Kapombe dk 60

KOCHA mkuu wa Simba, Patrick Aussems ameamua kumpa mbinu maalum beki wake Shomary Kapombe ya kurejea katika uwezo wake kwa...

READ MORE

TECNO YAJA NA MOTO WA PHANTOM 9

Hatimaye baada ya kimya kirefu, TECNO Mobile Tanzania yaileta Phantom 9. Huu ukiwa muendelezo wa simu za Phantom zilizoanza kutolewa...

READ MORE

WAZIRI MKUU APOKEA MSAADA WA VIFAA KUTOKA NMB

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea msaada wa vifaa mbalimbali kutoka benki ya NMB vyenye thamani ya sh. milioni...

READ MORE

Simba Kutua Dar Jumatano Wakitokea Sauzi

KIKOSI cha Simba kinarejea nchini siku Jumatano ya Julai 31,  kutokea Afrika Kusini baada ya kumaliza kambi yake ya wiki...

READ MORE

SIMBA NA ORLANDO PIRATES JUMANNE

  SIMBA itakamilisha ratiba ya mechi za kirafiki za kujipima nchini hapa Afrika Kusini kwa kucheza na vigogo, Orlando Pirates...

READ MORE

BOCCO: TUTAFANYA VIZURI BILA OKWI

UNAPOTAJA washambuliaji wazawa ambao wapo kwenye kasi ya hatari ya kupachika mabao basi kamwe huwezi kuliweka kando jina la John...

READ MORE

Breaking News: Lugola Amuondoa Madarakani RTO Arusha

Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Kangi Lugola amemuondoa madarakani mkuu wa kikosi cha usalama barabarani Mkoa wa Arusha...

READ MORE

SPOTI XTRA YATUA UWANJA WA TAIFA MECHI YA STARS

Timu ya masoko ya @globalpublishers tayari ipo Uwanja wa Taifa Dar, kwenye game ya Taifa Stars vs Kenya, ili kulinadi...

READ MORE

Arsenal Yanasa Bonge la Winga

ARSENAL inaaminika imefikia muafaka wa kumsajili winga hatari wa Lille ya Ufaransa, Nicolas Pepe. Klabu inadaiwa ilikubali jana kulipa ada...

READ MORE

PADRI AONGOZA MISA YA KUMBUKUMBU MAMA WA SHIGONGO

PADRI wa Parokia ya Ilunga, Bagamoyo, Godefroy Masengo, jana Julai 27, 2019 aliongoza misa ya kumbukumbu ya kifo cha mama...

READ MORE

Kigamboni Wayafagilia Magazeti ya Risasi na Championi Jumamosi

Kitengo cha Mauzo cha Global Publishers Julai 27, 2019 kilitembeea wananchi wa Kigamboni na kuwakuta wakijiachia na magazeti ya Risasi...

READ MORE

Kaseja awahakikishia mashabiki Stars

NAHODHA msaidizi wa Taifa Stars, Juma Kaseja amesema kuwa ana imani watafuzu kwenye michuano ya Chan kutokana na maandalizi wanayoyafanya....

READ MORE

Mbelgiji wa Simba Afunga Hesabu Sauzi, Anogewa na Mkongo

  WAKIWA wamefikisha siku 12 kambini nchini Afrika Kusini, Kocha Mkuu wa Simba Mbelgiji, Patrick Aussems ametamba kuwa muda ambao...

READ MORE

Zahera: Yondani Hawezi Kugoma Yanga

KOCHA mkuu wa Yanga, Mkongomani Mwinyi Zahera amemtetea beki wake mkongwe, Kelvin Yondani kuwa kamwe hawezi kugoma. Kocha huyo amefunguka...

READ MORE

CEED TANZANIA YATOA MAFUNZO KWA WAJASIRIAMALI

    Kituo cha Ujasiriamali na Maendeleo ya Utendaji (CEED), ya wakutanisha wafanyabiashara mbalimbali wa mazao ya kilimo na usindikizaji...

READ MORE

MADAKTARI WAKWAA SKENDO

HUJAFA hujaumbika ni msemo wa Kiswahili wenye tafsiri ya maisha ya kiumbe na maumbile yake halisi aliyoumbwa na Mwenyezi Mungu...

READ MORE

Yondani Aibuka, Afungukia Ishu Ya Kugoma Yanga

BEKI mkongwe wa kati wa Yanga, Kelvin Yondani, ameweka wazi kwamba atajiunga na klabu hiyo mara tu atakapokamilishiwa stahiki zake....

READ MORE

Mbelgiji Simba Aja na Mikakati ya Ubingwa

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Aussems, baada ya kucheza mechi mbili za kirafiki, amefunguka kuwa anataka kuona wachezaji wanakuwa imara...

READ MORE

Azim Dewji Apata Ajali Akielekea Rufiji, Alazwa Muhimbili

MWENYEKITI  wa Jumuiya ya Shia na mfanyabiashara, Azim Dewji, na waandishi watatu wa vituo vya televisheni vya ITV,  Channel Ten...

READ MORE

Maua Sama, Ruby Kunogesha Siku Ya Urembo Asili

BAADA ya kusubiriwa kwa hamu na wajasiriamali na wadau wa urembo, hatimaye ile Siku ya Urembo wa Asili imewadia ambapo...

READ MORE

Zahera Kuwashuhudia ‘live’ Sibomana na Balinya

KOCHA Mkuu wa Yanga, raia wa Dr Congo Mwinyi Zahera, leo Jumamosi atakuwa sehemu ya benchi la ufundi la Yanga...

READ MORE

Kwa Shikalo! Kindoki atulie Tu

KIPA mpya wa Yanga raia wa Kenya, Farouk Shikalo, amejikuta akiwapagawisha mashabiki wa timu hiyo ambao wamekuwa wakijazana katika Uwanja...

READ MORE

JPM Aweka Jiwe La Msingi Ujenzi Wa Mradi Wa Kufua Umeme Rufiji

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 26 Julai, 2019 ameweka jiwe la...

READ MORE

Balinya, Sibomana Wafunika Mastaa wote Simba SC

HALI ya mambo ndani ya vikosi vya Simba na Yanga ni moto, hivyo ndivyo unavyoweza kusema kutokana na mazoezi kabambe...

READ MORE

Shikalo Atamba Kupiga Kazi ya Maana Yanga Sc

KIPA mpya wa Yanga, raia wa Kenya, Faruk Shikalo, amesema amekuja nchini kufanya kazi na kwa kuanza, ataanza na Kariobang...

READ MORE

TANZIA: MENEJA WA SHIRIKA LA AGPAHI AGNES KABIGI AFARIKI DUNIA

Meneja Mawasiliano wa asasi inayolenga kutokomeza UKIMWI kwa watoto na familia Ariel Glaser Pediatric AIDS Healthcare Initiative (AGPAHI), Bi. Agnes...

READ MORE

Zahera: Nakuja Jumapili, Tulieni

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera, raia wa DR Congo, amewatuliza mashabiki wa klabu hiyo ambao wanajua ameenda moja kwa...

READ MORE

WEMA APOKELEWA KWA SHANGWE NA WAHARIRI GLOBAL (PICHA + VIDEO)

  MWIGIZAJI maarufu wa Bongo Movie, Wema Sepetu, leo Ijumaa, Julai 26, 2019,  amepokelewa kwa shangwe na wahariri wa Global...

READ MORE