×

Habari

Rais MAGUFULI Afungua Kituo cha Afya Mbonde, Mtwara – Video

Rais Dkt. John Magufuli amefungua Kituo cha Afya cha Mbonde Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara. Ni moja ya Vituo vya...

READ MORE

 MFANYABIASHARA JELA MIAKA 30, VIBOKO 12

MBEYA: Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya imemhukumu kutumikia adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela na kuchapwa viboko...

READ MORE

Mtu Amelima Korosho, Amenunua Madawa, Unampa Tsh 1,500? – Video

Rais Dkt John Pombe Magufuli  amewahakikishia wananchi wa Nanyamba, Tandahimba, na Newala Mkoani Mtwara kuwa Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu ya...

READ MORE

USIOMBE YAKUKUTE… MREMBO YAMFIKA MAZITO MTAANI

“WALIANZA kunipigia ndani, baadaye wakanitoa nje wakaanza kunitembeza mtaani huku wakinipiga.” Simulizi ya Anastazia Ernest mkazi wa Mbagala jijini Dar...

READ MORE

Wasomaji: Betika linatuingizia fedha ndefu katika kubeti

WASOMAJI wa Gazeti la Betika kutoka maeneo ya Mbagala jijini Dar es Salaam, wamefunguka kuwa gazeti hilo kila siku zinavyozidi...

READ MORE

RADI YAPENYA CHUMBANI, YAUA MAMA NA MWANAYE, WATU 6 HOI

NI simanzi kuu! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia familia ya Mbwana Said, mkazi wa Kimanzichana wilayani Mkuranga, Mkoa wa Pwani kukumbwa...

READ MORE

MAGUFULI “Gongo Iuzwe, Anayelewa Alewe Tu! – Video

Rais Dkt John Magufuli ameendelea na ziara yake ya kikazi ya siku tatu mkoani Mtwara, ambapo anakagua na kuzindua miradi...

READ MORE

AIBU! NJEMBA ANASWA WIZI NGUO ZA NDANI ZA KIKE

MBEYA: AMEJUA kutuweza! Kwa kawaida wizi haukubaliki na utakapotiwa mbaroni kwa wizi ujue yatakukuta makubwa, lakini utakapodakwa katika tukio la...

READ MORE

DAKTARI NUSURA AUE MTOTO!

MTU akiitwa daktari maana yake ni: “Mtaalamu aliyepata shahada ya juu kabisa; mganga aliyehitimu katika elimu ya tiba ya dawa...

READ MORE

Spika Ndugai Atishia Kuwataja Wabunge Waliotelekeza Watoto

Spika wa Bunge, Job Ndugai, amesema anayo orodha ya baadhi ya wabunge waliotelekeza watoto hivyo amewataka wahusika kulimaliza suala hilo...

READ MORE

Rais wa Algeria Ajiuzulu

RAIS wa Algeria Bouteflika (82) ambae anatumia wheelchair kutembelea amejiuzulu wadhifa wake baada ya kukaa madarakani kwa miaka 20, hatua...

READ MORE

Pierre Liquid Apewa Tiketi ya Ndege Kwenda AFCON Misri – VIDEO

MCHEKESHAJI Peter Mollel ‘Liquid Master’ au ‘Pierre’, anayetikisa mitandaoni ameahidiwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kupewa tiketi ya ndege kwenda...

READ MORE

Bakhresa Washusha Kinywaji Cha Vimto

KAMPUNI  za Bakhresa ambayo inazalisha vyakula na vinywaji,  imerudisha kinywaji cha Vimto baada ya kuingia ubia na  kampuni ya Nichols...

READ MORE

JPM Akerwa na Wakandarasi Hawa – Video

Rais John Magufuli amewajia juu wakandarasi wasiofanya kazi zao vizuri na kwa wakati na kuitaka Wizara ya Ujenzi kuwachukulia hatua...

READ MORE

Dkt. Pallangyo (CCM) Ashinda Kura Jimbo la Nassari

Dkt. John Pallangyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi (CCM) mkoani Arusha, ameshinda kwa kishindo kinyang’anyiro cha kura...

READ MORE

SPIKA AMUANIKA LEMA: Unadaiwa MIL 419, Una STRESS, Ushugulikiwe – Video

  SPIKA wa Bunge, Job Ndugai,  ameiagiza Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kumhoji Mbunge wa Arusha Mjini...

READ MORE

Piere Liquid Atinga Bungeni Dodoma Akutana na Spika

Mchekeshaji Peter Mollel alimaarufu kama Pierre Liquid  leo amefika bungeni  na kutana na Spika wa Bunge, Job Ndugai,  Naibu Spika,...

READ MORE

CAG ASEMA AMETIMIZA WAJIBU WAKE, UAMUZI WA BUNGE NI WAO

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Profesa Mussa Assad,  amesema amekwishatimiza wajibu wake na kwamba uamuzi wa...

READ MORE

JPM Atoa ONYO Kali: Niombe Hela Uone Kama Sijakutumbua – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amewaonya Wakurugenzi ambao watanaoesha nia kudai ushuru kufuatia uamuzi...

READ MORE

TAMKO la POLISI Kuhusu MAUAJI Kigoma “Tutawalaza Wote” – Video

Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi nchini, Liberatus Sabas amewahakikishia wakazi wa Mkoa wa Kigoma kuimarishwa kwa...

READ MORE

Baba Amnyonga Mwanae Hadi Kufa, Akidai Sio Mtoto Wake

JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Robison Enerst (33) fundi ujenzi kwa kosa la kumnyonga shingo,  mwanae Modesta Robison mwezi...

READ MORE

Serikali kushirikiana na Unesco kuhakikisha usalama wa waandishi wa habari

SERIKALI imesema kwamba iko tayari kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) na wadau...

READ MORE

JPM Awasamehe Kangomba, Aagiza Walipwe Fedha zao za Korosho – Video

RAIS wa Tanzania John Magufuli ameagiza zipelekwe Sh 50 bilioni kwa ajili ya kulipia wakulima wenye kilo zaidi ya 1,500...

READ MORE

Magufuli Awashukia Wakulima wa Korosho Wanaodai Hawajalipwa – Video

RAIS John Magufuli amewajia juu wakulima wa korosho mkoani Mtwara wanaodanganya kuwa hawajalipwa fedha zao na serikali jambo ambalo si...

READ MORE

VIONGOZI WA CHUO CHA KIJESHI UGANDA WATEMBELEA EPZA

VIONGOZI wa chuo  cha Jeshi la Usalama wa Taifa la Kimaka kutoka nchini Uganda (KDC) wametembelea kituo cha Mamlaka ya...

READ MORE

VIDEO: ASHUTUMU UAMUZI WA BUNGE KUTOSHIRIKIANA NA CAG

  KIONGOZI wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, Freeman Mbowe, amesema hatua ya bunge ya kutotaka kufanya kazi na Mdhibiti...

READ MORE

VIDEO: MAKONDA KUKUTANA NA WAJANE APRILI 4, 2019 DAR

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  amesema atakutana na kina mama wajane, jijini Dar es Salaam, Aprili,...

READ MORE

GARI LA MAFUNDI UMEME LAPATA AJALI, WATATU WAFARIKI

WATU watatu wanasadikiwa kupoteza maisha na wengine 30 kujeruhiwa katika ajali ya basi dogo lililokuwa limebeba mafundi wa mradi wa...

READ MORE

GOODBLESS LEMA, HALIMA MDEE, YAWAKUTA BUNGENI

Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge pia imemtia hatiani Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kwa kulidharau...

READ MORE

Watu 28 Wakamatwa kwa Kupiga Askari

WATU 28 wamekamatwa na polisi wilayani Nyang’hwale, Geita kwa tuhuma za kuwajeruhi askari polisi watatu kwa silaha za jadi wakati...

READ MORE

Breaking News: Bunge Lakataa Kufanya Kazi na CAG

BUNGE leo, Aprili 2, 2019, limepitisha hoja ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki,  Kinga na Maadili ambayo ilitoa...

READ MORE

JPM Azindua Upanuzi wa Uwanja wa Ndege, Mtwara – Video

Rais Dkt. Magufuli amewasili Mtwara leo April 2, 2019 ambapo ataweka jiwe la msingi la upanuzi wa uwanja wa ndege...

READ MORE

Barclays yaitikia wito wa BoT, yafungua duka la kubadilishia fedha za kigeni

  KATIKA  kuunga mkono juhudi za Benki Kuu ya Tanzania ya kuhakikisha huduma ya kubadilishia fedha za kigeni inafanyika kwa...

READ MORE

JPM Aaga Mwili wa Dada wa Mbunge Peter Msigwa

Rais Magufuli akiwa na Mkewe Mama Janeth Magufuli wametoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu na kutoa mkono wa...

READ MORE

Shughuli Imeanza Uchaguzi wa Serikaliza Mitaa – Video

Wakati uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, ukitarajiwa kufanyika Novemba mwaka huu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali...

READ MORE

SERIKALI YAKUTA SIRI NZITO KWENYE MADUKA YA FEDHA – VIDEO

KATIKA kutekeleza majukumu yake ya kuhakikisha kuwa Sekta ya Fedha inachangia ipasavyo utulivu na ukuaji wa uchumi nchini, Benki Kuu...

READ MORE

JPM, LEMA WAKUTANA USO KWA USO MSIBANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA), Godbless...

READ MORE

NDALICHAKO Akizindua Ukumbi wa Mihadhara Chuo cha Mwl Nyerere – VIDEO

Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako amezindua ukumbi wa mihadhara wa kisasa katika Chuo Cha Kumbukumbu ya...

READ MORE

MAMA AMLILIA MUNGU, “NIMEVIMBA TUMBO, SIONI, MOYO UNANITESA” – VIDEO

Bi. Selina Izack, mkazi wa Bunju A, Mtaa wa Baharia, mama anaesumbuliwa na tatizo la moyo, kisukari na vidonda vya...

READ MORE

EXCLUSIVE: Baada ya Kifo cha Kapteni Komba, Shuhudia Hiki! – Video

Ikiwa ni miaka minne imepita tangu kufariki kwa Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbinga Magharibi Mkoani Ruvuma kwa tiketi ya...

READ MORE