×

Habari

Breaking News: HATIMAYE Masele Ajisalimisha kwa Ndugai – Video

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Afrika (Pan-African Parliament – PAP) na Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM), Stephen...

READ MORE

RIDHIWANI AWABEBA WAZEE NA WENYE ULEMAVU, CHALINZE

  Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Mh.Ridhiwani Kikwete akimkabidhi msaada wa Baiskeli ya Miguu mitatu (Wheel Chair),Mkazi wa Zomozi-Ubena Mzee Cosmas...

READ MORE

TANZIA: Waziri Afariki Dunia Zanzibar

TANZIA: Aliyewahi kuwa Waziri wa Michezo na Naibu Waziri Kiongozi katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Ali Juma Shamhuna amefariki dunia...

READ MORE

KIMBEMBE !ALICHOKIFANYA TRAFIKI HUYU HUWEZI KUAMINI

MOROGORO: NI patashika nguo kuchanika! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kijana mmoja wa Kimasai kuibua kimbembe cha aina yake baada...

READ MORE

RAIS MAGUFULI ATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA QURAAN (PICHA +VIDEO)

PICHA NA IKULU Rais wa Tanzania, John Magufuli ametoa zawadi mbalimbali za washindi wa mashindano ya 20 ya kusoma na...

READ MORE

Ndugai: Masele aripoti bungeni Jumatatu saa 5, akikaidi atakamatwa

  Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM), Stephen Masele anatakiwa kufika mbele ya Kamati ya...

READ MORE

RAIS MAGUFULI ASALI IBADA KATIKA KANISA KATOLIKI LA MT. PETRO OYSTERBAY

Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumapili Mei 19, 2019 amesali Ibada ya Dominika ya Tano ya Pasaka katika Kanisa...

READ MORE

NMB YAFUTURISHA WATEJA WAKE MKOANI TANGA

  BENKI ya NMB imeombwa kuangalia uwezekano wakuongeza matawi ya vituo vya kutolea fedha ATM ili kuhakikisha inasogeza huduma zake...

READ MORE

BASI LA SWEET AFRICA LAPATA AJALI MLIMA KITONGA

BASI la abiria la kampuni ya Sweet Africa lililokuwa linatoka mkoani Njombe kuelekea Dar es Salaam, limepata ajali leo majira...

READ MORE

SERIKALI YAIPONGEZA DCB KWA UFANISI KATIKA MAUZO YA HISA ZAKE

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji, ameipongeza benki ya biashara DCB kwa kufanikisha zoezi la uuzaji wa...

READ MORE

AKATAA CHAKULA KIZURI KABLA YA KUNYONGWA!

DONNIE EDWARD JOHNSON aliyekuwa anasubiri kunyongwa huko Nashville, Tennessee, Marekani, alikikataa chakula chake maalum cha mwisho kabla ya kunyongwa wiki...

READ MORE

MAGARI MAWILI YAGONGANA USO KWA USO MDAULA, WAWILI WAFARIKI -VIDEO

Watu wawili wanahofiwa kufariki dunia baada ya gari ndogo lenye namba za usajiri T 340 DHG kugongana uso kwa uso...

READ MORE

MAKONDA: “KWA HILI SIOMBI MSAMAHA”, ATAJA CHEO ANACHOKIPENDA – VIDEO

MKUU wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda,  amesema hakuna jambo ambalo halipendi kama kusikia Mkristo akilalamika kwamba hakuna ajira, maisha...

READ MORE

Wananchi Tabora Waipongeza Serikali Kwa Kuwawezesha Kupitia MKURABITA

      Wananchi Wilayani Uyui mkoani Tabora Wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli...

READ MORE

Makonda Asimulia Alivyofukuzwa Nyumba ya Kupanga – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amefunguka namna alivyofukuzwa kwenye nyumba ya kupanga, kisa hana pesa ya...

READ MORE

NDANI YA MWEZI MTUKUFU… BINTI AKIONA CHA MOTO

MOROGORO: Wakati waislam wakiwa ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, binti mmoja aliyefahamika kwa jina la Sharifa mkazi wa Mji...

READ MORE

Membe Amjibu Rostam: Wewe ni Mwenzetu Sote Tumekatwa Mkia

ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya awamu ya nne, Bernard Membe, amemjibu mfanyabishara Rostam Aziz kuhusu suala...

READ MORE

INAUMA SANA MTOTO AVIMBA TUMBO, BABA AMTOBOA KUTOA MAJI

INAUMA sana! Mtoto Moshi Khamisi (4), mkazi wa Tabora yuko katika mateso na maumivu makali baada ya tumbo lake kuvimba...

READ MORE

MAMA AMPOTEZA MWANAYE MWAKA WA 20 SASA, ‘NISAIDIENI APATIKANE’

HII siyo filamu bali ni kweli, ule msemo wa ‘Uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi’, unamaanisha kwa mama huyu aliyejitambulisha...

READ MORE

THE CAMPUS NIGHT LEO HAPATOSHI TANGANYIKA PACKERS

LILE Tamasha kubwa la vijana la Victory Campus Night 2019 linatarajiwa kuunguruma leo IJUMAA, MEI 17, 2019 katika Viwanja vya...

READ MORE

Jack Ma Awashauri Wafanyakazi Kufanya Mapenzi Mara 6 kwa Wiki

  Tajiri wa China na mmiliki wa kampuni ya Alibaba Group Jack Ma amewasisitiza wafanyakazi wa maofisini kufanya mapenzi angalau...

READ MORE

JPM Afanya Kikao Kizito Ikulu, Atumbua Wakurugenzi Wawili

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mbozi mkoani...

READ MORE

SKENDO YA UNGA… SHAMIM AALIVYOMUIBUA JACK PATRICK

DAR ES SALAAM: Skendo mbichi ya unga inamhusu mjasiriamali maarufu jijini Dar es Salaam, Shamim Mwasa na mumewe Abdul Nsembo...

READ MORE

MGAO MALI ZA MENGI SHERIA 2 KUMBEBA K-LYNN ZATAJWA!

BAADA ya mfanyabiashara bilionea, Dk Reginald Abraham Mengi kufariki dunia na kuzikwa, masikio ya wengi yamehamia kwenye mgao wa mali...

READ MORE

DREAMLINER Yapeleka Wapiganaji wa JWTZ Darfur – Video

MAOFISA na Askari wa Jeshi la Ulinzi la wananchi wa Tanzania (JWTZ), wanaoshiriki Ulinzi wa Amani katika Jimbo la Darfur...

READ MORE

BABA ALIYENASWA LAIVU NA MGUU WA MWANAYE UNDANI NI HUU!

MBEYA: Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Tukio la baba aliyefahamika kwa jina la Tatizo Yahya Japhet Nguku (37), mkazi...

READ MORE

Kakolanya Aomba Radhi Yanga SC

SIKU chache baada ya kufanikiwa kuvunja mkataba na Yanga, aliyekuwa kipa namba moja wa timu hiyo, Beno Kakolanya amewaomba radhi...

READ MORE

Mbunge Aliyetuhumiwa Kufumaniwa Abadili Jina

Mbunge wa Segerea kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bonnah Kaluwa ametoa taarifa ya kubadilisha jina kufuatia kuingia kwenye mvutano wa...

READ MORE

Magari ya ‘Bure’ Haya Hapa, Njoo Jumamosi Uchuke la Kwako! – Video

Kampuni ya Tambaza Auction Mart and General Brockers Ltd, inakuletea mnada mkubwa wa hadhara utakaotikisa jiji la dar es salaam,...

READ MORE

Spika Ndugai Azungumzia Ofisi ya CAG: “Hakuna Anayebaki”

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ameeleza amepokea taarifa ya kufanyiwa ukaguzi kwa ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu...

READ MORE

Wakamatwa kwa kula mfungo wa Ramadhani

  POLISI wa Sharia ya Kiislamu katika jimbo la kaskazini mwa Nigeria la The Islamic Sharia Kano wamewakamata kwa muda...

READ MORE

BREAKING: NDUGAI AMSIMAMISHA UBUNGE MASELE KWA UTOVU WA NIDHAMU – VIDEO

SPIKA Job Ndugai ametangaza kusitisha uwakilishi wa Mbunge Stephen Masele kwenye Bunge la Afrika (PAP) ambaye pia ni Makamu wa...

READ MORE

Hiki Ndicho Kilichoamriwa na Mahakama Kuhusu Mke wa Kisena wa UDART

Florencia Membe ambaye ni mke wa mkurugenzi wa mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam (Udart), Robert Kisena...

READ MORE

Basi, Hiace Yagongana Babati, Mwanafunzi Afariki

  KAMANDA wa Polisi Mkoani Manyara, Augustino Senga amethibitisha kutokea kwa ajali kati ya basi la Kampuni ya Mtei na...

READ MORE

MASHINDANO MAKUBWA YA QUR-AAN TUKUFU KUFANYIKA TAIFA

MASHINDANO makubwa ya Qur-aan Tukufu yanatarajia kufanyika Jumapili hii, Mei 19, mwaka huu katika Uwanja wa Taifa jijini hapa ambapo...

READ MORE

PM MAJALIWA AWASIMAMISHA KAZI WAKURUGENZI SABA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi Wakurugenzi saba wa Tume ya Umwagiliaji akiwemo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa tume hiyo ili...

READ MORE

BREAKING NEWS: KISENA WA UDART AFUTIWA MASHTAKA

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisitu, chini ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba, leo Jumatano Mei 15, 2019 imewafutia mashtaka Mkurugenzi...

READ MORE

WATALII ZAIDI YA 340 WATUA NCHINI, NMB WATIA NENO

  KATIKA kuhakikisha hali ya uchumi inazidi kuimarika kupitia sekta ya utalii, Tanzania imepokea watalii Zaidi ya 340 kutoka nchini China...

READ MORE