×

Habari

‘GUTA’ ZATUMIKA KUVUSHA ABIRIA MAFURIKONI JANGWANI

    WAKATI mvua zikiendelea kunyesha mkoani Dar es Salaam na kwengine, eneo la Jangwani jijini Dar es Salaam, katika...

READ MORE

MWILI WA DKT. MENGI WAAGWA KARIMJEE – VIDEO

MWILI wa aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Media, Reginald Mengi, umeagwa leo Mei 7, katika viwanja vya Karimjee...

READ MORE

Rais Magufuli Amwaga Machozi Akiaga Mwili wa Dkt Mengi – Video

RAIS  John Magufuli ameshindwa kujizuia na kujikuta akimwaga machozi wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,...

READ MORE

KESI KUPINGA UTEUZI WA RAIS MAGUFULI KUTAJWA LEO

KESI ya Katibu Mwenezi wa chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu,  ya kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali uliofanywa na...

READ MORE

Rais MAGUFULI Alivyowasili KARIMJEE Kumuaga DKT. MENGI – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli na Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan, wakiwa katika...

READ MORE

Mwili wa Dkt Mengi Ulivyowasili Karimjee – (Pichaz + Video)

MWILI wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dkt. Reginald Mengi,  umewasili  katika Ukumbi wa Karimjee, ulioko Posta jijini Dar...

READ MORE

MC PILIPILI AKAMATWA KWA MAKOSA YA MTANDAO

EMMANUEL MATHIAS,  almaarufu ‘MC Pilipili’,  anashikiliwa katika kituo cha Polisi Mabatini kilichopo Kijitonyama jijini Dar tangu tarehe 2 Mei, 2019...

READ MORE

WANANCHI, VIONGOZI WANAVYOWASILI KARIMJEE KUMUAGA DKT MENGI

                                  MACHOZI YATAKUTOKA: Mwili...

READ MORE

Kisa Mdude Chadema, Mbunge Akamatwa Dodoma

Mbunge wa Mbozi, Pascal Haonga (Chadema), amekamatwa na Jeshi la Polisi jijini Dodoma jana Jumatatu Mei 6, wakati akitoka kuhudhuria...

READ MORE

WAZIRI MKUU AUPONGEZA UONGOZI WA BENKI YA DCB

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameupongeza uongozi benki ya DCB kwa kufanikiwa kubadili muundo kutoka benki ya jamii na kuwa...

READ MORE

Maskini Jacqueline Mengi… Utamwonea Huruma – Video

HUZUNI na majonzi makubwa! Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi ambaye ni mke wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, marehemu Dkt Reginald...

READ MORE

MSAFARA WA MWILI WA DKT MENGI KUELEKEA LUGALO – VIDEO

SIMANZI, vilio na majonzi vimetawala kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wakati wakiupokea mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa...

READ MORE

MASTAA WAKABIDHIWA VIWANJA KIGAMBONI

WASANII mbalimbali wamenufaika na mpango wa kupatiwa viwanja na kulipa kidogokigodo kupitia Kundi la  Uzalendo Kwanza katika maeneo ya Kigamboni...

READ MORE

BREAKING: WAZIRI Aagiza MSIGWA Akamatwe Popote Alipo! – Video

  Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni, ameliagiza Jeshi la Polisi kumkamata na kumhoji Mbunge wa Iringa Mjini,...

READ MORE

MZEE MWINYI: MENGI Ameondoka Dah! – Video

Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Dkt. Ali Hassan Mwinyi akiwa ameongozana na mkewe wamewasili msibani nyumbani kwa marehemu Dkt....

READ MORE

KABURI LA DKT MENGI LAANDALIWA KIJIJINI KWAO

MAANDALIZI ya kaburi atakamopumzishwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dkt. Reginald Mengi, yanaendelea nyumbani kwao katika Kijiji cha Nkuu...

READ MORE

Mfungo wa Ramadhani Kuanza Kesho – Mei 07

Kadhi Mkuu wa Tanzania, Abdallah Mnyasi amesema mfungo mtukufu wa ramadhani utaanza kesho Jumanne ya Mei 7, 2019.   Akizungumza...

READ MORE

K-LYIN SIRI NZITO KIFO CHA MENGI

  HAKUNA mtu mwingine wa kumuuliza siri ya kifo cha mfanyabiashara maarufu nchini, bilionea Dk. Reginald Abraham Mengi (75) zaidi...

READ MORE

Ndege Yalipuka Urusi, 41 Wafariki Dunia – Video

WATU 41 wamefariki dunia baada ya ndege ya Shirika la Ndege la Urusi (Aeroflot) kulipuka moto wakati ikitua kwa dharura...

READ MORE

Watahiniwa 91,442 Kidato cha Sita Waanza Mitihani ya Taifa

Watahiniwa 91,442 wameanza kufanya mitihani yao ya kumaliza kidato cha sita leo Jumatatu, Mei 6, hadi Mi 23, 2019 ambapo...

READ MORE

RATIBA YA SEHEMU UTAKAPOPITA MWILI WA DR. MENGI KESHO HII HAPA

Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dr.Reginald Mengi unatarajiwa kupokelewa kesho, ambapo utaletwa kwa ndege ya Shirika la...

READ MORE

VIDEO: Basi la Kilimanjaro Express lapinduka Mkata Tanga

Basi la abiria la Kampuni ya Kilimanjaro Express limepata ajali eneo la Mkata, mkoani Tanga leo Jumapili Mei 5, 2019....

READ MORE

Ni Yanga Princess na Evergreen

TIMU ya Yanga Princess itavaana na Evergreen kwenye Uwanja wa Karume leo Jumapili. Mchezo huo ni muhimu kwa timu zote...

READ MORE

RATIBA KAMILI MAZISHI YA DK MENGI -VIDEO

MWANASHERIA wa familia ya marehemu bilionea na aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa makampuni ya IPP, Dkt.  Reginald Abraham Mengi, Michael Ngalo,...

READ MORE

Watatu mbaroni kwa kukutwa na kobe 508 kinyume na sheria

Jeshi la Polisi mkoa wa Mjini Magharibi, linamshikilia raia mmoja wa china na wa Zanzibar wawili wakiwa na kobe wapatao...

READ MORE

TAARIFA ZA AWALI KUHUSU TUKIO LA MDUDE NYAGALI (MDUDE CHADEMA)

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika hali ya dharura, kinafuatilia kwa karibu, taarifa za Mdude Nyagali (Mdude Chadema) kuvamiwa...

READ MORE

Arusha: Wakili Apotea Katika Mazingira ya Kutatanisha

Mwanasheria wa Hifadhi ya Wanyamapori Arusha, Maneno Mbunda amepotea katika mazingira ya kutatanisha tangu Aprili 28, 2019. Kwa mujibu wa...

READ MORE

Hiace Yaua 7, Yajeruhi 12 Kigoma

WATU saba wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupasuka tairi la nyuma na kupinduka mkoani...

READ MORE

Boeing 737 Yatumbukia Mtoni

NDEGE aina ya Boeing 737 imeshindwa kutua na kuishia kuingia mtoni nchini Marekani.   Hiyo ni aina ileile ya ndege...

READ MORE

Waziri Ummy Alivyomfahamu Mzee Mengi – Video

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (wa pili kushoto) akizungumza na mtoto wa marehemu...

READ MORE

JK: Kifo cha Mengi Ukweli Tutaujua Tu, Awataja Mdogo, Mtoto wa Marehemu!- Video

Rais Mstaafu wa Tanzania wa awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amekwenda kuhani msiba nyumbani kwa marehemu Dkt. Reginald...

READ MORE

IGP Sirro: “Kama Kuna Mkono wa MTU, Sheria Itafuata Mkondo” – Video

  MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,...

READ MORE

Sudan: Jeshi Lagoma Kukabidhi Utawala kwa Raia, Wananchi Waandamana

OFISA wa ngazi ya juu wa Baraza la Kieshi nchini Sudan, Luteni Jenerali Salah Abdelkhalek,  amesema jeshi hilo halitaruhusu raia...

READ MORE

Maajabu ya Nyoka Mwenye Macho Matatu

MAOFISA wa wanyama pori wamesambaza picha za nyoka mwenye macho matatu aliyepatikana katikati ya barabara Kaskazini mwa Australia.   Shirika...

READ MORE

Mwanamuziki Nguli Mose Fan Fan Afariki Dunia

MWANAMUZIKI maarufu wa DR Congo Mose Fan Fan (75) amefariki dunia kwa mshtuko wa moyo nyumbani kwake karibu na barabara...

READ MORE

MAITI YA MAMA YAKUTWA UFUKWENI

DAR ES SALAAM: Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Moza Hussein Lukanga, mkazi wa Mianzini Mbagala jijini Dar hivi karibuni...

READ MORE

Video: Huyu ndiye GAIDI wa AL-QAEDA,aliyepewa Adhabu nzito

 Siku kama ya leo pia, huko jijini Alexandria, Virginia, Marekani, mwanachama wa kundi la Al-Qaeda, Zacarias Moussaoui, ahukumiwa kifungo...

READ MORE