×

Habari

DC JOKATE: SINA AKAUNTI YA VIKOBA, MSITAPELIWE!

MKUU wa Wilaya ya Kisarawe, Mkoa wa Pwani, Jokate Mwegelo, amewataka Watanzania waelewe kwamba hana akaunti yoyote ya vikoba kwenye...

READ MORE

CUF, ACT Wazalendo, Vita Yapamba Moto, Kuburuzana Mahakamani- Video

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Khalifa Suleiman Khalifa amesema wamefungua kesi ya kiraia mahakama kuu ya Vuga visiwani...

READ MORE

TAKUKURU Yarejesha Bilioni 14.9 Zilizoibiwa na Mafisadi, Mtuhumiwa Atoroka

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) inamtafuta mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Magreth Kobelo mkazi wa Kinondoni...

READ MORE

WIZI WA MITIHANI UNALIVUNJIA TAIFA HESHIMA-MAJALIWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo baada ya kufungua Mkutano Mkuu...

READ MORE

Mama Napono Sokione Amtembelea Mama Maria Nyerere

  MJANE wa Waziri Mkuu wa zamani, Mama Napono Sokoine,  jana alimtembelea Mama Maria Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar...

READ MORE

JOKATE: MGENI RASMI KWENYE ‘TOKOMEZA ZIRO’ NI MAMA SAMIA

  MKUU wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo, amesema mgeni rasmi katika kampeni kabambe ya Tokomeza Ziro itakayofanyika Machi 30...

READ MORE

JISHINDIE MILLIONI 23 UKIWA NA Infinix ZERO 6

Kwa mara nyingine tena kampuni ya simu ya Infinix kutikisa soko la simu barani Afrika baada ya ujio wa Infinix...

READ MORE

Tigo yazindua tawi jipya la huduma kwa wateja Iringa

  Kampuni ya Tigo leo imezindua duka jipya la huduma kwa wateja lililopo Iringa mjini ambalo litarahisisha upatikanaji wa huduma...

READ MORE

Breaking: JPM Amwondoa Mkurugenzi Mamlaka ya Viwanja vya Ndege

Rais John Magufuli amemteua Julius Ndyamukama kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) kuchukua nafasi ya...

READ MORE

ZITTO AFUNGUKA MSAJILI KUIFUTA ACT-WAZALENDO – VIDEO

(Taarifa ya Kiongozi wa Chama Ndugu Kabwe Z. Ruyagwa Zitto Kuhusu Tishio la Msajili wa Vyama vya Siasa Kukifutia Usajili...

READ MORE

MAGUFULI AMZAWADIA PETER TINO KIWANJA, SH. MIL. 5

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Peter Tino,  leo amekabidhiwa shilingi milioni 5 alizopewa na...

READ MORE

Msajili Aipa Siku 14 ACT- Wazalendo, La Sivyo Ataifuta!

MSAJILI wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, ametishia kukifutia usajili Chama cha ACT-Wazalendo, kutokana na kukiuka Sheria ya Vyama...

READ MORE

Vifo vya kimbunga Idai kusini mwa Afrika vyaongezeka

  IDADI ya watu waliopoteza maisha kutokana na kimbunga Idai kilicholikumba eneo la kusini mwa Afrika zaidi ya juma moja...

READ MORE

SERENGETI: Ahukumia Jela Miaka 30 kwa Kumbaka Mama Yake Mzazi

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wilaya ya Serengeti mkoani Mara imemhukumu, Choral Samson (28) mkazi wa Burunga kifungo cha miaka...

READ MORE

Rais Magufuli Awapa Serengeti Boys Bilioni 1 – Video

Rais Johh Magufuli atoa zawadi ya viwanja vya kujenga nyumba kwa wachezaji wa taifa stars pamoja na bondia Hassan mwakinyo...

READ MORE

JPM Aaanika Madudu Uwanja wa Taifa – Video

RAIS John Magufuli ameitaka Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo  na Wizara ya Mambo ya Nje kupitia vyombo vyake...

READ MORE

JPM Awapa Viwanja Taifa Stars, Awataka Wajitume Zaidi – Video

RAIS . John Magufuli amewazawadia viwanja vya kujenga nyumba jijini Dodoma wachezaji wa timu ya soka ya taifa, Taifa Stars,...

READ MORE

Vigogo Watatu wa CCM, Wanaswa Wakipokea Rushwa ya Milioni 5

VIONGOZI wa tatu wa Chama Cha Mapinduzi wanatarajiwa kufikishwa mahakamani kutokana na kosa la kuomba milioni tano za rushwa kwa...

READ MORE

RUKWA: Maiti za Watoto Waliotekwa Zakutwa Kwenye Gari la Sangoma

MKUU wa Mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo amemuagiza Kamanda wa Polisi Mkoa huo, ACP Mathias Nyangi kuhakikisha anafanya msako wa...

READ MORE

Baada ya Ushindi, Rais Magufuli Awaita Taifa Stars IKULU

Rais Magufuli atakutana na wachezaji wa Taifa Stars, viongozi wa TFF, Kamati ya Uhamasishaji na bondia Hassan Mwakinyo leo Machi...

READ MORE

Huduma mpya ya usafiri Dar yazinduliwa

  Kampuni ya usafirishaji abiria kupitia mtandaoni ijulikanayo kama LITTLE imezindua huduma zake Tanzania zenye lengo la kuchangia katika kuleta...

READ MORE

Video: Rais Magufuli Aipongeza Taifa Stars Kwa Kufuzu AFCON 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameipongeza Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars)...

READ MORE

LOWASSA, SUMAYE WAONGOZA HARAMBEE AZANIA FRONT

  Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa, leo ameongoza harambee ya uzinduzi wa Albamu ya Kwaya Kuu ya Kanisa la...

READ MORE

Waganga wa Kienyeji Sumbawanga Wasakwa, Mauaji ya Watoto Wawili

  Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo amemuagiza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa ACP Mathias Nyangi kuhakikisha anafanya...

READ MORE

WAZIRI MGUMBA AWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA FURSA KWENYE KILIMO

      VIJANA Mkoani Morogoro wametakiwa kuchangamkia fursa za kilimo zilizopo katika Mkoa huo ili kujiwezesha na kujiimarisha kiuchumi....

READ MORE

Majaliwa Atua Kambi ya Stars, Kamati Yaahidi 10m Kila Mchezaji

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametembelea kambi ya wachezaji wa timu ya Taifa na kuwaeleza kwamba Serikali na wananchi wanamatumaini makubwa...

READ MORE

Breaking: Bondia Hassan Mwakinyo Amtwanga Bondia wa Argentina

  BONDIA Bondia wa Tanzania, Hassan Mwakinyo amemtwanga kwa Knockout Bondia wa Argentina Sergio Gonzalez katika mzunguko wa 5 usiku...

READ MORE

Simanzi! Mazishi ya Kaka wa Mpiga Picha Mkuu wa Global – Pichaz

MPIGA Picha Mkuu wa Kampuni ya Global Publishers wachapishaji wa Magazeti ya Uwazi, Ijumaa, Risasi, Ijumaa Wikienda, Amani, Championi, Spoti...

READ MORE

TANZIA: MWANAHABARI CHARLES NGEREZA AFARIKI

Aliyekuwa Mwandishi wa habari wa Redio One, ITV, Idhaa ya Kiswahili ya DW na Makamu Mwenyekiti wa Arusha Press Club,...

READ MORE

Viongozi Wababe Afrika, Wala ‘Bata’ na Wapigaji – Video

ZAMANI tuliamini vijana wana mbio, wazee wanajua njia, tukawapa mamlaka ya kutuongoza tufike salama lakini wakatuingiza msituni, tukapoteana, tukaprove kumbe...

READ MORE

Rwanda yawataka raia mpakani kusitisha biashara na Burundi

  SERIKALI  ya Rwanda imewataka wananchi wake walio karibu na mpaka kati ya nchi hiyo na nchi ya Burundi kusitisha...

READ MORE

ASKARI ZIMAMOTO WADAIWA ‘KUWAPIGA’ WACHIMBAJI

MBEYA: Baadhi ya askari wa Jeshi la Zimamoto mkoani Mbeya wanatuhumiwa ‘kupiga’ tozo kwa vitisho wakitumia silaha na kuwaweka mahabusu...

READ MORE

GEITA: MAPACHA WALIOZALIWA WAMEUNGANA WAFARIKI

Watoto mapacha waliozaliwa wakiwa wameungana katika Hospitali ya Rufaa Geita, wamefariki dunia wakiwa njiani wakipelekwa Hospitali ya Rufaa Bugando. Watoto...

READ MORE

VIKOBA VYAZUA BALAA DAR !

KIKUNDI cha Vicoba cha Upendo chenye masikani yake huko Kibugumo-Kigamboni jijini Dar kimejikuta katika sintofahamu kufuatia mweka hazina wake aliyefahamika...

READ MORE

RC MAKONDA Ampa Siku 3 DC Ilala, La Sivyo…! – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametoa siku tatu tu kwa Mkuu wa wilaya ya Ilala, Sophia...

READ MORE

KISA KAULI YA UFISADI, AKAUNTI ZA RAIS KENYATTA ZAFUNGWA

  AKAUNTI  za mitandao ya kijamii za Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta,  za  Facebook, na Tweeter,  zimefutwa kwenye mitandao hiyo...

READ MORE

Rais mstaafu mbaroni kwa ufisadi Brazil

  RAIS mstaafu wa Brazil, Bw. Michel Temer, ametiwa mbaroni jijini Sao Paulo kwa tuhuma za rushwa na ufisadi.  ...

READ MORE