×

Habari

T-Pesa kuanzisha mfumo wa malipo kwa kutumia card

    SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania TTCL Corporation, kupitia mtandao wake wa huduma za kifedha wa T-PESA pamoja na wadau wa...

READ MORE

MWILI WA BABA WA RAIS UPO MOCHWARI MWAKA WA PILI – VIDEO

NI MIAKA miwili sasa tangu baba mzazi wa Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Etienne Tshisekedi wa...

READ MORE

Mkurugenzi wa UDART Kortini Kwa KuIsababishIa Serikali Hasara ya Bilioni 2

MKURUGENZI wa UDART, Robert Kisena (46) na wenzake watatu wamesomewa mashitaka 19 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ikiwemo utakatishaji...

READ MORE

MKURUGENZI ITIGI KORTINI KWA MADAI YA KUUA MTU KANISANI

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Itigi, Wilaya ya Manyoni, Pius Luhende (54) na maofisa sita wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya...

READ MORE

Dar: Ajirusha Baharini Afe, Aokolewa!

MTU mmoja ambaye jina lake halijafahamika mara moja amenusurika kifo baada ya kujirusha baharini kutoka kwenye Boat inayozdaiwa kuwa ni...

READ MORE

Amchinja Mwanafunzi Kisa Pete

JESHI la Polisi Mkoani Kilimanjaro linamshikilia Kereto Likoko (Mmasai) kwa madai ya kumuua Mwanafunzi Samson Conrad aliyekuwa akiyesoma katika Chuo...

READ MORE

Papa Francis Amteua Askofu Nkwande Kuwa Askofu Mkuu Mwanza

KIONGOZI Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amemteua Askofu Renatus Nkwande kuwa Askofu wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza. Askofu Mkuu...

READ MORE

WAMBURA ASOMEWA MASHTAKA 17, KUTAKATISHA MKWANJA TSH. MIL 75

BAADA kukamatwa jana na kuhojiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, aliyekuwa Makamu wa Rais Shirikisho la Soka...

READ MORE

Polisi DSM ‘Walivyowaua’ Majambazi Sugu Ukonga! – Video

 Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kuwaua majambazi wawili na kukamata silaha moja aina ya Chinese...

READ MORE

WAMBURA ATANGAZA KUACHANA NA SOKA, AFIKISHWA KISUTU – Video

IKIWA ni saa chache kabla ya kupanda kiznimbani, aliyekuwa Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura...

READ MORE

Airtel Kusaidia Bima ya Afya Watoto Waishio Kwenye Mazingira Magumu

  Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kupitia kitengo chake cha Huduma kwa wateja wakubwa wameshiriki kampeni maalum...

READ MORE

Muuguzi Mount Meru Asimamishwa Kazi Mwaka Mzima kwa Ulevi

MUUGUZI wa Hospitali ya Rufaa ya Mount Meru Arusha, Martin Chama amesimamishwa kazi ya kutoa huduma za uuguzi na ukunga...

READ MORE

MTOTO ALIYENUSURIKA KUUAWA NJOMBE AFARIKI DUNIA – VIDEO

Mtoto Meshack Myonga (4)mkazi wa mji mwema Halmashauri ya Mji wa Njombe Mkoani Njombe aliyejeruhiwa kwa kukatwa koromeo amefariki dunia...

READ MORE

DKT BASHIRU: Lissu Anaumwa Ugonjwa wa Deko na Kiburi!

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally, amesema Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), anaumwa ugonjwa...

READ MORE

Wananchi Waangusha Maombi Maalum Dhidi ya Mauaji ya Watoto Njombe

MKUU wa Wilaya ya Njombe Ruth Msafiri (pichani) jana ameshiriki katika ibada ya kuhitimisha mfungo na Maombi yakuombea mkoa wa...

READ MORE

SIMIYU: Mwanafunzi Darasa la Pili Atekwa, Auawa!

MWANAFUNZI wa shule ya msingi Lukungu kata ya Lamadi wilayani Busega mkoani Simiyu, Joyce Joseph miaka 8 aliyekuwa akisoma darasa...

READ MORE

Wasafirishaji wa Mirungi Waja na Mbinu Kujifanya Wanafunzi

WAFANYABIASHARA na Wasafirishaji wa Dawa za kulevya aina ya Mirungi wamekuja na mbinu nyingine mpya ya kujigeuza wanafunzi na kisha...

READ MORE

Rais Museveni Ampandisha Cheo Tena Mwanaye Jeshini

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amempandisha cheo mwanaye, Muhoozi Kainerugaba ambaye ni mmoja ya maafisa waandamizi wa Jeshi kutoka cheo...

READ MORE

Mbunge Aliyehama Adai Chadema Waliratibu Mpango wa Lissu Kupigwa Risasi – Video

MBUNGE wa Siha (CCM), Dk Godwin Mollel amesema tukio la Tundu Lissu kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 jijini Dodoma...

READ MORE

MUSUKUMA: Dhahabu Siyo Korosho, Tusiiwekee Masharti Kabisa! – Video

MBUNGE wa Geita, Joseph Kasheku ‘Msukuma‘ ameishauri serikali kuondoa baadhi ya masharti yaliyowekwa kwa wanaoingiza madini ndani ya nchi kutoka...

READ MORE

KASHESHE ZA RC MWANRI ZINAENDELEA “NAWACHOTA JUMLA JUMLA” – VIDEO

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri ameendelea na kampeni yake ya kukomesha mama wajawazito na watoto wenye umri chini...

READ MORE

NMB Wataoa Msaada Kwa Watoto Yatima Dar

KUTOA ni moyo na wala siyo utajiri! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya wafanyakazi wa Benki ya NMB kutoa sehemu...

READ MORE

Mwanamke Afariki Kwa Kutafunwa Na Nguruwe

  MWANAMKE mmoja nchini Urusi ameauawa na nguruwe aliokuwa anawafuga baada ya kuanguka kwenye banda la wanyama hao.   Kwa...

READ MORE

Wanafunzi Wagoma Wakidai Kudhalilishwa Kingono na Walimu

JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro jana Ijumaa lililazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Majengo baada...

READ MORE

Rais Aliyeishi na Mchepuko IKULU, Akauawa Kwa Misumari Kichwani -Video

Hastings Kamuzu Banda ‘Ngwazi Simba’ alizaliwa Februari 15, 1898 nchini , aliondoka Malawi akiwa mtoto, akarudi akiwa mzee! Alikwenda kutafuta...

READ MORE

Kijana kuwashtaki wazazi wake kwa kumzaa!

  KIJANA mwenye umri wa miaka 27 amepanga kuwashtaki wazazi wake kwa kumzaa huko India. Raphael Samuel amesema anajua ni...

READ MORE

DEREVA WA LISSU ASIMULIA “WALIVAA KOFIA NA MIWANI MYEUSI”

KWA mara ya kwanza, dereva wa mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu aliyekuwa naye siku ya kushambuliwa kwake, Adam...

READ MORE

BREAKING: SUMAYE Augua GHAFLA, Akimbizwa Hospitali, CHADEMA Wafunguka! – VIDEO

WAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye ameumwa ghafla akiwa Mkoani Tanga kwenye shughuli za Chama chake cha CHADEMA ambapo yeye ni...

READ MORE

CHADEMA Wamshtaki FIFA Rais wa TFF

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania kimeandika barua kwenda kwa Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa),...

READ MORE

BABU AKIONA CHA MOTO Anaswa na Denti Wakifanya Mapenzi – Video

Dunia kuna mambo! Babu mmoja aliyejulikana kwa jina la Dotto, Mkazi wa Kitangini kata ya Chanika jijini Dar es salaam,...

READ MORE

Wezi Watumia Mabomba ya Kinyesi Kuiba Mkwanja Benki

WEZI nchini Ubelgiji walilishangaza taifa hilo na ulimwengu baada ya kutumia mitaro na mabomba ya maji taka na kinyesi kusafiri...

READ MORE

BAADA YA KUACHWA NA MUME WAGANGA WA MFILISI MKE!

DAR ES SALAAM: Historia ya maisha ya Aisha Said mkazi wa Gezaulole Kigamboni jijini Dar es Salaam baada ya kuachwa...

READ MORE

BABA DIAMOND AMEBAKI JINA TU!

MASKINI! Baba mzazi wa msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Abdul Juma kwa mara ya kwanza amefunguka kwamba...

READ MORE

Tundu Lissu atarejea, hatarejea nchini?

TAKRIBAN mwaka mmoja na ushee sasa Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu...

READ MORE

MTOTO MIAKA 11 ALIYEJINYONGA.. SIMULIZI YA BIBI INAUMA

DAR ES SALAAM: Tukio la kifo cha mtoto Daniel Musa (11) mkazi wa Kimara- Kona jijini Dar aliyekutwa amejinyonga chumbani...

READ MORE

MCHUNGAJI YAMKUTA BAADA YA KUSEMA ANA DAWA YA UKIMWI

  MAHAKAMA nchini Zimbabwe imemlima faini ya dola $700 (Tsh Milioni 1.6) mchungaji mmoja mashuhuri nchini Zimbabwe baada ya kumkuta...

READ MORE

MJADALA MZITO UMEIBUKA: LISSU VS NDUGAI, MTANDAONI PACHAFUKA!

MJADALA HOT: TUNDU LISSU Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amefanya ziara barani Ulaya na Marekani na kuisema Serikali....

READ MORE

ACB YAJIDHATITI KUWAINUA WAJASILIAMALI WADOGO

  Mkurugenzi  Mtendaji wa ACB, Augustine Akowuah akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).     BENKI ya Akiba Commercial...

READ MORE