×

Habari

MV NYERERE: JPM APOKEA RAMBIRAMBI SH. 125M KUTOKA KWA RAIS KENYATTA

Rais John Magufuli amepokea hundi ya shilingi milioni 125 kutoka kwa Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ambayo iliwasilishwa na Balozi...

READ MORE

Kyerwa: JPM Awasimamisha Kazi RPC, OCD, Mkuu wa Upelelezi, OCS – Video

Mhe Rais John Magufuli ameagiza kusimamishwa kazi kwa RPC mkoa wa Kagera pamoja na OCD wilaya ya Kyerwa, Mkuu wa...

READ MORE

Chege, Billnas Walivyopagawisha Mashabiki Tamasha la Tigo Fiesta Iringa

    Tamasha la Tigo Fiesta Vibe Kama Lote 2018 limeendelea usiku wa kuamkia jumatatu kwenye uwanja wa Samora mjini...

READ MORE

Halotel kuwazawadia wateja wake maadhimisho ya miaka 3

  IKIWA katika shamrashamra ya kuadhimisha miaka 3 ya utoaji wa huduma kwa watanzania, Kampuni ya mawasiliano ya simu ya...

READ MORE

OCD Kyerwa Mikononi mwa Sirro kwa Kusindikiza Kahawa ya Magendo

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amemtaka Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera SACP Augustino Olomi kuwachukulia...

READ MORE

Breaking: AJALI ya Basi la Arusha Express, Wanne Wafariki, 11 Wajeruhiwa

Watu wanne wamefariki dunia na wengine 11 kujeruhiwa ambapo watano kati yao hali zao ni mbaya baada ya kutokea ajali...

READ MORE

RAIS WA INTERPOL AJIUZULU, HAJULIKANI ALIPO

  TAARIFA  zilizotolewa na taasisi ya polisi wa kimataifa (Interpol) zimesema, rais wake, Meng Hongwei,  amejiuzulu wadhifa wake na kumtaja aliyekuwa...

READ MORE

Kichuya Aahidi Mabao Zaidi Simba

AKIFUNGA bao lake la kwanza katika msimu huu wa Ligi Kuu Bara, kiungo mshambuliaji wa Simba, Shiza Kichuya ameibuka na...

READ MORE

Waziri Shonza Ampa za Chembe Sister Fey

NAIBU Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza amempa za chembe msanii wa Bongo Fleva, Faidha Omary ‘Sister...

READ MORE

INASIKITISHA! MTOTO ATEKWA, ACHINJWA

BUKOBA: Wakati watoto wawili, Idrisa Ally (13) na Gabriela Kilimba (3) wa jijini Dar wakiwa hawajulikani walipo baada ya hivi...

READ MORE

Polepole: Wabunge Wanaohamia CCM Mwisho Mwaka Huu

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amesema wabunge wa upinzani wanaotaka kujiunga na chama...

READ MORE

Waziri Azindua Mbio za Acacia, Amwaga Milioni 280

NAIBU Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Joseph Kakunda,  amezindua mpango wa mashindano...

READ MORE

Kagere, Okwi Wavamiwa Dar

  WASHAMBULIAJI wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi na Mnyarwanda, Meddie Kagere juzi Jumamosi wamezua balaa ndani ya timu hiyo baada...

READ MORE

MABAO YOTE YA YANGA VS MBAO FC 2-0 (VIDEO)

MECHI ya Yanga na Mbao FC imemalizikakatika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku wenyeji Yanga wakizidi kujikusanyia pointi...

READ MORE

Waziri Lugola Afiwa na Mdogo Wake jijini Mwanza

Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola, amefiwa na mdogo wake jijini Mwanza leo. Mwili wa Marehemu Josiah Chitage Lugola...

READ MORE

Breaking: Mbunge wa CHADEMA, Simanjiro Atimukia CCM

  MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), James Ole Millya, amejiuzulu ubunge na...

READ MORE

Kinyang’anyiro cha kumsaka Tigo Fiesta Supa Nyota mjini Iringa

Wasanii wawili walipita kwenye mchujo wa Tigo Fiesta Supa Nyota 2018 mkoani Iringa Ester Queen na TTP ambao itawabidi wapande...

READ MORE

MAFANIKIO TUNAYOYAPATA NI MABORESHO NA MAONI YA WATEJA – NMB

Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi Benki ya NMB, Omari Mtiga pamoja na baadhi ya wateja Benki ya NMB waliojumuika...

READ MORE

Jambazi Sugu wa Magari Akamatwa Akitorokea Uganda

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limemkamata mtu mmoja aitwaye Peter Thomas Nyanchiwa, anayedaiwa kuwa ni jambazi sugu baada ya kuiba...

READ MORE

RC MWANZA AAMURU WALIOIBA MITIHANI WAKAMATWE – VIDEO

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella, amemuagiza Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo, Jonathan Shanna, kuwakamata mara moja na...

READ MORE

Afungiwa Bandani Zaidi ya Mwaka, Maisha Yake Hatari Tupu! – Video

INASIKITISHA! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia historia ya maisha ya Hamis Salum maarufu kwa jina la Best, ambaye yu mgonjwa...

READ MORE

Kamwele Awatimua Wachina Wawili kwa Kuwapiga Watanzania

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Eng. Isack Kamwelwe, amewafukuza na kuwaamuru waondoke nchini mara moja raia wawili wa China...

READ MORE

Mume aiba figo ya mkewe kujilipia mahari

TAMADUNI nyingi nchini India mwanamke ndiye anayewajibika kulipa mahari ili kuolewa tofauti na maeneo mengine duniani, ambayo hufahamika suala hilo...

READ MORE

Rais Magufuli Ateua Bosi wa BASATA

Rais John Pombe Joseph Magufuli amemteua Habbi Gunze kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA).   Uteuzi wa...

READ MORE

RC Makonda Aongeza Muda wa Kupiga muziki Usiku (Picha + Video)

Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda leo ametangaza kuondoa muda wa kikomo kwa wasanii kupiga mziki kwenye matamasha hadi...

READ MORE

Manara Atoa Jezi Tandale, Kuanzisha Ligi ya Diamond (Picha + Video)

MSEMAJI wa Klabu ya Simba, Haji Manara leo ameungana na viongozi mbalimbali wa serikali, warfanyabiashara na wasanii kumuunga mkono msanii...

READ MORE

ERIC SHIGONGO AKIONGEA NA WANANCHI WA TANDALE (Picha +Video)

  Mkurugenzi Mtendaji wa makampuni ya Global Group na mhamasishaji maarufu Afrika Mashariki na Kati, Eric Shigongo, leo ameongea na...

READ MORE

HURUMA ILIYOJE! DIAMOND Ampa Bajaj Mama Mlemavu – Video

MSANII Nyota wa Bongofleva Naseeb Abdul “Diamond Platnumz” ameompa zawadi ya bajaj mpya mama mwenye ulemavu wa miguu, Bi. Evodia...

READ MORE

BENKI YA STANBIC YATOA ZAWADI KWA WATEJA

  Benki ya Stanbic imesherehekea wiki hii ya huduma kwa wateja kwa kuwapa zawadi wateja wao na kuwashukuru kwa kuendelea...

READ MORE

VODACOM YAWAKUMBUKA WATEJA WALIOJIUNGA SIKU YA KWANZA KUAANZISHWA

    MTANDAO wa simu za mkononi Vodacom Tanzania imewakumbuka baadhi ya wateja wake waliojiunga siku ya kwanza na ya pili...

READ MORE

DODOMA YAONGOZA KUKUSANYA MAPATO, MBEYA YA MWISHO – VIDEO

  Jiji la Dodoma limekuwa la kwanza kati ya majiji sita hapa nchini kwa kusanya bilioni 25.5 toka kwenye lengo...

READ MORE

MRISHO GAMBO APATA PIGO

MKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amepatwa na pigo la kuondokewa na dada yake mpendwa Bi. Mwajuma Gambo ambaye...

READ MORE

Rais Afungwa Jela Miaka 15

MAHAKAMA nchini Korea ya Kusini imemhukumu kifungo cha miaka 15 jela na kumwamru kulipa faini ya dola milioni 11.5 aliyekuwa...

READ MORE

MSANII MBARONI KWA KUTOA WIMBO WA KUMTUKANA RAIS

MAOFISA wa polisi wamemkamata mwanamuziki Moses Nsubuga maarufu kama Viboyo baada ya kutoa wimbo unaomkosoa Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta...

READ MORE

MGONJWA ABOMOLEWA NYUMBA KIMAFIA

KAZI ni kwako! Mkazi wa Kimara- Golani jijiji Dar, Esther Mpari ambaye ni mgonjwa wa presha amemlilia Waziri wa Nyumba...

READ MORE

WATEKAJI KUNDI LA WEZI WA WATOTO LATAJWA

WIMBI la utekaji watoto linazidi kutikisa ambapo katika siku za hivi karibuni wameshatekwa watoto watatu huku wengi wakihoji ni nani...

READ MORE