×

Habari

AJIUA KIKATILI KISA PENZI LA BINAMU YAKE – VIDEO

MTU mmoja mkazi wa Makumbusho Kijitonyama jijini Dar es Salaam amejinyonga kwa kamba hadi kufa chumbani kwake  kwa kilichoelezwa kua...

READ MORE

LEMA Ataka Gavana wa B.o.T Ajiuzulu, Sababu Ziko Hapa – Video

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amepinga hoja za Gavana wa Benki Kuu,Profesa Florens Luoga kuwa walitumia askari wa Jeshi...

READ MORE

TANZIA: ASKOFU CHENGULA AFARIKI DUNIA

Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mbeya, Evaristo Malcus Chengula (pichani) amefariki dunia asubuhi ya leo (Novemba 21, 2018) wakati...

READ MORE

NI SUMU? DAKTARI AMCHOMA MTOTO SINDANO, MKONO WAKAUKA!

TAHARUKI ya aina yake imezuka ndani ya hospitali moja kubwa mkoani hapa (jina linahifadhiwa kwa sababu maalum) baada ya madai...

READ MORE

MADAI MAZITO MUME AMUUA MKE WAKE BAA

MACHOZI! Mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Dulla, Mkazi wa Tabata-Matumbi jijini Dar, anadaiwa kumuua mkewe, Aisha Abdallah (34),...

READ MORE

MAMBO 5 YA AJABU BINADAMU ANAWEZA KUYAFANYA (PICHA)

Kwa baadhi ya imani za walio wengi wanaamini kwamba kila binadamu yupo sawa lakini kuna wengine wanapinga jambo hilo.  ...

READ MORE

Dkt ABBAS: Wanahabri RUKSA Kuikosoa Serikali – Video

Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO, ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amesema kuwa vyombo vya...

READ MORE

WAZIRI MKUU AZINDUA JUKWAA LA FURSA ZA BIASHARA TABORA – VIDEO

Waziri wa Viwanda na Biashara, Joseph Kakunda ameupongeza mkoa wa Tabora kwa kuaandaa jukwaa la fursa za biashara na uwekezaji....

READ MORE

TANZANIA YATWAA TUZO YA UTALII URUSI

Tanzania imeshinda tuzo ya utalii kwa kuonekana ni eneo bora zaidi la utalii duniani nchini Urusi kwa mwaka 2018 (The...

READ MORE

YALIYOJIRI KESI YA MDEE YA ‘KUMKASHFU’ JPM – VIDEO

KESI inayomkabili Mbunge  wa Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Halima Mdee ya ambaye anatuhumiwa kutoa...

READ MORE

ZAIDI YA WAKULIMA 250 WA KIWANGWA WAPATIWA SEMINA YA KILIMO

  WAKULIMA  wa zao la mananasi wa kijiji cha  Kiwangwa, wilayani Bagamoyo  wamepatiwa elimu ya kulimo darasa ikiwa ni sambamba...

READ MORE

TAHADHARI KWA WATUMIAJI WA INSTAGRAM – (PICHA)

MTANDAO wa Instagram jana Novemba 20 umetoa onyo kwa watumiaji wa mtandao huo ambao wanatumia Apps za kupata likes na...

READ MORE

Rasmi: Manji ‘OUT’ Yanga, Hagombei Chochote, Watano Wajitosa Kumrithi

Wanachama na mashabiki wa Yanga sasa wanapaswa kujiandaa kisaikolojia kuishi maisha bila Yusuf Manji baada ya jina la mwenyekiti huyo...

READ MORE

Mtanzania Achaguliwa Katika Wanawake Bora 100 wa BBC 2018

BBC imetangaza orodha ya wanawake 100 bora wenye ushawishi kutoka kote duniani kwa mwaka 2018. Kwa usaidizi wao tutaangazia masuala...

READ MORE

Ifahamu Treni ya Kasi Zaidi Afrika

Morocco imezindua treni inayokwenda kwa kasi zaidi barani Afrika – itakayopunguza nusu ya muda unaotumika kusafiri katika miji ya biashara...

READ MORE

HII NI ZAIDI YA OFA REJESHA CAMON, NYAKUA CAMON 11 MPYA KUTOKA TECNO 

TECNO kuwasogeza karibu watumiaji wa simu za TECNO camon na hii ni baada ya tetesi zinazoendelea mitandaoni kuwa watumiaji wa...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AAHIRISHA SHEREHE ZA UHURU 

  Rais Dkt. John Pombe Magufuli ameahirisha maadhimisho ya siku ya Uhuru, Disemba 9, 2018 na fedha zilizokuwa zimetengwa kwa...

READ MORE

BABU WA MIAKA 73 ANASWA UBAKAJI WA BINTIYE

BABU mwenye umri wa miaka 73, aliyefahamika kwa jina la Nnko, mkazi wa Kikatiti Wilaya ya Arumeru mkoani hapa, amejikuta...

READ MORE

MAHAFALI YA PILI YA CHUO CHA MANJANO BEAUTY ACADEMY YAFANYIKA DAR

WAHITIMU Chuo cha Urembo cha Manjano wametunukiwa vyeti katika nyanja ya urembo na vipodozi (Cosmetology). Baadhi ya wahitimu waliofika kwenye mahafali...

READ MORE

B.o.T YATAJA SABABU ZA KUTUMIA JWTZ KUKAGUA MADUKA ARUSHA

Gavana wa  Benki Kuu ya Tanzania (B.o.T), Prof. Florens Luoga amesema walilazimika kutumia askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wakati...

READ MORE

Mufti Mkuu Akemea Ushoga – Video

Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zuberi ametumia Baraza la Maulid kuwataka Masheikh wa mikoa nchini kukemea vitendo vya ushoga ambavyo...

READ MORE

Maganga Aanika Hali ya Ruge, Magufuli Achangia Mil. 46 za Matibabu

RAIS  John Magufuli ametoa Dola 20,000 (Sh. Mil. 46) kuchangia matibabu ya Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media...

READ MORE

Lugola Amtaka OCS Chang’ombe Kuwaachia Huru Watuhumiwa – Video

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amemtaka Mkuu wa Kituo cha Polisi (OCS), Chang’ombe, Temeke, jijini Dar...

READ MORE

NIMEPATA DAWA YA TRAFIKI WALA RUSHWA; TUITUMIE !

KAZI ya kufanya kila siku bila kuimaliza inachosha. Hata kula nako kusikokuwa na kikomo ni hatari kwa afya; vipi suala...

READ MORE

NAIBU KATIBU MKUU OFISI YA MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA KIWANDA CHA UREJERESHAJI KISARAWE

    NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Joseph Sokoine, ametembelea kiwanda cha urejereshaji (recycling) kinachojengwa Kisarawe mkoani Pwani...

READ MORE

HII KALI! WATAPIKA MSIBANI WAKIDAI KUNYWA MAJI YA SUMU

ZAIDI ya waombelezaji 10 katika msiba wa marehemu Mugusuhi Mwita wa Kitongoji cha Kwinyunyi katika Kijiji cha Matongo Wilaya ya...

READ MORE

HII HAPA TAARIFA MUHIMU KWA UMMA KUTOKA NIDA

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inapenda kuwajulisha Wananchi wote kuwa; imefungua Dawati maalumu la Usajili wa Vitambulisho vya Taifa...

READ MORE

EXCLUSIVE: KOCHA GOR MAHIA AMFUATA BANDA SAUZI

ALIYEKUA kuwa Kocha wa Gor Mahia FC ya Kenya, Dylan Kerr (51), ametangazwa rasmi kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya...

READ MORE

Kangi Lugola Aibuka Zenji kwa Dkt. Shein

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola,  yuko visiwani Zanzibar kwa ajili ya ziara ya kikazi visiwani humo...

READ MORE

Mauaji ya Khashoggi: Wasaudi 18 Kuzuiwa Kuingia Ujerumani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Heiko Maas, amesema leo kuwa Berlin itawapiga marufuku raia 18 wa Saudi Arabia kuingia...

READ MORE

Kampuni ya Fast-Jet Kujiondoa Katika Soko la Tanzania Hi

Shirika la Ndege la Fastjet linatarajia kuondoka katika soko la Tanzania, baada ya kujiendesha kwa hasara kutokana na sababu mbalimbali,...

READ MORE

TRA Imekuja na Hii Mpya, Mpaka Tutaelewa Tu! – Video

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema ipo katika mchakato wa kuweka elimu ya kodi katika mitaala ‘syllabus’ ya elimu nchini...

READ MORE

Shein Aipongeza China Kwa Kusaidia Maendeleo Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein ameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Watu wa...

READ MORE

Moto California: 76 Wafariki, 1,300 Hawajuliani Walipo

Jumla ya watu 76 wamethibitika kufa kutokana na moto wa msituni uliotokea California ya Kaskazini nchini Marekani ambapo maelfu ya watu...

READ MORE

VISIWA VINACHOKABILIANA NA MAGONJWA HATARI DUNIANI

Wasafiri wanaozuru visiwa vya barani Afrika vinavyofahamika kama Bijagos wanatarajia kujionea mandhari ya kipekee ya fukwe za kale na misitu...

READ MORE

Mbwa Kutumika Kugundua Malaria kwa Binadamu

Wanasayansi nchini Uingereza na Gambia wanasema wana ushahidi wa awali unaoonyesha kuwa mbwa wanaweza kunusa malaria. Wanasayansi hao wamewafunza mbwa...

READ MORE

Shigongo Awatia Moyo Wanafunzi Vyuo Vikuu Dar

MKURUGENZI Mtendaji wa Makampuni ya Global Group na Mhamasishaji Maarufu Afrika Mashariki na Kati, Eric Shigongo amewaasa wanafunzi wa mwaka...

READ MORE

Mwanafunzi IFM Amfanyia ‘Sapraizi’ Shigongo

Mwanafunzi wa IFM, Yusuph Abas akimkabidhi Eric Shigongo picha yenye sura yake aliyoichora kwa mkono wake.MWANAFUNZI wa Mwaka wa kwanza katika...

READ MORE

Kiwanda cha Magereza Arusha Chateketea kwa Moto

Kiwanda cha Samani cha Jeshi la Magereza jijini Arusha kimeteketea moto usiku wa kuamkia leo na kusababisha hasara kubwa kutokana...

READ MORE

Bodi ya Mo, Matola kimeeleweka Simba

BODI ya Udhamini ya Simba Sports Club Limited iliyo chini ya mfadhili wao bilionea, Mohammed Dewji ‘MO’ ipo kwenye hatua...

READ MORE