×

Habari

Wizara ya Kilimo Yatoa Majina Waliofariki Katika Ajali, Singida

Wizara ya Kilimo na Chakula imetoa majina ya watumishi 5 waliofariki katika ajali ya gari iliyotokea leo asubuhi eneo la...

READ MORE

BREAKING NEWS: WATANO WAFARIKI AJALINI MANYONI, SINGIDA

WATU watano wamefariki jioni ya leo baada ya gari dogo linalomilikiwa na Wizara ya Kilimo na Chakula kupinduka katika eneo...

READ MORE

MASHAKA AZIKWA MAKABURI YA KINYEREZI DAR

MWIGIZAJI mkongwe nchini, Ramadhani Mrisho Ditopile, almaarufu kama Mashaka ambaye aling’aa na Kundi la Kaole Sanaa, aliyefariki dunia jana katika...

READ MORE

Breaking News: Polisi Yakanusa DCI, Mambosasa Kuondolewa

  MSEMAJI wa Jeshi la Polisi nchini, Barnabas Mwakalukwa, amekanusha taarifa zinazozagaa mitandaoni zinazohusu jeshi la polisi kufanya mabadiliko na...

READ MORE

ADAKWA AKITOA MAHARI NG’OMBE WA WIZI

BUNDA: Dunia ina mambo! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia tukio la bwana harusi mtarajiwa, James Marwa, mkazi wa Wilaya ya...

READ MORE

KIOJA KUKU ‘KUBAKWA’ NA WATU

ARUSHA: Wakazi wa Mtaa wa Bonny City, Kata ya Muriet jijini Arusha, wamekumbwa na hofu ya ushirikina kufuatia kuzuka kwa...

READ MORE

PICHA: Muonekano wa Ndani wa Gari Lililomteka Mo Dewji

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amezungumzia tukio la kupatikana kwa mfanyabishara maarufu nchini, Mohammed Dewji kutoka...

READ MORE

TUKIO LA MO DEWJI, IGP SIRRO AWATAHADHARISHA LEMA, ZITTO – VIDEO

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro, amesema Jeshi la Polisi linaumizwa na kitendo cha baadhi ya Watanzania na...

READ MORE

LIN BARBECUE & COLLECTION WAUNGANISHA WASANII KUSAIDIA YATIMA

Wasanii wa filamu na muziki jana wameungana na uongozi wa Kampuni ya Lin Barbecue na Collection kupigania maisha ya watoto...

READ MORE

Silaha za Kivita Zilivyokutwa Kwenye Gari Alilotekwa Mo Dewji – Video

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amezungumzia tukio la kupatikana kwa mfanyabishara maarufu nchini, Mohammed Dewji kutoka...

READ MORE

IGP SIRRO Asimulia: Waliomteka Mo Dewji Walitaka Pesa – VIDEO

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amezungumzia tukio la kupatikana kwa mfanyabishara maarufu nchini, Mohammed Dewji kutoka...

READ MORE

BREAKING NEWS: Bongo Muvi Yapata Pigo, Muigizaji wa Filamu Afariki Dunia

BREAKING NEWS: Aliyewahi kuwa msanii wa maigizo wa Kundi la Sanaa la Kaole, Ramadhani Mrisho Ditopile maarufu kama Mashaka amefariki...

READ MORE

BREAKING: Kilichokutwa Eneo Mo Dewji Alilopatikana! – Video

IKIWA ni takribani siku 9 tangu kutekwa kwa mfanyabiashara maarufu, Mohammed Dewji (MO) na hatimaye kupatikana usiku wa kuamkia leo...

READ MORE

Magufuli Nimetoa 50m, Mkifungwa Mtazitapika

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli jana ameikabidhi timu ya taifa, Taifa Stars Sh...

READ MORE

Mo Dewji Asimulia Alivyotekwa, Kufichwa na Kujikuta Chumbani – Video

IKIWA ni takribani siku 9 tangu kutekwa kwa mfanyabiashara maarufu, Mohammed Dewji (MO) na hatimaye kupatikana usiku wa kuamkia leo...

READ MORE

Breaking News: Kauli ya Kwanza Mo Dewji Baada ya Kupatikana – Video

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa  amethibitisha  Mfanyabiashara Bilionea  Mohamed Dewji  maarufu kwa jina la Mo Dewji amepatikana na  na Dewji...

READ MORE

BREAKING NEWS: MO DEWJI APATIKANA!

Taarifa zilizotufikia alfajiri ya leo, Oktoba 20, 2018, zinasema kuwa Mfanyabiashara Bilionea Mohamed Dewji maarufu kwa jina la Mo Dewji...

READ MORE

AMCHOMA VISU MKEWE, AJIUWA

DAR ES SALAAM: Steven Mwashilindi, Mkazi wa Tabata -Kimanga jijini Dar, amedaiwa kujiua baada ya kumchoma visu tumboni mkewe, Maida...

READ MORE

SERIKALI YAJITOSA MAZIMA STARS

SERIKALI kupitia kwa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe imeahidi msaada wowote kwa Kocha wa Taifa Stars,...

READ MORE

DW Yaeleza Kifo cha Gamba Kilivyotokea Hadi Maiti Ilipokutwa – Video

NAIBU Mkuu wa DW, Mohammed Abdurahaman ameeleza kifo cha Mtangazaji Mwenzao Isack Gamba ambapo alikutwa chumbani kwake akiwa amefariki. Abdulrahaman...

READ MORE

JPM Awaalika Japan na Georgia Kushirikiana na Tanzania – Picha

Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo Ijumaa, Oktoba 19, 2018 amepokea hati za Utambulisho za Mabalozi wawili kutoka nchi...

READ MORE

Basi la Ibra Line Lateketea kwa Moto Maeneo ya Nangurukulu

BASI la Kampuni ya Ibra Line linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam kwenda Masasi mkoani Mtwara, limewaka na...

READ MORE

JPM ATOA TSH 50M KWA TAIFA STARS ‘MKIFUNGWA MTAZITAPIKA’- VIDEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amekutana na kuzungumza na wachejazi wa Timu ya Taifa ya...

READ MORE

IGP SIRRO: HII NDO GARI ILIYOMTEKA MO, ILIPOTELEA KAWE – VIDEO

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema jeshi hilo kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama limefanya...

READ MORE

Sirro: Tumebaini Mmiliki na Dereva wa Gari Iliyomteka Mo Dewji – Video

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Sirro,  amesema jeshi lake limelitambua  gari  lililotumiwa katika kumteka mfanyabiashara maarufu nchini,...

READ MORE

MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO SENGEREMA SEKONDARI AJINYONGA

MWANAFUNZI wa Kidato cha Tano, Shule ya Secondari ya Sengerema aitwaye Ayoub Yahya Petro (19), mwenyeji wa Kyerwa mkoani Kagera,...

READ MORE

SIRI WACHUNGUZI WA NJE KUGOMEWA BONGO YATAJWA

SERIKALI iwaite wachunguzi wa Kimataifa.” Baadhi ya wananchi wamekuwa wakitoa kauli hizo baada ya kuwepo kwa tukio la Mbunge wa...

READ MORE

Kampuni ya Mo Dewji Yafunguka Suala la Kusitisha Uzalishaji

Uongozi wa Makampuni ya ‘MeTL’ unaomilikiwa na mfanyabiashara maarufu nchini, Mohamed Dewji umekanusha taarifa za uvumi juu ya kusitisha shughuli...

READ MORE

Mwakyembe Awateua Mwana FA, Richie Mtambalike BASATA

WASANII Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’ na Single Mtambalike ‘Richie’ wameteuliwa kuwa wajumbe ya Bodi ya Baraza la Sanaa Tanzania –...

READ MORE

HEAMEDA MEDICAL CLINIC YAENDESHA KAMBI YA KUPIMA MAGONJWA

  KLINIKI ya Magonjwa ya Moyo Heameda iliyopo Bunju B jijini Dar es Salaam imeanzisha kambi maalumu ya siku mbili...

READ MORE

INASIKITISHA! Maiti za Watoto Watatu Zilivyokutwa Kwenye Gari Bovu Dar

WATOTO watatu wa familia moja walitoweka tangu Oktoba 15, mwaka huu katika Mtaa wa Njaro wilayani Temeke, Dar es Salaam wamekutwa...

READ MORE

Mambo Tambarare na M-Pesa, Ukikosea Unarudisha Pesa

Popote ulipo unaweza kurudisha miamala uliyokosea papo hapo kupitia M-Pesa yako. Piga *150*00# chagua akaunti yangu kisha Chagua rudisha muamala.

READ MORE

THE 2ND ANNUAL ICT PROFESSIONALS CONFERENCE, 2018 (AIPC)

The Information and Communication Technology (ICT) Commission is pleased to invite all ICT practitioners to the 2nd – Annual ICT...

READ MORE

Wakazi watano washinda Milioni 161.5 za M-Bet

  Jumla ya washindi watano wameshinda jumla ya Sh161, 467,950 baada ya kubashiri kwa usahihi droo ya kampuni ya M-Bet...

READ MORE

Sakata la Clip; Kubenea, Komu Waomba Radhi Chadema – Video

WABUNGE wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Saed Kubenea (Ubungo) na Anthony Komu (Moshi Vijijini), wamewaomba radhi viongozi...

READ MORE

Breaking: Kimenuka! Kubenea, Komu Wavuliwa Uongozi – Video

WABUNGE wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Saed Kubenea (Ubungo) na Anthony Komu (Moshi Vijijini), wamevuliwa nyadhifa zao...

READ MORE

BAADA YA KUONDOKA SIMBA, MASOUD DJUMA APATA TIMU LIGI KUU

ALIYEKUWA Kocha Msaidizi wa Klabu ya Simba, Masoud Djuma amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuifundisha AS Kigali inayocheza Ligi Kuu...

READ MORE

Diwani wa Magomeni, Mmliki Shule za Green Acres, Afariki Dunia

ALIYEWAHI kuwa Diwani wa Magomeni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mmiliki wa shule za Green Acres, Julian Bujugo,  amefariki...

READ MORE

DC Hai Afunga Maduka ya Mwenyekiti Chadema, Aagiza Achunguzwe – Video

Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya hiyo kuyafunga maduka ya Mwenyekiti wa...

READ MORE