×

Habari

MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR  YAZINDUA PROGRAMU YA KUELIMISHA WATEJA WAKE

  Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam imezindua rasmi programu maalum ya kuzungumza na wateja wake kwa lengo la...

READ MORE

KAKA wa LISSU: Huyu Musiba ni Nani Asikamatwe? – Video

KAKA wa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), Alute Mughwai Lissu, amesema mwanaharakati Cyprian Musiba anapaswa kukamatwa na kushtakiwa...

READ MORE

Tamko la Serikali Sakata la Mwanafunzi Aliyepigwa Hadi Kufa – Video

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Joyce Ndalichako amefungukia sakata la mtoto wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Kibeta,...

READ MORE

Tundu Lissu Afunguka Kurejea Tanzania

MBUNGE wa Jimbo la Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu ambaye yupo nchini Ubelgiji akipatiwa matibabu kutokana na majeraha ya kupigwa...

READ MORE

Nchi Zenye Utajiri Mkubwa Zaidi Afrika

BENKI ya Dunia imezitaja nchi za Afrika zilizo na utajiri mkubwa zaidi  wa asili licha ya kuwa miongoi mwake ni...

READ MORE

FAIZA: Sikwenda Msibani, Mama Mkwe Alikuwa Hanipendi Kabisa – Video

MZAZI Mwenzake na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally amesema hakwenda kwenye msiba wa mama mkwe wake,...

READ MORE

Mwanza: Polisi Wawili Wakamatwa na Meno ya Tembo

ASKARI wawili wa Jeshi la Polisi mkoani Mwanza wamefukuzwa kazi baada ya kupatikana na nyara za Serikali ambazo ni meno...

READ MORE

NMB YAPIGA JEKI SHULE ZA MSINGI NA HOSPITALI NCHINI

      BENKI ya NMB imetoa msaada wa madawati 100 kwa shule za msingi mbili, vifaa vya ujenzi na vifaa...

READ MORE

DENTI APEWA KIPIGO CHA KIFO

ENZI za tabia ya utemi wa wanafunzi kwa baadhi ya Shule za Sekondari uliokuwa ukifanywa miaka ya tisini huenda unarudi,...

READ MORE

Arumeru wafurahia Mawasiliano ya uhakika kutoka Halotel  

  Wakazi wa kijiji cha Timbolo, Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, wamepongeza jitihada za mtandao wa simu wa Halotel kwa...

READ MORE

Tanzia: Mhasibu Mkuu Bugando Hospital, Ajiuwa kwa Kujirusha Gorofani

Mkurugenzi wa Fedha na Mipango katika Hospitali ya Rufaa Bugando ya jijini Mwanza, mtawa Suzan Bathlomeo amefariki dunia baada ya...

READ MORE

Sugu Alivyomwaga Machozi Akisoma Wasifu wa Mama Yake – Video

  MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu), ameshindwa kujizuia na kujikuta akiangua kilio na kumwaga machozi alipokuwa akisoma wasifu...

READ MORE

Mtoto Darasa la 5 Adaiwa Kuuawa kwa Kipigo cha Mwalimu

MWANAFUNZI wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Kibeta, Sperius Eradius (13) amefariki dunia akidaiwa kupigwa na mwalimu wake...

READ MORE

Breaking News: Mbunge Hawa Ghasia Ajiuzulu

MBUNGE wa Mtwara Vijijini (CCM) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Hawa Ghasia na Makamu Mwenyekiti...

READ MORE

Simanzi na Huzuni Kuagwa kwa Mwili wa Mama wa Sugu – Picha + Video

SIMANZI na huzuni vimetawala wakati wa kuaga mwili wa mama mzazi wa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu), Bi....

READ MORE

Waziri Mwakyembe Atembelea Global, Afunguka Kufungiwa Chaneli

  Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe leo ametembelea Kampuni ya Global Group ambayo ndani yake...

READ MORE

YEMENI YAGUNDUA TEKNOLOJIA YA KUJIKINGA NA KIPINDUPINDU

Mfumo mpya unaobashiri ni eneo gani ambalo mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu unaweza kutokea umesababisha kupungua kwa idadi ya watu...

READ MORE

HAWA NDIYO MAWAZIRI 10 WA JPM WACHAPAKAZI

KUPITIA magazeti yanayochapishwa na Kampuni ya Global Publishers na Mtandao wa Global Publishers, Kampuni ya Global Publishers LTD iliamua kufanya...

READ MORE

PICHA: Uhuru Kenyatta Akutana na Trump Ikulu ya Marekani

RAIS Donald Trump wa Marekani amekutana na mwezake wa Kenya Uhuru Kenyatta mjini Washington na kuzungumzia masuala mbalimbali, zaidi wakiangazia...

READ MORE

Makambo Awataja Fei Toto, Tshishimbi Siri ya Mabao Yake Yanga

MSHAMBULIAJI mpya hatari hivi sasa wa Yanga, Mkongoman, Heritier Makambo, ametoa pongezi kwa viungo wa timu hiyo, Feisal Salim ‘Fei...

READ MORE

MAKAMU WA RAIS AHUDHURIA KUAPISHWA MAJAJI WATATU  WA MAHAKAMA YA AFRIKA

    Makamu wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan amehudhuria  hafla ya kuapishwa kwa Majaji wateule watatu wa Mahakama ya...

READ MORE

Kigoma: Wamiliki wa Daladala Wagoma

WAMILIKI wa vyombo vya usafiri Hiace maarufu kama daladala katika manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma leo wamesitisha huduma ya...

READ MORE

MAHAKAMA TANGA YAWATUNUKU VIONGOZI  WALIOSTAAFU

MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Tanga imewapongeza baadhi ya Watumishi wake waliofanya vizuri kwa kuwapa vyeti maalum ikiwa ni ishara ya...

READ MORE

CAF YARIDHISHWA NA MAANDALIZI YA AFCON

    RAIS wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), Bw. Ahamd Ahmadamesema ameridhishwa na maandalizi ya michuano ya Afrika ya vijana wenye umri...

READ MORE

BREAKING: LUGOLA AMSWEKA NDANI MKUU WA KITUO CHA POLISI

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola,  amemweka ndani Mkuu wa Kituo Kikuu cha Polisi mjini Mtwara (OCS) Ibrahim Mhando, ...

READ MORE

TIC: TAASISI ZITUSHIRIKISHE KUTATUA CHANGAMOTO ZA UWEKEZAJI

  MKURUGENZI  Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC) Geoffrey Mwambe,  amewaomba viongozi wa taasisi mbalimbali za serikali, sekta binafsi na...

READ MORE

Dkt. Mpango: Siogopi Vitisho, Makontena ya Makonda Yapigwe Mnada

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, ameagiza makontena 20 ya samani yaliyoingizwa nchini na Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

MAKAMBA: HAKUNA SEKTA YOYOTE ISIYOHITAJI HIFADHI YA MAZINGIRA

    Siku ya Sita ya ziara ya Waziri Makamba imemfikisha Mkoani Geita, Wilayani Chato katika Kijiji cha Nyamirembe ambapo...

READ MORE

Waziri Lugola Leo Ametoa Maagizo Haya

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewataka wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama vilivyopo ndani ya...

READ MORE

Breaking News: Abdul Nondo Akutwa na Kesi ya Kujibu

Mahakama ya Mkoa wa Iringa imemkutwa na kesi ya kujibu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi (TSNP), Abdul Nondo anayekabiliwa na...

READ MORE

DE GEA AWAFANYIA UMAFIA MAN UNITED, AGOMA KUSAINI

IMERIPOTIWA kuwa Kipa namba moja wa Klabu ya Manchester United, David de Gea raia wa Hispania amekataa ofa ya kusaini...

READ MORE

ANACHOWAFANYA SAMATTA ULAYA, WANAPATA TABU SANA

MSHAMBULIAJI wa Kimataifa kutoka Tanzania, Mbwana Samatta ameendelea kucheka na nyavu akiwa na KRC Genk baada ya kuisaidia kushinda kwa...

READ MORE

CCM Vs Chadema, Huku Mangula Kule Lowassa, Hapatoshi Monduli

BAADA ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza uchaguzi mdogo katika Jimbo la Monduli mkoani Arusha, Makamu Mwenyekiti wa...

READ MORE

MAKAMBO ATEKA MAZOEZI SIMBA

BAADA ya straika wa Yanga, Heritier Makambo kuanza kwa kishindo, jina lake limekuwa gumzo kila kona ya Tanzania kiasi kwamba...

READ MORE

Mchezaji wa Brazil Ajiunga na Al-Shabab, Saudia

MCHEZAJI wa Soka wa Brazil, Wergiton do Rosario Calmon (29) ambaye anajulikana kwa jina maarufu la Somália aliyekuwa akiichezea Klabu ya Toulouse...

READ MORE

NENO LA MAJALIWA BAADA YA KUMTEMBELEA KIGWANGALLA MOI

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Kassim Majaliwa leo Agosti 26,2018 amemtembelea na kumjulia hali Waziri wa...

READ MORE

RAIS MSTAAFU KIKWETE ALIVYOWASILI UWANJANI HARARE, ZIMBABWE

RAIS  mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete, amewasili Uwanja wa Taifa wa michezo mjini Harare, Zimbabwe, kumwakilisha Rais wa...

READ MORE

KIKWETE KUMWAKILISHA JPM SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS WA ZIMBABEWE

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini asubuhi hii kuelekea Harare nchini Zimbabwe ambapo...

READ MORE

John McCain: Seneta Aliyegombea Urais na Obama Afariki

SENETA John McCain, shujaa wa vita vya Vietnam aliyehudumu kwa muda mrefu kama seneta nchini Marekani na aliyewahi kuwania urais,...

READ MORE