×

Habari

MABAO YOTE YA YANGA VS MBAO FC 2-0 (VIDEO)

MECHI ya Yanga na Mbao FC imemalizikakatika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku wenyeji Yanga wakizidi kujikusanyia pointi...

READ MORE

Waziri Lugola Afiwa na Mdogo Wake jijini Mwanza

Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola, amefiwa na mdogo wake jijini Mwanza leo. Mwili wa Marehemu Josiah Chitage Lugola...

READ MORE

Breaking: Mbunge wa CHADEMA, Simanjiro Atimukia CCM

  MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), James Ole Millya, amejiuzulu ubunge na...

READ MORE

Kinyang’anyiro cha kumsaka Tigo Fiesta Supa Nyota mjini Iringa

Wasanii wawili walipita kwenye mchujo wa Tigo Fiesta Supa Nyota 2018 mkoani Iringa Ester Queen na TTP ambao itawabidi wapande...

READ MORE

MAFANIKIO TUNAYOYAPATA NI MABORESHO NA MAONI YA WATEJA – NMB

Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi Benki ya NMB, Omari Mtiga pamoja na baadhi ya wateja Benki ya NMB waliojumuika...

READ MORE

Jambazi Sugu wa Magari Akamatwa Akitorokea Uganda

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limemkamata mtu mmoja aitwaye Peter Thomas Nyanchiwa, anayedaiwa kuwa ni jambazi sugu baada ya kuiba...

READ MORE

RC MWANZA AAMURU WALIOIBA MITIHANI WAKAMATWE – VIDEO

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella, amemuagiza Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo, Jonathan Shanna, kuwakamata mara moja na...

READ MORE

Afungiwa Bandani Zaidi ya Mwaka, Maisha Yake Hatari Tupu! – Video

INASIKITISHA! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia historia ya maisha ya Hamis Salum maarufu kwa jina la Best, ambaye yu mgonjwa...

READ MORE

Kamwele Awatimua Wachina Wawili kwa Kuwapiga Watanzania

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Eng. Isack Kamwelwe, amewafukuza na kuwaamuru waondoke nchini mara moja raia wawili wa China...

READ MORE

Mume aiba figo ya mkewe kujilipia mahari

TAMADUNI nyingi nchini India mwanamke ndiye anayewajibika kulipa mahari ili kuolewa tofauti na maeneo mengine duniani, ambayo hufahamika suala hilo...

READ MORE

Rais Magufuli Ateua Bosi wa BASATA

Rais John Pombe Joseph Magufuli amemteua Habbi Gunze kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA).   Uteuzi wa...

READ MORE

RC Makonda Aongeza Muda wa Kupiga muziki Usiku (Picha + Video)

Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda leo ametangaza kuondoa muda wa kikomo kwa wasanii kupiga mziki kwenye matamasha hadi...

READ MORE

Manara Atoa Jezi Tandale, Kuanzisha Ligi ya Diamond (Picha + Video)

MSEMAJI wa Klabu ya Simba, Haji Manara leo ameungana na viongozi mbalimbali wa serikali, warfanyabiashara na wasanii kumuunga mkono msanii...

READ MORE

ERIC SHIGONGO AKIONGEA NA WANANCHI WA TANDALE (Picha +Video)

  Mkurugenzi Mtendaji wa makampuni ya Global Group na mhamasishaji maarufu Afrika Mashariki na Kati, Eric Shigongo, leo ameongea na...

READ MORE

HURUMA ILIYOJE! DIAMOND Ampa Bajaj Mama Mlemavu – Video

MSANII Nyota wa Bongofleva Naseeb Abdul “Diamond Platnumz” ameompa zawadi ya bajaj mpya mama mwenye ulemavu wa miguu, Bi. Evodia...

READ MORE

BENKI YA STANBIC YATOA ZAWADI KWA WATEJA

  Benki ya Stanbic imesherehekea wiki hii ya huduma kwa wateja kwa kuwapa zawadi wateja wao na kuwashukuru kwa kuendelea...

READ MORE

VODACOM YAWAKUMBUKA WATEJA WALIOJIUNGA SIKU YA KWANZA KUAANZISHWA

    MTANDAO wa simu za mkononi Vodacom Tanzania imewakumbuka baadhi ya wateja wake waliojiunga siku ya kwanza na ya pili...

READ MORE

DODOMA YAONGOZA KUKUSANYA MAPATO, MBEYA YA MWISHO – VIDEO

  Jiji la Dodoma limekuwa la kwanza kati ya majiji sita hapa nchini kwa kusanya bilioni 25.5 toka kwenye lengo...

READ MORE

MRISHO GAMBO APATA PIGO

MKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amepatwa na pigo la kuondokewa na dada yake mpendwa Bi. Mwajuma Gambo ambaye...

READ MORE

Rais Afungwa Jela Miaka 15

MAHAKAMA nchini Korea ya Kusini imemhukumu kifungo cha miaka 15 jela na kumwamru kulipa faini ya dola milioni 11.5 aliyekuwa...

READ MORE

MSANII MBARONI KWA KUTOA WIMBO WA KUMTUKANA RAIS

MAOFISA wa polisi wamemkamata mwanamuziki Moses Nsubuga maarufu kama Viboyo baada ya kutoa wimbo unaomkosoa Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta...

READ MORE

MGONJWA ABOMOLEWA NYUMBA KIMAFIA

KAZI ni kwako! Mkazi wa Kimara- Golani jijiji Dar, Esther Mpari ambaye ni mgonjwa wa presha amemlilia Waziri wa Nyumba...

READ MORE

WATEKAJI KUNDI LA WEZI WA WATOTO LATAJWA

WIMBI la utekaji watoto linazidi kutikisa ambapo katika siku za hivi karibuni wameshatekwa watoto watatu huku wengi wakihoji ni nani...

READ MORE

Mchungaji Akutwa Akisali Uchi na Wanawake 7

MCHUNGAJI wa Kanisa la Full Gospel  na waumini wake ambao ni wanawake saba wanashikiliwa na Jeshi la Polisi katika wilaya ya Rukiga nchini...

READ MORE

NDITIYE AMFUKUZA MSIMAMIZI WA UJENZI WA BANDARI CHATO

            NAIBU Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye, amemfukuza msimamizi wa ujenzi wa...

READ MORE

Volkano yaibuka Indonesia siku chache baada ya tetemeko la ardhi, tsunami

KUIBUKA kwa volkano katika Mlima Soputan, katika kisiwa cha Sulawesi nchini Indonesia, kunafuatia siku chache baada ya tetemeko la ardhi...

READ MORE

KAMPUNI YA VODACOM YAAHIDI WANAHISA KUENDELEA KUWA KINARA KATIKA SOKO

  KAMPUNI ya Simu za Mkononi Vodacom Tanzania imebainisha kuwa imejipanga kukabiliana na matatizo ya kiushindani sokoni ili kuhakikisha kampuni hiyo...

READ MORE

Ebitoke Atangaza Rasmi Kung’atuka Kwenye Kundi Lake

MUIGIZAJI wa comedy nchini, aliyejizolea umaarufu mkubwa kwenye mitandao ya kijamii, Anastazia Exavery ‘Ebitoke’ (20) ametangaza kujiondoa kwenye kundi lake...

READ MORE

Kimenuka! CHADEMA, CCM Wachapana Ngumi Dar

JANA Jumatano, Oktoba 3, 2018 kulitokea tukio la aina yake kwenye Ukumbi wa Anatoglo uliopo Manispaa ya Ilala jijini Dar...

READ MORE

VIDEO YA TUKIO MAALUM IKULU LEO, JPM APOKEA UGENI MZITO

Mhe. Rais Magufuli amepokea hati za utambulisho za Mabalozi walioteuliwa kuziwakilisha nchi za Ubelgiji, Norway, Sweden, Palestina na Kuwait hapa...

READ MORE

WATOTO WANAOZUIA MVUA KUNYESHA

KWA zaidi ya muongo mmoja baadhi ya familia katika kaunti ya Kilifi nchini Kenya wamekuwa wakijifungua watoto wenye hali isio...

READ MORE

Breaking: Moto Wazuka Jengo la Benjamin Mkapa – Video

Moto umezuka leo katika jengo la Benjamin Mkapa, Millennium Tower – Dar ambapo unasadikiwa umeanzia kwenye ghorofa ya tatu. Wageni...

READ MORE

Mnigeria Akamatwa na Dola Feki za Mil.25

POLISI nchini Kenya wamemkamata raia wa Nigeria, Henry Omoaka (51) akiwa na Dola feki za Marekani 251,4000 ambazo ni sawa...

READ MORE

KAMPUNI YA VODACOM YAZINDUA OFISI WILAYANI LONGIDO

Mkuu wa Wilaya ya Longido mkoani Arusha, Frank Mwaisumbe, amezindua rasmi ofisi mpya ya Vodacom Tanzania wilayani Longido ikiwani moja...

READ MORE

Kangi Lugola Ampa Maagizo Mengine IGP Sirro

WAZIRI Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Pilisi nchini, IGP Simon Sirro, kupunguza vituo...

READ MORE

Mbio za Baiskeli ya ACACIA Kukusanya Milioni 340

Kampuni ya uchimbaji wa madini Tanzania – Acacia inatarajia kuzindua mashindani ya mbio za baiskeli kwa lengo la kukusanya zaidi...

READ MORE

Jambazi aliyetoroka kwa helikopta miezi 3 iliyopita akamatwa

Redoine Faid, jambazi sugu,  raia wa Ufaransa ambaye alitoroka jela akitumia helikopta iliyokuwa imetekwa nyara,  amekamatwa tena na polisi. Mhalifu...

READ MORE