×

Habari

CUF Waanika Mchezo Mchafu Waliyofanyiwa Kwenye Uchaguzi – Video

Chama cha Wananchi (CUF) kimezungumza na waandishi wa habari leo na kuelezea kila walichokiona katika uchaguzi mdogo uliofanyika Agosti 12...

READ MORE

BOBI WINE HALI TETE

WANA-SHERIA wawili wa msanii wa muziki ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kyadondo Mashariki, Robert Kyagulanyi ‘Bobi Wine’, wamesema mwanasiasa...

READ MORE

Waziri Atumia Baiskeli Kwenda Hospitali Kuijifungua

Julie Genter kutoka chama cha kijani, Green party, amesema kuwa ameenda kwa baiskeli kwakua hakukua na nafasi ya kutosha ndani...

READ MORE

WATUHUMIWA 11 KIZIMBANI KISUTU KESI  YA UHUJUMU UCHUMI

    WATU 11 wakiwamo raia wawili wa Guinea wamepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka matatu...

READ MORE

Wananchi 103 Mbaroni kwa Maandamano

Polisi nchini Uganda, imesema imewakamata watu 103, katika maandamano yaliozuka ya kupinga kukamatwa kwa mbunge wa upinzani Robert Kyagulanyi au...

READ MORE

Baba Mkwe wa Majuto: Walidai Urithi Hospital Kabla Hajafa – Video

Kufuatia madai ya Mke wa Marehemu, Mzee Majuto, kufukuzwa na kukataliwa kutunzwa na familia ya marehemu hususani Watoto wakubwa wa...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AONGOZA MAMIA CHATO MAZISHI YA DADA YAKE (VIDEO +PICHA)

MWILI wa Dada wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Marehemu Monica Magufuli umezikwa nyumbani...

READ MORE

Huduma za Mahakama Kuanzishwa Wilaya Zisizo na Huduma Hizo

 MAHAKAMA  Kuu ya Tanzania Kanda ya Dodoma imeanza mpango wa uanzishaji wa huduma za kimahakama katika wilaya zisizo na huduma...

READ MORE

TCDC Yasisitiza Elimu, Mpango wa Uzazi kwa Wanawake

  SHIRIKA lisilo la kiserikali linalojihusisha na utetezi wa afya ya mama na uelimishaji la Tanzania Communications And Development Center...

READ MORE

Naibu Waziri Shonza Apata Mtoto

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Juliana Shonza amejifungua mtoto wa kike juzi Jumapili, Augosti 19, 2018.  Uongozi...

READ MORE

Mwinyi, Mkapa, Kikwete Wawasili Mwanza Kuelekea Chato – Pichaz

Marais Wastaafu wa Tanzania, Ally Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete wamewasili jijini Mwanza leo Agosti 21, 2018 wakielekea Chato...

READ MORE

Diwani Mwingine wa Mbowe Atimkia CCM – Video

Diwani wa Chadema Kata ya Masama Rundugai, katika jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro, Elibariki Mbise, amejiuzulu uanachama na udiwani wake...

READ MORE

Madai! Familia Yamsusa Mke wa Majuto & Watoto Waike, Asimulia – Video

ZIKIWA zimepita siku chache tangu aliyekuwa msanii mkongwe wa filamu nchini, Amri Athuman ‘King Majuto’ afariki dunia, imedaiwa kuwa, familia...

READ MORE

USICHOKIJUA KUHUSU KOFI ANNAN

JUMAMOSI iliyopita ya Agosti 18, mwaka huu Afrika na dunia ilipata pigo. Baada ya Nelson Rolihlahla Mandela na waasisi wengine...

READ MORE

Ziwa Singidani, Kindai Kuwa Maeneo Lindwa Kimazingira

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. January Makamba amesema Ofisi yake inaangalia uwezekano...

READ MORE

Gari la Ikulu Laibwa, Lakamatwa Moshi

POLISI mkoani Kilimanjaro inawashikilia watu wawili wakazi wa mjini Moshi kwa tuhuma za kukutwa na gari la wizi linayosadikiwa kumilikiwa...

READ MORE

USIKOSE KUTAZAMA KIPINDI CHA ONLINE TUITION, JUMANNE SAA 8 MCHANA

Global TV Online, kituo chako bora cha runinga ya mtandaoni, kinazidi kukudondoshea vitu exclusive ambavyo huwezi kuvipata sehemu nyingine yoyote....

READ MORE

Korogwe: Mgombea CCM Apita Bila Kupingwa, wa Chadema Aenguliwa

MGOMBEA wa ubunge Korogwe Vijijini (CCM), Timotheo Mzava amepita bila kupingwa katika uchaguzi wa mdogo wa marudio. Hatua hiyo imekuja...

READ MORE

Mamba Mzee Anayeabudiwa Kama Miungu

Nchini Nigeria, kuna kabila moja ambalo humuabudu mamba kama miungu. Mamba huyo wanayemuabudu kwa sasa ana umri wa miaka 78....

READ MORE

Tanga: Mgombea wa CHADEMA Nusura Aporwe Fomu

Mapema majira ya saa tano leo Jumatatu, Agosti 20, 2018, Mgombea Ubunge Jimbo la Korogwe Amina Ally Saguti akisindikizwa na...

READ MORE

Chid Benz: Bongo Fleva Inakwenda Mbali

MSANII wa Muziki wa Ki­zazi Kipya, Bongo Fleva, Rashid Mak­wilo ‘Chid Benz’, amesema kuwa muziki huo kwa sasa unaonekana utafika...

READ MORE

MGOGORO WA RAMBIRAMBI, MKE ASUSIA 40 YA MAJUTO!

NI tafrani! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mke wa aliyekuwa msanii wa vichekesho nchini, Amri Athuman ‘King Majuto’, Aisha Yusuf...

READ MORE

MKE ASIMULIA MUMEWE ALIVYOUAWA KINYAMA

DAR ES SALAAM: Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua, familia ya Silayo imegubikwa na majonzi mazito tangu walipompoteza ndugu...

READ MORE

CMSA YAZINDUA MAFUNZO YA MASOKO YA MITAJI

  MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Mafunzo ya Masoko ya Mitaji na...

READ MORE

Mabomu Yarindima, Wananchi Wapinga Mbunge Kukamatwa

POLISI wamelazimika kutumia mabomu ya machozi na kupiga risasi hewani kuwatawanya waandamanaji katika Jiji la Kampala wakipinga kukamatwa kwa mbunge wao,...

READ MORE

Ronaldo, Modric, Salah Vitani Mchezaji Bora, Messi, Mbappe Waenguliwa

Shirikisho la soka barani Ulaya limetangaza majina ya Nyota wanaoshindania tuzo ya Mchezaji Bora wa Ulaya UEFA kwa mwaka 2017/2018 ambao ni...

READ MORE

HARAMBEE YACHANGIA UJENZI KITUO CHA HIJA TABORA

Katibu  Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Queen Mlozi, amefanikisha kuendesha harambee ya ujenzi wa...

READ MORE

Dar: Mbaroni kwa Kukutwa na Gramu 300 za Heroin

MAMLAKA ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini inamshikilia Mohamed Hussein Gulam (48), mkazi wa Magomeni Mapipa jijini Dar...

READ MORE

KIMENUKA! KISA WANAWAKE, MASHEHE WAVUANA NGUO

Wamevuana nguo! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Shehe Juma Ahmed Kikwesa, mkazi wa Lugala mkoani Morogoro kumtuhumu Shehe Ahmadi Said...

READ MORE

Museveni Akanusha Bobi Wine Kujeruhiwa

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amekanusha kwamba mbunge wa upinzani Bobi Wine amejeruhiwa. Katika taarifa yake ya kwanza kuhusu afya...

READ MORE

Maktaba Inayovutia Zaidi Duniani, Ina Vitabu Zaidi ya Milioni Moja

MAKTABA inayovutia zaidi duniani ni ile ya kituo cha Utamaduni cha Binhai eneo la Tianjin,  China, ambayo iko katika eneo...

READ MORE

Breaking News: Basi la Saratoga Lateketea kwa Moto

Basi la Kampuni ya Saratoga lililokuwa likitoka Kigoma kuelekea Sumbawanga limewaka moto na kuteketea katika Kijiji cha Kazuramimba mkoani Kigoma...

READ MORE

TICHA AKUTWA NA DENTI CHUMBANI

GEITA: Mwalimu wa shule ya Sekondari ya Bugando Kata ya Nzera wilayani Geita mjini hapa, Noel Seleman anashikiliwa na Jeshi...

READ MORE

CCM Wamlilia Dada wa Rais Magufuli

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha dada wa Rais John Magufuli,  Monica Joseph Magufuli, aliyefariki...

READ MORE

Rotary Dar Marathon Yaadhimisha Miaka 10 Ya Kubadilisha Maisha

  Tukio maarufu la riadha la Rotary Dar Marathon ambalo hufanyika siku ya 14 Oktoba – siku ya Nyerere kila...

READ MORE

Kichuya: Tumeanza na Ngao, Hatuachi Kitu

BAADA ya kutwaa Ngao ya Jamii kwa kuifunga Mtibwa Sugar, kiungo mshambuliaji wa Simba, Shiza Kichuya, ametamba kuwa huo ni...

READ MORE

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMATATU, AGOSTI 20, 2018

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Agosti 20, 2018. Ni yale ya...

READ MORE

Breaking News: Rais Magufuli Afiwa na Dada Yake

Dada wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Monica Joseph Magufuli amefariki dunia asubuhi leo Agosti 19, 2018 katika...

READ MORE

BREAKING NEWS: Magari 10 Yateketea Kwa Moto Rusumo, Kagera -Video

  MAGARI kadhaa yameteketea kwa moto leo baada ya lori la mafuta la kampuni ya Ratco kufeli breki na kugonga...

READ MORE