×

Habari

Kila la Kheri Kidato cha Nne kwa Kuanza Mitihani Leo

WATAHINIWA wapatao 385,938 wameanza kutafanya mitihani ya Taifa ya Kidato cha Nne leo Jumatatu, Oktoba 30, 2017 kote nchini. Akizungumza...

READ MORE

UDART YAFUNGUKA OFISI ZAKE KUVAMIWA MAFURIKO

    KAMPUNI ya usafiri wa mabasi ya mwendo kasi jijini Dar es Salaam (Udart) imeeleza athari ilizozipata kutokana na...

READ MORE

WAZIRI MIFUGO AONYA UINGIZAJI MIFUGO KINYEMELA NCHINI

  NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, amewatahadhalisha wafugaji waliopanga kuwadhuru wananchi waliotoa taarifa zilizosaidia Serikali kukamata mifugo...

READ MORE

Heri ya Kuzaliwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Siku kama ya leo, Oktoba 29, 1959, Rais John Pombe Magufuli alizaliwa. Kampuni ya Global Publishers, uongozi na wafanyakazi wote,...

READ MORE

Maskini Lulu! Hukumu Yake Inatisha, Maisha Yake Mikononi Mwa Jaji

    DAR ES SALAAM: Maskini Lulu! Kesi ya mauaji ya bila kukusudia ya aliyekuwa mwigizaji kinara nchini, Steven Kanumba,...

READ MORE

Zitto Aijibu Tena Serikali ya JPM Kuhusu Takwimu za Pato la Taifa – Video

KIONGOZI Mkuu wa ACT-Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amefunguka tena akiituhumu serikali kupika twakwimu kuhusu kuongezeka kwa...

READ MORE

Dk. Ndugulile Azindua Kambi ya Upimaji Macho, Shinikizo la Damu, Kisukari

Naibu Waziri Wa Afya Mheshimiwa Faustine Ndugulile (Mb) leo amemuwakilisha Makamu Wa Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mheshimiwa...

READ MORE

Makonda Awaagiza JWTZ Kujenga Daraja Lililobomolewa na Mafuriko Kawe – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Saalam, Paul Makonda, ametembelea daraja lililokatika Kawe, na kuwapa pole wananchi wa eneo hilo...

READ MORE

Uchaguzi wa Urais Kurudiwa Vituo Vitano Kenya

Uchaguzi wa marudio ambao ulipangiwa kufanyika leo nchini Kenya katika maeneo ambayo shughuli hiyo haikufanyika Alhamisi utafanyika katika vituo vya...

READ MORE

Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Ndoto Zitimie

GEORGE Majaba, ambaye kabla ya Septemba 27, mwaka huu hakuwahi kuwa na ndoto za kumiliki nyumba katika ardhi ya Jiji...

READ MORE

RPC Mambosasa: Waliokufa kwa Mafuriko Dar Wamefikia Watatu – Video

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema watu watatu wamekufa kufuatia mvua kubwa zilizonyesha jana...

READ MORE

SIMBA, YANGA: SOKABET NI HABARI NYINGINE KABISA MJINI, SOMA WALICHOKISEMA

KUELEKEA mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga dhidi ya Simba, presha imekuwa kubwa ambapo kila kona ya...

READ MORE

Mwakyembe Kuivaa Kampuni Iliyomdhurumu Mil.25 Mzee Majuto

WAZIRI wa Habari,  Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe amefunguka na kusema kuwa Mzee Majuto amedhurumiwa pesa milioni 25 na kampuni ya...

READ MORE

JPM Abadili Maamuzi kwa Wakuu wa Mikoa Wawili Baada tu ya Kuwaapisha- Video

RAIS John Magufuli amewataka Mkuu wa Mkoa wa Dodoma aliyeapishwa leo, Bi. Christine Mndeme ahame kituo na kwenda kufanya kazi...

READ MORE

JPM Kuwaapisha Wakuu wa Mikoa na Makatibu Wakuu Wapya Leo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 27 Oktoba, 2017 saa 8:00 mchana...

READ MORE

Chebukati: Waliojitokeza Kupiga Kura Ni Asilimia 33.4 -Live Uchaguzi wa Kenya

Wasimamizi wa uchaguzi vituoni wameanza kuwasili Bomas Tume ya uchaguzi imesema maafisa wasimamizi wa uchaguzi katika vituo vya kupigia kura...

READ MORE

Uchaguzi Kenya: Nusu Ya Wapiga Kura Wameshiriki Uchaguzi Kenya (Video)

Chebukati: Waliojitokeza kupiga kura ni 48% Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Kenya Wafula Chebukati amesema wanakadiria kwamba idadi ya waliojitokeza...

READ MORE

JPM Apangua Wakuu wa Mikoa, IGP Mangu Apewa Ubalozi – Video

Uteuzi wa Rais Magufuli, uliotangazwa leo Alhamisi Oktoba 26,2017 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi uliwahusu pia, makatibu wakuu,...

READ MORE

Mwenyekiti wa IEBC Aahirisha Uchaguzi Kenya

Mwenyekiti wa IEBC, Wafula Chebukati aahirisha uchaguzi kwa baadhi ya maeneo nchini Kenya mpaka siku ya Jumamosi Oktoba 28, 2017...

READ MORE

Kalemani: Umeme Usiporudi, Tanesco Muondoke Wenyewe Kazini

WAZIRI wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amemtaka Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Abdallah Ikwasa kumuondoa mara...

READ MORE

Breaking News: Mafuriko ya Mvua Jangwani – Dar, Hali Inatisha

MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam tangu juzi Jumanne zimesababisha mafuriko makubwa katika Barabara ya Morogoro eneo la Jangwani...

READ MORE

Mama Kanumba Anavyozidi Kuwaliza Bongo Muvi

INASIKITISHA! Hakuna neno lingine unaloweza kusemwa mbali na hilo. Wakati muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiendelea kuhudhuria Mahakama Kuu Kanda ya...

READ MORE

Wazee wa Baraza: Lulu Alimuua Kanumba Bila Kukusudia

IKIWA ni wiki moja sasa tangu Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ianze kusikiliza mfululizo kesi inayomkabili muigizaji Elizabeth...

READ MORE

Sportpesa Yazindua Shinda Na Sportpesa, Watu 100 Kushinda Bajaj

Kampuni ya michezo ya kubashiri nchini ya SportPesa Oktoba 25 imezindua rasmi kampeni ya SHINDA NA SPORTPESA itakayodumu kwa siku...

READ MORE

Adamu Kuambiana Ashtuka Ray Kuzaa na Chuchu Hans

MPENZI msomaji, hii ni kolamu mpya ya kiburudani lakini ndani yake kuna ujumbe wenye kugusa jamii. Ni kona ya kufikirika....

READ MORE

Leo Siku ya Kuzaliwa Kwa Rais Kenyatta

Leo ni siku ya marudio ya uchaguzi na pia ni siku sawa na aliyozaliwa Rais Uhuru Kenyatta mwaka 1961. Baadhi...

READ MORE

Kangi Lugola: Kwa Nini Kasri la Mama Rwakatare Halijabomolewa?

NAIBU Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Kangi Lugola ameagiza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi...

READ MORE

Katibu Mkuu Chadema Aitwa Tena kwa DCI

KATIBU Mkuu wa Chadema, Dk Vincent Mashinji ametakiwa kuripoti ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), imeelezwa....

READ MORE

Hali Ilivyo Jijini Nairobi… Raila Odinga Vs Jeshi la Polisi

POLISI Kikosi cha Kuzuia Ghasia wamefunga eneo lote la viwanja vya Uhuru Park jijini kabla ya mkutano ulioandaliwa na muungano...

READ MORE

Siku 1 Kabla ya Uchaguzi, Rais Kenyatta Atakiwa Kutii Haya

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta, ameombwa kutia sahihi mara moja Miswada ya (Marekebisho) wa Sheria ya Uchaguzi inayohusu uchaguzi ulipoangwa...

READ MORE

Mkutano wa Viongozi wa Dini na Waziri Mwakyembe!

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe amesema Serikali inatambua haki ya vyombo vya habari katika kukosoa, kujadili...

READ MORE

Mke wa Slaa: Kanumba Alikuwa na Upungufu wa Hewa Kwenye Ubongo

KESI inayomkabili muigizaji, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ya kumuua bila kukusudia muigizaji mwenzake Steven Kanumba, imeendelea kusikilzwa  leo Jumatano, Oktoba 25...

READ MORE

TCU Yatangaza Rasmi Tarehe ya Kuanza Masomo Vyuo Vikuu

KAIMU Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Profesa Eleuther Mwageni amesema wanafunzi ambao tayari wamekidhi vigezo na...

READ MORE

Eric Shigongo Young Entrepreneurs Mentorship Programme

SHIGONGO: Kwa utafiti wangu nimegundua kitu kinachoweza kumsaidia kijana wa Kitanzania kutengeneza utajiri ni elimu ya vitendo na usimamizi, sio...

READ MORE

Zitto Kabwe: Nipo Tayari Kuwajibika Rais Akitekeleza Ombi Hili

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amesema kuwa atakuwa tayari kuwajibika endapo Rais Dkt...

READ MORE

Kardinali Pengo Aongoza Kuuaga Mwili wa Askofu Msemwa

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ameongoza waumini na Maaskofu katika kuuaga...

READ MORE

Lulu Atimua Mbio Mahakamani, Baba Yake Atoa Povu la Mwaka

  MUIGIZAJI wa Bongo Movie, Elizabeth Michael ‘Lulu’, ametimua mbio katika viunga vya Mahakama Kuu Kanda Maalum ya Dar es...

READ MORE