Rais John Magufuli amesaini nyaraka za wafungwa 63 ambapo wafungwa 61 walikuwa wamehukumiwa kunyongwa na wawili kifungo cha maisha. Nyaraka...
READ MOREMWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Sadifa Juma Khamis (Mb.) amekamatwa na maofisa Taasisi ya Kuzuia...
READ MOREMKUU wa Mkoa wa Pwani Evarist Ndikilo ameitaka polisi mkoani humo kuwakamata watu waliowatia mimba wanafunzi 20 ambao walishindwa kufanya...
READ MOREWanamuziki Nguza Viking (Babu Seya) na mwanawe Johnson Nguza (Papii Kocha) wametoka jioni hii katika Gereza la Ukonga jijini Dar...
READ MOREBAADA ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kutoa msamaha kwa familia ya Nguza Viking...
READ MOREKUFUATIA kupotea kwa mwandishi wa Gazeti la Mwananchi, Azory Gwanda, Ambaye leo Desemba 9, 2017, ametimiza siku 18 tangu apoteee...
READ MOREIKIWA ni saa chache baada ya Mwanamuziki wa dansi Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ kuachiwa...
READ MORERAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amri Jeshi Mkuu, ametangaza msamaha kwa Nguza Viking maarufu kama Babu Seya...
READ MOREMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewaongoza mamia ya watu waliojitokeza kumuaga aliyewahi kuwa kocha wa Taifa...
READ MORELeo, Disemba 09, 2017 Tanzania inaadhimisha miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara (Tanganyika) ambapo sherehe hizo zinafanyika katika Uwanja...
READ MORELEO ni siku ya kipekee kwa Watanzania wote kwani Taifa letu linaadhimisha miaka 56 ya uhuru tukiwa na amani na...
READ MOREDAR ES SALAAM: Ikiwa ni takriban siku sita tangu mlimbwende maarufu Bongo, Wema Sepetu ang’atuke Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
READ MORELeo, Disemba 09, 2017 Tanzania inaadhimisha miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara (Tanganyika) ambapo sherehe hizo zinafanyika katika Uwanja...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha askari 14...
READ MOREUmoja wa Mataifa umethibitisha kuwa takribani wanajeshi 14 kutoka Tanzania waliokuwa wanalinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya watu wa Kongo...
READ MOREMAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, baada ya kuzinduka Kampeni ya Uzalendo na...
READ MOREWABUNGE wa CHADEMA, Peter Lijualikali (Kilombero) na Suzan Kiwanga (Mlimba) pamoja na washtakiwa wengine 37 ,leo Ijumaa, Desemba 8, 2017...
READ MOREMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetaja tarehe nyingine ya kuendelea na kesi ya uhujumu uchumi na kusababisha hasara ya USD...
READ MOREMzee mmoja mwenye umri wa miaka 70 katika kaunti ya Homa Bay nchini Kenya, amejitoa uhai baada ya kuachwa na...
READ MOREKUFUATIA agizo la serikali kuwataka wale wote wenye nyumba ndani ya hifadhi ya Barabara ya Morogoro kuziondoa ili kupisha upanuzi...
READ MOREKIUNGO makabaji wa Yanga raia wa Congo Pap Tshishimbi Kabamba, kwa mara nyingine leo ameamsha molari ya wachezaji na mashabiki...
READ MORERAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli ametoa onyo...
READ MOREJESHI la Polisi limekwama kumhoji Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), akiwa hospitalini Nairobi, Kenya baada ya kiongozi huyo...
READ MORERais John Magufuli, amesema watapitia upya na kuchambua uongozi wa Benki ya Wanawake nchini (TWB), ili benki hiyo iweze kufanya...
READ MOREMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeruhusu kesi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam,...
READ MOREALIYEKUWA Mwenyekiti wa ACT Wazalendo na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mgwhira ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga rasmi...
READ MORETIMU ya Mpira wa Pete (Netiboli) ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jana Desemba 6, 2017, asubuhi...
READ MOREMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema kuwa kesho Ijumaa, Deseaba 8, 2017 itatoa uamuzi kama mahakama hiyo inamamlaka ya kusikiliza...
READ MORERAIS Mstaafu, Jakaya Kikwete, alikuwa miongoni mwa waombolezaji wengi waliofika kutoa pole katika msiba wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa...
READ MOREWAKATI wowote mwaka 2018 Rais John Magufuli atahamia makao Makuu ya Nchi, Mjini Dodoma na si mwaka 2020 kama ilivyotangazwa...
READ MOREPOLISI wilayani Kayunda nchini Uganda inawatafuta watu waliojaribu kulifukua kaburi la marehemu Ivan Ssemwanga lililoko katika kijiji cha Nakaliro usiku...
READ MOREKAMPUNI ya Mwananchi Communication Ltd imekutana na wanahabri na kupaza sauti zao ikilaani kuchukuliwa kwa mwandishi wa kampuni hiyo, Azory...
READ MOREChama cha Waandishi wa Habari wa Kupinga Vita Matumizi Dawa za Kulevya na Uhalifu (Ojadact), kimevitaka vyombo vya dola na...
READ MORERAIS Magufuli atuma salamu za rambirambi kwa familia ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Joel Bendera ambaye amefariki leo hii...
READ MOREDunia ina mambo! Kila kukicha kwenye ulimwengu huu wa mitandao ya kijamii kunazuka jambo jipya ambapo siku chache zilipita, msanii...
READ MOREALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Joel Nkaya Bendera, amefariki dunia leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es...
READ MOREKIKOSI cha Yanga chini ya Kocha Mkuu wa timu hiyo Mzambia, George Lwandamina leo kimeendelea kujifua kwenye mazoezi ya uwanjani....
READ MOREALIYEKUWA Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na wenzake watano wamefutiwa mashtaka ya kusambaza dawa feki...
READ MORE