×

Habari

Patcho Amtimua Mwanamuziki Wake

PREZIDAA wa Bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’, Patcho Mwamba ‘Tajiri’ amemtimua mwanamuziki Redock Mauzo baada ya ‘kuzinguana’ kuhusiana...

READ MORE

Nuh Mziwanda Atoboa Kilichovunja Ndoa Yake

MSANII wa muziki wa kizazi kipya maarufu kama Nuh Mziwanda ambaye jina lake la kuzaliwa ni Naftal Mlawa, ni mmoja...

READ MORE

Askofu Niwemugizi Aamua Kukubali Kuitwa Mchochezi

ASKOFU wa Kanisa Katoliki Ngara, Severin Niwemugizi amesema yuko tayari kuitwa mchochezi endapo kundi la watetezi wa haki za binadamu...

READ MORE

Kubenea Aitaka Serikali Kulifungulia MwanaHalisi Ndani ya Siku 2 – Video

WAHARIRI wa Gazeti la MwanaHalisi linalomilikiwa na Mbunge, Saed Kubenea lililofungiwa na serikali wamekanusha taarifa ya serikali kuwa gazeti hilo...

READ MORE

Ngoma akifunga, Yanga Wana Pointi Moja

LICHA ya mshambuliaji wa Yanga, Mzimbabwe, Donald Ngoma kuoneka­na siyo lolote mbele ya mashabiki wa timu hiyo kutokana na kushindwa...

READ MORE

Shirika la Restless Lawataka Vijana Kuwa wabunifu wa Maendeleo

  Shirika la Restless Development Limewataka Vijana Kuwa wabunifu wa MaendeleoKongamano katika maeneo mbalimbali yanayowazunguka ili kuwawezesha katika fursa za...

READ MORE

DROO KUBWA YA SHINDA NYUMBA…MWISHO WA UBISHI LEO LAS VEGAS MABIBO

DROO kubwa ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili, itachezeshwa leo Jumatano katika Viwanja vya Las Vegas vilivyopo...

READ MORE

Basi La Tashriff Lateketea Kwa Moto Likitoka Tanga Kwenda Dar

Abiria waliokuwa wakisafiri kutoka Tanga kuelekea Jijini Dar es salaam wamenusurika kufa baada ya basi walilokuwa wamepanda la kampuni ya...

READ MORE

Maalim Seif Amtembelea Tundu Lissu Nairobi Kenya

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Mhe. Seif Sharif Hamad jana Septemba 26, 2017 ameingia jijini Nairobi Kenya kwenda...

READ MORE

Hukumu ya Yusuf Manji Oktoba 6

MAHAKAMA ya Hakimu ya Mkazi Kisutu, imepanga Oktoba 6, mwaka huu kutoa  hukumu katika kesi ya dawa za kulevya inayomkabili...

READ MORE

Sekretari wa Manji Amtetea Bosi Wake Mahakamani

  KESI ya dawa za kulevya inayomkabili mfanyabiashara na aliyekuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji, imeendelea leo wakati...

READ MORE

Muhimbili ya sasa usipime!

  IDARA ya Magonjwa ya Dharura na Ajali, ni idara huru ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Ilianzishwa mwaka...

READ MORE

Mfalme wa Swaziland Aoa Mke wa 14

MFALME Mswati wa Tatu wa Swaziland kwa mara nyingine ameongeza idadi ya wanawake kwa kuoa mwanamke mwingine. Katika kuadhimisha Ngoma...

READ MORE

Dereva Azirai Gari Likiwa Mwendokasi, 21 Wanusurika Kifo

MTALII wa Ufaransa amepongezwa baada ya kunusru vifo vya watu zaidi ya 21 waliotaka kufa ajalini nchini Australia. Mtalii huyo alikuchukua...

READ MORE

Mayweather Anunua Jumba la Bilioni 56, Cheki Picha

KWA watu wengi, kumiliki majumba Las Vegas na Miami ingetosha kuwafanya waone wameshamaliza kazi, lakini Floyd Mayweather yupo tofauti na...

READ MORE

DROO KUBWA SHINDA NYUMBA… KESHO HAPATOSHI LAS VEGAS

DROO kubwa ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili, sasa itachezeshwa kesho Jumatano katika Viwanja vya Las Vegas...

READ MORE

Wananchi Wamhoji Nape Maana ya Bombardier

WANANCHI wa jimbo la Mtama mkoani Lindi wamemhoji mbunge wao, Nape Nnauye kuhusu ndege aina ya Bombardier, wakitaka kujua inawasaidiaje....

READ MORE

Daktari Aanika Kuhusu Vyuma Vinne Kwenye Moyo wa Manji

DAKTARI Bingwa wa Magonjwa ya Moyo kutoka Hospitali ya Aga Khan, Mustapha Bapumia (62) ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...

READ MORE

Rais Magufuli Awazungumzia Lema na Nassari

RAIS Magufuli amewazungumzia wabunge wawili wa (CHADEMA) Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema pamoja na Mbunge wa Arumeru Mashariki, Mhe....

READ MORE

Mwakyembe Apiga Marufuku Tuzo za Muziki na Mashindano ya Miss Tanzania

WAZIRI wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amepiga marufuku uandaaji na uendeshwaji wa mashindano ya urembo (Miss Tanzania)...

READ MORE

Jaji Mkuu Aliyefuta Uchaguzi wa Urais Kenya Atua Tanzania

JAJI Mkuu wa Kenya, David Maraga ametua nchini katika mkutano wa majaji na mahakimu akionekana kivutio kwa wengine. Jaji huyo...

READ MORE

MANJI AANIKA MAHAKAMANI DAWA ALIZOKUWA AKITUMIA

MFANYABIASHARA Yusuf Manji, leo Jumatatu, Septemba 25, 2017 amepanda kizimbani katika Mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar, kujitetea katika...

READ MORE

Iringa: Msigwa Kuishitaki Polisi kwa Kuzuia Mikutano Yake

MBUNGE wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa amewageuzia kibao polisi na kusema atalishitaki Jeshi la Polisi, kwa tuhuma za...

READ MORE

AIRTEL YATANGAZA NEEMA KWA WATEJA WAKE

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania, imetangaza neema kwa wateja wake ambapo bidhaa mbalimbali zinazopatikana kwenye maduka yao,...

READ MORE

Dakika Chache Baada ya Kuachiwa, Msigwa Awatolea Povu Polisi

MBUNGE wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa amesema polisi hawawezi kumpangia nini cha kusema na wala sio majukumu yao....

READ MORE

DROO KUBWA SHINDA NYUMBA… KESHOPKUTWA MJENGO UNAMPATA MWENYEWE

ILE droo kubwa ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili, sasa imebakiza saa 48 tu, kuweza kumpata mwenyewe...

READ MORE

Nassari Aanika Mazito Madiwani Chadema Waliopokelewa na JPM

MBUNGE wa Chadema wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari ameweka rehani ubunge wake  baada ya Rais John Magufuli kumpokea aliyekuwa diwani...

READ MORE

Polisi Wamwachia Peter Msigwa Usiku

MBUNGE wa Iringa Mjini (Chadema) Msigwa ameachiwa huru jana usiku  kwa dhamana baada ya kukamatwa akiwa kwenye mkutano wa hadhara....

READ MORE

Mbunge Peter Msigwa Amekamatwa na Polisi

Mbunge wa Iringa Mjini Peter Msigwa (Chadema) amekamatwa na polisi leo Jumapili jioni baada ya kushushwa jukwaani kwenye mkutano wa...

READ MORE

Tundu Lissu Aibuka, Awahutubia Mawakili Kwa Simu

RAIS wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Tundu Lissu,  ameibuka na kusema, “vijembe vinavyorushwa na Ummy Mwalimu,” Waziri wa Afya...

READ MORE

Ruaha Catholic University Admission Forms 2017/18

Admission Forms Dear Applicant, please find the attached admission forms for various courses at Ruaha Catholic University. Please note that...

READ MORE

NACTE: MAOMBI MAPYA AWAMU YA PILI KWA DIPLOMA NA CHETI YAMESHAANZA KUPOKELEWA

ATTENTION Please read carefully the information in this page before attempting to do anything. WELCOME TO STUDENT’S ADMISSION VERIFICATION SYSTEM...

READ MORE

Waliochaguliwa Kujiunga na UDSM 2017/18

Majina waliochaguliwa kujiunga Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) kwa mwaka wa masomo 2017/18 Batch ya kwanza na ya...

READ MORE

Watu 140,000 Watakiwa Kusalimisha Kadi za Mabasi ya Mwendokasi

Wakati mchakato wa kumpata mzabuni atakayetengeneza kadi maalumu za abiria wa mabasi ya mwendokasi Dar es Salaam (Udart) ukiendelea, Mtendaji...

READ MORE

Live: Shigongo Awapa Somo Wakongwe Waliosoma St. Joseph’s

MWALIMU na Mhamasishaji maarufu Afrika Mashariki na Kati na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, Eric James Shigongo amewaasa...

READ MORE

NEYMAR AWEKWA NJE YA UWANJA PSG, HOFU YATANDA

Mshambuliaji Neymar huenda akaukosa mchezo wa timu yake ya PSG itakapopambana dhidi ya Montpellier kutokana na kudaiwa kuwa na majeraha...

READ MORE

Wanajeshi Wapewa Onyo Kali Kuhusu Matumizi ya Mitandao ya Kijamii

MKUU wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo ametoa onyo kali huku akiawaagiza wanajeshi kuacha kujihusisha na matumizi mabaya mitandao ya kijamii kwani...

READ MORE

Wakongwe Waliosoma Sekondari ya St Joseph Wakutana, Dar

SHULE ya Sekondari St. Joseph ya jijini Dar es Salaam leo Septemba 23, 2017 imewakutanisha wanafunzi waliowahi kuosoma na kuhitimu...

READ MORE

JPM Atangaza Ajira kwa Wanajeshi 3,000 JWTZ – (Video)

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. John Magufuli ametangaza kutoa nafasi 3,000 kwa vijana...

READ MORE

Msemaji wa Serikali: Wamekufa Wangapi Kibiti Hatukuita Wazungu?

BAADA ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kusikika wakidai vyombo vya usalama kutoka nje ya nchi vije...

READ MORE