×

Habari

CLOUDS FM YAPIGWA FAINI MILIONI 12

MAMLAKA ya udhibiti wa mawasiliano nchini (TCRA) imekitoza kituo cha redio cha Clouds FM faini ya shilingi milioni 12 ikiwa...

READ MORE

Katibu Mkuu wa Chadema Amtakia Kila La Kheri Katambi

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Vincent Mashinji amesema chama hakina mgogoro na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bavicha, Patrobas Katambi ambaye ametangaza...

READ MORE

BREAKING NEWS: JPM AMTEUA RUTAGERUKA KUWA MKURUGENZI MKUU TANTRADE

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John  Magufuli,  amemteua, Edwin Rutageruka kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo...

READ MORE

Alichosema Patrobas Katambi Baada Ya Kuitosa Chadema Na Kuhamia CCM

  Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bavicha, Patrobas Katambi ambaye amehamia CCM amesema kama ataitwa msaliti basi atakuwa kundi la wasaliti wa...

READ MORE

MEYA DAR AWAONYA WANAOUZA VIWANJA MABONDENI

  MSTAHIKI Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita, amewataka wenyeviti wa serikali za mitaa kuepuka kujihusisha kwenye...

READ MORE

WAETHIOPIA WAFIKISHWA MAHAKAMANI KISUTU KWA UHAIAJI HARAMU

RAIA wa Ethiopia zaidi ya kumi leo wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakidaiwa kuwa wahamiaji haramu.   Awali watu...

READ MORE

JUHWATA WAMPONGEZA SPIKA NDUGAI

      JUKWAA Huru la Wazalendo Tanzania (Juhwata) limempongeza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job...

READ MORE

Hivi Ndivyo Mkewe Alivyomponza Mugabe Ikulu

RAIS Robert Mugabe (93), amefikia hatua ya mwisho kuondoka madarakani kwa nguvu kutokana na kuponzwa na mke wake, Grace (52)....

READ MORE

Rais Magufuli Aongoza Mkutano Wa Halmashauri Kuu Ya Taifa Ya CCM Jijini Dar Leo

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akifungua Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya...

READ MORE

JENGO LA CLOUDS MEDIA GROUP LAUNGUA MOTO (Pichaz + Video)

  SEHEMU  ya jengo la kituo cha Clouds Media Group lililoko Mikocheni jijini Dar es Salaam limeungua moto leo ambapo...

READ MORE

Sophia Simba Arejeshwa CCM Baada Ya Kuomba Radhi

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Wanawake CCM (UWT), Sophia Simba aomba radhi na kuomba kurejea CCM baada ya kufukuzwa uanachama. Mwenyekiti wa...

READ MORE

Masha, Mkumbo, Mwigamba, Msando, Mwenyekiti BAVICHA Taifa Wajiunga CCM (Video)

  HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC) ambayo inaendelea na vikao vyake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo iliwapokea...

READ MORE

Mugabe Kupigiwa Kura na Bunge Ya Kutokuwa Na Imani Nae

Chama cha rais wa Zimbabwe Robert Mugabe kinatarajiwa kuanza mchakato wa kupiga kura ya kutokuwa na imani nae. Afisa wa...

READ MORE

HAKUNA MABADILIKO PASIPO MAUMIVU!

ACHA leo nianze kwa kujinukuu mwenyewe; Maishani tutafanya makosa, Lakini kama tukiendelea kujifunza kutokana na makosa yetu na kubaki kwenye...

READ MORE

MAADHIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA KWA KISHINDO DAR

Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa amesema ni makosa kisheria kwa mtu yeyote kutoa takwimu...

READ MORE

VIGOGO WATANO SIX TELECOMS WAFIKISHWA MAHAKAMANI

VIGOGO watano wa Kampuni ya mawasiliano ya Six Telecoms Limited  wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na...

READ MORE

SCORPION AANZA KUJITETEA TUHUMA ZA KUMTOBOA MACHO MRISHO

SALUM NJWETE maarufu kama Scorpion anayetuhumiwa kumtoboa macho Said Mrisho, jana alianza kujitetea katika kesi inayomkabili kwenye Mahakama ya Wilaya...

READ MORE

Zitto Kuwashitaki Polisi Kwa Kushikilia Simu Yake

Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe, amesema anajipanga kulifungulia kesi ya kikatiba jeshi la polisi nchini kutokana na kushikilia simu...

READ MORE

KAMISHNA: WAUZA UNGA SASA KUTUPWA JELA MAISHA (Video)

  Mamlaka ya Kuzuia na Kupamba na Madawa ya Kulevya (DCEA) nchini, imetoa ufafanuzi juu ya Marekebisho ya Sheria Namba...

READ MORE

Ruto: Mungu Amelikumbuka Taifa la Kenya

Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto,  ameupokea uamuzi wa mahakama kwa furaha kubwa. Ameandika kwenye Twitter kwamba: “Halleluyah! Atukuzwe...

READ MORE

Rais Kenyatta Kuapishwa Jumanne Wiki Ijayo

Rais Kenyatta sasa anatarajiwa kuapishwa kuwa Rais kwa muhula wa pili baada ya Mahakama ya Juu kufutilia mbali kesi ambazo...

READ MORE

Tume ya Uchaguzi Kenya Yafurahishwa na Uamuzi wa Majaji

Tume ya Uchaguzi imefurahia uamuzi wa Mahakama ya Juu na kusema ni dhihirisho la kujitolea kwa tume hiyo kufanikisha uchaguzi...

READ MORE

Magufuli Aongoza Kikao Cha Kamati Kuu Ya CCM Dar Leo

KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo imekutana jijini Dar es Salaam kujadili masuala mbalimbali ya chama hicho chini...

READ MORE

Breaking News: Mahakama Kenya Yaidhinishwa Ushindi wa Kenyatta (Video)

 Ekuru Aukot: Tumefurahishwa na uamuzi wa Mahakama Mmoja wa waliogombea urais nchini Kenya, Ekuru Aukot,  amesema amefurahishwa na uamuzi...

READ MORE

JINSI YA KUTENGENEZA PESA WAKATI ‘VYUMA VIMEKAZA’!

NI wazi kwamba tuko kwenye kipindi ambacho maisha yanataka akili ifanye kazi zaidi ya kawaida (extraordinary thinking). Mambo yamekuwa magumu...

READ MORE

MAKONDA AISAPOTI KAMPUNI YA UKAMATAJI KAZI ZA WASANII

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameipiga jeki Kampuni ya Msama Auction Mart inayojishughulisha na ufuatiliaji na...

READ MORE

Mugabe Ahutubia Taifa, Akataa Kujiuzulu

RAIS Robert Mugabe wa Zimbabwe amekataa shinikizo la kujiuzulu akisisitiza kwamba atauongoza mkutano mkuu wa chama tawala ambao utafanyika mwezi...

READ MORE

MELI YA JESHI LA CHINA KUTOA MATIBABU NCHINI

  MELI ya jeshi la majini kutoka China (Navy) na ambayo ni ya pili kwa ukubwa duniani,   imeingia nchini ili...

READ MORE

WANNE WAUAWA KITONGOJI CHA MATHARE KENYA

Takriban watu wanne wamethibitishwa kuuawa wakati wa mashambulizi kwenye mtaa wa Mathare mjini Nairobi nchini Kenya Wakazi wa mtaa huo...

READ MORE

BREAKING NEWS: MUGABE ANG’OLEWA UENYEKITI WA ZANU-PF

  Chama tawala nchini Zimbabwe, ZANU-PF, kimemtimua Rais Robert Mugabe, kwenye uenyekiti wa chama na kumteua aliyekuwa Makamu wa Rais...

READ MORE

Mugabe Adaiwa Kugoma Kula, Kuzungumza

  INASEMEKANA Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amekuwa akikataa kula na kuzungumza kwa siku kadhaa sasa akiwa amepania ‘kufa kwa...

READ MORE

Watakaovujisha Siri za Takwimu Kutupwa Jela

WADADISI watakaovujisha siri za takwimu watakazokusanya za mapato na matumizi ya kaya binafsi, watashtakiwa mahakamani kwani watakuwa wametenda kosa la...

READ MORE

ZANU-PF WAMTAKA MUGABE AJIUZULU

Matawi ya mkoani ya chama tawala huko Zimbabwe, ZANU-PF , yameungana na kumtaka rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe, ajiuzulu....

READ MORE

Dkt. Shika Alipa Dola 100 Atumiwe Mabilioni Yake

Sakata la Dk. Louis Shika, limechukua sura mpya baada ya leo, Novemba 18, 2017 kulipa kiwango cha dola 100 za...

READ MORE

Wafanyabiashara wa Dawa za Kulevya Kuongezewa Kibano

SERIKALI imefanya marekebisho ya Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini kwa kuwabana zaidi wafanyabiashara na watumiaji...

READ MORE

Maya Atoa Sababu Ya Kutomposti Lulu

MUIGIZAJI mkongwe wa Bongo Muvi, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefungukia sababu za kutoposti picha yoyote ya msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’ kipindi...

READ MORE

Utata Kifo Cha Ndikumana…Uwoya Yamkuta Ya Zari!

  WAKATI kifo cha aliyekuwa mume wa staa wa sinema za Kibongo, Irene Pancras Uwoya, Hamad Ndikumana Katauti (39), raia...

READ MORE

MAKONDA ATEMBELEA WAGONJWA WALIOPATA MIGUU BANDIA CCBRT

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo amewatembelea wagonjwa 21 kati ya 35 waliotakiwa kupewa miguu ya...

READ MORE