×

Habari

Mwenyekiti wa IEBC Aahirisha Uchaguzi Kenya

Mwenyekiti wa IEBC, Wafula Chebukati aahirisha uchaguzi kwa baadhi ya maeneo nchini Kenya mpaka siku ya Jumamosi Oktoba 28, 2017...

READ MORE

Kalemani: Umeme Usiporudi, Tanesco Muondoke Wenyewe Kazini

WAZIRI wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amemtaka Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Abdallah Ikwasa kumuondoa mara...

READ MORE

Breaking News: Mafuriko ya Mvua Jangwani – Dar, Hali Inatisha

MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam tangu juzi Jumanne zimesababisha mafuriko makubwa katika Barabara ya Morogoro eneo la Jangwani...

READ MORE

Mama Kanumba Anavyozidi Kuwaliza Bongo Muvi

INASIKITISHA! Hakuna neno lingine unaloweza kusemwa mbali na hilo. Wakati muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiendelea kuhudhuria Mahakama Kuu Kanda ya...

READ MORE

Wazee wa Baraza: Lulu Alimuua Kanumba Bila Kukusudia

IKIWA ni wiki moja sasa tangu Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ianze kusikiliza mfululizo kesi inayomkabili muigizaji Elizabeth...

READ MORE

Sportpesa Yazindua Shinda Na Sportpesa, Watu 100 Kushinda Bajaj

Kampuni ya michezo ya kubashiri nchini ya SportPesa Oktoba 25 imezindua rasmi kampeni ya SHINDA NA SPORTPESA itakayodumu kwa siku...

READ MORE

Adamu Kuambiana Ashtuka Ray Kuzaa na Chuchu Hans

MPENZI msomaji, hii ni kolamu mpya ya kiburudani lakini ndani yake kuna ujumbe wenye kugusa jamii. Ni kona ya kufikirika....

READ MORE

Leo Siku ya Kuzaliwa Kwa Rais Kenyatta

Leo ni siku ya marudio ya uchaguzi na pia ni siku sawa na aliyozaliwa Rais Uhuru Kenyatta mwaka 1961. Baadhi...

READ MORE

Kangi Lugola: Kwa Nini Kasri la Mama Rwakatare Halijabomolewa?

NAIBU Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Kangi Lugola ameagiza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi...

READ MORE

Katibu Mkuu Chadema Aitwa Tena kwa DCI

KATIBU Mkuu wa Chadema, Dk Vincent Mashinji ametakiwa kuripoti ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), imeelezwa....

READ MORE

Hali Ilivyo Jijini Nairobi… Raila Odinga Vs Jeshi la Polisi

POLISI Kikosi cha Kuzuia Ghasia wamefunga eneo lote la viwanja vya Uhuru Park jijini kabla ya mkutano ulioandaliwa na muungano...

READ MORE

Siku 1 Kabla ya Uchaguzi, Rais Kenyatta Atakiwa Kutii Haya

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta, ameombwa kutia sahihi mara moja Miswada ya (Marekebisho) wa Sheria ya Uchaguzi inayohusu uchaguzi ulipoangwa...

READ MORE

Mkutano wa Viongozi wa Dini na Waziri Mwakyembe!

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe amesema Serikali inatambua haki ya vyombo vya habari katika kukosoa, kujadili...

READ MORE

Mke wa Slaa: Kanumba Alikuwa na Upungufu wa Hewa Kwenye Ubongo

KESI inayomkabili muigizaji, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ya kumuua bila kukusudia muigizaji mwenzake Steven Kanumba, imeendelea kusikilzwa  leo Jumatano, Oktoba 25...

READ MORE

TCU Yatangaza Rasmi Tarehe ya Kuanza Masomo Vyuo Vikuu

KAIMU Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Profesa Eleuther Mwageni amesema wanafunzi ambao tayari wamekidhi vigezo na...

READ MORE

Eric Shigongo Young Entrepreneurs Mentorship Programme

SHIGONGO: Kwa utafiti wangu nimegundua kitu kinachoweza kumsaidia kijana wa Kitanzania kutengeneza utajiri ni elimu ya vitendo na usimamizi, sio...

READ MORE

Zitto Kabwe: Nipo Tayari Kuwajibika Rais Akitekeleza Ombi Hili

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amesema kuwa atakuwa tayari kuwajibika endapo Rais Dkt...

READ MORE

Kardinali Pengo Aongoza Kuuaga Mwili wa Askofu Msemwa

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ameongoza waumini na Maaskofu katika kuuaga...

READ MORE

Lulu Atimua Mbio Mahakamani, Baba Yake Atoa Povu la Mwaka

  MUIGIZAJI wa Bongo Movie, Elizabeth Michael ‘Lulu’, ametimua mbio katika viunga vya Mahakama Kuu Kanda Maalum ya Dar es...

READ MORE

OFISA TRA KIZIMBANI KWA KUMILIKI NDINGA 19 ZISIOENDANA NA KIPATO CHAKE

    DAR ES SALAAM: Ofisa Msaidizi wa Forodha wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Jennifer Mushi amefikishwa katika Mahakama...

READ MORE

Kiongozi Chadema Aendelea Kusota Rumande

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imesema itaendelea kumshikilia Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo wa Chadema, Kigaila Benson. Kigaila...

READ MORE

Serikali Yalifungia Gazeti La Tanzania Daima Siku 90

Serikali imelifungiwa Gazeti la Tanzania Daima linalomilikiwa na Kampuni ya Free Media Limited (FML) kwa kipindi cha siku 90.  ...

READ MORE

Bahati Nasibu Shinda Nyumba Majaba Kukabidhiwa Mjengo Wake Wiki Ijayo

BAADA ya shughuli kubwa ya muda wa zaidi ya miezi sita ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili...

READ MORE

Askari Wa FFU Waamriwa Kuondoka Ukonga (Video)

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema ameamuru Askari wa Kutuliza Ghasia (FFU) waondoke kwenye maeneo ya wananchi katika eneo...

READ MORE

Mke wa Dkt. Slaa Atajwa Kesi ya Lulu Kifo cha Kanumba

KESI inayomkabili muigizaji wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, anayedaiwa kumuua muigizaji mwenzake, Steven Kanumba, bila kukusudia, iliendelea leo katika...

READ MORE

Wananchi Gongo la Mboto Kutembezewa Kipigo na Askari, DC Mjema Afunguka

MKUU wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema Jumanne hii ametembelea maeneo ya Ukonga jijini Dar es salaam baada ya siku...

READ MORE

Prof. Luoga Afunguka Baada ya Kuteuliwa Kuwa Gavana Benki Kuu

Gavana mteule wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Florens Luoga amesema amepokea kwa heshima kubwa dhamana aliyopewa na Rais...

READ MORE

MSAMA YAFANYA OPERESHENI WANAODURUFU CD ZA WASANII

    KAMPUNI ya Msama Promotions ambao ni wasimamizi na wasambazaji wa kazi za Muziki wa Injili, chini ya Mkurugenzi...

READ MORE

Ripoti Kamili ya Ushoga Unavyotikisa Tanzania

TANZANIA kwa sasa inatafunwa na janga kuu linalohatarisha uhai wa ustawi wa jamii mithili ya virusi vinavyoua mwili! Janga hili...

READ MORE

Majimaji Yataja Kinachowabania Pointi Ligi Kuu – Video

BAADA ya kuwa na mwanzo mbaya katika Ligi Kuu ya Vodacom, Majimaji sasa imesema inajipanga kuamka na kufanya vizuri huku...

READ MORE

“1ST HOUSING FINANCE” KUTOA MIKOPO NAFUU YA NYUMBA

  KAMPUNI ya kwanza ya utoaji wa mikopo ya nyumba nchini iitwayo 1st Housing Finance (Tanzania) Limited yenye makazi yake...

READ MORE

Picha za Wema, Bwana’ke Wakiwa Bafuni Zavuja

DAR ES SALAAM: MREMBO mwenye mvuto wa kipekee Bongo, Wema Abraham Sepetu ‘Madam’ ameendelea ‘ku-shine’, safari hii zimevuja picha mpya...

READ MORE

Jaji Amtwanga Lulu Swali Gumu Mahakamani

BAADA YA Muigizaji, Elizabeth Michael ‘Lulu’kuanza kujitetea katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar, kwa tuhuma za kusababisha kifo cha Steven...

READ MORE

Lulu Mahakamani: Kanumba Alinikimbiza na Panga

MSANII wa filamu nchini, Elizabeth Michael maarufu kama Lulu ameanza kujitetea katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam akieleza...

READ MORE

JPM Awaka… Mnafikiri Bombardier 6 Tumebadilishana na Migebuka? – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 23 Oktoba, 2017 amewabeza baadhi ya wanasiasa...

READ MORE

Bahati Nasibu Shinda Nyumba… Siku 8 Zijazo, Mshindi Mjengoni

WAKATI washindi watatu waliopatikana katika droo kubwa ya Shinda nyumba wakipewa zawadi zao Jumatano iliyopita, mshindi wa Bahati Nasibu ya...

READ MORE

Kifo cha Kanumba, Lulu Akutwa na kesi ya Kujibu – Video

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemkuta muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ ana kesi ya kujibu katika tuhuma zinazomkabili za...

READ MORE

LIVE: Rais Magufuli Awatunuku Waliofanya Uchunguzi wa Makinikia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 23 Oktoba, 2017 amewatunuku vyeti wajumbe...

READ MORE

Kesi ya Lulu, Daktari Afafanua Alichokiona Katika Ubongo wa Kanumba

KESI inayomkabili muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’,  imeendelea kusikilizwa leo Jumatatu, Oktoba 23, katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam...

READ MORE

Kesi ya Kifo cha Kanumba, Lulu Mahakamani Tena Leo

KESI inayomkabili muigizaji wa kike, Elizabeth Michael ‘Lulu’,  leo Jumatatu, Oktoba 23, inaendelea kusikilizwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar...

READ MORE