×

Habari

Ruvuma: Viongozi wa Chadema Waliokamatwa, Waachiwa Huru

  NYASA, RUVUMA: Katibu Mkuu wa Chadema, Vincent Mashinji, wabunge wawili wa chama hicho na viongozi wengine sita wa chama...

READ MORE

Mwingine Auawa Ikwiriri, Maiti Yatupwa Jalalani

  Rahim Kwangaya, mkazi wa Mandela, Ikwiriri mkoani Rufiji, ameuawa kwa kupigwa riasi na watu wasiofahamika, kisha maiti yake kwenda...

READ MORE

CHUO CHA MIPANGO: Admission Letter for Certificate Programmes 2017/2018

Admission Letter for Certificate Programmes 2017/2018 For more details kindly view the link below and download Admission Letter  for Certificate...

READ MORE

ROMBO: Apandisha ‘Mapepo’ na Kuwaua Wenzake Wawili Wakibatizwa Mtoni

  ROMBO: Waumini wawili wa Kanisa Siloam wamekufa maji wakibatizwa katika Mto Ungwasi wilayani Rombo baada ya mmoja wao kupandisha...

READ MORE

CBE 2017/18: CALL FOR ONLINE APPPLICATION IN VARIOUS COURSES

COLLEGE OF BUSINESS EDUCATION DAR ES SALAAM/DODOMA/MWANZA/MBEYA (INCORPORATED BY ACT OF PARLIAMENT No.31 OF 1965) Bibi Titi Mohamed Road, P.O....

READ MORE

MAKUMIRA UNIVERSITY CALL FOR APPLICATIONS DEGREE PROGRAMMES 2017/2018

TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA, IN ARUSHA CITY, INVITES APPLICATIONS INTO DEGREE PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2017/2018 AS FOLLOWS: BACHELOR DEGREE PROGRAMMES...

READ MORE

Makumira Application Form 2017/2018

NOTES: 1.Students should arrange for their own accommodation 2.Please complete pages 1-5 and also attach: ◦Certified copies of “O” level,...

READ MORE

Malinzi na Wenzake Rumande Tena Hadi Julai 31

#GlobalHabari: Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amerejeshwa rumande kwa wiki nyingine mbili baada ya kesi inayomkabili...

READ MORE

MZUMBE UNIVERSITY CALLS FOR ADMISSION 2017/2018

Mzumbe University invites applications from qualified Tanzanians and non-Tanzanians for admission into the diploma and certificate programmes offered by the...

READ MORE

VIDEO: Hawa wa Nitarejea ya Diamond Apotezwa na Unywaji wa Gongo

INASIKITISHA! Mwanadada mwenye sauti ya kipekee, aliyetamba baada ya kushirikishwa na Diamond Platnumz kwenye wimbo wa Nitarejea, Hawa, ametopea kwenye...

READ MORE

Shindano la ‘Miss Grand Tanzania’ Laanza Usaili

SHINDANO la Miss Grand Tanzania limeanza kuwafanyia usaili wanamitindo ambao watashiriki shindano hilo ambalo linapiga  vita na machafuko mbalimbali nchini...

READ MORE

Wolper Abanwa Skendo ya Ushoga ya Bwana’ke!

  BAADA ya hali ya hewa kuchafuka kufuatia bwana’ke mpya aitwaye Brown kukumbwa na skendo nzito ya ushoga, mtoto mzuri...

READ MORE

Lowassa Atangaza Kuwania Tena Urais 2020

Waziri Mkuu wa zamani na mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Edward Lowassa amesema licha ya changamoto nyingi anazopata akiwa...

READ MORE

Aliyetobolewa Macho na Scorpion Aanza Kugawana Mali na Mkewe!

  WAKATI lile sakata Linalomuhusu kijana Said Mrisho aliyetobolewa macho na mtu aitwaye, Salum Njwete ‘Scorpion’ kumtelekeza mkewe, Stara Sudi...

READ MORE

Tambwe: Ndikumana anakuja Yanga SC

  MSHAMBULIAJI wa Yanga, Amissi Tambwe ametamka kuwa Mrundi mwenzake Yusuph Ndikumana anakuja Jangwani. Kauli hiyo, ameitoa baada ya kuwepo...

READ MORE

Z-Anto kufanya kolabo na pacha P-Square

  BAADA ya kubamba na Ngoma ya Malavidavi kisha Ukipendwa Ringa, staa wa Bongo Fleva, Ally Mohammed ’Z-Anto’ huenda akafanya...

READ MORE

Mke wa Waziri Mwakyembe Kuzikwa Kyela, Mbeya,

Kwa mujibu wa msemaji wa familia, Solomon Kivuyo, marehemu Lina Mwakyembe, ambaye alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa Saratani ya Titi kwa...

READ MORE

Mashabiki 8 Wafariki Uwanja wa Soka Senegal

Watu wanane wamefariki dunia baada ya kukanyagana walipokuwa wakishuhudia michuano ya ligi ya soka nchini Senegal. Waziri wa Michezo wa...

READ MORE

Prof. Jay Amtambulisha Mkewe Kwa Wapiga Kura Wake Mikumi

Prof. Jay akimpandisha jukwaani mkewe, Grace Mgonjo, tayari kwa kumtambulisha kwa wapiga kura wake Mikumi, Morogoro leo katika sherehe iliyofanyika...

READ MORE

Majaliwa Ampa Pole Mwakyembe Nyumbani Kwake

Familia ya Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Harisson Mwakyembe, imepatwa na msiba mkubwa baada ya kuondokewa na mpendwa wao,...

READ MORE

Waombolezaji Wampa Pole Mwakyembe Kufiwa na Mkewe

Familia ya Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Harisson Mwakyembe, imepatwa na msiba mkubwa baada ya kuondokewa na mpendwa wao,...

READ MORE

Msiba: Dickson Kagembe Afariki Hospitalini Muhimbili Leo

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric James Shigongo, kwa kushirikiana na familia ya marehemu Boniphace Shija Kagembe, wanaungana na ndugu,...

READ MORE

Matokeo Ya Kidato Cha Sita Yatangazwa, Bofya Hapa Kuyaona

  Matokeo ya kidato cha sita nchini  yametolewa leo Jumamosi, Julai 15, yameonyesha kuwa wasichana wameongoza kwa ufaulu ambapo  kati...

READ MORE

Katibu Mkuu wa Chadema na Viongozi Wenzake Wakamatwa na Polisi

  Katibu Mkuu wa Chadema, Vincent Mashinji, mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe na wa Viti Maalumu, Zubeda  Sakuru wamekamatwa na...

READ MORE

Kibiti: Mke Aliyepigwa Risasi 5, Mumewe Kuuawa Asimulia Mazito

  INATISHA sana! Hii ni simulizi ya mwanamke ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Rwaruke, Kibiti mkoani Pwani, Tabia Mbonde...

READ MORE

LIVE: Waziri Mkuu Atembelea Kiwanda cha NIDA, Tabata

  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametembelea kiwanda cha NIDA na kuwapongeza wawekezaji pamoja na...

READ MORE

NECTA Yawafutia Matokeo Wanafunzi 10 wa Kidato cha Sita

  Wakati matokeo ya mitihani ya kidato cha sita yakitolewa leo, Jumamosi Julai 15, imebainika kuwa watahiniwa 10 walifutiwa matokeo...

READ MORE

VIDEO: Walichokizungumza Mwigulu, Lowassa Mazishi ya Nkaissery Kenya

  Waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa na Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tanzania, Mwigulu Lameck Nchemba wamehudhuria mazishi...

READ MORE

Feza Girls Yaongoza Matokeo Kidato cha Sita, Shule 10 Hizi Hapa

  Matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka 2017 yametoka leo Jumamosi, Julai 15 huku shule ya Wasichana ya Feza...

READ MORE

Vinara wa Matokeo Kidato cha Sita Hawa Hapa

  Sophia Juma, mwanafunzi wa St Marry’s Mazinde Juu ya Tanga (picha yake haijapatikana) ameibuka kidedea katika matokeo ya kidato...

READ MORE

Naibu Waziri Jafo Ahimiza Waajiri Kuwasilisha Michango Ya Wanachama Kwa Wakati

NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tamisemi, Mhe. Selemani Jafo amejiunga na Mfuko wa Pensheni wa PSPF kupitia Mpango...

READ MORE

Nisha Amempiga Dongo Wolper Kuhusu Serengeti Boy?

  STAA kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Salma Jabu almaarufu Nisha Bebe staa, amesema hawezi kutoka na vijana wenye umri...

READ MORE

VIDEO: Muigizaji Duma ‘Avamiwa’ Usiku wa Manane

  Ukisikia hatuachi kitu ujue ni kweli tunamaanisha na katika kulitekeleza hilo Global TV ‘imevamia’ nyumbani kwa muigizaji Daudi Michael...

READ MORE

Jike Shupa, Mamisa wa Young D Bifu Zito

  MUUZA nyago kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Zena Abdallah ‘Jike Shupa’ na mzazi mwenza wa msanii wa...

READ MORE

CCM Wahofia Kuchukua Fomu za Uchaguzi Kibiti

  Wakati hali ya wasiwasi ikizidi kushamiri kwa wakazi wa wilaya za Kibiti na Rufiji juu ya usalama wa maisha...

READ MORE

Picha: Kelvin Yondani Apata Jiko Rasmi

TAARIFA njema ikufikie popote ulipo kuhusu beki kisiki wa Yanga, Kelvin Patrick Yondani ambaye ameamua kuachana na ukapera. Mkali huyo...

READ MORE

Adha ya Kufungwa Vituo vya Mafuta Yawakumba Wateja

  BAADHI ya watumiaji wa vyombo vya moto kama vile pikipiki na magari wamezungumzia adha ambayo wamekutana nayo leo baada...

READ MORE

Mtoto Achinjwa Kama Kuku Tandika Azimio jijini Dar

   UMESHAWAHI kushuhudia mtu akichinja kuku? Kama jibu ni ndiyo, basi ndivyo anavyoonekana kufanyiwa kitendo hicho mtoto Abdul Karim (pichani)...

READ MORE

VIDEO: Kauli ya Kamanda Mpinga Baada ya Kuteuliwa Kuwa RPC Mbeya

  IKIWA ni siku mbili tangu ateuliwe kuwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, aliyekuwa Mkuu wa Polisi Kitengo...

READ MORE