×

Habari

Ummy Mwalimu: Aliyedai Kuibiwa Pacha Temeke Alikuwa na Mimba ya Mtoto Mmoja (VIDEO)

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema ripoti ya uchunguzi wa utata wa watoto pacha ambao mmoja anadaiwa kuibwa katika Hospitali...

READ MORE

Zitto Kabwe Awapinga Mnyika, Lema Kuhusu Miswada ya Dharula ya Madini Kujadiliwa Bunge

Jana miswada mitatu inayohusu madini ilisomwa bungeni kwa mara ya kwanza jana. Miswada hiyo iliwasilishwa kwa hati ya dharura kama...

READ MORE

Chunga Kauli Zako, Siyo Kila Kitu cha Kuzungumzwa!

  Ni matumaini yangu kwamba mpenzi msomaji wangu uko poa na unaendelea na majukumu yako kama kawaida. Ni wakati mwingine...

READ MORE

Ma-Miss Hawa: Historia Itawakumbuka!

HISTORIA ina kanuni moja. Huwa haidanganyi. Utafanya jambo leo, lakini miaka kadhaa baadaye likaibuka na kubaki kielelezo muhimu kwa vizazi...

READ MORE

Njombe: Mwalimu Afumaniwa Akifanya Mapenzi na Mwanafunzi Wake Darasani

    Mkuu wa Wilaya ya Wanging’ombe, Mkoani Njombe, Ally Kasinge ameagiza kushikiliwa kwa Makamu Mkuu wa shule ya sekondari...

READ MORE

Lisa Jensen Akiri Kupukutika!

MISS Tanzania namba tatu mwaka 2006, Lisa Jensen ‘The Unique’ amekiri kufubaa na kupungukiwa na urembo wake uliotingisha miaka mitano...

READ MORE

Zantel Yafuturisha Wateja Na Wafanyakazi Wake Zanzibar

Mkuu wa Zantel-Zanzibar, Mohamed Khamis Mussa maarufu kwa jina la Baucha (Kulia) na Mkuu wa huduma za Ezypesa Zantel, Shinuna...

READ MORE

Rammy Aopoa Kifaa Cha Gambia

  STAA wa filamu Bongo, Rammy Gallis amenasa kifaa kipya kutoka nchini Gambia ambaye naye ni msanii wa filamu, Princess...

READ MORE

Kajala: Nilivuta Bangi, Kidogo Inipoteze

  CONFESSION! Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja amevunja ‘sefu’ ya kuhifadhia siri moyoni mwake na kuweka wazi kuwahi kujihusisha...

READ MORE

Hivi Ndivyo Jamal Malinzi Atakavyoondoka Kwenye Urais wa TFF

  Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi na Katibu Mkuu wake, Selestine Mwesigwa wamenyimwa dhamana na kupelekwa...

READ MORE

Cristiano Ronaldo Apata Watoto Mapacha

Saa kadhaa baada ya kuiongoza Ureno katika mechi ya nusu fainali ya kombe la mashirikisho ambapo ilishindwa nchini Urusi, Cristiano...

READ MORE

Tetesi za Usajili Soka Ulaya Ijumaa Juni 30. 2017

Manchester City sasa wanaongoza katika mbio za kumsajili Alexis Sanchez, 28, baada ya Bayern Munich kujitoa kutokana na bei kubwa...

READ MORE

Tetesi za Usajili Man U, Arsenal, Liverpool, AC Millan, Man City, Chelsea, Liverpool

  NIMEKUWEKEA HAPA TETESI ZA USAJILI BARANI ULAYA Arsenal wameambiwa lazima walipe pauni milioni 57 ili kumsajili Alexandre Lacazette, 26,...

READ MORE

Freema Mbowe Afunguka: Polisi Msituzibe Midomo

Mwanyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amelitaka jeshi la polisi nchini kutowafunga midomo na kusema kitendo...

READ MORE

Taifa Stars Yatinga Robo Fainali Cosafa

Tanzania imefuzu kwa robo fainali ya mashindano ya Cosafa baada ya kulazimishwa sare 1-1 na Mauritius. Bao la Stars lilifungwa...

READ MORE

Shinda Nyumba Yawaibukia Wasomaji wa Tegeta na Viunga Vyake

  Wasomaji wa magazeti ya Global Publishers ambayo ni Amani, Ijumaa, Ijumaa Wikienda, Risasi, Uwazi, na Championi wa pande za...

READ MORE

CCM Walaani Matamshi ya Lowassa… Waitaka Serikali Imchukulie Hatua

Chama cha Mapinduzi CCM kimelaani kauli za kichochezi na za kidini zinazotolewa na baadhi ya wanasiasa nchini, zenye lengo la...

READ MORE

Wanafunzi Watinga Global Kujifunza Taaluma Ya Habari

KWA siku mbili mfulululizo, baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Marian Girls iliyoko Bagamoyo Mkoani Pwani, wamefika katika ...

READ MORE

Tambwe Amwaga Wino Kuitumikia Yanga Miaka 2

  Mshambuliaji Amissi Tambwe amesaini mkataba wa miaka mwili wa kuendelea kuichezea Yanga. Uamuzi wa Tambwe kusaini mkataba huo ni...

READ MORE

Mwanza: Mtoto Aibiwa, Mama Yake Adanganyiwa Tsh. 10,000 Ya Kununua Mkate

Mtoto mwenye umri wa miezi minne ameibiwa katika mtaa wa ustawi wa jamii kata ya Nyamanoro wilayani Ilemela jijini Mwanza....

READ MORE

IGP Sirro Awafariji Wafiwa wa Viongozi Kibiti

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mangwi wilayani Kibiti alipokwenda kuwapa...

READ MORE

Wakati Malinzi na Wenzake Wakisota Kortini… Usaili wa Wagombea TFF Waendelea

  IKIWA ni saa chache baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) kwafikisha kortini Kisutu, jijini...

READ MORE

VIDEO: Lowassa Afika kwa DCI Kuhojiwa, Ulinzi Mkali, Atakiwa Kurudi Tena Julai 13

  DAR ES SALAAM: Waziri Mkuu wa zamani na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chadema, Edward Lowassa  amewasili katika makao...

READ MORE

Denti UDSM Aliyeuawa na Polisi kwa Ujambazi Hatimaye Kuzikwa Kesho

  HATIMAYE mwili wa denti wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Salum Almas aliyeuawa kwa kupigwa risasi na...

READ MORE

Dar: Mwanafunzi Ajirusha Toka Ghorofa ya Nne Hadi Chini (VIDEO)

Mtoto anayedhaniwa kuwa ni Mwanafunzi wa  Shule ya DYCCC iliyopo Chang’ombe karibu na Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam...

READ MORE

#GloblaNewsUpdates: Malinzi, Mwesigwa na Kaburu Wafikishwa Kortini

          #GloblaUpdates: Hatimaye Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) imewafikisha katika Mahakama ya...

READ MORE

Breaking News: Chadema Wamtolea Tamko Kali Mzee Mwinyi Baada ya Kutaka Magufuli Atawale Milele

Baraza la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limetoa kauli kali kwa rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, kufuatia...

READ MORE

Wema Ajipanga Kutii Wito wa Shehe Mkuu

MALKIA wa Bongo Muvi, Wema Isaac Sepetu anajipanga kutii wito wa Shehe Mkuu wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum...

READ MORE

Mzee Yusuf Awataka Leila na Khadija Wajisuluhishe

  INATIA HURUMA! Zikiwa zimepita siku kumi tangu apate pigo la kufiwa na mkewe mdogo, Chiku Khamis, aliyekuwa Mfalme wa...

READ MORE

Siku Chache Baada ya Kifo cha Mkewe, Mzee Yusuf Afungukia Kuoa

Zikiwa zimepita siku kumi tangu apate pigo la kufiwa na mkewe mdogo, Chiku Khamis, aliyekuwa Mfalme wa Taarab Bongo na...

READ MORE

Mr Shinda Nyumba; Anakula Kilo Moja ya Unga, Mlo Mmoja

KWA mbali, ukimtazama unaweza kudhani un­akutana na Hasheem Thabeet, yule kijana wa Kitan­zania aliyekuwa akicheza Ligi ya Kikapu ya Marekani,...

READ MORE

Wanafunzi Majeruhi Ajali ya Arusha… Maombi Yamejibu

  SIKU 46 tangu wanafunzi watatu wa Shule ya Msingi Lucky Vincent ya jijini Arusha wafike nchini Marekani kwa ajili...

READ MORE

Azimia Baada ya Kuvunja Bangili ya Tsh Mil. 98.4 Akiijaribisha Dukani

Mwanamke mmoja raia wa China alizirai akiwa kwenye duka la kuuza vito vya thamani baada ya kuvunja kimakosa bangili ghali...

READ MORE

Mauaji Kibiti: Risasi Tano Zimetumika Kuondoa Uhai wa Mwenyekiti na Mtendaji

  Risasi tano zimetumika kuwaua Mwenyekiti wa Kijiji cha Mangwi na Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho, kisha kumjeruhi machoni Mwenyekiti...

READ MORE

Undani wa Mnenguaji wa Twanga Pepeta Aliyeua na Kutoweka

  MNENGUAJI wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ aliyefahamika kwa jina Idd Masamaga maarufu kama ‘Maga’, anadaiwa kumpiga na...

READ MORE

Breaking News: Donald Ngoma Asaini Yanga

Mshambuliaji wa kimataifa wa Zimbabwe, Donald Ngoma akiweka dole gumba baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kukipiga...

READ MORE

Kamati Yapendekeza Mbunge wa Chadema Asimamishwe Kuhudhuria Vikao vya Bunge

Kamati  ya Haki Kinga na Madaraka ya Bunge imependekeza Mbunge wa Viti Maalum (Chadema) Conchesta Rwamlaza asimamishwe kuhudhuria vikao vitatu...

READ MORE

Kauli ya TAKUKURU Baada ya Kuwakamata Jamal Malinzi, Mwesigwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania, (Takukuru) imethibitisha kumshikiria Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi...

READ MORE