×

Habari

TANZIA: Mzee Philemon Ndesamburo Afariki Dunia

TANZIA: Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini mkoani Kilimanjaro na (Chadema), Mzee Philemon Ndesamburo ameafariki dunia muda mfupi...

READ MORE

BreakingNews: IGP Sirro Aanza na Mauaji Rufiji, Kibiti na Ikwiriri Mkuranga, Asema Ubaya Ubaya Tu!

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro amesema moja ya majukumu yake makubwa atakayoanza nayo ni kumaliza mauaji yanayofanywa...

READ MORE

Licha ya Kuchemka Katika Premier League, Man U Inaongoza kwa Mkwanja Ulaya

Licha ya kushika nafasi ya sita katika Premier League msimu wa 2016/17, Manchester United imetajwa kuwa ndiyo klabu yenye thamani...

READ MORE

Mfuko wa PPF Waendelea Kukabidhi Vifaa Tiba

Mfuko wa Pensheni wa PPF umeendelea kukabidhi vifaa tiba katika hospitali na vituo vya afya nchini kulingana na sera yake...

READ MORE

Wanaohangaika Kutafuta Ajira, ni Vyema Wakayajua Haya!

Amran Kaima| RISASI MCHANGANYIKO NAOMBA nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa mengi ambayo amekuwa akinitendea katika kila siku ipitayo ya...

READ MORE

Futatilia LIVE Yanayojiri Bungeni Dodoma Leo Mei 31, 2017

VIDEO: Futatilia LIVE Yanayojiri Bungeni Dodoma Leo Mei 31, 2017

READ MORE

Mtabiri: Majini ya Madini Yanawamaliza Mawaziri wa Tanzania

STORI: GLADNESS MALLYA, RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Siku chache baada ya Rais Dk. John Magufuli kutengua uteuzi wa Waziri...

READ MORE

Leo Ndiyo Leo Droo Ndogo Ya Shinda Nyumba Mwinjuma Mwananyamala

LEO ndiyo leo katika Viwanja vya CCM Mwinjuma Mwananyamala jijini Dar es Salaam, wakati watu tisa, ambao ni wasomaji wa...

READ MORE

Maunda Zorro: Sibwii Unga

Stori: Brighton Masalu | RISASI MCHANGANYIKO MREMBO mkali wa Bongo Fleva, Maunda Zorro amebwatukia tuhuma za utumiaji wa madawa ya...

READ MORE

Nyota 10 Watemwa Simba SC Kubaki 15 Pekee Kati ya 25

Wilbert Molandi, Championi Jumatano, Habari KLABU ya Simba imepanga kuwabakiza wachezaji 15 pekee kati ya 25 iliowasajili msimu uliopita wa...

READ MORE

Fedha za Usajili Zaivuruga Yanga SC

Wilbert Molandi, Championi Jumatano, Habari SIKU chache baada ya timu ya Yanga kubeba ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara...

READ MORE

Hans Poppe: Namtaka Ngoma na Chirwa Simba

Wilbert Molandi, Championi Jumatano, Habari MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe, amesema kama ikitokea akitaka kumsajili...

READ MORE

Leo Ndiyo Leo Droo Ndogo ya Shinda Nyumba

Makala: Risasi Vibes LEO ndiyo leo katika Viwanja vya CCM Mwinjuma Mwananyamala jijini Dar es Salaam, wakati watu tisa, ambao...

READ MORE

Omog Kutumia Kombe la SportPesa Kuijenga Simba

Omary Mdose, Championi Jumatano, Habari KOCHA Mkuu wa Simba, Joseph Omog, raia wa Cameroon, amepanga kuitumia michuano ya Kombe la...

READ MORE

Simba Yatenga Sh Milioni 600 Za Usajili

KATIKA kuhakikisha wanakuwa na kikosi imara na bora kitakacholeta ushindani kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na Kombe la...

READ MORE

Singida Yampa Mkataba Ndugu wa Niyonzima

Said Ally na Musa Mateja, Championi Jumatano, Habari KUONYESHA kwamba wamepania kufanya vyema kwenye msimu ujao wa ligi kuu, uongozi...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano Mei 31, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 31, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Pichaz: Mabulungutu ya Noti Yamwagwa Kaburini mwa Ivan

Shughuli ya kuuzika mwili wa mfanyabiashara maarufu nchini Uganda na Afrika Kusini ambaye pia alikuwa mume wa Zarina Hassan, Ivan...

READ MORE

Uwezekano wa Kuyashitaki Makampuni ya Madini Kurejesha Hasara Tuliyoipata Huu Hapa

UWEZEKANO  WA  KUYASHITAKI  MAKAMPUNI  YA  MADINI KUREJESHA  HASARA TULIYOIPATA HUU  HAPA Na  Bashir   Yakub Mikataba yoote ya kimataifa huongozwa...

READ MORE

Mazishi ya Ivan: Matajiri Wamiminika na Magari ya Bei Mbaya

UGANDA: WAKATI watu wengi walikuwa wakiomboleza kifo cha Ivan Semwanga, matajiri wakubwa na watu maarufu katika jiji la Kampala, waliitumia...

READ MORE

Prof. Muhongo Awaondoa Hofu Wapiga Kura Wake Baada ya Kufutwa Kazi

MARA: Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini na Mbunge wa Musoma Vijiji Prof. Sospeter Muhongo amewasihi wakazi wa jimbo hilo...

READ MORE

YUDA THADEY: Mlemavu Anayeushangaza Ulimwengu

NA WAANDISHI WETU, UWAZI, HABARI UKIFIKA Wilaya ya Mwanga maeneo ya Ugweno mkoani Kilimanjaro, jina la Yuda Thadey George ni...

READ MORE

Mjue Zaidi IGP Simon Nyakoro Sirro, Aliacha Masomo ya Upadri Akageukia Upolisi

Rais Dkt Magufuli juzi Mei 28, 2017 alimteua na jana, Mei 29, 2017 alimuapisha Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP)...

READ MORE

Mwenge wa Uhuru Wazindua Mirandi mbalimbali Kinondoni

MANISPA ya Halimashauri ya Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam umezindua miradi mbalimbali ya ujenzi ikiwemo miradi ya ujenzi...

READ MORE

Studio Zimekuwa Dili

MAKALA: BONIPHACE NGUMIJE | UWAZI | SHOWBIZ SUALA la wanamuziki Bongo kumiliki studio sikuhizi si geni kabisa. Tofauti na zamani...

READ MORE

Sakata la Matrilioni Ya Fedha Mchanga wa Dhahabu Akipona Mtu Akatambike

STORI: MWANDISHI WETU | UWAZI | HABARI DAR ES SALAAM: Wakati nchi nzima ikiwa bado imelivalia njuga sakata la utoroshwaji...

READ MORE

TANZIA: Mbunifu wa Nembo ya Taifa Afariki Dunia Muhimbili

Mzee Francis Maige Kanyasu almaarufu Ngosha, aliyekuwa akidai kwamba ni miongoni mwa watu waliobuni na kuchora nembo ya taifa, amefariki...

READ MORE

Idris Kuja na Sapraizi Baada ya Mfungo

STORI: BONIPHACE NGUMIJE | UWAZI| ShowBiz MWANAMITINDO maarufu Bongo, Idris Sultan amefunguka kuwa baada ya kumalizika kwa Mwezi Mtukufu wa...

READ MORE

Tigo Jaza Ujazwe

Tigo inakuwezesha kuongea na ndugu, jamaa na marafiki walio Uarabuni kwa gharama nafuu. Piga *148*00# na kisha chagua vifurushi vya...

READ MORE

Amber Hatamsahau Young Dee

STORI: ALLY KATALAMBULA | UWAZI | Showbiz MWANAMUZIKI na muuza nyago kwenye video za Kibongo, anayefahamika zaidi kwa jina la...

READ MORE

Q- Chillah: Nimewasamehe Walionifelisha

STORI: BONIPHACE NGUMIJE | UWAZI | SHOWBIZ MWANAMUZIKI mkongwe katika gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Abubakari Katwila ‘Q- Chillah’...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Mei 30, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 30, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Imefichuka… Daktari Aeleza Sumu Iliyomuua Mume wa Zari

  Stori: Waandishi Wetu | IJUMAA WIKIENDA KAMPALA: Imefichuka! Nyuma ya msiba ulioacha historia wa aliyekuwa mzazi mwenza wa staa...

READ MORE

Mwanza: Aliyemuua Mkewe kwa Risasi Kisha na Yeye Kujiua, Wote Wazikwa

MWANZA: ULE msiba mzito uliotikisa Jiji la Mwanza kufuatia mume kumuua kwa kumpiga risasi mkewe, kisha na yeye kujiua, miili...

READ MORE

VIDEO: Mary Mwanjelwa Atoboa Siri Mbili Sakata la Mchanga wa Madini

DODOMA: Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Mbeya, Mary Mwanjelwa ametoboa siri kuwa chanzo cha kuibiwa kwa madini kupitia kwenye michanga...

READ MORE

Picha za Ibaada ya Kuaga Mwili wa Mume wa Zari, Ivan Ssemwaga

MWILI wa aliyekuwa mume wa Zarina Hassan, Ivan Semwanga ambao ulifika Kampala jana kutoka Afrika Kusini, leo umepelekwa katika Kanisa...

READ MORE