×

Habari

ExclusiveNews: Mmiliki wa Acacia Akutana na Rais Magufuli (+VIDEO)

IKULU: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na Mwenyekiti wa Kampuni ya Barrick Gold...

READ MORE

Spika Ndugai Aanika Taratibu Zitakazotumika Kumvua Chenge Uenyekiti wa Bunge

Katika ripoti ya pili ya Kamati ya kutathmini mchanga wa madini Mbunge wa Bariadi, Andrew Chenge ametajwa na Mwenyekiti wa...

READ MORE

Umeipata Hii Mpya Kutoka Tigo?

Tigo Kitabu App

READ MORE

Global TV Online: Usikose Kutazama Kipindi cha Wanyama Live saa 11:30 Jioni leo

Usikose kutazama kipindi cha mbuga za wanyama leo kikirushwa LIVE kupitia Global TV Online leo saa 11:30 jioni. Kutazama kipindi...

READ MORE

VIDEO: Wema Sepetu na Gabo Walivyozindua Filamu Yao Mpya – KISOGO

Wasanii wa filamu, Gabo Zigamba na Wema Sepetu, wamezindua filamu mpya ya kisasa iitwayo Kisogo, itakayoweza kuonekana na mtu yeyote...

READ MORE

LIVE Breaking News: Watu Wafariki, Wanasa Kwenye Jengo Linalowaka Moto London (Pichaz + Video)

  WATU kadhaa wamethibitika kufariki baada ya moto mkubwa kutokea usiku wa manane katika jengo moja magharibi mwa Jiji la ...

READ MORE

Veta Na Airtel Watangaza Kozi 5 Mpya Za Ufundi Stadi Kupitia Simu Ya Mkononi

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Dk. Bwire Ndazi akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa kozi tano mpya...

READ MORE

Mtoto Wa Amina Chifupa Afunguka Maisha Yake Baada Ya Babu Yake Kufariki

Stori: Boniphace Ngumije na Gladness Mallya | Risasi Mchanganyiko | Habari KIJANA Abdulrahman Mohammed Mpakanjia, mtoto wa aliyewahi kuwa Mbunge...

READ MORE

Snura Afungukia Ajali Yake!

Stori: Gladness Mallya | Risasi Mchanganyiko | Habari SIKU chache baada ya kupata ajali mbaya, staa wa Muziki wa Bongo...

READ MORE

Mbowe Apata Pigo Tena Kutoka Serikalini

Mbunge wa Hai na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amezidi kukumbwa na matukio mbalimbali baada ya jana Baraza la Taifa la...

READ MORE

Hammer Q Akwaa Skendo ya Mwanaye

STORI: WAANDISHI WETU | RISASI JUMATANO | HABARI DAR ES SALAAM: Msanii maarufu wa Muziki wa Kizazi Kipya nchini, Hussein...

READ MORE

Bocco: Nipo Simba, Nitaifunga Yanga SC

Ibrahim Mussa, Dar es Salaam, Championi Jumatano, Habari UONGOZI wa Simba, jana umetangaza rasmi kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa Azam, John...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano June 14, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, June 14, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

CelebrityUpdates:Toni Braxton Afunguka Mahusiano Yake Na Birdman

STORI: SAMSON JEREMIAH / GPL MSANII wa muziki wa R&B Toni Braxton ameweka wazi mahusiano yake kwa mara ya kwanza...

READ MORE

Ommy Dimpoz: Wasanii Maarufu Tuwajali Wasanii Chipukizi

  STORI: SAMSON JEREMIAH / GPL MSANII  wa Bongo Flava, Ommy Dimpoz  mtunzi wa ngoma ya Kajiandae na mmiliki wa PKP...

READ MORE

Lowassa Ampa Tano JPM Sakata la Makinikia

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Edward Lowassa amempongeza Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa hatua anazozichukua kuhusu madini ya nchi...

READ MORE

Gymkhana Yasherekea Miaka 100 Ya Kuanzishwa Kwake Kwa Mtindo Wa Kipekee

Mwenyekiti wa klabu ya Dar es salaam Gymkhana, Walter Chipeta (kulia) akizungumza na vyombo vya habari leo jijini Dar es...

READ MORE

Dayna Nyange: Nina Tuzo Kibao Kutoka Nchini Nigeria

 STORI: SAMSON JEREMIAH / GPL MSANII Dayna Nyanga aka  Binti Nyange aliyehiti na ngoma ya Komela aliyomshirikisha Billnass amesema yeye...

READ MORE

Darassa Kaniandikia Wimbo wa Binadamu – Dogo Janja

  MSANII  wa muziki hip hop kutoka Tiptop Connection, Dogo Janja,  ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake inayoitwa...

READ MORE

Spika Ndugai Awaonya Wabunge wa Upinzani Wanaotaka Marais Wastaafu Washitakiwe

Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke...

READ MORE

Meya Ubungo Akarabati Soko La Shekilango

Dar es Salaam: Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob, leo amefanya mkutano na wafanyabiashara wa Soko la Shekilango...

READ MORE

Sikuu Ya Idd Mosi, Dar Live Kuandika Historia Mpya…Mr Blue, Jokha na Sabaha Kukinukisha

OVER ZE WEEKEND ZIKIWA zimesalia wiki kadhaa kuelekea Sikukuu ya Idd Mosi, imefahamika kuwa, Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar...

READ MORE

Maalim Seif: Hii Ndiyo Siri Yangu na Karume

SAFU hii na Global TV Online hivi karibuni ilifanya mahojiano na Katibu Mkuu wa CUF ambaye aliwahi kuwa Makamu wa...

READ MORE

GS Warriors Wawaliza Cleveland 129 – 120, GS Warriors Wametwaa Ubingwa NBA

KEVIN DURANT alikuwa katika kilele cha umahiri wake kwa kuisaidia timu yake ya Golden State Warriors kutwaa ubingwa wa Ligi...

READ MORE

Funga Inavyoweza Kusaidia Kupunguza Unene

MPENZI msomaji ni matumaini yangu unaendelea vyema na Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambao licha ya kuwa na faida...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Apongeza Ukarimu Wa Vodacom Tanzania Foundation

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa ameipongeza Vodacom Tanzania Foundation kwa kuendelea kuwafuturisha watoto na...

READ MORE

Waziri Mwigulu Awazuia Prof. Muhongo, Andrew Chenge na Wahusika Wengine Kutoka Nje ya Mipaka ya Tanzania

Serikali imeagiza, Mawaziri, Wanasheria Wakuu wa Serikali na Manaibu wao, Wakurugenzi wa idara za mikataba, na Makamishna wa madini, wanasheria...

READ MORE

Ukarimu Wa Vodacom Tanzania Wawafikia Wakazi, Bagamoyo Wa Kiwangwa

Kampuni ya mawasiliano inayoongoza nchini Vodacom Tanzania kupitia kampeni yake ya “Ukarimu wa Vodacom” yenye lengo la ukarimu, ushirika na...

READ MORE

Kisa Mwezi Mtukufu… Madee Awashangaa Mastaa Wapenda Kiki

NA BONIPHACE NGUMIJE | UWAZI MKALI wa Ngoma ya Hela, Hamad Ally ‘Madee’ amewashangaa baadhi ya mastaa ambao katika Mwezi...

READ MORE

Chenge na Ngeleja wafunguka baada ya kuhusishwa na mikataba mibovu ya madini

Vigogo waliotajwa katika ripoti ya pili ya kuchunguza makontena yenye mchanga wa madini (makinikia)  kuisababishia Serikali hasara ya matrilioni ya...

READ MORE

Bunge Lilivyopitisha Bajeti Itekelezwe Ilivyo

  Stori: Eric Shigongo| Uwazi | Napasua Jipu ALHAMISI ya wiki iliyopita serikali kupitia kwa Waziri wa Fedha na Mipango,...

READ MORE

Weusi: Naliamsha Dude Imeharibu Utaratibu

MAKALA: BONIPHACE NGUMIJE | UWAZI | SHOW BIZ TITO Mboweni ni jina maarufu Afrika Kusini. Hutumiwa sana na vijana wa...

READ MORE

Watoto walemavu Arusha Wampa Mrisho Gambo Changamoto Zao

Hivi karibuni lilifanyika kongamano kubwa la watoto wenye ulemavu mkaoni Arusha ambalo lilihudhuriwa na watu mbalimbali na hivyo watoto hao...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne June 13, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, June 13, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Kapombe, Manula rasmi miaka miwili Simba SC

Mwandishi Wetu | Dar es Salaam RASMI sasa wachezaji wa Azam, mlinzi Shomari Kapombe na kipa, Aishi Manula msimu ujao...

READ MORE

Breaking News: Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Tano na Vyuo Vya Ufundi 2017

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Tamisemi) George Simbachawene ametoa idadi ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha...

READ MORE

Ujatijiri wa Kutisha wa Ndesamburo Waanikwa

Stori:Waandishi Wetu | IJUMAA WIKIENDA Kilimanjaro: Ni wiki moja imekatika sasa tangu shujaa wa demokrasia aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha...

READ MORE