×

Habari

Mfahamu Jaji Mkuu Mpya wa Tanzania George Masaju

Juni 13, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan alimteua Jaji wa Mahakama ya Rufani...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Amuapisha Jaji Mkuu Wa Mahakama Ya Tanzania – (Picha+Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Akimuapisha Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Ikulu Chamwino-Dodoma, leo tarehe 15 Juni,...

READ MORE

Mnyeti aipongeza NMB kuunga mkono wafugaji nchini

SERIKALI imesisitiza kuwa imejipanga kuhakikisha kuwa wafugaji nchini wanakuwa na uwezo wa kufanya ufugaji wa kisasa wenye tija zaidi na...

READ MORE

Stanbic Yaendeleza Ukuaji wa Biashara kwa Watanzania Kwenye Sekta ya Madini

Mwanza, Tanzania – Juni 18 2025 — Benki ya Stanbic Tanzania imeshiriki katika Jukwaa la Nne la Utekelezaji wa Ushirikishwaji...

READ MORE

GGML : Tunajivunia Kuwa na Asilimia 98 ya Watanzania Katika Mgodi wetu

AngloGold Ashanti (Geita Gold Mining Limited -GGML) imesema kuwa inajivunia kwa kiasi kikubwa katika kutekeleza takwa la sheria (Local Content)...

READ MORE

Puma Energy Tanzania Yadhamini Mkutano wa Wadau wa Ukuaji wa Sekta ya Anga Afrika 2025

Puma Energy Tanzania imedhihirisha kujizatiti kwake katika kukuza sekta ya usafiri wa anga nchini kwa kudhamini Mkutano wa Wadau wa...

READ MORE

Balozi Nchimbi Ziarani Mkoa wa Simiyu

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na viongozi wa Chama na Serikali, wakiongozwa...

READ MORE

NMB Yatangaza Uwepo Rasmi Katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara – SabaSaba

Benki ya NMB imeanza rasmi kutoa huduma zake katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama SabaSaba, yanayoendelea...

READ MORE

Matokeo Mazuri ya Kitaaluma Green Acres Yaifurahisha Serikali

SERIKALI imepongeza mchango wa shule binafsi katika elimu na imezitaka shule hizo kwenda sanjari na mabadiliko ya teknolojia duniani ili...

READ MORE

Majaliwa: Rais Dkt. Samia Amedhamiria kuendelea mazingira ya Elimu ya juu

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa katika mwaka 2025/2026 Serikali imepanga kutoa mikopo kwa wanafunzi 252,773 wakiwemo 88,320 wa mwaka...

READ MORE

Rais Samia Atembelea Barabara Ya Mzunguko Dodoma (Km 112.3) Na Kuzungumza Na Wananchi – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Akitembelea Barabara ya Mzunguko Dodoma (Km. 112.3) na Kuzungumza...

READ MORE

Mazishi ya Wanandoa wa Bonyokwa Kufanyika Juni 18 Kilimanjaro, Watahifadhiwa Pamoja – Video

Nuhu Msangi, msemaji wa familia ya wanandoa waliokutwa wamefariki dunia ndani ya chumba chao usiku wa kuamkia Juni 12, 2025,...

READ MORE

Majaliwa Mgeni Rasmi Maadhimisho Miaka 21 Ya TAHLISO

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 14, 2025 ni mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 21 ya Jumuiya ya Wanafunzi...

READ MORE

NMB Yatwaa Tuzo Maalum na WCF ya Mwasilishaji Bora Michango ya Wafanyakazi

Benki ya NMB imeendelea kuthibitisha uongozi wake katika masuala ya rasilimali watu baada ya kutunukiwa tuzo maalum na Mfuko wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Atembelea Kituo Cha Malezi Ya Watoto, Sanganigwa, Kigoma

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa Juni 13, 2025 ametembelea kituo cha kulea watoto wenye uhitaji cha Sanganigwa kilichopo mjini Kigoma, kinachosimamiwa...

READ MORE

Jirani wa Marehemu Hazara ‘Ronaldo’ Alilia kwa Uchungu “Alikuwa Mtu wa Watu” – Video

Jirani wa marehemu Hazara almaarufu Ronaldo aliyekutwa amefariki dunia ndani ya chumba chake siku kadhaa zilizopita, amefanya mahojiano na Global...

READ MORE

Trump Amshinikiza Iran Kufanya Makubaliano ya Nyuklia

Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, ameitaka Iran kukubali kufanya makubaliano kuhusu mpango wake wa nyuklia, akisisitiza kuwa Tehran...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Kuwa Mgeni Rasmi Katika Uzinduzi wa Kampeni ya “Mama Samia Legal Aid”

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kampeni ya utoaji...

READ MORE

Wakali wa Technology Kutoka nchi Zaidi ya 70 Duniani Wakutana Dar

Tamasha la Fintech la teknolojia ya kifedha katika Afrika mashariki lilionza tarehe 13 juni mwaka 2025 katika ukumbi wa Julius...

READ MORE

Kesi ya Wanavyuo Wa Dar Waliomgombea ‘Mwijaku’ Wafika Kisutu Kujua Hatma ya Upelelezi Wao

Upelelezi wa kesi ya kutishia kuua na udhalilishaji inayowakabili wanafunzi watatu wa Vyuo Vikuu Dar es Salaam bado haujakamilika katika...

READ MORE

Msaidizi Wa DC Arusha Apigwa Jiwe Akiwatuliza Wananchi Wasifunge Barabara – Video

Tukio lisilo la kawaida limetokea jijini Arusha na kusababisha taharuki baada ya mtu ambaye bado hajafahamika, kumshambulia kichwani kwa jiwe...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Viongozi wa Simba na Yanga Ikulu Chamwino

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi wa Timu...

READ MORE

Jirani Aliyeshiriki Maziko Ya ‘Ronaldo’ Asimulia ”Kulikuwa Na Shida Inamsumbua” – Video

Mwanadada Hazara almaarufu Ronaldo, hatunaye tena duniani. Amefikwa na mauti kwa upweke mkubwa kiasi cha mwili wake kukutwa ndani ukiwa...

READ MORE

Majaliwa Amwakilisha Rais Dkt. Samia Maadhimisho Ya Siku Ya Kimataifa Ya Uelewa Kuhusu Ualbino

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwaleo Juni 13, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu HAssan kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya...

READ MORE

SMZ imeweka mkazo kuifungua Pemba kiuchumi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Serikali imeweka mkazo maalum...

READ MORE

Masaju Ateuliwa Jaji Mkuu Kumrithi Profesa Ibrahim – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, George Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania. Jaji...

READ MORE

Mbeto asema kumzuia raia yoyote asipige kura ni kosa la jinai

Na Mwandishi wetu, Zanzibar Chama Cha Mapinduzi kimesema raia kutopiga kura kwa hiari yake si kosa la jinai bali akitokea...

READ MORE

Taarifa Ya Polisi Ajali Iliyoua Watu 9 Na Kujeruhi 44, Kamanda Afunguka Ajali – Video

Watu 09 wamefaniki na wengine 44 kujerubiwa katika ajali ilyotokea majira ya Alfajiri eneo la Lugono Wilaya ya Mvomero mkoani...

READ MORE

Waziri Mwigulu Awasilisha Bajeti Kuu Ya Serikali 2025/26 Bungeni, Dodoma – Video

    Waziri wa Fedha wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba leo Alhamisi Juni 12, 2025, amewasilisha Hotuba ya Bajeti Kuu...

READ MORE

Wazazi Waaswa Kutochangia Mmomonyoko wa Maadili kwa Watoto

Polisi Kata wa Kata ya Ikoma Wilaya ya Serengeti mkoani Mara Sajenti Emmanuel, ametoa wito kwa wazazi kutokuwa chanzo cha...

READ MORE

Rais Samia Afuatilia Uwasilishaji wa Bajeti Kuu ya Serikali 2025/26 – Video

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson amelitangazia bunge kuwa Rais Samia Suluhu Hassan atakuwa...

READ MORE

Makalla: Awamu ya Pili Mradi wa Maji Mwanga Same Korogwe Kutekelezwa

Amempongeza Dr samia kutoa fedha Biloi 400 kutekeleza mradi mkubwa maji. Katibu wa NEC, Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Akifuatilia Bajeti Kuu Ya Serikali

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amefuatilia Hotuba ya Mapendekezo ya Serikali kuhusu Bajeti...

READ MORE

Rais wa Kenya Asema Mwanablogu alikufa ‘Mikononi Mwa Polisi’

Rais wa Jamhuri ya Kenya William Ruto amesema Jumatano kuwa kifo cha mwanablogu aliyekuwa kizuizini polisi kilitokea mikononi mwa polisi,...

READ MORE

Breaking: Ndege Ya Air India Yaanguka Dakika Chache Baada ya Kuruka Ikiwa na Watu 242 – Video

Ndege ya Air India Boeing 787 Dreamliner iliyokuwa safarini kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sardar Vallabhbhai Patel, Ahmedabad,...

READ MORE

Binti Atelekezwa na Dereva Boda Baada ya Ahadi ya Laki 3, Mama Aomba Msaada – Video

Mama mzazi wa binti aliyedanganywa na dereva bodaboda kwa ahadi ya shilingi laki 3 kwa ajili ya matibabu, na hatimaye...

READ MORE

Prof. Mkumbo Aibua Shangwe Bungeni, Uchumi wa Nchi Yetu Unakua – Video

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema kuwa licha ya hali ya uchumi...

READ MORE

Umma Usipotoshwe Kuhusu Kesi ya Chadema : Mawakili wa Mdai

Wajumbe wawili wa Bodi ya Wadhamini wa Chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka Zanzibar na makamu mwenyekiti mstaafu wa...

READ MORE

Betri za Hifadhi za Nishati ya Jua Zazidi Kushika Kasi Nchini Tanzania

Dar es Salaam, 10 Juni 2025 Tanzania inaendelea kusonga mbele katika safari yake ya nishati safi huku suluhisho mpya zikichipuka...

READ MORE

DAU DOGO SHINDA MAMIA YA EURO NA SPIN-O-MANIA

Meridianbet inakukaribisha kujichukulia Mamia ya Euro kwenye promosheni kali ya Spin-O-Mania ambayo inaendelea hivi sasa. Huhitaji dau kubwa kushiriki kwenye...

READ MORE